bunge

  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Taifa ni kuu kuliko Rais; Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu na Bunge ni kuu kuliko Spika. Uzalendo ni kulipenda taifa sio serikali..!

    Katika demokrasia: 👉Mahakama ni kubwa kuliko Jaji Mkuu. 👉Bunge ni kubwa kuliko Spika. 👉Taifa ni kubwa kuliko Rais. 👉Katiba ni kubwa kuliko chama tawala. Hii ni kwa sababu taasisi zinapaswa kudumu, wakati viongozi ni wa muda. 1. TAIFA NI KUBWA KULIKO RAIS Rais ni kiongozi wa muda. Taifa ni la...
  2. masopakyindi

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya laachia kisago kwa Seikkali ya Tanzania

    Muda si mrefu ulio pita, Bunge la Ulaya limeaachia kisago kikali kwa kuondoa misaada kwa nchi ya Tanzania kwa mwaka 2026/27 kwa miradi yote. Bunge limepiga kura na wabunge 81 wakikubali kuweka vikwazo, mmoja kukataa na wanne kujitoa kwenye kura hizo. Hivyo misaada hiyooo imeyoyoma. Sababu nyuma...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tunaomba msituletee mijadala ya Bunge fake hapa JF

    Tunaomba msitujazie video na maneno ya kiki ya hao wabunge ambao kila mtu anajua ni fake! tujadili mambo mengine muhimu na tusiwape muda watu ambao ni wezi wa kura na hawajachaguliwa na watanzania.
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kambarage, Fatma Na Chumi Waapa Rasmi Kuwa Wabunge Wa Bunge La Jumuiya Ya Afrika Mashariki

    Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki waliopigiwa kura hivi karibuni na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambao ni Ndugu Kambarage Wasira, Fatma Kange na Cosato Chumi, wameapa leo 01 Juni 2026 wakati wa kikao cha Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuanza shughuli...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge La 13, Mkutano Wa Tatu, Kikao Cha 41, Tarehe 02 Juni, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=JWa-85kg0nc
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mpina: Bunge lote limejaa familia za Watu, Ndugu jamaa na Marafiki

    "Vijana wanaingia kwenye soko la ajira kila mwaka zaidi ya milioni moja, wanaopata ajira ni asilimia 20 tu. Yaani hawapati ajira zaidi ya vijana 800,000. Sasa ajira zenyewe nazo zinakuwa za Godfather, mpaka uwe na Godfather ndio upate ajira. Ukikosa Godfather ndio hivyo tena. Teuzi nazo zenyewe...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Zitto: Kuwa na Bunge ambalo asilimia 96 ni Chama kimoja huwezi kupata Fikra tofauti

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe akifanya Mahojiano na Clouds Media leo Mei 28, 2026 "Kuwa na bunge ambalo ni 96% ni chama kimoja huwezi kupata fikra tofauti. Kwa hiyo, wala sio afya wala sifa kuwa na control ya mawazo ya upande mmoja tu."- Amesema Zitto Kabwe
  8. Stroke

    JamiiForums Tanzania Muungano uruhusu wawakilishi toka Tanganyika katika Bunge la Zanzibar

    Ni Muda sasa wabunge toka baraza la wawakilishi huwa pia na fursa ya kuingia Bunge la Muungano. Sio vibaya kama wabunge toka bara baadhi yao nao wakiwa wanahudhuria vikao vya baraza la wawakilishi. Uwekwe utaratibu maalum ambao utawafanya wabunge hao kushiriki vikao bila kuathiri maamuzi ya...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mswaada wa Bunge la Marekani kuhusu Tanzania unalenga pia kuwataja wanaohusika na ukandamizaji wa demokrasia bila kusahau waliogiza na kuekelez mauji

    Hii ni sehemu ya 5 ya Mswaada husika. Jisomee:
  10. R

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi Jacob Oboth-Oboth aapishwa kuwa Spika wa Bunge Uganda

    Aliyekuwa waziri wa ulinzi wa Uganda Jacob Oboth-Oboth ameapishwa kuwa spika wa Bunge la 12 la nchi hiyo. Oboth aliteuliwa na chama tawala cha NRM, kuwania nafasi ya spika iliyokuwa na wagombea watatu na alipata kura nyingi kati ya kura 519 za wabunge waliopiga kura. Anachukua nafasi hiyo...
  11. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge La Kumi Na Tatu, Mkutano Wa Tatu, Kikao Cha Thelathini Na Sita Tarehe 25 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=X3JC2Q0H9 ========= MUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MHE. PASCHAL KATAMBI PATROBASS (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/27 UTANGULIZI...
  12. H

    JamiiForums Tanzania MHE. GHATI CHOMETE AWASILISHA MAONI YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE KUHUSU UTEKELEZAJI 2025/26 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI 2026/27

    MHE. GHATI CHOMETE AWASILISHA MAONI YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE KUHUSU UTEKELEZAJI 2025/26 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI 2026/27 Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete tarehe 22 Mei, 2026 akiwa katika mwendelezo wa Bunge la Bajeti Jijini Dodoma amewasilisha Maoni...
  13. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Spika Bunge la Uganda Annet Among akabiliwa na shinikizo la kushitakiwa kwa ufisadi

    Aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Anita Annet Among, anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu kutoka kwa baadhi ya wabunge kufuatia madai ya ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma. Baadhi ya Wabunge wameanza mchakato wa kukusanya saini za kumtimua yeye na wajumbe wengine wa Kamisheni ya...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la 13, Mkutano Wa Tatu, Kikao cha Thelathini Na Mbili Tarehe 19 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=e57lhdpRXFg
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha 31, Mei 18, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=0OJXfGzcMgk
  16. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Kwa ambao hawajui kuhusu Putin yote afanyayo yanapata baraka za bunge lake..

    WHO IS NEXT Russian parliament approves law allowing Putin to invade other countries Huyu bwana Putin ni smart sana hakurupuki kama wengine . Wengine wanaweza kukurupuka tu asubuhi na kuanzisha vita bila baraka za bunge la nchi yake na kusababisha madhara. Madhara hayo ya vita yakamkuta hata...
  17. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mfumo wa Sauti wa Bunge wabuma, wabunge warudishwa ukumbi wa Msekwa!

    Leo, Mei 14, 2026 Mfumo wa sauti Bungeni umebuma. Wabunge wamerudi ukumbi wa Msekwa. Vifaa viliwekwa na Mchina, ku-upgrade wameleta Mzungu, ngoma imebuma. Jana jioni ilianza kupiga alarm ya moto ilhali hakuna moto. Kazi kwelikweli
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha 27, Tarehe 12 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=ZVpL2Tbg5Yw
  19. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Kwa sheria ya mabadiliko ya katiba, bunge lina nafasi kubwa ya kurekebisha katiba. Wananchi tulio wengi tumeona MAMA ANATOSHA AONGEZEWE MUDA. Bunge lifanya kitu kabla ya 2030 ili mama aendelee kuongoza kwa miaka mingine 7. Wazalendo tunataka mama amalize kabisa malengo yake mema kwa nchi hii...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge La 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Ishirini Na Sita, Tarehe 11 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=OYri4wkYHdc
Back
Top Bottom