ndoa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni halali Mume wa Ndoa kutangulizwa Akhera ili hili litokee???

    Wanabodi, Naomba uchambuzi wenu katika hili. Nawasilisha
  2. Etwege

    JamiiForums Tanzania Kwenye swala la ndoa nakuelekezea silaha waziri Dk Gwajima.

    Wewe waziri Dk Gwajima kinachofanya mpaka leo ndoa za kimila hazina cheti halali ni nini? Kwa sasa ili ndoa ipate cheti ni lazima iwe ya kanisani, msikitini au kiserikali tu ,swala hili linasikitisha sana. Kuongezeka kwa single mothers, watoto wa mtaani sababu ni wewe waziri Gwajima na wizara...
  3. PAYE

    JamiiForums Tanzania Kati ya Pesa, Mawasiliano na Wivu, kipi hasa kinasababisha ndoa kuvunjika?

    Wakuu Katika mihangaiko yangu, nimejikuta nimepita kwenye kijiwe nongwa kimoja. Kimekolea! Watu wamekaa wamezunguka, kila mmoja ameshikilia upande wake, na mjadala uliokuwa unaendelea ulikuwa kuhusu migogoro ya ndoa. Mmoja anasema, “Ndoa nyingi zinavunjwa na pesa. Bila pesa, mapenzi yanageuka...
  4. dronedrake

    JamiiForums Tanzania Tyler Perry: Kamwe sitakuja kuoa maana Ndoa ni Utapeli

    Muandaaji na muigizaji maarufu wa filamu nchini Marekani, Tyler Perry amenukuliwa akisema kwamba "hatakuja kuoa maana anaamini ndoa ni utapeli" Ninacho ogopa siyo ndoa, bali ni talaka ambapo mwanaume hupoteza zaidia ya nusu za mali zake kumpa mtaliki wake pale wanapoachana Ameongeza kuwa...
  5. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Kabila la Dani Linakata Vidole Wakati wa Ndoa na Talaka

    Kabila la Dani la Papua New Guinea lina desturi za kutisha za ndoa. Ili kuoa, mwanamume lazima akate kidole kutoka kwa mkono wake wa kulia kama mahari kwa bibi arusi wake. Katika kesi ya talaka, inabidi kukatwa vidole viwili kwenye mkono wake wa kushoto. Mume akifa, mke hukatwa vidole vyake...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu amesema kwasasa hayuko tayari kuzaa, kuna mambo yake anamalizia kwanza

    Wanajukwaa, hali zenu jamani Sasa ndugu zangu naomba niwaeleze kuwa Ndoa yetu ina miaka miwili sasa, na tangu tufunge ndoa na Mke wangu nimekuwa na hamu kubwa ya kupata mtoto. Lakini hivi karibuni nilimwambia mke wangu, Neema, kuwa nahisi umefika wakati wa kuanzisha familia. Lakini aliniambia...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna changamoto ya VERIFICATION ya Vyeti vya NDOA Ruangwa

    Napatikana Wilaya ya Ruangwa mkoa wa Lindi ,nilifunga ndoa mwezi wa pili mwaka huu, hapa hapa wilayani, na cheti cha ndoa tulipata hapa hapa, cha kushangaxa ni kwamba ukitaka kujisajili na mifumo ya serikali kama vile bima ya NHIF inataka uwe na mamba ya uthinitsho wa ndoa. Namba hiyo ni kama...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mliopo ndani ya ndoa watoto ndio chaguo la kwanza(wapende hao)

    Wakuu kwa wazoefu wanajua Hii code Kwa waliowahi kutoka na wake za Watu amini nakwambia,hao watoto uliobahatika kuzaa hao ndio ndugu zako,faraja yako wekeza nguvu hapo,ila huyo kiumbe wa pembeni amini nakwambia huyo ndio adui yako wa kwanza,sio jana sio leo sio kesho ipo hivyo, Kwa waliowahi...
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wanawake, Kipi afadhali kati ya kuwa single mother wa tajiri au ndoa na mwanaume mbangaizaji?

    Kwa mwanamke kipi afadhali kati ya kuwa single mother wa mwanaume tajiri/ kigogo/ mwenye uwezo wa kuhudumia mtoto wake mahitaji yote kuanzia bima ya afya ya maana hadi shule za level ya Feza au ndoa ya kudumu na mwanaume wa kawaida, masikini, kapuku, mbangaizaji ambaye watoto watasoma St Kayumba...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mchungaji awatenganisha hadharani wana ndoa ambao walikuwa Mme mmoja wake wawili

    Mume ni mmoja, lakini ana wake wawili: mke mkubwa na mke mdogo. Mke mkubwa aliokoka. Baada ya mume wake kusikia mafundisho ya Injili, alimwacha na kukimbia, akamuacha kanisani.Baadaye, alipooa mke mwingine, huyo mke naye akaokoka. Anafanya kazi katika eneo lake, anachanga na anashiriki katika...
  11. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mwanmke usilinganishe ndoa yako na ndoa za wengine

