mtu

  1. Wakusoma 12

    Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa.

    Kumezuka jambo ambalo siyo la kiungwana na halionyeshi kama elimu inatusaidia kama taifa. Mtu analazimishwa awe na majina matatu kwa sababu gani? Nida na sehem nyingine za usajili kwa watu wazima tumieni majina kama yalivyo kwenye vyeti vya taaluma siyo kulazimisha mtu atafute middle name as if...
  2. Alexido jz instagram

    Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Sio mapenzi, sio pesa sio Nini, jitahidi sana chozi la mtu lisidondoke wewe ukiwa chanzo. Una umiza hisia za mtu au watu, unajitapa we bingwa wa kuumiza watu kwenye mapenzi, una dhutumu una ibia watu una ua watu wanao tegemewa na familia zao, kisa pesa au kisa uonekane mzuri sana. Una kutana...
  3. E

    Sumu za kummaliza mtu bila ushahidi zinapatikana Russia!?

    Katika visa na Mikasa ya kijasusi nimesikia warusi Wana sumu kali ya kuwamaliza mahasimu wao ikiwemo wasaliti kwa sumu zisizokuwa na shaka
  4. Moles_OG

    Msaada wa mtu anayefanya kazi NIDA Arusha

    Habari za wakati huu ndugu zangu, kwanza nikiri tu kwamba JF imekuwa msaada sana kwangu pindi ninapokuwa na issues mbalimbali, response imekuwa kubwa. Kwa leo nilikuwa naomba mawasiliano au kama kuna mtu anayefanya kazi ofisi za NIDA Arusha (Especially ofisi za Kisongo) ili nimuombe anisaidie...
  5. 6 Pack

    Ama kweli cha mtu Mavi, Ona jinsi Trump alivyomfokea na kumdhalilisha Netanyahu!

    Niaje waungwa Kitendo hili kimenikumbusha msemo wa mtegemea cha ndugu hufa masikini 🤣🤣🤣 Netanyahu si anajifanyaga ana file la Trump! Aliweke sasa hadharani tuone 🤣🤣🤣 Trump kamwaga mboga na yeye amwage ugali tuone. Laiti Israel isingekuwa inategemea msaada wa silaha, jeshi na ulinzi kutoka...
  6. technically

    Ndoa ni upuuzi: Mke wa mtu anasema ananipenda Sana

    Ndoa kweli zimeisha, zimeisha ndoa zilikuwa zile za mababu na baba zetu ndoa Sasa hakuna. Imagine mke wa mtu anasema ananipenda Sana na anasema hawezi kuniacha anasema anataka muda wa kutosha na Mimi Leo nilikuwa naye namsikiliza. Mtu waliyevalishana Pete anamponda je ndoa sio upuuzi? Ndio...
  7. O

    Unahisi mtu huyu aliweza kuishi baada ya kumaliza karibu kreti ya pepsi

    Jonee mwenyewe https://youtu.be/WTiIWW6QQ_0?si=SOtRb7rbD0YDPMma
  8. N

    Kukaa kimya kwa Mbowe hakumsaidii chochote, zaidi ya kumtambulisha ni mtu wa kununa

    Mwana demokrasia mahili ni yule anaye kubali kushindwa na kuendelea kushirikiana na walio mshinda Chaguo alilochagua Mbowe la kukaa kimya na kuwatelekeza walio mshinda, ni wazi siyo sahihi. Chaguo hilo linamtambulisha kama kiongozi asiye kubali kushindwa na mtu wa kununa Unawezaje kuwanunia...
  9. passioner255

    JKT hamfanyi mtu awe mzalendo

    Mimi kama mtu mmojawapo niliyepitia mafunzo ya jkt kwa mujibu wa sheria nathibitisha kuwa jkt haikufanyi kuwa mzalendo ila inakufanya kuwa jasiri. vijana watakao enda jkt watakuwa majasiri na watakuja kusaidia kupambana na majizi yanayoangamiza nchi yetu. 'Uzalendo unajengwa kwa matendo ya...
  10. Cute Wife

    Mtu anakumbuka kosa alilofanyiwa miaka 20 iliyopita sababu mzazi hakumuomba msamaha!

