Mzee mwenye umri wa miaka 92, Celestino, pamoja na bibie wa miaka 87, Sevelina, rasmi wamefunga ndoa katika sherehe ya harusi iliyofanyika Kaunti ya Meru, nchini Kenya baada ya miaka 51 ya uchumba wao.
Wawili hao ambao wameishi pamoja kwa zaidi ya miongo mitano bila ndoa, walikutana kwa mara ya...