    Kila ndoa ina hali na mazingira yake, hivyo mwanamke hapaswi kupima maisha yake kwa kulinganisha na yale anayoyaona kwa wengine
  12. Mwakikusi

    JamiiForums Tanzania MICHEZO NA VICOBA VINAVYOUA NA KUDHALILISHA NDOA ZA WENGI

    Wananchiiiiiiiii......... Hivi mnajua kwa asilimia kubwa za wanawake wanaojishughulisha na michezo ya fedha na upatu wanakuwa ●Hawapendi tendo la ndoa ●Wanakuwa na upuuzaji wa wenzi wao ●Wanakuwa watumwa wa madeni mitaani na kwenye taasisi ●Wengi wanaanza "Umalaya" ili kukidhi marejesho...
  13. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu kaniambia nina Kichaa cha Ndoa, hii ni kweli ipo?

    Ingawa kanitukana ila nimejikuta ninacheka sana na kutaka kujua kama kweli kichaa cha ndoa kipo. Wewe uliyepo kwenye ndoa unafahamu nini kuhusu kichaa cha ndoa? Kilishawahi kukupata? Please share your experience.
  14. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Tanzania Nina 1.5 milioni nataka kufunga ndoa na harusi? Nianzie wapi

    Nimerudi tena waungwana. Natarajia kukusanya kitita cha 1.5 milioni kusudi nifunge ndoa na mwanamke ninayemtaka ndani ya miezi 6 ijayo. Wazoefu, nianzie wapi kusudi nisiingie kwenye ndoa na madeni? Binafsi sitaki kuchangisha watu kabisa kutoa watake wenyewe ila si ombi wala lazima. Harusi...
  15. Equation x

    JamiiForums Tanzania Changamoto za ndoa

    Chukulia umri wako ni zaidi ya miaka 50, na tayari upo kwenye ndoa na mna watoto. Ikitokea mwenzi wako akachepuka au akakuwekea mazingira ya kutaka kuvunja ndoa, kwako itakuwa ni afya au ni tatizo? Na je, utakubali ndoa yako ivunjike na mtengane? Tupe sababu.
  16. bless on

    JamiiForums Tanzania Haki Sawa: Silaha ya Shetani Dhidi ya Ndoa?

    Shetani alimtumia mwanamke kumuangamiza mwanaume. Hata mzungu anamtumia mwanamke kumuangamiza mwanaume wameleta Kitu kiitwacho haki sawa, mipango ni kuwapa Wanawake kiburi, kutokuolewa na walioolewa washindwe kaendelea na ndoa zao. Ila kubwa zaidi kupingana na neno la Mungu. Watu wanasema hii...
  17. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Wafunga ndoa baada ya miaka 51 ya uchumba

    Mzee mwenye umri wa miaka 92, Celestino, pamoja na bibie wa miaka 87, Sevelina, rasmi wamefunga ndoa katika sherehe ya harusi iliyofanyika Kaunti ya Meru, nchini Kenya baada ya miaka 51 ya uchumba wao. Wawili hao ambao wameishi pamoja kwa zaidi ya miongo mitano bila ndoa, walikutana kwa mara ya...
  18. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Akikuahidi kukuoa halafu asikuoe, sheria inaruhusu kumshtaki dai fidia

    Nchini Nigeria sheria inawaruhusu wanawake kuwashtaki wanaume kwa kuvunja ahadi ya ndoa ikiwa uchumba utavunjika. Jambo hili huchukuliwa kama mkataba wa kisera (civil contract), mwanamke anaweza kudai fidia kwa hasara alizopata. Hii inajumuisha gharama zilizotumika katika maandalizi ya harusi...
  19. SheriaE

    JamiiForums Tanzania Mchumba anahitajika kwa ajili ya ndoa ndani ya mwaka mmoja.

    Habari wakuu, Mimi ni mwanaume wa miaka 27, muajiriwa serikalini. Mrefu kiasi na mweusi. Mkristo Ombi langu kwenu ndugu zangu nahitaji mwanamke ambae atakuwa mchumba kwa lengo la ndoa baadae. Kwa yeyote ambae ako tayari tuwasiliane DM au kama mtu anadhani atanifaa pia anakaribishwa DM. Sifa...
  20. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Ndoa ni Mr. Kuku aliyepambwa

    Kuanzia tu kwenye kusumbua watu na michango ya laki moja hadi kuanza kuishi kama mume na mke baada ya kuzoeana sasa kila mtu anaanza kuonesha rangi za kweli kuwa alikukubalia maana kwenu mna pesa au kuanza kuona makebo yake makubwa hayana maana tena. Ni process iliojaa utapeli mkubwa.
Back
Top Bottom