tena

TENA is a Swedish-based brand of Essity that specializes in products for adults with urinary or fecal incontinence, such as pads and diapers. TENA also produces a youth diaper brand for teenagers and larger children. The company has offices in all of North America, most of Europe, in Australia and New Zealand, and some parts of Asia and Central America. TENA has specific lines for retail and health care. They can be found at grocery, drug and discount stores, in aisles where other bladder control products are sold.

View More On Wikipedia.org
  1. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu huyo mdada uliyenae hajamrudia ex wake sio kwa sababu eti anakupenda wewe kumzidi, no, ni kwa sababu ex wake hajaonesha effort ya kumtaka tena

    Niliwahi kuwa na girlfriend back in 2018, Alienielezea namna jamaa alivyokuwa anamchapa makofi na muda mwingine kumuingilia kinguvu kingono. Na akasema hataka amrudie tena huyo mbwa Red flag ilikuja pale yule demu akawa anamzungumzia jamaa kila mara, nikagundua huyu fala bado bado ana miss...
  2. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    Mpo eeeh Sasa hivi ni akijiamulia tu ndio itavyokuwa hivyo ivyo, inakuaje? Msimamo wa kiongozi mkuu wa chadema akisema tena chama cha CHADEMA hakitashiriki tena uchaguzi 2030 nini? Mtafanya wana chadema Kufata amri au kupinga amri na kwann? Mpinge amri na wakati mwanzo mliifata Na...
  3. CAPO DELGADO

    JamiiForums Tanzania HOJA Watanzania wenzangu, msitolewe kwenye reli. Msikubali kupotezwa maboya tena

    Watanzania wenzangu, msitolewe kwenye reli. Mara nyingi katika siasa hutokea mijadala, matukio au watu wanaojitokeza ghafla na kuhamisha mjadala kutoka kwenye hoja kuu kwenda kwenye mambo mengine. Huo ni mtego ambao wananchi wanapaswa kuuangalia kwa makini. Msikubali kupotezwa maboya. Meli...
  4. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Mafuta yanaenda kupanda tena kuanzia kesho

    Kesho jumatano kutakuwa na kilio kingine cha mafuta kupanda tena ni muda WA kujipanga tena kisaikolojia na maisha magumu tena. Adui ya nchi hii anaenda kuwaumiza tena wananchi huku nchi jirani wakiendelea na maisha yenye faraja kutoka kwa serikali zao zinazojali watu wake. Maadui hawa wa...
  5. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale Laptop inauzwa, nimepunguza bei wakuu, karibuni sana , nimerudi tena Viongozi

    Imeuzwa
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel IDF liliteka tena Ngome ya Beaufort huko Lebanon!!

    Jeshi la IDF liliteka tena Ngome ya Beaufort huko Lebanon ambayo Israel iliikalia kisheria kuanzia 1982 hadi 2000 katika vita vya kwanza vya Lebanon. Safari hii Magaidi wa Hezbollah wanapigwa mpaka chumbani kwao bila huruma yoyote!!
  7. shonkoso

    JamiiForums Tanzania Je wajua kwa nini Kesi ya Lisu itaendelea tena tarehe 11 June,siku ambayo kombe la dunia linanza?

    Natamani kila Mtanzania aelewe namna ambavyo viongozi wetu wanatuchukulia Wanatuchukulia kama mazwazwa,mapwoyoyo flani yasiyotofautisha mambo serious na ishu extra yaani za burudani kama mpira. Siku Simba na Yanga wamecheza mpira tarehe Sikumbuki wa NBC premier league,tukiwa busy sijui na...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Trump alivyosema waafrika inabidi watawaliwe tena hakukosea

    Hawa ndio viongozi wa Afrika, nchi yake ina matatizo kibao yeye anaponda raha. BREAKING: Congolese President Tshisekedi Stuck at Budapest Airport Over Ebola Concerns President Félix Tshisekedi was held up at Budapest Airport after arriving with a delegation to attend the Champions League final...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania PSG Wamefanya Historia Tena✍️🏆

    👉 Tarehe 30 Mei 2026 itabaki kuwa siku ya kukumbukwa kwa mashabiki wa Paris Saint-Germain baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Champions League kwa mara nyingine mbele ya Arsenal katika fainali iliyokuwa na presha kubwa. PSG walionyesha moyo wa kishujaa, utulivu na uzoefu wa mabingwa hadi kufikia...
  10. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Hii story watu imewauma sana aisee, nimeamua nitoe, watu wana sukari na presha… ni chai tu kutoka frijini.. msijar
  11. Tlaatlaah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau, hasa wanaume, ni kweli eti ukifikisha miaka 35 huwezi tena kunyandua mbususu bao 2kwa1 kwenye 6kwa6?

