wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe Wanawake Wembamba wanaenda gym kutafuta wanaume!

    Imenichukua miaka 10 kujua wanawake wanaenda gym kutafuta wanaume. Yaani gym ni danguro la wazi. Na baadhi ya wanaume(Wachache) wanaenda gym kutafuta wanawake. Mimi siku zote najua gym ni sehemu ya mazoezi. Ama kweli tembea uone. Siwezi ruhusu Mke wangu aende gym.. Labda twende wote.. Ni...
  2. haszu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanaona ugumu kumsifia mwanaume mwezie kama kapendeza au ni mzuri?

    Yani kazini wadada wananiambia, we mzuri au umependeza sana n.k lakini sijawai kuona jamaa wakisema kama ata ile ya kiume kua " aah mwanangu umetokelezea kinoma" kwanini? ni roho ya kwanini au ni nini? zaidi naona kama wengine wananionea wivu namna ninavyoshombokewa na watu. kwanini?
  3. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Wakati kataa ndoa mnakomaa, wanaume kamili Wali enjoy Father's day

    Hivi huwa najiuliza what do men live for? Tuwe na majumba makubwa? Magari? Tupate recognition na fame? Lahasha, vitu vyote hivyo ni temporary fulfillment. Nothing beats a better family, a better wife, with children. No money, no accolades, no fame can ever buy it. Chekini real men wa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ameumbwa kiasili kukubali kushea mwanaume na wenzake tofauti na sisi Wanaume ukindua unachapiwa roho inakaribia kuchomoka.

    Ndio maana hata sheria ya ndoa ya Tanzania inatambua ndoa ya mume mwenye wanawake wengi lakini sio ndoa ya mwanamke mwenye waume wengi. Hii ni kwa sababu wao wameumbwa kukubali kushea mwanaume. Tofauti na wanaume.
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuelewe: Kama sisi hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja. Vivyohivyo kwa wanawake. Hakuna mwanamke anayeridhika na mwanaume mmoja!

    Habari za Sabato! Saikolojia iko hivyo. Kihisia na kiakili mwanaume na mwanamke hawana tofauti yoyote ile. Wanawake wana wivu kama tulivyo wanaume. Wanawake wanatamaa ya ngono kama tulivyo wanaume. Jinsi mwanaume ukikutana na mwanamke mwenye mvuto unamtamani licha ya kuwa una mke na watoto...
  6. Yoda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanaume kumiliki wanawake zaidi ya mmoja haileti uhaba wa wanawake kwa wanaume wengine?

    Hili suala la baadhi ya wanaume kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja nafikiri ni tatizo kwenye jamii. Uwiano (ratio) wa wanaume kwa wanawake duniani ni wanaume 101 kwa wanawake 100 au takribani 1:1. Hii ina maana baadhi ya wanaume wakiwa na wapenzi au wake wawili au zaidi inaharibu mzani na...
  7. Dr Arshavin

    JamiiForums Tanzania Kanuni 30 za Afya kwa Wanaume Kabla ya miaka 35

    CODE 30 ZA AFYA AMBAZO KILA MWANAUME ALIPASWA KUJUA KABLA YA MIAKA 35. HAYA NDIO MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HUYAGUNDUA WAKIWA WAMECHELEWA. 1. Kiwango chako cha homoni ya kiume Testosterone kitaanza kushuka ukifikisha miaka 30. Nyanyua vyuma, pata usingizi wa kutosha na kula lishe bora ili...
  8. mr pipa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania hivi wanaume wakizazi hiki tumepatwa shemu toka amefika kwetu ukweni saizi anamaliza miezi sita

    Alikuja kwa kigezo kumwona mke wake na mtoto maana huyu dada yangu baada ya kujifungua ikampasa aje hom ajitazamie kutokana na ukaribu na urahisi wa huduma za hospitar Uzuri mzee amejijenga kwahiyo dada pia alikuwa n vyumba vyake ndani ya hiyo nyumba ya mzee Cha kushangaza haka kajamaa...
  9. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hadi leo sijajua ni namna gani wadada wanapendelea vidume warefu alafu weusi wanaume wanapenda mabinti wenye makalio au kiuno kipana

    Najiuliza sana ni namna gani makebo makubwa na urefu vilivyokuwa na ushawishi sana kuliko CV yangu.
  10. ndege JOHN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama wanaume na wanawake watachukiana, nani atafaidika?

    siku hizi kila ukiingia mtandaoni unakutana na maudhui yanayowagawa wanaume na wanawake. Huku wanaambiwa wasioe, kule wanaambiwa wasiolewe. Huku wanaume wanatajwa kuwa shida, kule wanawake wanatajwa kuwa shida. Kila siku ni vita. Ukienda kwenye comments ni matusi na lawama tu. Wengine...
  11. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Hivi wanaume tunaopenda wadada wembamba bado tupo au ni mimi tu?

