Mhubiri wa televisheni maarufu na mwenye utata nchini Kenya, na mwanzilishi wa Huduma ya Uponyaji ya Salvation (Salvation Healing Ministry) ya Nairobi, Pastor Victor Kanyari, amemkosoa vikali mume mtarajiwa wa mtoto wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, anayefahamika kwa jina la Isaya Yunge, raia wa...