    Nini kinasababisha kukwamia kwenye bao1 tu, kwa wenye umri wa kuanzia 35 years na kuendelea? Na kama unaweza kufakamia bia6 bila breki katika umri huo, kulikoni ushindwe kuunganisha goli2 kwa1 kwenye 6kwa6?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  12. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Unamkuta mwanamke amezaliwa mweupe kabisa, halafu tena bado anajichubua, hivi hali hii huchochewa na nini?

    Binafsi hua najiskia kunyaa sana nikimuona mwanamke wa aina hiyo. Na kabisa siwezi kumtazama tena na ninaweza hata kubadili uelekeo au kuondoka kabisa mahali nilipomuona. Ni kitu gani hasa wanawake wa aina hii huhitaji? Kama ni uweupe, si wamezaliwa nao kabisa? Unakuta binti kaiva sura...
  13. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Ukifa, hutatamani tena kuishi duniani!

    Ukifa hutatamani tena kuishi duniani. Hutatamani kuishi tena duniani kwa sababu utakuwa hujui chochote kinachoebdelea. Hali inakuwa sawa na vile ilivyokuwa kabla ya kuzaliwa. Ni hayo tu!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Pasi ya maji hulinda nguo zako na kuzitoa smart kuliko pasi kavu, pasi za maji sio mbovu, zitumie kwa namna hii na hutafikiria tena kutumia pasi kavu

    Watu wengi wamekariri kutumia pasi kavu bila kujua zinachangia pakubwa kuharibu nguo zao Pasi kavu huchosha kitambaa, huchosha nyuzi na fabrics, huondoa mwonekano mzuri wa nguo na kufanya zifubae mapema. Ndio maana mara nyingi utaona nguo za mtumba zimetumika miaka mingi huko zilipotoka lakini...
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Zebra crossings hazina maana tena, zimebaki kama maonyesho tu

    Ni nadra sana katika sehemu nyingi zenye Zebra crossings ambazo hakuna traffic police karibu kukuta madereva wa magari, Bajaji au Bodaboda wakiheshimu na kuruhusu watembea kwa miguu kuvuka. Ni wakati sasas serikali ijikite kujenga madaraja ya juu tu kuvukia badala ya hizi zebra crossings za...
  16. S

    JamiiForums Tanzania CCM wamekataa tamaa ya kushindana katika majukwa ya kisiasa na CHADEMA. Wanaona hawana tena cha kupoteza hivyo liwalo na liwe

    Yote mnayoyaona na kuyasikia, msingi wake mkuu ni kama nilivyoeleza katika kichwa cha habari cha uzi huu. Wamechafuka na kukataliwa ndani na nje ya nchi na kwa akili zao, CHADEMA ndio wamewaponza, wanasahau ni ulevi wa madaraka na kupuuza madai ya msingi ya wananchi ndio umewafikisha hapo...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Hakuna haja ya Msajili wa vyama siasa tena

    Hakuna haja ya kuwa na chombo ambacho ni chanzo cha migogoro kila siku. Rushwa, kuzuia demokrasia, kupendelea CCM na kujipa cheo cha mahakama hakuna sababu ya kuwa na hii idara ya kijinga jinga hivi. Kutafutwe kitengo cha mahakama cha kusajili vyama na msimamizi Awe sheria sio viongozi wajinga...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Ninawapa tahadhari wachama wa MCC ,ni wakati wa kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi,muda si wenu tena umepinduka na game is over

    MCC ni kwasasa ni kama maluweluwe ni kama mtu,mbuzi,nyoka ,mara kiwiliwili ni joka kubwa na upande wa juu ni binadamu anaye nena maneno ya Makufuru kila muda na kila dakika Kifupi MCC ni monster,liko tayari kusuck blood ya yoyote tena Lina penda fresh blood,lakini linawapambe kibao wanalipwa...
  19. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya nchi hii hayatokani wala kusababishwa na CHADEMA bali CCM imekengeuka sio tena Chama cha wakulima na wafanyakazi

    CCM ikiongoza serikali wanaangaika na Chadema bila hata sababu za msingi. Swali la kujiuliza CCM bado inasimamia misingi ya uanzishwaji wake? CCM imezaliwa na TANU cha kushangaza chama cha wakulima na wafanyakazi ghafla kikawa chama cha wafanya biashara, Mafisadi ni ukweli usiopingika kwamba...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “Kesho tena tunatembea?” Kenya Yasimama as Matatu, Boda & Uber Strike Continues

    Nairobi imeamka na stress nyingine tena after transport operators announcing kwamba strike itaendelea kesho because talks na serikali zimegongana mbaya. From matatus, boda bodas, Uber mpaka cargo trucks wengi wameamua “hakuna kazi mpaka mafuta ishuke.” Wananchi ndio wamebeba mzigo mkubwa. Leo...
Back
Top Bottom