    Kuna namna wazazi huwaona watoto kama hivi hawana hisia au wanaweza kuachilia vitu kirahisi kiasi kwamba anaweza kumfanyia kitu ambacho kitamuumiza na yeye atakibrush tu na kuendelea na maisha yake kama kawaida au hata kama akikubali kosa inakuwa ni ile ya ilimradi. Unakuta umekula mkong'oto...
  11. Choosen85

    Sitasahau nilipokuwa natembea na mke wa mtu

    Watanganyika msidanganyike Zanzibar ni nchi ina sifa zote za kuwa nchi tujipange kudai taifa letu la Tanganyika, Zanzibar wana rais, bunge, mahakama zao, vitambulisho vyao vya taifa lao, wana taasisi zao za kiserikali, wana haki nyingi wakiwa huku Tanganyika kama kununua ardhi, kuwa viongozi...
  12. baz kaiza

    Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Mambo ya kuuziana matumaini ni suala ambalo limechosha watu huyu mtu hatoshi hawezi kwendana na kizazi cha sasa namshauri akasome public speaking Edition six ajue namna ya kuzungumza nini kwa wakati gani. Kiongozi mkuu wa nchi anasema police wafiche clips za rushwa kweli...
  13. Wakufoji

    Kama uta pata ajali ya kujiunguza au mtu wako wa karibu akiungua mtibu hivi ata pona papo hapo

    Hii ndiyo tiba na huduma ya kwanzaya kuungua iwe na moto au maji au chochote. Ni baada yakupata hiyo ajali hakikisha haugusi kitu chochote cha baridi. Yaani epuka kutumia maji au kitu chochote cha baridi. Baada ya hapo tafuta nguo nzito au shuka zito au hata koti zito ni sawa kishachukua hiyo...
  14. D

    Je, mwanamke mtu mzima mwenye changamoto ya hormone imbalance anaweza kushika ujauzito?

    Ni mwanamke mtu mzima 43 years. Alipata miscarriage 3. Akawa hapati tena ujauzito. Sasa amepata tena ila dalili sio njema. Kuna vipunje vya damu ameviona akijisaidia kama mara mbili. Gino anasema yupo sawa mimba bado ipo akampa madawa ya kunywa ya kubalansi homoni. Lakini mimi nina mashaka...
  15. L

    PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Ndugu zangu Watanzania, Ukiona na Unapoona Rais wetu Mpendwa anaunda Tume Kuchunguza Kila Tukiona linalohusu Kupoteza Uhai wa Mtanzania yeyote yule ni kwa sababu Rais wetu anajali Maisha ya watanzania na Mtanzania mmoja mmoja. Ni kwa sababu Anataka kila mmoja Aishi Mpaka pale Mungu atakapoamua...
  16. Ali Nassor Px

    Kimasihara masihara nikajikuta kwenye mahusiano na mwanamke mtu mzima

    (BASED ON A TRUE STORY) Portion 1 Kuna baadhi ya matukio nikiyakumbuka mpaka leo najiona nilikuwa bonge la mpuuzi. Na naamini kabisa kama ingewezekana huyu mimi wa sasa kukutana na mimi wa miaka ile, Mimi wa sasa angempiga makofi mengi sana. Nisikuchoshe usinichoshe directly kwenye story...
  17. DR VRM

    Elimu rasmi sio kigezo pekee au cha mtu kuwa tajiri kihalali, lakini ni nyenzo thabiti sana inayoweza kurahisisha kukuza utajiri

    Unaweza kumfundisha mtoto wako kutafuta na kutumia pesa kwa kuanza kumjengea tabia ya kuweka akiba, kuelewa thamani ya kazi kupitia shughuli ndogo za nyumbani, na kumshirikisha katika maamuzi ya kifamilia ili kueleza tofauti kati ya matakwa na mahitaji ya msingi Kujenga akili ya kifedha...
  18. Lycaon pictus

    Feisal Salum analala usingizi kweli?

    Hiki Okello anamfanyia jamaa ni nini?
  19. Kant Ombe

    Mtu asiejua kutumia computer ni Sawa na maiti inayotembea kwa karne hii

    Habari Aisee hili suala ni zito sana, unakuta ofisi nzima anaejua kutumia computer ni mmoja tu Walimu ndo takataka kabsa kati walimu 10 ni mmoja ndo anajua kutumia computer au unaweza kuta wote hawajui Hii ni hatari kwa maendeleo ya taifa lolote lile linalojitambua Bora Hawa watu wa afya...
  20. H

    Je, CCM ni Chama Cha Watu Wenye Akili Ndogo Lakini Wenye Mioyo ya Uovu. Mwenye Akili na Mtu Mwema Unawezaje Kuwa CCM?

    Wakati wa utawala wa awamu ya 5, ulifanyika utafiti wa kitaalam uliozingatia makundi yote, ukiangazia vyama vikuu viwili vya siasa, CCM na CHADEMA. Pamoja na mambo mengine, yafuatayo yalikuwa ndiyo hitimisho: CCM 1. CCM inaungwa mkono zaidi na watu ambao ama wana akili ndogo, ama watu wasio na...
Back
Top Bottom