mwanamke

  1. Mjinga_Ndo_Najifunza

    JamiiForums Tanzania Mwanamke nimezaa nae lakini anakata na kuyaunga mawasiliano anavyotaka yeye je hii sawa kwa mzazi wa kiumbe?

    Mimi nimezaa na mwanamke mtoto mmoja nikawa nahudumia bila shida yoyote aidha kwa kuambiwa au kwa kujiongeza mwenyewe mara kadha wa kadha alikuwa anakata mawasiliano yaani huambiwi chochote kuhusu mtoto yaani iwe mahitaji au afya ya mtoto baada ya muda kadhaa(miezi) anakutafuta ndo unapata...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Chacha kuna mwananchi ambaye ni mwanamke alinitongoza, nikabidi nilifikishe kwa RPC

    Nimecheka sanaaa baada ya kusikia stori hiiii ============= ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Matiko Chacha, amesimulia kisa cha mwananchi aliyemtaja kwa jina la Sophia, aliyekuwa akimtumia ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu - akimtongoza, licha ya kuonywa mara kadhaa lakini hakuacha...
  3. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Kiredio; Siku kumiliki mwanamke mzuri mwenye shepu ni kujitafutia presha, sitarudia

    Mdau mmoja amemuuliza Kiredio kwanini siku hizi kaacha kabisa kazi yake ya kupost maudhui mtandaoni baada ya kuachana na aliye kuwa mpenzi wake, Vee Dollars. Kiredio ameshangaza wengi Kwa jibu alilo litoa, Kiredio amejibu kuwa; "Siku hizi kumiliki mwanamke mzuri mwenye Shepu ni kazi sana ni...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na mwanamke kutoshika mimba anitafute

    Jamni niko Dar nina dawa ya ukweli kwa wale wanaosumbuliwa na vidonda vya tumbo,ndani ya wiki utakuwa umepata jibu Na kwa wanawake ambao hawashiki ujauzito,mwenye uhitaji anafwate inbox
  5. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una-deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)?

    Wakuu habari za wakati huu Its weekend, wengine najua bado tupo tunapambana baadhi yetu pia ni siku ya kupumzika pengine kutoka either wenyewe ama na wapenzi wao kufurahisha nafsi. Nianze kusema tu nimekuwa disappointed sana na kile nilichokiona ndani (chumbani). Leo nimeona vitu ambavyo...
  6. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Mwanamke asema 'Single moms' wanaharibu wigo wa uchaguzi wa wapenzi au soko la wachumba (dating pool).

    Mwanamke mmoja aliulizwa swali na muandishi wa habari mwanamke kama ifuatavyo ifuatavyo: Muandishi: Unafikiri siku hizi ni nani mwenye tatizo zaidi linapokuja suala la uchumba na mahusiano—wanaume au wanawake? Wote? Mgeni: Nadhani ni akina mama wasio na waume(single moms). Muandishi: Nini...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Onyo: Usimwoe mwanamke anayejipost mitandaoni

    Mwanamke anayejipost mitandaoni aidha ni malaya au ana tatizo la akili. Kutwa kutwa kujirekodi na kutuma picha mitandaoni. Huyo hamna kitu
  8. H r n

    JamiiForums Tanzania Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

    Wakuu habari ! Maisha kwa mwanaume kamwe hayajawahi kuwa rahisi in everything. Unatoka alfajiri na mapema kwenda kusaka mkate wa familia then unarudy om unakutana na makelele kutoka kwa wife 💔 haulizi umeshindaje wala habari za kazi unakutana na magic ambazo hazina msingi now ndo nakumbuka...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wewe mwanamke au binti, ukiona unatongozwa sana ujue wewe ni mrahisi na wanaume wanataarifa zako , sio kwamba ni mzuri sana

    Wadau habari zenu, Kuna baadhi ya wanawake ambao hudhani kuwa wao ni wazuri sana sababu TU wanatongozwa sana? Inawezekana:- Wewe ni mrahisi sana. yaani maharage ya Mbeya Jinsi unavyojiweka , yaani mavazi yako, vitendo vyako. Mfano umeolewa LAKINI unavaa kama changu doa/malaya Wanaume wengi...
  10. Nominii

