mwanamke

  1. Fbn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wana wivu wa ajabu sana.Ukiwa ujaoa hakuna mwenye mda na wewe,Ukioa kila mwanamke analazimisha kuwa wake

    Kipindi sijaoa hakuna mwanamke mwenye kusumbuka na mimi ,kila niliyetaka kumuoa alikuwa hataki. Baada ya kuoa na maisha ya ndoa yani kila mwanamke akiona pete kidoleni au kunijua wanatengeneza mazingira washike nafasi hiyo. Walikuwa wapi siku zote.
  2. Saad30

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Epuka kuzama kwenye penzi na mwanamke wa mtandaoni

    Habari ndugu zangu. Wewe mwanaume mwenzangu usije ukazama kabisa penzini na mwanamke uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii Hadi ukafikia hatua ya kutaka kumuoa. Mmekutana huko mkaanza mapenzi siku mkikutana macho macho kula kitumbua fresh kabisa lakini usiingie mazima "UTAJUTA" Sasa...
  3. Walletking

    JamiiForums Tanzania Habari! Baada ya kuwa mbali na mtandao kwa muda, nimerudi tena nikiwa na mtazamo mpya wa maisha. Natafuta mwanamke mwenye heshima, uaminifu,

    Habari! Baada ya kuwa mbali na mtandao kwa muda, nimerudi tena nikiwa na mtazamo mpya wa maisha. Natafuta mwanamke mwenye heshima, uaminifu, maadili mema na nia ya kujenga uhusiano wa kweli unaoweza kuishia kwenye ndoa. Umri ninaopendelea ni miaka 20 hadi 32. Ninaamini uhusiano mzuri huanza...
  4. venchwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijwahi kuamini kama JF kuna mwanamke ndo maana nakuwaga na machale sizamagi PM

    Yaan hii iko ndani ya akili yangu kwamba wengi kama si wote wanaotumia jukwaa hili wenye Majina ya Kike ni Njemba za kiume Akili inanituma hivo Kuanzina miandiko, exposure na mitego yao Unajua huyu ni Mwanaume , ila mwanamke jina tu 🙌🏼
  5. Alexido jz instagram

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akiomba muachane, eti naye ana kwao, sijui nini, bro tuliza hasira, usikurupuke tu ondoka, labda kama umemchoka

    Kaka yangu alikorofishana na mkewe yani shemeji yangu, shem akabeba nguo zake akasepa kwao hapohapo dar, bro akawaomba masister zetu ushauri, dada zetu hawana dogo sister mkubwa akasema piga chini tafuta mwingine. Mara shem kapiga simu Kwa bro akamwambia amfate na gari Yao arudi kwake haraka...
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananisumbua sana huyu mwanamke

    Wakuu Nina ndoa ya miaka 10 wife ana sumbua sana anataka tuachane sababu siijui amekubali na dharau sana anafai nimpe nauli arudi kwao hanitaki tena. Tumezaa watoto watatu tunaishi Mwanza, yeye kwao ni Mbeya na mimi kwetu Singida. Nipeni ushauri wakuu. Tumejenga nyumba moja na biashara ya duka
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Rose Shaboka yupo sahihi, Mwanamke hapaswi kuishia kazi za nyumbani. Hayo ni mawazo finyu

    Hamjambo! Binti zetu wa Tibeli mwanamke mwenye mawazo ya kinyumbani nyumbani Anakosa video vya kuwa Mke. Mke mwema haishii tuu kuwaza kufua Boxers, sijui kupika, na kuosha vyombo. Mwanamke ambaye ni mtu na sio binadamu huwezi mtazama kwa angle Moja au nafasi Mojave. Mwanamke nje ya kuwa mke...
  8. V

    JamiiForums Tanzania Elimu, Fedha, Zisikutoe Kwenye Nafasi yako Mwanamke.

    Sifa Kuu ya Nafsi ni kujihesabia haki hata kama imekosea, ni vigumu kukubali makosa, Sio Ajabu ukaona Mtu badala ya kutengeneza Mambo, anazidi kuharibu, kwani tayari Moyo Umeumia. Na watu wanaomsikiliza Wanaambukizwa Roho YA Uchungu na Ukosefu wakifikiri wanakuwa empowerd. Kumbe Cheo na Nafasi...
  9. instinct desire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu ngoja niwaambie kitu: Mwanamke atakayekubali kuwa chini Yako na kukusikiliza ni yule uliyemzidi Kila kitu tu

    Ngoja nipumzike siasa kidogo jioni hii: Unaishi na mwanamke ambaye mpo sawa almost Kila kitu usitegemee atakuheshimu kwenye ndoa, utabaki unalalamika ana kucheat na huna cha kumfanya. Kwa mfano: Salary advance mnaomba wote, kikundi/kikoba mnacheza wote, kwanye gari nauli mnabisha wote🤣, jero...
  10. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania Mwanamke akikuambia "Nipe tu Mimba mtoto nitalea mwenyewe", huo ni mtego, utalea tu

