ndoa

  1. ngara23

    Vituko na ugumu wa ndoa za wanaume " mama Boys"

    Wanawake sio walezi na watengenezaji wa wanaume na Baba Bora katika family. Mama Boys ni tatizo jipya katika jamii, ni mijadala na maswali magumu yanatusumbua sisi wana saikolojia, kilipatia majibu na kujenga ndoa imara Mahusiano ya mama boys na mabinti wengi huishia kubaya na ndoa kutodumu...
  2. V

    Tiba ya ndoa hii hapa

    SIKILIZA kwa umakini utajifumza na ndoa Yako itastawi au utawsaidia wengi https://youtu.be/EE1cGJZuNmo?si=u8Fa9QNg-n9F9wkO
  3. Eli Cohen

    Navyozidi kuwa mtu mzima nagundua kuwa mapepo huwa yapo katika jamii duni, ukishafanikiwa utayaita afya ya akili

    UKishafanikiwa utayaita afya ya akili. Utamwaisha mtoto wako milembe mapema mnooo Ukifika kule utagundua afya ya akili ya mwananadamu ni uwanda mpana sanaa wakati huku mtaani afya ya akili inapimwa kwa kiwango cha kuokota makopo na kukimbia sokoni matako wazi.
  4. R

    Lema amjibu Rose Shaboka: Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu

    Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake; ------ Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant! Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha...
  5. Dogoli kinyamkela

    UKIINGIA KIchwa kichwa Ndoa ni chanzo cha utajiri kwa wanawake na chanzo cha UMASKINI Kwa wanaume wengi. Imagine Mgao wa TALAKA.

    UKIINGIA KIchwa kichwa Ndoa ni chanzo cha utajiri kwa wanawake na chanzo cha UMASKINI Kwa wanaume wengi. Imagine Mgao wa TALAKA.
  6. MIXOLOGIST

    Kila mtu ashikamane na kile alichokifuata kwenye ndoa

    Iko hivi, kuna mchungaji mmoja ambaye pengine ni mke wa mtu ameelezea vizuri kabisa kwamba hajasoma degree nne ili aje kufua boksa chafu za mume wake. Kimsingi, yuko sahihi, kila mtu ashikamane na kile alichokifuata kwenye ndoa. Ieleweke kwamba ndoa ni scam na ubabaishaji mwingi wenye lengo la...
  7. mfianchi

    Ndoa za Kiislamu, je upande wa anayeoa anakuwa hana kauli?

    Wapendwa, katika siku za karibuni nimekuwa nikiona ndoa za kifahari zikifungwa na ndugu zetu Waislamu, ni harusi ambazo ni funika bovu ni sherehe za kifahari kwelikweli, lakini kinachonishangaza ni kuwa waoaji yenye familia za upande wa kiumeni hawaonekani ni kama wao wameolewa, upande wa kike...
  8. B

    Video fupi: Yesu atoa ushauri kwa team kataa ndoa

    Katika video hii fupi, Yesu anatoa ushauri kwa team kataa ndoa kwa kuwaambia, "Kataeni dhambi, si lazima mkatae ndoa" Angalizo: Sura zinazoonekana katika video ni matokeo ya Sanaa na siyo uwakilishi halisi wa wahusika. https://m.youtube.com/watch?v=MfpPNr5Vujw&pp=ygUMWWVzdSBBbmFqaWJ1
  9. mwehu ndama

    Mlioko kwenye ndoa mnanizidi nini katika mazingira haya!

    Sijawahi kuoa na sitokuja kujaribu huu utapeli. Hapa nilipofika Nina watoto wanne toka kwa mama watatu tofauti..Nina wahudumia kikamilifu na kuwapa muda wangu kulingana na uwezo n nafasi yangu . Tena hao mama wa watoto wangu, wote walikubli kunizalia watoto bila mbambamba Wala kelele.DNA...
  10. Yoda

    Kuna mambo gani mazuri ya kuvutia katika ndoa ambayo mke anamzidi umri mume?

