bunge

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania LIVE Bunge la 13, Mkutano Wa Tatu, Kikao cha Thelathini Na Mbili Tarehe 19 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=e57lhdpRXFg
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha 31, Mei 18, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=0OJXfGzcMgk
  3. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Kwa ambao hawajui kuhusu Putin yote afanyayo yanapata baraka za bunge lake..

    WHO IS NEXT Russian parliament approves law allowing Putin to invade other countries Huyu bwana Putin ni smart sana hakurupuki kama wengine . Wengine wanaweza kukurupuka tu asubuhi na kuanzisha vita bila baraka za bunge la nchi yake na kusababisha madhara. Madhara hayo ya vita yakamkuta hata...
  4. Ex Spy

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mfumo wa Sauti wa Bunge wabuma, wabunge warudishwa ukumbi wa Msekwa!

    Leo, Mei 14, 2026 Mfumo wa sauti Bungeni umebuma. Wabunge wamerudi ukumbi wa Msekwa. Vifaa viliwekwa na Mchina, ku-upgrade wameleta Mzungu, ngoma imebuma. Jana jioni ilianza kupiga alarm ya moto ilhali hakuna moto. Kazi kwelikweli
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha 27, Tarehe 12 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=ZVpL2Tbg5Yw
  6. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Kwa sheria ya mabadiliko ya katiba, bunge lina nafasi kubwa ya kurekebisha katiba. Wananchi tulio wengi tumeona MAMA ANATOSHA AONGEZEWE MUDA. Bunge lifanya kitu kabla ya 2030 ili mama aendelee kuongoza kwa miaka mingine 7. Wazalendo tunataka mama amalize kabisa malengo yake mema kwa nchi hii...
  7. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge La 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Ishirini Na Sita, Tarehe 11 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=OYri4wkYHdc
  8. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Bunge lifute viti maalum-mzigo kwa Taifa

    Wabunge wa Viti Maalum hawajui kazi zao, hawajui miongozi, hawajui kanuni lakini hawajui maana ya Bunge na wamekuwa wakuzungumzia maisha yao binafsi wakitaka kuaminisha ni tatizo la kitaifa na ukiangalia mochango mingi huwa ni mahusiano.
  9. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Bunge letu Liweke Wakalimani wa Lugha kuepusha hizi aibu za kushangilia kama Majuha kwa kutokuelewa

    Hili linalojadiliwa na vyombo vya habari vya nje mfano hii FM Radio 47 linatufedhehesha sana. Tuna kundi kubwa sana la wabunge "machawa" na hawaelewi lugha zinazoruhusiwa bungeni mfano English kiasi kushangilia kama mazuzu na yasemwayo yanatuaibisha WaTZ wote. Kama ni lazima kuwaingiza bungeni...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la 13, Mkutano wa Tatu, Kikao cha 23, Tarehe 06 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=ccIXTSjIcMs
  11. B

    JamiiForums Tanzania LIVE / MUBASHARA : Rais William Ruto Akihutubia Bunge la Tanzania || Mei 5, 2026

    05 May 2026 Dodoma, Tanzania LIVE / MUBASHARA : Rais William Ruto Akihutubia Bunge la Tanzania || Mei 5, 2026 RUTO - MAADUI WETU SI WATANZANIA AU WAKENYA MAADUI WETU NI UKOSEFU WA AJIRA, UMASIKINI, MARADHI, NARUDIA WATANZANIA NA WAKENYA SI MAADUI WETU https://m.youtube.com/watch?v=mimwwdurzMU...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha 22, Tarehe 05 Mei, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=24JUhKfO2fI
  13. R

    JamiiForums Tanzania Kambarage Wasira akiomba kura kwa wabunge kumchagua kuwakilisha katika Bunge la EALA

    Kambarage Masatu Wasira akiomba kupigiwa kura za ubunge katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) leo Mei 4, 2026 Bungeni Dodoma
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge La Kumi Na Tatu, Mkutano Wa Tatu, Kikao Cha 21, Mei 4, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=QrOC2UqMrIY
  15. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge La Kumi Na Tatu, Mkutano Wa Tatu, Kikao Cha Kumi Na Nane, Tarehe 28 Aprili, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=QtQXXzj1Olc
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge La 13, Mkutano Wa Tatu, Kikao Cha Kumi Na Saba, Tarehe 27 Aprili, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=pbHATi1OYOE
  17. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Je, Wajua Kanuni za Bunge Zina Makosa?. Spika wa Bunge ni Bonge la Dikiteta! Uamuzi Wake ni wa Mwisho, Final and Conclusive, Hata Kama Sio wa Haki

    Wanabodi, Huu ni uzi wa kuelimishana, Uzalendo wa kweli wa nchi yako, ni pale unapobaini kuna makosa mahali, unakosoa, na kutoa ushauri namna ya kurekebishasha makosa hayo. Kwa muda mrefu, sisi humu tumekuwa tukilalamikia hoja mbalimbali kuhusu uendeshaji wa Bunge letu, ukiwemo udikiteta wa ma...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Maono ya jicho la tatu: Namuona Dkt. Asha-Rose Migiro mbali sana , akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba na baadae Rais wa Jamhuri yetu

    Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili. Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira yaomba bilioni 99.8 bajeti 2026/27

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamad Masauni leo Aprili 21, 2026 atawasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma. Aidha, kabla ya bajeti hiyo kuwasilishwa, Wizara ya Nishati, itawasilisha randama za...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Kumi na Moja, Tarehe 17 Aprili, 2026

    https://www.youtube.com/watch?v=8uvLPbFDq_0 https://www.youtube.com/watch?v=c6ZEtlNlok0
Back
Top Bottom