KERO YA BAADHI YA WAENDESHA BODABODA
Tunaiomba mamlaka husika kufuatilia na kuchukua hatua dhidi ya baadhi ya vijana wanaotumia pikipiki zilizofanyiwa marekebisho, hususan kwenye mfumo wa exhaust, hali inayosababisha pikipiki hizo kutoa kelele kubwa kupita kiasi tena vijana hao walivyo na sifa...
Nahitaji kufahamu lipo ofisi ya kampuni ya Mozaico jijini Dodoma na mawasiliano ya kampuni ya mabasi ya Mozaico ili wanisafirishie pikipiki kutoka Dodoma kuja Benako Ngara.
Habari wana Jf,kuna pikipiki naziona mtandaoni na zimenishawishi kutaka kuzinunua maana zinavutia,jee nahitaji kufahamu kwa wale wenye uzowefu nazo hizo pikipiki zinaitwa Vont tank 1 &2 zina cc 150 ila top speed yake mi 140 zinafanana na Honda ADV tatizo la Honda bei ni kubwa sana.
Wazoefu...
Wadau naomba kujua hivi ni kwanini pikipiki ya sinoray 250 ADV watu wananunua sana na kuuza sana maana namba F zinazouzwa used ni nyingi sana.... Zinashida gani hasa?
Habari wataftaji wenzangu. Natafuta fremu niweke spea za pikipiki hivyo kama unajua sehemu kuna gereji ya pikipiki kwa dar ila hamna duka la spea nijuze.
Pia kama wewe ni fundi mzuri tushirikiane wewe uweke gereji yako pembeni na mimi niweke duka tusaidiane wateja.
Nawasilisha.
Naomba mamlaka husika zichukue hatua dhidi ya baadhi ya waendesha BODABODA wanaoweka vijiwe visivotambulika katika mtaa wa KIBAMBA LUGURUNI ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu na kuwatishia usalama wakazi.
Kumekuwa na matukio ya uporaji,wizi na unyang’anyi yanayohusishwa na...
Hello
Naomba kuwasilisha tangazo maalumu kwa watumishi wa umma wote ambao wanahitaji kujiongezea kipato au kuwa na kazi nyinginevya ziarah ambayo itawasaidia kupunguza gharama za maisha.
Tangazo hilir linahusiana na mikopo ya bajaji pikipiki na GUTA.
Mkopo Hui hauhusishi mdhama wowote au...
Wakuu nataka ninunue pikipiki kwa ajili ya matumizi binafsi, yaani usafiri binafsi nk.
Nataka ninunue pikipiki ambayo itakuwa nzuri hasa katika mazingira ninayoishi ambapo kuna barabara nyingi za vumbi na vilima/miinuko kwa wingi.
Naomba ushauri kwa wataalamu na wenye uzoefu wa pikipiki ili...
Wakuu Wasalam,
Nimenunua Pikipiki kwa mtu hapa Morogoro Mjini.
Nahitaji kubadilisha Umiliki ili nyaraka zisome majina yangu,
Naomba wenye uelewa wa process ninazotakiwa nipitie na gharama za kukamilisha mchakato huo.
Natanguliza Shukran 🙏
Verge Motorcycles, kutoka Finland maarufu kwa kutengeneza pikipiki za umeme zisio za hubs (kwahiyo haina nyororo wala belts, na motor iko connected na tyre ya nyuma direct) wamekuja na pikipiki tatu za Verge TS.
Verge TS: Hii ndio base model, ina 107 hp, 0-100 kwa 4 sec, top speed 180 km/h...
Mabadiliko ya usafiri kwenye swala la pikipiki yamepokelewa na watu wengi hususani wale wenye vipato vya kati na chini.
Lakini limekuwa tishio kwa sasa.Uwelewa wa matumizi ya barabara asilimia kubwa wanaotumia vifaa hivi wengi sio waelewa na wala matumizi ya barabara hawatahamu.
Jambo...
Serikali inapendekeza marekebisho ya Kodi na Ada za Pikipiki (Bodaboda) 2026/2027. Serikali imeamua kutowaingiza wafanyabiashara wa pikipiki (bodaboda) kwenye mfumo wa kodi ya makadirio (presumptive tax), kutokana na ugumu wa utekelezaji wake kwenye sekta hiyo.
Badala ya kodi hiyo, Serikali...
Wasalaam.
Pikipiki ni usafiri wa haraka na pia imetoa ajira kwa vijana na faida kibao.
Haipiti mwezi bila kusikia kifo kilichosababishwa na piki piki.
Shida ni nini?je ni asili ya piki piki au udereva au miundombinu?
Ikija kwenye mashindano ya vyombo vya moto, hii Isle Man TT ndio deadliest motorsport event. Toka ianzishwe 1911 ishaondoka na maisha ya riders zaidi ya 260.
Ni event ya mashindano ya superbikes inayofanyika mara moja kwa mwaka, mwezi wa tano au wa sita (huu mwaka imefanyika wa sita), katika...
Mitandaoni na hata mitaani pikipiki zilizotumika (used) za aina ya Boxer zinaongoza sana kuuzwa.
Nimekuwa nikitafakari na kujiuliza kwa nini Pikipiki za Boxer used zinauzwa kwa wingi?
Sababu ni nini hasa ukilinganisha na pikipiki nyingine ..
Hizi Sinoray mpya umeme ni mwisho wa matatizo. Zina speed kubwa sana kiasi cha kufanya sio rahisi kushikwa.
Vijana wa kirangi na chuga wanazitumia kama fursa ya kusafirishia mirungi na bangi kutoka border za Kenya kuleta Tanzania.
Ukikutana nao hiyo convoy kaa chonjo maana wanakuwa na mapanga...
Kuna kampuni linatengeneza electric vehicles lipo Kenya, linaitwa Roam Electric. Kwa sasa wanatengeneza mabasi na pikipiki za umeme. Tuachane na mabasi.
Sasa kwenye pikipiki, wana model moja tu inaitwa Roam Air, muonekano kama TVS tu ya kawaida.
Inakuja na battery la 3.2 kWh, kuna options ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.