wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Wanaume kwanini tunalazimisha kupendwa. Ndo maana tunynyaswa na kuumizwa sana kwenye mahusiano.

    Moja ya makosa makubwa ambayo wanaume hasa wakiafrika tuna fanya ni kulazimishwa kupendwa , Unamtongoza mwanamke Kwa ahadi au kutoa Pesa na mali ili akukubalie ombi lako. etii uta mnunulia Nguo nzuri , simu Kali ,sijui akiwa na wewe utawajengea Nyumba wazazi wake. Zote hizo ni jitihada za...
  2. Saad30

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu ni mbaya Sana Kwa Sisi wanaume

    Hii ni Kweli kabisa ukizingua wee ni boya kabisa. Kwa Sisi wanaume tusipokula mzigo Kwa Muda mrefu akili inakuwa kama imeganda hivi.Unaweza kuidanganya akili kwamba huwazi Tena kuhusu papuchi lakini pale unapoenda kuoga alafu Mzee wa kazi ukiupaka sabuni ndio utajua Kula mzigo ni Tiba Kwasisi...
  3. tpaul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Wanawake wa Mlandizi wanachangia wanaume na mabinti zao

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, afande mmoja kutoka Dawati la Jinsia ameonekana akitoa nasaha kwa wanawake wa Mlandizi huku akiwashangaa kwa vitendo vyao vya ajabu wanavyofanya mbele za watoto wao. Wanawake hao, ambao ni wazazi wa wanafunzi wanaosoma katika shule mbalimbali wilayani humo...
  4. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume zikilizeni

    Siku zako na huyo mwanamke ambae haumpi pesa zinahesabika chukua tahadhari. Usije kulia kilio cha mbwa mdomo wazi Husipeleke maua tia hela
  5. Mtaachana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tatizo wanaume tuna haraka na wanawake. Wengine kuzaa nao ni sawa na kuingia jehanam ya moto kabla hujafa

  6. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wengi kutoka mataifa ya asia haswa ya kiarabu wana kesi nyingi za ubakaji na unyanyasaji kingono huko uingereza?

  7. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawajilindi na UKIMWI kama ilivyo kwa Wanaume

    Kwasa ieleweke mapambano dhidi ya ukimwi hatawezi kumalizwa na upande mmoja peke yake, nijambo linalohitaji ushirikiano wa pande zote katika utafiti wangu nimebaini wanawake wanahofia labda mimba kuliko ukimwi, hii inaweza kuchangiwa na ujinga ama kutokuwa na uelewa ama wameamua kupuuzia zipo...
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadau, hasa wanaume, ni kweli eti ukifikisha miaka 35 huwezi tena kunyandua mbususu bao 2kwa1 kwenye 6kwa6?

    Nini kinasababisha kukwamia kwenye bao1 tu, kwa wenye umri wa kuanzia 35 years na kuendelea? Na kama unaweza kufakamia bia6 bila breki katika umri huo, kulikoni ushindwe kuunganisha goli2 kwa1 kwenye 6kwa6?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  9. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tangia nizaliwe sijawahi kuona mdada anaependelea mwanaume mfupi zaidi yake basi hvyo hivyo wanaume wasihukumiwe kwa kupenda Makebo makubwa

    Tangia nizaliwe sijawahi kuona mdada anaependelea mwanaume mfupi zaidi yake basi hvyo hivyo wanaume wasihukumiwe kwa kupenda Makebo makubwa Kila mtu afe na tamaa zake.
  10. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli Wanaume hawapendi kuulizwa maswali haya sita kutoka kwa wenza wao?

    1. "Uko wapi?" (The Tracking Syndrome) Kisaikolojia: Mwanamke huuliza kwa usalama, lakini mwanaume husikia kama anafuatiliwa au haaminiki (distrust). Ushauri: Badala yake, sema: "Natumai uko salama huko uliko, nakusubiri nyumbani." Hii inampa hamu ya kurudi. 2. "Nipike nini?" au "Tule nini...
  11. ShesRise_1

    JamiiForums Tanzania Tamaa, Usaliti na Matokeo Yake Wanaume na Wanawake Wengi Wanaharibu Familia Zao Wenyewe

    Kuna wanaume Mungu kawajalia familia nzuri sana mke mwema, anayejitunza, anayeheshimu ndoa yake, anayekutii na kusimama kwenye nafasi yake kama mke. Pengine amekuzalia watoto na amekuwa nawe kipindi kigumu na chepesi. Lakini kutokana na tamaa, unaanza kuchezea amani ya familia yako mwenyewe...
  12. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WANAUME: Zipi ni turn-offs kwako kwa mwanamke?

