makamu wa rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais aagiza hatua za haraka kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El Niño

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameagiza Mamlaka na Taasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka kujiandaa ili kuzuia na kupunguza athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Niño zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba 2026. Makamu wa Rais ametoa...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Responded Ndejembi: Tuchukue hatua kwa haraka, kuna maeneo vifusi vimetelekezwa, mvua zikija barabara zinakuwa kero

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akizungumza na Viongozi wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Wizara ya Ujenzi pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara hizo, katika kikao cha maandalizi ya namna ya kukabiliana...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kazi za Makamu wa Rais ikiwa Rais hayupo ofisini kwa dharura

    Kwa UZI huu nampinga Sheikh Mkuu kwa kusema at Mh Rais akiwa Eda miezi 4 na siku 10 anaweza kufanya kazi muhimu fulanifulani kinyume na Quran 2:234. We can never dilute the Quran Verses. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kazi na majukumu ya Makamu wa Rais...
  4. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Eda ni nini? Je, Rais Samia kuendelea kuongoza akiwa eda?

    Kifo cha Hafidh Ameir, mume wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kimeibua maswali kuhusu kipindi ambacho mwanamke Mwislamu huingia baada ya kufiwa na mume wake. Kipindi hicho kinachojulikana kama eda kina masharti gani, huchukua muda gani na kinatofautianaje na maombolezo ya kawaida? Soma...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Atangaza Msiba wa Mwenza wa Rais Samia

    TAARIFA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
  6. murthehelp

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Makamu wa Rais mpya, Mhe. Deogratius Ndejembi - safari yako inaanza, haya ni maoni yangu

    Wakuu, kama tunavyofahamu, hivi karibuni tumeshuhudia mabadiliko makubwa katika uongozi wa juu wa nchi yetu baada ya Dkt. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu wadhifa wa Makamu wa Rais, na Bunge kumthibitisha Mhe. Deogratius John Ndejembi, aliyekuwa Waziri wa Nishati, kuwa Makamu mpya wa Rais. Ndejembi...
  7. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Ndejembi aagiza saruji kushuka bei

    Makamu wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ameitaka Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa meza moja na wazalishaji wa saruji nchini ili kuweka mikakati ya haraka itakayohakikisha bidhaa hiyo inapatikana kwa wingi na kurejea katika bei nafuu ya awali. Ndejembi ametoa agizo hilo jana jijini...
  8. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Diwani Haji Fundi Haji aelezea furaha yake baada ya kujumuika katika kumwombea Dua makamu wa Rais alipofika nyumbani kwao Moshi Leo hii,amtakia heri

    Ameandika Diwani wa Kata ya Bondeni Moshi mjini Haji Fundi Haji Leo Tarehe 01/09/2026 Nimepata fursa kama sehem ya familia kumpokea na kushiriki kumuombea Dua Mh. Makamu wa RAIS leo nyumbani kwa mama yake kata ya Bondeni-Mbuyuni, Moshi Mjini. Niliungana na Familia ya Shariff Muhdhaar Hussein...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Ndejembi awasili Kilimanjaro

    ▪️Kilimanjaro Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasalimu Wananchi wa Mbuyuni, Wilayani Moshi waliokusanyika kumlaki akiwa katika ziara binafsi mkoani Kilimanjaro leo tarehe 01 Septemba 2026. Akiwasalimu wananchi hao, Makamu wa Rais amewasihi...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Ndejembi katika Misa Dodoma

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, pamoja na familia yake wameungana na waumini mbalimbali katika kushiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Jumapili, katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Paulo wa Msalaba Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Tarehe 30 Agosti 2026.
  11. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ampa ujumbe mzito makamu wa Rais amwambia asiwe kama samaki

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius John Ndejembi muda mfupi baada ya Uapisho wa Makamu wa Rais uliyofanyika Ikulu, Chamwino - Dodoma leo Agosti 29, 2026. Katika hafla hiyo Rais Samia...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Hivi kikatiba na kisheria makamu wa rais ni mali na mwajiriwa wa rais katika kutafuta urais?

