ndoa

  1. fact only

    JamiiForums Tanzania Ndoa nyingi hazidumu kwasababu watoto wengi wazazi wao walikuwa mashangingi.

    Hellow wana JF. Ukioa/olewa na mtu ambaye mama yake au baba yake ni shangingi yani hawajui chochote kuhusu ndoa there is no way kwamba hiyo ndoa yenu inaweza kudumu. Ndiyo maana ndoa nyingi siku hizi hazidumu, ndoa zimekuwa cancer kwasababu watu wengi wametoka kwenye mikono ya wazazi...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mkiwa mnatafuta ndoa hakuna ratiba ya kupeana ila mkishafikia ndoa mnaanza kuitunza amani kuliko haki

    Nchi yetu na dunia sasa inalazimisha amani ila sio haki. Ndoa nyingi ukichunguza ni neno haki yake kwa sababu umempangia. Sasa hii haki imefikia mpaka maoni ya ndoa .
  3. Nyafwili

    JamiiForums Tanzania Mara ya kwanza kufanya mapenzi, ilikuwaje?

    Mimi nilipoteza ubikira wangu kwa kahaba... Inasikitisha sana lakini ndo ukweli wenyewe. Nakumbuka kipindi hicho tulipokuwa shule ya sekondari. Ikifika mida ya saa mbili usiku rafiki yangu mkubwa Ngaluli alikuwa akinichukua na kunipeleka sehemu ambayo makahaba huwa wanajiuza. Alikuwa ananipa...
  4. Liverpool VPN

    JamiiForums Tanzania Mnataka Tuoe? Sasa ili Raisi wa Chama cha Wakataa Ndoa nipeleke NEC muswada wa kuvunja Chama cha Wakataa Ndoa naomba haya yafanyike ....

    INTRODUCTION: Ndio ni mimi Raisi wa wakataa ndoa TZ na Africa kwa ujumla..!! Mmekuwa mkitupigia "Kelele" kuwa tuoe mkitoa sababu kibao na wengine mmeenda mbali mpaka kututukana. Tunasema ASANTE...!! MAIN BODY: Sasa ili tupate maridhiano kati ya Wakataa ndoa na Wapenda Ndoa NAOMBA HAYA...
  5. F

    JamiiForums Tanzania JE ni kweli ndoa za zama hizi ni kama mtego wa panya ?

  6. H

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Tujitafakari, Inawezekanaje mapadiri wawe sawa kuwaozesha waumini wenzao lakini wao hawaoi,hata hili waafrika hamlioni kuwa ni ujinga uliopitiliza na kama ni imani je siyo ujinga wa kutokuhoji? Wazazi wao wasingeoana jea hao mapadiri wangezaliwa?
  7. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Family Friend / Marafiki wa karibu iwanasaidia kuokoa ndoa / Mahusiano

    Ni muhimu sana kwa watu waliopo ktk ndoa kuwa na Family friend au waliopo kwenye mahusiano serious kuwa na marafiki wa karibu . Mwanamke uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki wako wa karibu kwa mwanaume wako , na mwanaume uliyepo ktk mahusiano jitahidi umtambulishe rafiki yako wa...
  8. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Nani anamvumilia mwingine kwenye ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

    Kumekuwa na hii tabia ya wanawake wakiulizwa swala la kudumu kwenye ndoa wanasema siri ni kuwa wavumilivu. Hili sijalisikia sana kwa jinsia ya kiume. inamaanisha huko kwenye ndoa wanawake ni wakamilifu ila wanaume ndiyo wakosefu sana. Na kazi ya wanawake ni kuwavumilia waume zao. Wakati huohuo...
  9. MFALME WETU

    JamiiForums Tanzania Nyie wanawake wa siku hizi mnaojitafuta kwanza kabla ya ndoa nani atawaoa?

    Naona saiv hili suala la wanawake kujitafuta kiuchumi kabla ya kuolewa lmekua common sasa. Zamani tulizoea mwanaume ndo anajitafuta kwanza kisha aoe lkn saiv meza imepinduka, kila mwanamke unaekutana nae kwenye mahusiano anakwambia anajitafuta kwanza ndo aolewe, anataka anunue kiwanja ajenge...
  10. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Unajilinda vipi Na magonjwa ngono ukiwa ndani ya ndoa?

