Tumezoea kuona mitumba kutoka Ulaya, Marekani, Canada, Korea, Uturuki, China n.k
Ila sijaona mitumba yoyote sokoni kutoka nchi za kiafrika, tatizo ni nini?
Nguo zetu zinazochakaa, zinazotubana, zinazopitwa na wakati n.k huwa tunazisafirisha kwenda nchi zipi kwa mauzo?
Au ni soko lipi naweza...