    Kitendo cha hovyo na cha kinyume cha sheria cha CCM kujichukulia madaraka na kuvunja katiba kilaaniwe. Nina maswali machache. Kisheria, makamu wa rais ni mwajiliwa wa nani kati ya wananchi kupitia katiba na chama twawala? CCM imepata wapi mamlaka ya kutudharau na kutudanganya? Je, hali kama...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wamepiga kura kumchagua au kumkubali Makamu wa Rais?

    Hivi wabunge wamepiga kura kumkubali Makamu wa Rais au kumchagua? Kulikuwa na uwezekano wa kumkataa kweli? Kama ni demokrasia kwanini Rais asingechagua majina matatu halafu wabunge wapige kura kumchagua mmoja? Mi naona Makamu wa Rais ameteuliwa, mambo ya kura za wabunge ni kiini macho tu. Ndio...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Kisheria Uteuzi Makamu wa Rais na AG Johari

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari akitoa ufafanuzi wa Kisheria kuhusu Uteuzi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni Jijini Dodoma tarehe 28 Agosti, 2026. https://x.com/_zack255/status/2093349788511084748 👆🏾👆🏾👆🏾 Tazama Video yote hapo juu.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Msafara wa Makamu wa Rais ukiondoka bungeni Dodoma

    Habari ndiyo hiyo.
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania Ndejembi apitishwa na Bunge kuwa Makamu wa Rais

    Wakuu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ametangaza kuwa Deogratius John Ndejembi amepitishwa na Bunge kuwa Makamu wa Rais kwa kura 324 sawa na 100%, na kwamba aliongea na baadhi ya mabalozi wa nchi mbalimbali nchini na walimwambia wameridhika uteuzi huo. Ndejembi, alikuwa ni Mbunge wa Chamwino...
  17. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Jina la makamu wa Rais mteule latua bungeni

    Spika wa Bunge Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb) leo tarehe 28 Agosti 2026 amepokea jina la Makamu wa Rais Mteule lililopendekezwa na Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi. Jina hilo limewasilishwa kwa Mhe. Spika na Katibu wa Rais Bal. Ali Jabir Mwadini akiwa ameambatana na Mpambe wa Rais (ADC) Brig...
  18. L

    JamiiForums Tanzania Marekani walimchagua Urais Obama ambaye Baba yake ni Mkenya. Halafu Mtanzania anakaa kujadili ujinga wa asili ya Mama wa Makamu wa Rais wetu

    Ndugu zangu Watanzania, Kuna Watu wanaojiita Wanaharakati wana ujinga Mwingi sana ,wana utoto sana , wana umbumbumbu mkubwa sana vichwani Mwao. Wivu ,chuki binafsi na ubaguzi vinawatesa sana baadhi ya watu waliojipachika majina ya Uanaharakati ili wapate kuganga njaa zao. Yaani eti mtu anakaa...
  19. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Rais Balozi Mwadini awasilisha jina la Makamu wa Rais kwa Spika Azzan Zungu

    Spika wa Bunge, Mussa Zungu leo amepokea rasmi jina la Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi lililopendekezwa na Chama cha Mapinduzi (CCM). Jina hilo limewasilishwa kwa Spika na Katibu wa Rais, Balozi Ali Jabir Mwadini akiwa ameambatana na Mpambe wa Rais (ADC), Brig. Jen. Nyamburi...
  20. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Bunge kuthibitisha uteuzi wa makamu wa rais leo

    DODOMA; Bunge la Tanzania leo Agosti 28, 2026 linatarajia kuthibitisha uteuzi wa Makamu wa Rais wa Tanzania. Kwa mujibu wa orodha ya shughuli za bunge iliyotolewa, inaonesha kuwa tukio hilo litafanyika baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu asubuhi. Agosti 26, 2026 Kamati Kuu na...
Back
Top Bottom