Couple inaenda miaka 25, mbunge huyu wazamani, Jimbo la bumbuli, lushoto Tanga, limenipa furaha,lakini ghafla nikanuna, nikakumbuka jambo.
The no 1 artist kule tandale, katika mahojiano aliwahi kudai kuwa, kipindi ana mahusiano na kimbaumbau kipyenga, ilikua siku Moja kwenye sherehe ya kuzaliwa...