ndoa

  1. O

    Wengi wanaotoa ushauri wa ndoa humu sio wanandoa, sababu ya upendeleo

    Wengi wanaotoa ushauri wa ndoa huku JF si wanandoa. Unaona kabisa huyu hajaoa wala kuolewa. Neno kuoa ni kuwa na mke unayempata kihalali—iwe kidini, kimila au kiserikali—na unatambuliwa rasmi kama mume wa mtu. Neno kuolewa ni kuwa chini ya mamlaka ya aliyekuoa, yaani unakuwa mke halali wa...
  2. D

    Hatimaye Jumamosi hii nafunga ndoa Rasmi

    Wakuu Herini ya Pasaka na Poleni kwa msiba Wa Pope. Kama nikivyowaahidi kwenye ule Uzi wangu wa Nyuma kama hujausoma au hukumbuki (Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali) sasa ni Rasmi wiki hii nitafunga ndoa Rasmi na Judi wang Tumepitia mitihani...
  3. Rorscharch

    Asilimia Kubwa ya Wanawake Wanaosema Wanateseka Kwenye Mahusiano au Ndoa Zao, Mazingira Hayo Wameyajenga Wenyewe

    I – Inshu (Hoja Kuu) Katika jamii ya sasa inayozidi kukumbatia usawa wa kijinsia, sauti za wanawake wanaolalamika juu ya mateso ya kimahusiano na ndoa zimekuwa za kawaida. Mitandao ya kijamii, majukwaa ya wanawake, na hata mijadala ya hadharani imejaa simulizi za huzuni kuhusu wanawake...
  4. uran

    Mambo ya Ndoa: Mkiwa na Amani inakuwa raha sana kwa kweli, Ishu ni kui-maintain hiyo Amani

    Asikuambie mtu kwenye ndoa kipindi cha Amani, huwa kimejawa na furaha na mshawasha wakutosha. Hasa ukute umeoa/kuolewa na rafiki yako, mnapatana. Unajikuta unatamani kuwa karibu na mke/mume wako wakati wote, unapata hamu yakumnunulia zawadi hata kutoka outing za hapa na pale. Ndugu zangu...
  5. R

    Wanawake walioishia darasa la saba wapewe maua yao, nje ya kujizolea points za kudumu kwenye ndoa, wanaongoza pia kuwa tayari kuzaa watoto 4 au zaidi

    Hatukatai uzazi wa mpango ni muhimu, tunazalisha idadi ya watoto tunaoweza kuwamudu na kuwahudumia. Tatizo linakuja mna uwezo wa kuhudumia hata watoto saba lakini mwanamke anafunga breki mtoto wa pili. Raha ya ndoa watoto, na raha ya mtoto ni kuwa na ndugu zake wengi. Wanawake wengi sikuhizi...
  6. Mungu niguse

    Miaka 35 ya Jux akimiliki PESA, ELIMU , UMAARUFU ila bado alikataa kuzaa nje ya ndoa hongera Jux you made it ni somo kubwa sana kwa vijana.

    Miaka 35 ya Jux akimiliki PESA, ELIMU , UMAARUFU ila bado alikataa kuzaa nje ya ndoa hongera Jux you made it ni somo kubwa sana kwa vijana. Jux we ndo kioo cha jamii Hapa Tanzania achana na hao waswahili wanaojiita wasanii.
  7. mireille

    NDOA YA KISASI

    NDOA YA KISASI: NDOA YA KISASI Sehemu ya 1: Saa tatu usiku. Usiku mmoja wa kuvutia! Baada ya kunywa pombe kupita kiasi kwenye karamu yake na marafiki usiku, mchumba wa Emmy alimchukua na kumpeleka chumbani kwenye hoteli waliyopanga kupumzika, na kumbwaga kwenye sofa. Emmy alikunywa pombe...
  8. T

    Kauli ya Chriss Brown kuhusu ndoa alipoulizwa kwann haoi?

    “I don’t want to get married because I’ve realized all women do is try to use marriage as a quick way to get rich and continue their expensive lifestyle after making you sign the dǐvorce papers. Most of them come with a plan. They act sweet, marry you, and all of a sudden they switch and show...
  9. JOHNGERVAS

    Saa saba Usiku Muda wa Kuombea ndoa Uchumi na Uponyaji

    MAOMBI YA USIKU YA UPONYAJI, UCHUMI, NDOA, BIASHARA NA KAZI Ee Baba wa Mbinguni, Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo, Ninakuja mbele zako usiku huu nikiwa na moyo wa unyenyekevu na shukrani. Wewe uliyeanza siku hii nami, nakushukuru kwa ulinzi wako, rehema zako na neema zako ambazo hazikomi. Ee...
  10. Morning Glory1

    HooneyMoon itangulie kabla ya ndoa. Watumishi wa mungu lisimamieni hili kuokoa ndoa za watu

    Kila mmoja atakubaliana na mimi kua kwasasa ndoa nyingi zinavunjika na ukijaribu kufuatilia kwa undani na kwa umakini zaidi sababu hasa ya ndoa hizo kuvunjika utagundua kua hakuna sababu zozote za msingi zinazopelekea ndoa hizo kuvunjika...utakuta sababu ni zilezile za siku zote kama vile...
  11. Carlos The Jackal