    Makubaliano ya "Nipe Mimba Tu" ni Mtego na Haramu: Inabainishwa kuwa mwanamke akimwambia mwanamume "nipe tu ujauzito kulea nitalea mwenyewe," huo ni mtego na ni haramu kisheria,,. Makubaliano kama hayo yanalinganishwa na biashara haramu (kama ya bangi) ambayo haina uhalali mbele ya sheria tangu...
  11. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukitaka kumuwin mwanamke yeyote chukua code hizi

    Usiku mwema wadau.....Leo nimeona niwape siri mojawapo ya kuwawin hawa viumbe. Kwa maligendary hii haiwahusu sana labda muongeze maarifa tu. Yafuatayo ni mazungumzo kati ya Jimmy na Suzzy (mfano) Hayae twende sawa; Jimmy: Mambo vipi mrembo Suzzy: Safi tu Jimmy uko poa Jimmy: Niko poa tu...
  12. Toredo0

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumuelewa mwanamke ni kazi kweli kweli

    Hichi kitu nikikifikiria bado majibu hayaji kichwani. Mwanamke unakuaje katika mahusiano ya dhati na mtu wako huenda mnapendana sana tu lkn huku nje mkiombwa namba mnatoa tu safi,na baadhi yenu mnarespond kila kitu kweli kuwatetea dada zetu ni kazi hatujuwi tuwaweke fungu lipi?
  13. Nomadiq

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni kweli mwanaume anatakiwa kumzidi mwanamke vitu hivi ili mahusiano yadumu?

    Wasalaam wakuu Kuna hili jambo nimelisikia kwa muda sasa kuwa ili mwanamke amtii mwanaume kwenye mahusiano; iwe ni urafiki wa mwanzo,uchumba ama ndoa inabidi mwanaume amzidi mwanamke hivi vitu;- UMRI PESA ELIMU/AKILI
  14. M

    JamiiForums Tanzania Pesa haimpi kiburi Mwanamke bali humpa uwezo wa kutovumilia ujinga

    Pesa hazimpi mwanamke kiburi kama ambavyo wengi hudhani, bali humjengea uwezo wa kujitambua na kuthamini nafasi yake katika jamii. Mwanamke anapokuwa na uwezo wa kifedha, anaweza kufanya maamuzi yake bila kutegemea wengine, jambo linalompa uhuru wa kweli wa maisha. Uhuru huu humfanya awe na...
  15. BB_DANGOTE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usioe wala kuanzisha na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke wa namna hii utajuta

    Habari ya wakati huu Wakuu, Naomba Niongee na Wanaume, Usioe wala Kudate na Aina Hii Ya Wanawake Utajutia.. ‎ ‎1. Feminist ‎ ‎Anaetamani kuwa juu wanajifanya wanapambana sana na maisha ‎ ‎Wanahisi Mwanaume Sio Kipaumbele Kwenye Maisha yao ‎ ‎Avoid This Kind Of Women Ataharibu maisha yako na...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuelewe: Kama sisi hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja. Vivyohivyo kwa wanawake. Hakuna mwanamke anayeridhika na mwanaume mmoja!

    Habari za Sabato! Saikolojia iko hivyo. Kihisia na kiakili mwanaume na mwanamke hawana tofauti yoyote ile. Wanawake wana wivu kama tulivyo wanaume. Wanawake wanatamaa ya ngono kama tulivyo wanaume. Jinsi mwanaume ukikutana na mwanamke mwenye mvuto unamtamani licha ya kuwa una mke na watoto...
  17. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Kama mwanaume anaweza kumuacha mwanamke baada ya mimba, sioni tatizo mwanamke kumuacha mwanaume fukara

    Kama mwanaume anaweza kumuacha mwanamke baada ya kumtia mimba, Sioni tatizo mwanamke akimuacha mwanaume aliye poteza Kazi, Ajira au Fukara
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamke, Ulisumbuliwa na Ugonjwa Gani ukawa unajitibu mwenyewe Bila Kujua Kuwa Chanzo ni Ujauzito Mchanga?

    Katika maisha ya kila siku, wanawake wengi hupitia mabadiliko mbalimbali ya kiafya bila kuelewa chanzo chake halisi. Wakati mwingine, dalili zinazoonekana kama magonjwa ya kawaida zinaweza kuwa ishara ya ujauzito mchanga. Ni muhimu kwa mwanamke kuutambua mwili wake na kufahamu mabadiliko...
  19. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Kwa wanajamii wote wa hii platform, binafsi nimekuwa nikiingia na kusoma threads mbalimbali zinazofikishwa kwenye hili jukwaa. Kwa kifupi sikuwa active member mpaka nilipoamua kujiunga rasmi kwa siku hii ya leo. Binafsi ni mtu wa makamo, almost 54 years and above, ni mwenyeji wa kusini ila...
  20. Marry Diana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke usikubali manyanyaso, tujitahidi kufanya kazi

    Shikamoon wakubwa zangu wadogo zangu hamjambo Habari za jumapili. Leo niongee na dada zangu na wadogo zangu waliopo humu ni jinsi gani utateseka na kuumia ikiwa tu, huna pesa yako mwenyewe. Mfano ,mtu anakutongoza,anaonesha nia kabisa ya kukutaka na usumbufu wa hapa na pale, lakini siku...
Back
Top Bottom