mtu

  1. Etwege

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanaowacheka watu waliojenga nyumba badala ya kufanya biashara

    Tangu zamani watu waliojenga nyumba kabla ya biashara wamekuwa wakiulizwa maswali ya kwa nini wasijenge biashara kubwa kwanza alafu ndio baadae wajenge nyumba, wanaouliza hayo maswali wanadai kujenga ni kuzika pesa! Dhana ya kwamba ukijenga unazika pesa siku hizi imeshika kasi baada ya...
  2. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

    Jamani tuachane na maelezo ya kawaida I need genuine explanation. Kuna jitu litajibu Kikawaida, nataka psychological, cultural, biological and scientific reasons What causes fear, na why do we fear to die... Na wengine hata huogopa kuwa wao na kufanya vitu watakavyo.. Mfano mtu anaweza kusikia...
  3. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Nikikumbuka kauli ya PM kassimu Majaliwa dhidi ya Afya ya Magufuli, nawiwa kusema hata Mwigulu na mtu wa bomu kapigwa fix la sivyo amtaje!

    Nikikumbuka, TAARIFA ya waziri mkuu mstaafu dhidi ya Afya ya Hayati magufuli kwa wananchi wa Tanga, aliwambia naomba kunukuu" Rais WENU ni mzima wa buheri WA afya, yupo imara kama CHUMA na anawasalimia wotee" wananchi heheeeeeeee vicheko na nderemo😚🤣😊😁😂😊🤣 staki niamini km pm hakuwa na TAARIFA...
  4. Pulchra Animo

    JamiiForums Tanzania Asikudanganye mtu—Maandamano 7/7 yatakuwepo, no matter what!

    Maandamano 7/7 yana potential participants wa aina mbili: 1. Umma wa Watanzania (pro-democracy protesters) 2. Vyombo vya Dola (anti-democracy protesters) Maandamano 7/7 yatakuja katika moja ya sura tatu zifuatazo: ✍️Umma wa Watanzania (pro-democracy protesters) nchi nzima kuandamana huku...
  5. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mtu kufanya jitihada hadi kuwa Dr au Profesa halazimiki kuwajibika kukusaidia kiuchumi au kukutatulia shida zako.

    Kwanza kabisa niwakumbushe kuwa ELIMU haifananishwi na haina mbadala. Hata Fedha sio mbadala wa elimu. Unaweza cheza kamari ukapata hela ila hakuna kamari ya kupata elimu. Mtu hadi kuwa profesa wa chuo kikuu kajitoa na kupambana sana. Sio rahisi. Ni safari yenye machungu mengi. Kama fedha...
  6. Red black

    JamiiForums Tanzania Malipo ni hapa hapa duniani;Ogopa sana mtu ambae ukimdhulumu au kumtendea ubaya anakaa kimya na kupotezea.

    Tuishi maisha ya amani na furaha bila kuwakwaza wenzetu,kuwafitini,kuwasemea uogo... nk
  7. M

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kununua bidhaa au kulipia huduma kwa ndugu, bestie au mtu wa karibu, halafu ikawa mbovu lakini ukalazimika kukaa kimya ili usiharibu uhusiano?

    Ilikuwaje? Je, uliwaambia ukweli baadaye au uliamua "kuuchuna" tu? Tuambie uzoefu wako kwenye comments. Ndugu Supplier wako wa muda mrefu mtoto wako mwenza wako bestie,
  8. instinct desire

    JamiiForums Tanzania CHADEMA acheni akili ya kujifariji. Ukweli ni kwamba hamkubaliki na wapiga kura

    Nashangaa kuona wafuasi wa chadema wanatumia mikutano Yao kujifariji kuwa wanakubalika🤣🤣 Hebu pokeeni ukweli huu. chadema hamtakaa mshinde uchaguzi hilo msahau hao watu siyo wapiga KURA wenu wanakuja kuwashangaa tu. wapiga KURA Wapo nyumbani siyo hao mnaotumia nguvu kubwa kuwaita kwenye...
  9. Khantwe

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

    Wasukuma msijifanye hamuelewi
  10. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Takukuru, walioshindwa kumkamata yule fisadi Msama, wanauwezo kukamata corruption live?