    Priyanka Chopra Jonas (miaka 43) na mume Wake Nicholas Jonas (miaka 32)
  11. Papillon 1906

    Kufanya kazi lodge kutakufanya uogope ndoa

    Astaghfirullah!! nipo apa mapokezi kuwaonyesha vyumba na kuwakabidhi wateja funguo kiukweli ni mzozo. Hivi uko kwenye ndoa mnaishi vipi mbona kina mama fulani na baba fulani wanapishana tu.
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Moja ya makosa utafanya ni kuolewa na Mwanaume wa miaka 50+. Walioingia huko wengi wanalia

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Chunguzi zangu za kina zinanionyesha haya. Nitazungumza ukweli mwingi ili kuwaponya ambao wanataka kujaribu kujiingiza huko. 2. Wadada wengi baada ya kuumizwa na mapenzi kutoka kwa vijana wenzao. Hufikiri kwamba suluhisho ni kuolewa na wababa watu wazima...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Vijana Wakiume mjue Ndoa lazima izingatie maslahi yako ya Kiuchumi. Ndivyo familia kubwa zinavyofanya, siyo unajioleaolea hovyohovyo

    VIJANA WAKIUME LAZIMA MJUE NDOA LAZIMA UZINGATIE MASLAHI YAKO YAKO KIUCHUMI. NDIVYO FAMILIA KUBWA ZINAVYOFANYA. SIO UNAJIOLEA OLEA HOVYOHOVYO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kuna dhana nyingi za kizamani ambazo zipo zaidi Afrika na jamii maskini au zilizotopea kwenye ujinga. 2. Kwamba...
  14. A

    How wenzangu munaweza ku control wanawake katika ndoa zenu nipeni mbinu

    Moja kati ya jambo ambalo najiulizaga How Hawa wanaume wenzangu wanafikia Level za kutesa wake Zao au kuwa control na wengine wanashindwa kabisa na matukio ya wanaume wanaamua kwenda kwao Wanafanya fanyaje 😀😃😄 maana Mimi mwezenu tayari nimedandia mtungi wa vibwengo Nimeona Kamada wa jeshi (😀😃)...
  15. Stability

    Wadada wavumilieni waume zenu. Baada ya kuvuka miaka 35 ile nguvu kupeleka moto huwa inaanza kushuka, sio kwamba amekuchoka ila ni engine

    Kidume akishavuka 35, ule uwezo wa kutafuna jagina sio tena ule wa 18-35 ndio maana hata sugar mamy huwez mkuta ana tembea na jamaa wa 35+, huwa mara nyingi ni vijana wa 20s. Kwahiyo acheni visa, endelea kumkatia kiuno na makebo kama kabinti kaamiaka 21 ili apate amsha amsha engine iwe turbo.
  16. Dr. Mariposa

    Nimehudhuria ndoa ya single maza, pilau tamuuuuuu

    Guys, yaan hapa nimeshiba kitumbo kipo ndi ndi ndi, pilau la harusi ya single maza lilikua tamu hatariii, pilau la mbuzi likatiwa zabibu kavu na tui la nazi kwa mbali oyaaaaaaaa🙌🏻 rosti la mbuzi na nyama za kuku za kuokwa nyie watu wanajua kupika, 😋😋 Sasa nawapa ubuyu kidogo wa huyu single...
  17. CONCHEY

    Mwanamke na haki za ndoa

    TAMU YA KESI ILIYO AMULIWA NA ( SUPREME COURT OF INDIA) ANNA SAURABY DUTT VS. LIEUTENANT COLONEL CIVIL APPEALNO.25076 0F 2024 MAJAJI WALIELEZA YAFUATAYO KATIKA MAHAKAMA HIYO... Mwanamke aliyesoma na mwenye sifa za kitaaluma hawezi kutarajiwa kufungiwa ndani ya mipaka migumu ya majukumu ya ndoa...
  18. Marry Diana

    Ndoa ni msingi muhimu na imara, je, ni yupi mwanaume sahihi

    Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo. Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana. Mapenzi ni kama majani huota popote vilevile,mpenzi atapatikana popote iwe jamiiforum,mtaani na kila sehemu. Lakini ni yupi mume mwema na...
  19. Labani og

    Je, taasisi ya ndoa inaweza kugeuzwa kuwa vita?

    Mughonile bhandu ba kyala Kwanza kabisa niungane na Mbunge baba levo kuwa Kuna kampeni ya kumgeuza mwanaume kuwa adui wa jamii kwenye suala la ndoa nikama vile lawama zote zinabebwa na mwanaume.... Matokeo yake wanaume wanaongezewa stress nzito hivyo kupelekea kuwapoteza mapema zaidi Reference...
  20. MFALME WETU

    Mwanaume uliepo kwenye ndoa, umeoa au mme-oana na huyo mwenzako?

    Ugonile, kabla sijaendelea wale wa 50/50 hapa sio pahala pake. Binafsi sijaoa ivyo sitojikita sana kwenye mambo ya ndoa ingawa nmeishi na wanawake tofauti tofauti kwa nyakati tofauti na mpaka sasa ndo utaratibu wangu. kwa jinsi tulivyoumbwa ni wazi mwanaume ni kichwa cha Familia huku mwanamke...
Back
Top Bottom