    Hakika slim girls wapo moyoni mwangu Kwanza tu unaweza kumbeba wakati wa tendo na kumkunja kisawa sawa maana body inaruhusu Lakini pia kwa sisi wwnye vibamia kadude hakadzuiwi na kuishia kwenye MAKEBO makubwa , kanazama angalau. Big up kwa wadada wembaba JF.
  12. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania Watu wanene especially wanaume hua na maamuzi ya ajabu ajabu wanaendeshwa na hisia sana

    Watu wafupi hua wabishi kutokana na kuhisi wanadharauliwa, pia hua vinakua na mbembwe na vituko. (Japo sio wote) Watu wembamba hua wanakua na anger issues, wana hasira yma karibu. (Japo sio wote) Ulishakamatwa na traffic kimbau mbau. Au ulishakua na kesi na kamwalimu ka hesabu kembamba ? Watu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuna mahusiano Gani ya kuchukia kelele na umri kwa Wanaume?

    Moja ya tabia wanaume wengi huijenga ni kuchukia kelele na purukushani nyingi as umri unaenda. Ni kawaida kukuta mwanaume ulikuwa unaishi kwenye mazingira yenye kelele, nyumbani kelele ,(mke) ulikuwa mtu wa kwenda club nk , nyumba za ibada zenye kelele lakini as time goes unajikuta hupendi...
  14. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpasuko wa Ndani: Jinsi Kitchen Party Gala na Vikao vya Wanaume Vinavyotumika Kama Mpango wa Siri wa Kusambaratisha Mshikamano wa Familia

    Taifa linaelekea wapi? Hivi hatuna watu wenye akili, hekima, busara, tafakuri na maono ya kukemea haya mambo? Tunataka tuwarithishe nini watoto wetu? Mshikamano au utengano? Hivi tunajua madhara yake kiroho na kijamii? Hivi mpaka viongozi wa kidini hawaoni kwamba nyuma ya pazia la sherehe za...
  15. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Jamaa alitengeneza app ya kutafuta wenza mtandaoni ila aka- ban wanaume wote isipokuwa yeye tu

    Mwaka 2019, jamaa mmoja aliyejulikana kama Aaron Smith kutoka North Carolina alizindua Singularity, app ya kutafuta wachumba mtandaoni ila iliyobuniwa kwa kanuni moja tu, kwamba hakuna mwanaume mwingine alitakayeruhusiwa kujiunga isipokuwa yeye pekee yake. Wanawake waliojiunga na programu hiyo...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bi. Haika Yuko sahihi. Kuna wanaume ni Gold-diggers. Tabia mojawapo ya u-gold digger ni kijana kupenda mishangazi(wanawake wakubwa kiumri)

    Hamjambo! Kwa asilimia tisini na tisa kijana mwenye future kubwa, anayejitambua, mchapakazi, anayejiamini hawezi kuwa na wazo la kutoka na mwanamke mtu mzima, lishangazi. Huwezi kuta kijana mwenye kazi ya kueleweka, mwenye biashara nzuri, akili ya kiume umkute anakimbizana na mishangazi. Ni...
  17. Inside10

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Mkurugenzi wa Mbezi Garden Hotel Bi Haika Lawere jana kwenye Kitchen Party Gala amewafundisha Wanawake kuficha mali zao Wanaume wao wasizijue kwa sababu wanaume ni matapeli hivyo wakizijua watawapeli mali hizo. Je hii inakubalika, Na Wanaume wakificha mali zao hali itakuwaje, nini maoni yako...
  18. Saad30

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu ni mbaya Sana Kwa Sisi wanaume

    Hii ni Kweli kabisa ukizingua wee ni boya kabisa. Kwa Sisi wanaume tusipokula mzigo Kwa Muda mrefu akili inakuwa kama imeganda hivi.Unaweza kuidanganya akili kwamba huwazi Tena kuhusu papuchi lakini pale unapoenda kuoga alafu Mzee wa kazi ukiupaka sabuni ndio utajua Kula mzigo ni Tiba Kwasisi...
  19. tpaul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Wanawake wa Mlandizi wanachangia wanaume na mabinti zao

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, afande mmoja kutoka Dawati la Jinsia ameonekana akitoa nasaha kwa wanawake wa Mlandizi huku akiwashangaa kwa vitendo vyao vya ajabu wanavyofanya mbele za watoto wao. Wanawake hao, ambao ni wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika shule mbalimbali wilayani humo...
  20. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume zikilizeni

    Siku zako na huyo mwanamke ambae haumpi pesa zinahesabika chukua tahadhari. Usije kulia kilio cha mbwa mdomo wazi Husipeleke maua tia hela
Back
Top Bottom