    Kuna watu wakishaoa au kuolewa tayari jukumu la kulinda afya zao wanawachia wenza wao. Yani anaamini kwa kuwa na mtu huyo huyo hataweza kupata magojwa? Swali je mwenza wako ni mwaminifu? Je utajilinda vipi ukiwa ndoani?.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Wadogo zangu wa 2005 heti tayari wana watoto na wapo kwenye ndoa kweli sisi 2000 tushazeeka🤣

    Wadogo zangu wa 2005 heti tayari wana watoto na wapo kwenye ndoa kweli sisi 2000 tushazeeka🤣🤣
  12. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Jamii yatunyooshea vidole kisa kila ndoa inavunjika

    Hili tatizo limeota mizizi katika familia nimekuwa nikishuhudia ndugu zangu wakike hawaolewi na wakiolewa ndoa hazidumu. Nafikiri labda mizimu ya ukoo imekasirika au vipi lakini sio jambo la kawaida. Nimejaribu kuunganisha doti maana babu alimuoa bibi akiwa na miaka 70+ huko na baada ya ndoa...
  13. Red black

    JamiiForums Tanzania Kama hauko matured enough usijaribu kamwe kuingia kwenye ndoa

    Maturity imebeba mambo mengi sana, Ukiingia kwenye ndoa kwa kuongozwa na nyege au influence kutoka kwa jamii sjui umri umeenda wenzako wote wameshaoa wewe mbona huoni aise utarudi kwa speed kali sana kwenye ubachela. Ulishawahi kumuona kasongo akikimbia porini. Maturity ndio itaamua ukae...
  14. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ataivunja ndoa yake mwenyewe

    Jiulize Kwani biblia haikuona mwanaume??? Wanajua vyanzo vya matatizo kwenye ndoa n wanawake Na ndio maana wanaume tukaongezewa tuishi nao kwa akili Sio miguu wala mikono  Nawakilisha
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini ndoa ambazo wanaume wametafutiwa wake na wazazi, ndugu wa wazazi au ndugu zao, zinadumu zaidi ?

    Ni zile aina ya ndoa mwanaume anatafutiwa mke na wazazi, ndugu wa wazazi au ndugu zake watu wazima.
  16. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Breakdown anaombea ajali, wenye hosptali tuumwe, wale wa Sinza tukimbie ndoa zetu, garage gari ziharibike, acha kuomba uone list wanaotuombea mabaya

    Ukiambi wa Sali Sali kweli Hapo juu n list chache tu na wao wakiamka wanaombea wateja wao ukiwemo wewe Hapo sijataja wazee wapale mahakaman aka mawakili, yaan pigana na maombi dunian Mungu pekee anajua Kikibaya unakuta mzee wako anaombea ajali brkdown zake zifanyekazi Mjomba ana garage wewe...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kiume mnaokataa ndoa, fanyeni mapema Kuoa kabla hamjakutana na hiki ninachopitia

    Leo najisikia kuandika TU na kuwashauri vijana , ipo hivi mimi ni mwalimu na mfanyabiashara mzuri TU ( Mimi sio fala kwenye nchi hii) umri wangu ni 38, ni baba wa watoto watatu nawahudumia kwa kila kitu pamoja na hayo ni bachelor wa mda mrefu. Miaka kama kumi na mbili nyuma niliapa sitaoa...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Ukianza kufikiria ma-ex ambao mwenza wako ametembea nao, inaweza kuua ndoa yako

    Ukimuoa mwanamke mwenye umri wa miaka 27 hadi 30, na ukichukulia kuwa alianza mahusiano ya kimapenzi akiwa na miaka 18, kisha akawa na wastani wa wapenzi watatu kila mwaka, hesabu zinaweza kuonesha kuwa amewahi kuwa na mahusiano na watu kadhaa kabla ya ndoa. Kwa mfano, ndani ya kipindi hicho...
  19. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kwamba ndoa ya wahuni waliokutana baa NDOA ZAO hazidumu ukilinganisha na watakatifu waliokutana kanisani?

    Ni kweli kwamba ndoa ya wahuni waliokutana baa NDOA ZAO hazidumu ukilinganisha na watakatifu waliokutana kanisani?
  20. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Enyi Makanisa ya kilokole mwanamke akipata mimba kabla ya ndoa msimtenge mnachochea abortion acheni wazae nyinyi siyo Mungu

    Wachungaji wa Makanisa ya kilokole punguzeni mashariti acheni kuwatenga mwanamke wanaopata mimba kabla ya ndoa, hii inapelekea ongezeko la utoaji wa mimba. Na ninyi wanawake mchungaji siyo Mungu ni binadamu kama binadamu wengine acheni kujieleza Kila kitu kwa wachungaji au mnalogwa? ...ongeeni...
Back
Top Bottom