    Najiuliza Hawa Hawa takukuru nilio wambia wanitumie buku tu niwatonye Alex Msama alipo siku hiyo na hawakutuma hata ilo buku, wataweza kukamata mtu live anae toa rushwa pamoja na anae POKEA? Sidhaniiii kama wanauwezo uo Hawa watu, Hawa wanachunguza baada ya kutonywa dhidi ya tukio lililojitokeza.
  11. The last don

    JamiiForums Tanzania Kimfaacho Mtu chake, karibuni vifaa vinauzwa kwa ujumla

    Wakuu Njoo uchukue 1. Compressor Air Master 2. Oregon Chain Saw (Petrol) 3. 12v Jumper Starter &Air Compressor 4. 2 Salamander water Pump 3.0bar and 1.5Bar (not working) 5. 2 Angle Grinder (500W and 720W) 6. Rolson Impact Wrench ( Cordless 24V) 7. 3 Impact Drills (400w,500W and 720W) 8...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Professor Kitila: Pato la Taifa ni kwa kila mtu, ikijumuisha yule aliye juu sana hadi ambaye hana chochote

    Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametoa ufafanuzi wa kina leo Juni 23, 2026 bungeni kuhusu dhana ya Pato la Taifa (GDP) na Pato la Kila Mtu (GDP per capita), kufuatia kile alichokiita kuwa ni mkanganyiko mkubwa na mijadala inayoendelea kwenye jamii na mitandao ya kijamii...
  13. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo aisee sitamshangaa wala kumbeza mtu anaejiunga na freemason!

    Ndio hivyo wakuu maisha yamekuwa magumu mno aisee! Hamna hata chembe ya tumaini!
  14. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Hakuna mtu anaongea neno kwa bahati mbaya

    Maneno huwa hayamtoki mtu bure ujue ni sehemu ya mawazo yake na moyo wake ulivyo. Ndioomaana ukisikia lugha za hatari kutoka kwa mtu chukua tahadhari naye mapema , mtu anapimwa kwa matendo na maneno yake. "KINYWA CHA MTU KINANENA YALE YA UJAZAYO MOYO WAKE " YESU
  15. Matata25

    JamiiForums Tanzania Wadau hivi deni LA taifa lina effects kweny uchumi WA mtu binafsi kama huyu mdau alivyoeleza Facebook kwenye hiyo comment yake baada ya Prof Tibaijuka

  16. Red black

    JamiiForums Tanzania Kwenye industry ya music Machel Jackson hakuwa mtu wa kawaida.

    Huu ni ukweli usiopingika MJ alikuwa hatari sana kwenye mc na dance.
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mtu sio polisi, hana ushawishi hata kwenye ukoo wake anawezaje kutishia waandamanaji kama sio anachochea na kuleta vurugu na taharuki.

    Hamjambo! Dola ili isimame inahitaji mambo makuu matatu; 1) Mfalme/Rais. Huyu atakuwa kiongozi anayeonekana kwenye utawala. Ambapo atakuwa na mamlaka yanayoonekana lakini haimaanishi mamlaka yanaishi sehemu moja. Huyu kazu yake kupitua vyombo vya serikali kama vyombo vya dola kazi yake ni...
  18. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Kuna hii concept kuwa MTU mwenye kichwa kidogo anakuwa na IQ ndogo..!?

    Ipo Concept Moja kuwa MTU mwenye kichwa mviringo na mwenye kichwa kidogo ana IQ ndogo Au ana poor cognitive ability. Na vise versa yake kuwa watu wenye vichogo na vichwa vikubwa Wana good cognitive ability... Je dhana hii inaweza ikawa na ukweli kiasi Gani ?..
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nawaheshimu sana watu wasiotumia vilevi, Imagine mtu ana stress zake au hana kampani lakini hatumii kilevi chochote

    Mfano, pombe imekuwa sehemu ya tamaduni nyingi duniani kwa muda mrefu na ilikuwepo kwa sababu zake mbalimbali. Sehemu za kukutana na kunywa pombe mara nyingi huwa maeneo ya watu kujumuika, kupunguza mawazo, na kupata kampani. Hata kama huna marafiki wa karibu, ni vigumu kujisikia mpweke ukiwa...
  20. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Waasisi wa Taifa letu waliwafukuza mabeberu ili ku-mantain Tanzania's sovereignty leo chadema wanawatumia mabeberu ili kuhujumu Tanzania's sovereignty

    Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni ujinga mkubwa. Chadema haikuanzishwa ili kuirudisha nchi kwenye utawala wa mabeberu, chadema...
Back
Top Bottom