wakenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MakinikiA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya sisi ni Wakwe muwe na ADABU

    Mhubiri wa televisheni maarufu na mwenye utata nchini Kenya, na mwanzilishi wa Huduma ya Uponyaji ya Salvation (Salvation Healing Ministry) ya Nairobi, Pastor Victor Kanyari, amemkosoa vikali mume mtarajiwa wa mtoto wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, anayefahamika kwa jina la Isaya Yunge, raia wa...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vision 2060 Haiwezi Kujaza Sahani Leo: Wakenya Wanataka Suluhu Sasa

    Mpango wa Vision 2060 umeendelea kuzua mjadala nchini baada ya Rais William Ruto kuuzungumzia wakati wa mkutano na wanahabari, akisema utakuwa dira ya maendeleo ya muda mrefu ya Kenya baada ya kukamilika kwa Vision 2030. Rais Ruto alieleza kuwa mpango huo unalenga kuhakikisha Kenya inaendelea...
  3. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Wasikilizeni wakenya wanavyo ongea juu ya Polepole na Tanzania yetu

    Inasikitisha sana kwa jinsi Taifa letu linavyo zungumziwa nje ya nchi yetu.
  4. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Baadhi ya Watanzania na Wakenya waunganisha nguvu kuisaka familia ya Mafwele Afrika Kusini

    Hajaisha mpaka iishe. Nimepata very classified information kuwa pamoja na Mafwele kutenda makosa makubwa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu( Crime against humanity), alijua kabisa ipo siku atawindwa. Sasa Ili Aishi Kwa amani alihamisha familia yake Uko South Africa. Sasa kama mjuavyo ubaya haudumu...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wakenya: Serikali ya Tanzania imepoteza mabilioni ya pesa kwa watu kutokufanya kazi Julai 7, 2026

  6. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinawaumiza vichwa Wakenya kama mpango wa ujenzi wa uwanja wa Serengeti, Ponea yao ni wabunge wetu kina Nasari na Musukuma wanaoupinga

    kwa miaka mingi tume co exist kawaida kushea mbuga hii special duniani, Upande wao inaitwa Masai Mara upande wetu inaitwa Serengeti. watalii wao walishukia Nairobi, wetu wanashukia KIA, Baada ya hapo husafiri kwa magari au kukodi ndege ndogo hadi mbugani. Lakini wameona haitoshi. Wanajenga...
  7. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Wakenya kufanya maandamano kuipinga serikali yao 25/6. Rais Ruto awataka waandamanaji kutumia haki yao na kuepuka kuharibu mali za watu🙏🏻

    Rais wa Kenya William Ruto ameonya dhidi ya aina yoyote ya machafuko, uharibifu wa mali, au kutatiza huduma muhimu kabla ya maadhimisho ya wiki ijayo ya maandamano ya kupinga serikali ya Juni 25. Akizungumza Ijumaa katika Mkutano wa Kitaifa wa Uzalishaji na Utendaji katika Shule ya Serikali ya...
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 187 MPs watoroka kura ya Finance Bill 2026. Wakenya wauliza; walikuwa wapi?

    Huku Finance Bill 2026 ikipitishwa Bungeni, mjadala mkubwa umeibuka baada ya kubainika kuwa zaidi ya nusu ya wabunge hawakushiriki kura muhimu iliyogusa ushuru na matumizi ya fedha za umma. Kati ya wabunge 349 wa National Assembly, ni 162 pekee walioshiriki kupiga kura. Wabunge 122 waliunga...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya 50 Wakwama South Africa, Waomba Serikali Kuwarudisha Nyumbani Haraka

    Takriban Wakenya 50 wanaoishi South Africa kupitia kundi la Kenyan Diaspora in South Africa (KEDASA) wameiomba serikali ya Kenya kuingilia kati na kuwasaidia kurejea nyumbani kutokana na hali ya usalama inayozidi kuwa mbaya. According to reports, wengi wao wamepoteza ajira, wamekuwa wakikumbana...
  10. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Lugha ya Kiingereza ni ngumu hata kwa Wasomi wetu, Azam TV wameajiri Wakenya na Waganda kwa ajili ya Kombe la Dunia

    AzamTv wanarusha mechi sote 104 za Kombe la Dunia kwa Kiswahili na Kiingereza. Wasomi wetu wapo idhaa ya Kiswahili kupitia Azam Sports 2HD hapo unawakuta akina Shaffih Dauda, Edo Kumwembe, Ally Mayai, Muro na wengineo wakichambua kwa manjonjo yote. Kule Azam Sports 4HD wapo akina Chiko Lawi...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Wakenya wamenyooka kama Rula. Maranga, Chief Justice (rtd) akamatwa kwenye maandamano

