Mara nyingi wananchi hasa watanzania wamekuwa na hamu sana kusikia au kujulishwa kuwa CHADEMA tukichukua nchi na kuunda serikali kama chama tawala nini tutafanya kwenye hili taifa. Kwanza kabisa wananchi watanzania watanufaika na uhuru wao na haki za binadamu. Kila mtanzania atakuwa huru kutoa...
Watanzania wenzangu, katika safari ya kulijenga taifa letu, tunahitaji kuwa na moyo wa kushirikiana na viongozi wetu. Rais ana jukumu kubwa la kuiongoza nchi na kusimamia mambo mbalimbali yanayogusa maisha ya wananchi.
Kwa hiyo, tunapokuwa na jambo zuri linalofanyika, tusisite kulitia moyo...
Kuna mkuu au mzito yeyote aliyewahi kumalizia safari yake Muhimbili, Mlonganzila, Lugalo, Sinza Palestina au Benjamin Mkapa ?
Kwa nini walijitengea Mzena mahususi ? Inafika level za Muhimbili? Kwa nini wasingekuwa wanachanganyika tu wapate huduma zote kwa uhakika zaidi?
Wahindi ni waongo
Mimi niliacha kuangalia movie za Kihindi baada ya kuona ‘Starring’ kapigwa risasi, kaidaka alafu kairudisha kwa adui aliyempiga nayo kisha huyo adui akafariki hapo hapo
Mwenyezi Mungu Amekasirika sana ndoto niliyooteshwa siyo ya kawaida ni ndoto ngumu na nzito inayoenda kukitikisa nchi X damu isiyo na hatia bado inadai haki, kwa hiyo ni muda wa kukesha na kuomba hili lisitokee katika nchi X
Marafiki zangu ambao wana kampuni za ujenzi wanasema kila kampuni ninlazima zitoe 10% kwenye kila mradi. Lakini pesa ikichelewa kuna riba🤦🏾♂️
Umasikini na wetu ni huu uongozi fake unaleta
Kuna wakati Taifa linahitaji siyo tu viongozi, bali pia umoja wa mioyo, matumaini na mshikamano wa watu wake.
Leo tunapoangalia Tanzania yetu, tunapaswa kukumbuka kuwa amani tuliyonayo, fursa tunazojenga na maendeleo tunayoyatazamia ni urithi ambao tunapaswa kuulinda na kuendeleza kwa pamoja...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili ya leo nikiishangaa jinsi nchi yangu Tanzania tulivyo nchi ya ajabu!, pamoja na fursa zote za kidigiti, na biashara ya mtandaoni, lakini mpaka leo bado sisi Tanzania, kama nchi, hatuna Sheria ya biashara mtandao, E-Commerce...
Habari wana-JamiiForums,
Hivi karibuni, tumeshuhudia tukio ambalo limeacha maswali mengi kuliko majibu kuhusu mwelekeo wa usalama wa nchi yetu. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuwaita wasanii na maarufu wa mitandao ya kijamii na...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Katambi amempa onyo kali sana kwa Msanii Afande Sele baada ya kujirekodi video akitoa kauli pia akimwambia asifanye mzaha.
Soma Pia: Afande Sele: Si sahihi Waziri Katambi kumuita Dudu baya kwenye Meza walipokaa wenye tuhuma za Ushoga
Kama kuna kitu mpaka sasa utakuwa umegundua kwa Tanzania ni kwamba ni watu ambao hawapendi sana kwenda nchi za watu.
Yeah wabongo wanaenda sana Dubai (UAE) na China lakini huwa wanaenda kwa biashara zao na kurudi Tanzania. Watanzania wanaosafiri kwenda kuishi nchi za mbali, au hata kutalii tu...
NIkiangalia Marekani, Ulaya, naona matajiri ni wengi sana ukiringanisha na sehemu zingine za dunia.
Na kama wanatengenezwa na nchi zao, kwa sisi waafrika tujifunze nini?, Na kama wanajitengeneza wao wenyewe, ni nini kifanyike?
Nipo hapa nawaza nikawekeze kwenye uchimbaji wa mafuta Iran.
Taifa limeharibika vibaya sana,viongozi wanajiona ni miungu watu,wanamiliki uhai wa kila mtu,rushwa inanuka kila ofisi na ALIYEJIPA MADARAKA YA KUONGOZA NCHI KIHUNI NDIYE ANAHARARISHA,vyombo vya ulinzi na usalama havina utofauti na madada poa wa ubungo riverside.
Hii yote ni kwa sababu mifumo...
Kwa mujibu wa maoni, hisia na saikolojia ya wananchi inaonesha hawakubaliani na Rais wao na serikali yake kwa namna inavyowaongoza.
Sasa je kama anajua hakubaliki na asilimia kubwa ya watu wake kwanini? Hajitafakari na kuwajibika kwa dosari hiyo.!?
Je yeye ndie pekee anayeweza kuongoza nchi na...
Mtandao na internet
Kuna maeneo Bado watu wanajitega kwa ajili ya kupiga simu na kuingia internet
Tigo na kujimwambafai kote Kuna maeneo Bado ni bilabila
Barabara na uchukuzi
Kuna maeneo Tanzania hii hii kipindi cha mvua wanakata muingiliano/mawasiliano ya kutoka na kuingia mpaka mvua...
Nimekaa leo nikawaza sana tu.
From no where mwenzetu anapotea na hatumuoni tena na watuhumiwa wapo na tunaendelea kukaa nao.
Hii imekaaje wadau? Tuwaambie waache kututeka ama tukatae kushirikiana nao?
Wakuu
Yan kwa tulipofikia kama nchi sasa hivi mtu(mwanaharakati) akikamatwa na polisi maombi yanabaki nyuma kwamba hasiuawe
yn mtu anakamatwa na chombo chenye dhamana ya ulinzi na usalama lakin watu wanapata hofu na mashaka juu ya uhai wake na afya yake kwa ujumla
hili jambo sio zuri kabsa...
Tuchukulie kwa mantiki ya hoja, bila kuamua kwanza kama tuhuma hizo ni za kweli au za uongo.
Ikiwa kweli CHADEMA ingekuwa imepanga kuipindua Serikali, swali muhimu sana ni:
CHADEMA INGEPATA FAIDA GANI?Kwa sababu kuipindua Serikali hakumaanishi kwamba CHADEMA moja kwa moja ingeichukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.