Sijawahi kusikia watz waliochukua uraia wa Sauth Afrika, Korea Kusini, Japan, China wakilalamika na wakiandama iki watambulike.
Wengi wanaojitambulisha kama Dispora ni kutoka nchi za Magharibi
Maandamano yote dhidi ya tz ni kutoka Germany, UK, USA, Canada.
Kwanini?