kozi

Közi is a Japanese musician, singer-songwriter and DJ. He is best known as guitarist for the visual kei rock band Malice Mizer. After the band went on indefinite hiatus in 2001, he formed the industrial rock duo Eve of Destiny and also started a solo career. Közi is currently in the bands Dalle, XA-VAT, ZIZ and Vamquet, while occasionally performing solo shows.
During his time in Malice Mizer, Közi often assumed the role of a pierrot doll, dressing in clown-like costumes with large ruffs, always in shades of red, his favorite color. In music videos and on-stage he would often make movements reminiscent of a marionette. Közi has continued this visual style to some extent, but his contemporary stage costumes are more gothic. His work on the Izayoi no Tsuki project was reminiscent of carnival music, and artwork for his projects usually follow a dramatic, theatrical theme. Very few details about his private life are known.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kozi ya afya ya kusoma kwa ufaulu huu

    Habari ndugu zangu ! Mdogo wetu wa kike amepata ufaulu huu hapa chini na tungependa kupata ushauri kwa next step. GS - S Physics - D Chemistry- C Bio - C Bam - C Anapenda mambo ya afya sana, sasa je ufaulu utamruhusu ? Chuo gani bora kwa kozi hizo hapa Tanzania ? Gharama / mkopo nini kifanyike...
  2. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Kozi ya Uwekezaji Katika Soko la Hisa Tanzania

    Je, unatamani kuwekeza kwenye Soko la Hisa Tanzania lakini hujui pa kuanzia? Au unataka kujifunza jinsi ya kufanya maamuzi sahihi ya uwekezaji kwa kutumia uchambuzi wa kitaalamu? Kozi ya Uwekezaji Katika Soko la Hisa Tanzania ya ChuoSmart imeandaliwa kwa lugha rahisi ya Kiswahili kwa wanaoanza...
  3. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Kozi ya Jinsi ya Kutengeneza Simu (Mobile Repair Full Course)

    Je, unatamani kuwa fundi wa simu mwenye ujuzi wa kitaalamu au kuanzisha biashara ya ukarabati wa simu? Kozi ya Jinsi ya Kutengeneza Simu (Mobile Repair Full Course) ya ChuoSmart imeandaliwa kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kutambua hitilafu za simu...
  4. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Kozi ya Content Creator (Full Course) – Jenga Brand Yako na Anza Kutengeneza Pesa Mtandaoni

    Je, unatamani kuwa Content Creator anayevutia maelfu ya watu na kutengeneza kipato kupitia mitandao ya kijamii? Kozi ya Content Creator (Full Course) ya ChuoSmart imeandaliwa kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuunda maudhui bora, kujenga brand yako, kuongeza...
  5. Bongo Tech Giant

    JamiiForums Tanzania Fursa za Kazi za Remote (Mtandaoni) kwa Wataalamu wa IT, Biashara na Anga: Jiunge na Alignerr ($30 - $100+/hr)

    Habari wakuu, Kwa yeyote anayetafuta fursa ya kufanya kazi mtandaoni akiwa nyumbani (Fully Remote), kampuni ya teknolojia ya Alignerr kutoka Marekani (inayomilikiwa na Labelbox) imefungua milango ya ajira kwa wataalamu wa fani mbalimbali nchini Tanzania ili kusaidia kuifundisha na kuinoa mifumo...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Mtu mwenye diploma ya forensic science asome kozi gani degree

    Habari za muda huu wakuu Naomba ushauri, mtu mwenye diploma ya forensic science anaweza kusoma degree ipi hasa kama anataka kujikita kwenye uchunguzi wa maiti
  7. idiomer

    JamiiForums Tanzania Hivi hizi kombi mpya za advance nazo wakimaliza wanasoma kozi hizi hizi za baed?

    Wakuu mna maoni gani?
  8. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania 🐔 Kozi ya Ufugaji wa Kuku – Mwongozo Kamili wa Biashara ya Kuku

    7 Ufugaji wa kuku ni moja ya biashara rahisi kuanza lakini yenye faida kubwa nchini Tanzania. Kozi hii ya ChuoSmart inalenga kukufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanzisha, kusimamia na kukuza mradi wa kuku kwa mafanikio—iwe ni kuku wa nyama au mayai. Kozi hii imeandaliwa kwa lugha rahisi ya...
  9. L

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi tuliohitimu clinical medicine chuo cha Kilimanjaro College of Health and allied sciences mwaka 2025 mpaka leo hatujapata vyeti vyetu