    Anapinga Nairobi National Park kumegwa kutengeneza car parking lot!
  12. Dalton Elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Wakenya wakipokea wagonjwa wa ebola kutokea Marekani katika uwanja wa ndege wa Jomo kenyata

    Kumekuwepo na chapisho ambalo linasambazwa kwenye mtandao wa Instagram likidai kuwaonyesha baadhi ya raia wa Kenya wakiwapokea wageni wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa wa Ebola. Katika chapisho hilo imeomekana kuwa na jumbe ufuatao” Marekani itaipatia Kenya USD milioni 13.5 [TZS bilioni 35.5] kwa...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya watatu wakamatwa Tanzania wakielekea Mozambique kujiunga na kundi la ISIS

    Yusuf Mbashir (19), Ahmed Shaban (21) na Abdul Karim Salim (22) walizuiliwa Horohoro border kabla ya kukabidhiwa kwa maafisa wa Kenya huko Lunga Lunga, Kwale. Polisi wanasema vijana hao hawakuwa na travel documents na walikuwa wakielekea kwa magaidi wa ISIS-linked militants huko Mozambique...
  14. McLaren

    JamiiForums Tanzania Waliojitambulisha kama Wakenya wakimsifia Rais Samia "Wajinga waache wapigwe mikwaju"

    Vijana waliojitambulisha kama Wakenya wakimsifia Rais Samia. Hebu wasikilizeni na nyie Viongozi wa Malawi wanatafuta sana legitimacy. Inatia aibu sana
  15. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa kiongozi wa nchi ningewashikisha adabu Wakenya

    Frankly speaking wa kenya wanadharau sana na Tanzania the way they talk abt us wanatudogosha sana they have no respect to us Halafu pia wana wivu ma maendeo ya Tanzania. Ingekuwa nimeshika usukani wa kuingoza nchi ningewashikisha adabu kama yaliyowakuta uganda kipindi cha utawala wa...
  16. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Wakenya: Samia, sisi si kama watanzania, hatuogopi Ruto, si boss wetu. Kenya inahitaji mazuri zaidi ya Ruto

    Mama Samia kasema na kumwomba Ruto awashughulikie wapinzani huko Kenya kama yeye anvyowashughulikia huku Tanzania. Hii kauli si tu kuwa ni undiplomatic lakini ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi jirani. Kwa viwango vyovyote si kauli ya kistaarabu kisiasa. Hapo ndio najiuliza kama speech writers...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa aliyekuwa akipigia makofi kwa nguvu kauli ya Samia ya kuchapa Wakenya na Watanzania ni nani?

    Mojawapo ya utopolo wa hali ya ujuu uliotamkwa wakati wa hotuba ya Samia kwenye ziara ya Ruto ni hili suala la kusema wanaharakati wachapwe, wakiwa Kenya au Tanzania. Sasa wakati wasikilizaji wakipigwa na butwaa na kauli ya Samia kuna jamaa yeye alikuwa mstari wa mbele kupiga makofi kwa nguvu...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, leo Mei 5, 2026, amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kiuchumi na kuunganisha nguvu katika kupambana na changamoto zinazozikabili nchi zote mbili. Pia soma Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu...
  19. Q

    JamiiForums Tanzania Hivi Samia anawajua Wakenya kweli?

    Kenya sio Tanzania demokrasia yao ni kubwa kuliko yetu na freedom of expression iko juu sana, nafikiri Ruto alikuwa anamkubalia tu kwa vile ni mgeni wake. Wakenya hasa Gen Z wa Kenya ni next level hata Ruto mwenyewe anawaogopa juzi karushiwa chupa ya maji. Last time GenZ wa kenya...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutoka kicheko cha Mtandaoni hadi Msaada Halisi: Jinsi “Kwa Mbae” ilivyowaunganisha Wakenya

    Video ya TikTok ya mtoto mwenye umri wa miaka mitano, Musa Kihara, anayejulikana kama mtoto wa “Kwa Mbae,” imegeuka kuwa chanzo cha msaada mkubwa baada ya Wakenya kujitokeza kwa wingi katika uwanja wa Kajiunduthi, Kaunti ya Tharaka Nithi, kusaidia familia yake. Video hiyo iliyosambaa...
Back
Top Bottom