    Wakuu hebu tumalizie weekend na mada mkangamfu. Ewe mwanaume ni kitu gani ukikiona kwa mwanamke au mwanamke akikifanya kwako inakukata stimu kabisa yaan turn off. Mimi nitalist kadhaa 1. Mwanamke mwenye vinyweleo mikononi na miguuni, aisee bora mikononi naweza vumilia ila miguuni pale ameweka...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanaume wengi mshukuru mfumo umewabeba. Wanawake wangewatesa Sana kwa sababu wanawake wengi wanaakili na wanajitambua kuliko wanaume wengi

    WANAUME WENGI MSHUKURU MFUMO UMEWABEBA. WANAWAKE WANGEWATESA SANA KWA SABABU WANAWAKE WENGI WANAAKILI NA WANAJITAMBUA KULIKO WANAUME WENGI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Zamani nilikuwa nakataa kwamba wanawake wanaakili kuliko wanaume. Kwa sababu sisi Watibeli Wanaume hatuwezi zidiwa...
  14. X

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Hii tabia imekaa kiupinde sana unakuta mwanaume kabisa ananua kitanda eti bed sofa WTF! Kihalisi kitanda cha kiume ni cha mbao, imeshindikana kabisa basi kiwe cha chuma kisicho na urembo wa sofa. Hivi vitanda vimekaa kikike na vinapendwa na wanawake
  15. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Ila wanaume bana tunapitiaga ukakasi mkubwa hadi mafanikio alafu tunakuja kuliwa pesa kizembe na hawa wadada

    Mtu umetoka hapa⤴️ Ili uje kuteseka na kuaibika hapa⬇️ Kunaa interview nimeona jamaa mmoja anakuja kujitetea kuwa ile gari aliompa slay queen sio kwamba amemnunulia iwe yake bali amempa tu atembelee ila demu kawa mkali hadi ka-share video asaidiiwe na serikali ili arudishe gari yake.
  16. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Marekani na China ni mkutano wa wanaume tu!

    Tulipotea njia kulazimisha usawa wa jinsia katika uongozi, viti maalumu vya ubunge vifutwe.
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Wengi ni wanyanyasaji. Ndio Maana Kila Siku nawaambia mabinti mjitegemee. Endeleeni kunikaidi

    Hamjambo! 1. Aiseeh! Haya! Kuna watu vichwa vya gunzi. Wagumu Sana kunielewa. 2. Kazi Yangu ni kuwapa Doctrines za kubadilisha akili zenu hizo. Najua kuna watu vichwa ngumu. Ngumu Sana lakini tutaelewana. 3. Ninapowaambia wadada acheni akili za utegemezi sio kwamba ninawaonea Wivu mbuzi...
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wadada acheni kusema mlidanganywa na wanaume wakawapa mombi

    Wanawake vijana wengi wa bongo wanaokuwa wakiachika katika mapenzi na wanaobaki single mothers wamezoea sana kauli za kulalamika kusema walidanganywa au walitapeliwa na wanaume walioingia nao katika mahusiano au waliofanya nao ngono. Kama mwanamke una miaka zaidi ya 18 na ulifanya ngono na...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanawake mna haki kuwadharau wanaume machawa na Wambea wambea

    WANAWAKE MNAYOHAKI YA KUDHARAU WANAUME MACHAWA NA WAMBEA WAMBEA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Binti zangu, usione haya wala aibu yaani usijifiche kuonyesha dharau kwa Mwanaume yeyote mwenye tabia za kichawa chawa. Kimbea mbea. 2. Hata kama ni Mimi Babaako, hata kama ni mimi mumeo...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mabinti waambiwe ukweli serikali haitakuwa na muda wa kushughulikia ujinga na uzembe wao watakapozalishwa na wanaume wapenda uzinzi. Hasa mabinti mask

    MABINTI WAAMBIWE UKWELI SERIKALI HAITAKUWA NA MUDA WA KUSHUGHULIKIA UJINGA NA UZEMBE WAO WATAKAPOZALISHWA NA WANAUME WAPENDA UZINZI. HASA MABINTI MASKINI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Baba 1. Hakuna cha huruma hapa. Binti Yangu hakuna wa kukuonea huruma dunia hii. Kama hutojionea huruma...
Back
Top Bottom