    CCM na Dola, Ndoa yao ilifungwa Mwaka 1961, Maisha waloyaishi na kuyaishi Sasa, Kila Mmoja ni lazima ambebe mwenzake Kwa Jasho na Damu hata Kufa

    Ukisikia Kuna Ufisadi wa Mabilioni Kadhaaa , sio CCM tu wanaogawana, ingekua hivo Wangeshakua wameondolewa madarakani Kitambo sanaaa !! DOLA isingeweza vumilia hayo !!. Kuna wanaCCM kupitia serikalini Kwa waloyafanya Nchi hii, hata wao wakikaa wanaiona Hatia. Kuna Watu wa DOLANI Kwa...
  12. G

    Ninahitaji kuongeza mke wa pili, nina ndoa ya Kikristo

    Habari zenu waungwana. Nina ndoa ya kikristo. Ninahitaji huyu mwanamke niliye naye atambulike, hasa kwaajili ya benefits flani kutoka ofisini. Amejifungua muda sio mrefu, chata yangu kabisa. Nifanyeje ili ndoa tutakayofunga iwe ya halali? Kataa ndoa naombeni mkae pembeni kidogo. Shukran.
  13. secretarybird

    Rasmi najiunga na team kataa ndoa

    Asalamaleku!! Mtu mzima secretarybird rasmi najiunga na team kataa ndoa baada ya kujitafakari kwa siku nyingi. Sababu kuu iliyonifaya kuchukua uamuzi huu ni kuwa Kuna utafauti (wa utamu) kati ya papuchi Moja na nyingine.  K zinanifanya nibabaike pale ninapotaka kuoa, yaani nikitaka kumwoa...
  14. fimboyaukwaju

    Madhumuni ya Mungu kwenye ndoa

    Madhumuni ya Mungu kwa binadamu kuoana ni: 1.Mke na Mume kustareheshana kuoitia sex 2.Kuzaa watoto ili kuendeleza dunia
  15. Daby

    Inafurahisha saana kuona jamii ilivyobadilisha mtazamo kuhusu watoto wa nje. Well done.

    Sasa hivi utaratibu ni njoo na wawili nilete wawili kisha tuongeze mmoja maisha yaendelee. Weekend baba yupo kwa baby mama na mama yupo kwa baby daddy wanaita kucooparent. Role model wao ni Chibu. Well done...ili kuwa ni suala la muda. Wewe uliye pata watoto kabla ya kuoa/kuolewa watoto ni...
  16. Damaso

    Baada ya ndoa ya Toni Braxton na Birdman kudumu kwa mwezi mmoja, Toni aomba talaka

    KIMEUMANA🚨‼️ Mwanamama Toni Braxton amefungua kesi ya kudai talaka dhidi ya mume wake Birdman ndani ya mwezi mmoja tu baada ya ndoa yao kwa sababu kuu akidai amechoka na ndoa hiyo. Toni Braxton na Birdman walichumbiana kwa zaidi ya miaka 16 na walifunga ndoa mwezi uliopita lakini leo, Toni...
  17. AlphaMale_

    Nina changamoto ya kimahusiano sijui tatizo ni nini. Natamani kuwa na mke lakini mahusiano yangu huwa yanafia njiani

    Habari wadau poleni na majukumu Mimi ni kijana wa 27 ,ni entrepreneur Ninaishi dar lkn muda mwing naenda polini ni chaka tu chaka nanunua Gold ,Elimu yang Degree. Nina changamoto ya kimahusiano sijui tatizo ni nn ,Natamani kua na mke lakn mahusiano yang huwa yanakufa njian labda niseme sijui...
  18. Mshana Jr

    Ndoa za watu maarufu zina mengi

    Alikuwa hanipi tendo mpaka nimlipe 400k wakati ni mke Wangu" Manara.. Hii si Mara ya Kwanza Manara kudai kulipia tendo la ndoa kwa mkewe hata kwa yule aliepita alidai hivyo
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Unaweza ukawa Wife material na bado Dunia ikawa kinyume na wewe. Ndoa ikawa ngumu kwako. Fanya haya.

    UNAWEZA UKAWA WIFE MATERIAL NA BADO DUNIA IKAWA KINYUME NA WEWE. NDOA IKAWA NGUMU KWAKO. FANYA HAYA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Ni kweli wapo wife material ambao hawajaolewa na ambao wanahangaika Kupata ndoa. Na wapo wife material ambao wameolewa lakini ndoa ni ngumu kwao. Wamepata...
  20. Manfried

    Hajji Manara ndoa kwake ni biashara japo watu hawajamshtukia .

    Huyu jamaa anajiita Manara anaoa kwa lengo la kujipatia pesa Ila sio ili akae na mwanamke . Naomba wadau kuanzia Gsm, wasafi na serikali msinchangie tena Manara Endapo akitaka kuoa mwambieni afunge ndoa ya kienyeji asimsumbue mtu
Back
Top Bottom