    Habarini za kazi , Wahitimu wa diploma ya Clinical medicine wa chuo cha Kilimanjaro college of health and allied Sciences (KICOHAS)tulihitimu mwaka 2025 mwezi wa nane mpaka leo hatujapata vyeti Soma Pia: Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Arusha wa Mwaka 2025 hatujapatiwa vyeti vyetu, wanatupiga...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto tunazopitia wanafunzi wa Kozi za Afya katika Chuo cha Kolandoto College of Health Science [KCHS]

    Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha Kolandoto Colage of Health Science kilichopo Shinyanga Kolandoto, tunapitia changamoto zakutosha sana wanafunzi nitaje baadhi; 1. Wanafunzi tumekuwa tukifelishwa na waalimu makusudi kisa bifu, au mahusiano ya kimapenzi baina ya waalimu na wanafunzi na utoaji wa...
  11. tamuuuuu

    JamiiForums Tanzania Msaada kozi ya ICT

    Wakuu naomba kujuzwa kama kuna chuo cha serikali kilichopo Mbeya kinachotoa kozi ya ICT kwa level ya certificate.Ahsante
  12. Think2

    JamiiForums Tanzania Nimefatilia hizi ndizo kozi za afya unazoweza kuajiriwa kwa urahisi

    ●Biometrical Engineering Hapa soma diploma tu fanya kazi utapanda daraja kidogo kidogo ●clinical ●Nursing ●health laboratory ●physiotherapy ●Dental therapy and surgeon ●Environmental health ●Radiology ●Nutrition ●occupational therapy ● Technologist pharmacy
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anahitimisha Mafunzo Ya Maafisa Na Wakaguzi Wasaidizi Wa Polisi Kozi Na. 1/2025/2026

    https://www.youtube.com/watch?v=AsjCN8DKAh0
  14. ufalmedigital

    JamiiForums Tanzania Kozi ya graphic design basics – Chuosmart

    Unataka kujifunza jinsi ya kutengeneza posters, logos, social media designs na branding ya biashara bila kuwa na experience ya awali? Hii ni kozi sahihi ya kuanza nayo kama beginner kwenye dunia ya graphic design. 🚀 📌 Kozi hii ya Graphic Design Basics kutoka ChuoSmart imeandaliwa kwa lugha...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utapeli Kozi za Udereva ujenzi- ICoT Morogoro

    Chuo cha ujenzi- ICoT chini ya wizazra ya ujenzi mkoani morogoro kinachotoa coz ya udereva kimekuwa kikiendesha coz hiyo kwa utapeli na kinyume na utaratibu. Wapo wanafunzi wa mwez wa 11, 12 , 2025 na mwez wa 1, 2026 ambao wengine wamekamilisha masomo( week 5) bila kufanyiwa mitihni na ivyo...
  16. Good doctor

    JamiiForums Tanzania Kwa comb ya PCP SIX ufaulu wa CDC naweza kupata kozi ya MD Kwa vyuo kama KCMC, Bugando na Kairuki?

    Husika na mada tajwa hapo juu msaada 🥺 please
  17. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Tunaohitimu VETA, Kozi ya Forklift Operator tunahitimu hatujui kitu sababu Forklift yenyewe ni mbovu

    Mimi ni muhitimu wa kozi fupi ya Forklift Operator katika Chuo cha Veta Chango’mbe Dar es Salam Mwaka 2025, pale kuna changamoto nyingi zinazosababisha watu wanahitimu wakiwa hawapo fiti, ni kama wanaendaenda tu katika hiyo kozi. Kwanza kabisa Forklift iliyopo ni mbovu kupitiliza, inazima kila...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Kozi ya Architectural ina soko la ajira kwa sasa?

    Ndugu zangu nisaidieni,nataka kijana wangu akimaliza form six nimshauri asome kozi ya Architectural Design Ardhi University,vipi kozi hii kwa sasa ina soko kweli?
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Zoezi la kubadili TAHASUSI na kozi za vyuo vya kati kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne lafunguliwa

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amesema kuwa, zoezi la kubadilisha tahasusi na kozi za vyuo vya kati kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka 2025 limeanza rasmi Aprili 11, 2026 na litahitimishwa Mei 10, 2026. Prof. Shemdoe amesema hayo leo Aprili 11...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Chuo cha Taifa cha Utalii tunapata changamoto ya upataji wa Ajira kupitia Ajira Portal, hautambui kozi zetu

    Nilikuwa napenda kuwasilisha changamoto yangu kubwa ni upande wa chuo ambacho nimesoma "Chuo cha Taifa cha Utalii/ National College of Tourism- NCT), tumekuwa na changamoto kubwa ya upataji wa Ajira Serikali kupitia Mfumo wa Ajira Portal ya Serikali, kutotambua Course ambazo tumezisoma katika...
Back
Top Bottom