    JamiiForums Tanzania Kambaka samaki akidai ana harufu kama sehemu za siri za mwanamke

    Mwanaume mmoja ameripotiwa kukamatwa baada ya kutuhumiwa kufanya kitendo cha ukatili wa kingono dhidi ya samaki, huku akidai kuwa alifanya hivyo kwa sababu samaki huyo alikuwa na harufu aliyodai kufanana na ya sehemu za siri za mwanamke. Taarifa kuhusu tukio hilo zimeenea kwa kasi kwenye...
  11. Surya

    JamiiForums Tanzania Ukimkataa Mwanamke una hali mbaya sana

    Sikiliza, moja ya sifa ya mwanamke ni wana hisia sana kuliko wanaume. Nikisema neno hisia linamaana pana sana unapaswa kufikiri kwa kina. Intuition, beauty, mwanamke ndio chanzo cha uzuri ndani ya nyumba, hata kama ni house girl tu na sio mkeo bado yeye ndio kioo au Mng'ao wa nyumba yako kuu...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa watu zamani kwa mwanaume na mwanamke hata kiroho

    Wakati wa sasa ni watu wengi sana wanafahamu habari ya maandiko kutoka kwenye vitabu vya dini. Jamii ya kiswahili inafahamu uwepo wa dini nyingi na hasa dini mbili uislamu na ukristo. Watu wa zamani pamoja na mambo yote walielewa uwepo wa nguvu za aina mbili katika uwepo, yaani uwepo wa nguvu...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mungu hawezi kukuokoa mbele ya Mwanamke aliyeamua kukuangamiza. Unajua ni kwa nini?

    MUNGU HAWEZI KUKUOKOA MBELE YA MWANAMKE ALIYEAMUA KUKUANGAMIZA. UNAJUA NI KWA NINI? Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Hii ni siri hutokuja uambiwe popote. Na leo nitakuambia. Mungu anaweza kukuokoa dhidi ya serikali. Mungu anaweza kukuokoa dhidi ya majambazi yenye silaha. Mungu anaweza...
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kijana wa mjini asiye na pesa katika zama hizi kumiliki mwanamke mzuri

    Jinsi mapenzi yalivyogeuka kuwa commercial vijana wa mjini makapuku wasio na pesa wanaweza kumiliki mabinti wazuri kama ilivyokuwa zamani?
  15. N

    JamiiForums Tanzania Nimegundua wanawake wengi wanaolewa na watu wasiokuwa wa ndoto zao!

    Baada ya kufanya uchunguzi wangu binafsi juu ya hawa viumbe wanawake nimegundua wanawake wengi wanaolewa na wanaume ambao sio wa ndoto zao, yaani wale ambao wanawapenda na yote haya yanatokea kwasababu kadhaa; Namna sisi wanaume tunavyotafsiri ndoa sivyo wao wanavyotafsiri ndoa. Mwanaume...
  16. M

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Anna Tibaijuka: Kilichotokea Oktoba 29, 2025 ilikuwa ni mshituko, “rapture,” uliotokana na hasira za Wananchi dhidi ya utawala wa mabavu

    Profesa Anna Tibaijuka anasema kwamba kusema matukio ya Oktoba 29, 2025 ni ya kupangwa, kama serikali inavyodai, siyo sahihi. kwa mujibu wake, kilichotokea ilikuwa ni mshituko, “rapture,” uliotokana na hasira za wananchi dhidi ya utawala wa mabavu Pia soma: Prof. Tibaijuka: Huwezi kuwazuia...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kete za Mapenzi: Hakikisha Mkeo au mwanamke wako anawekeza kiuchumi kwenye mahusiano yenu. Hii ni mbinu ya uhakika.

    KETE ZA MAPENZI: HAKIKISHA MKEO AU MWANAMKE WAKO ANAWEKEZA KIUCHUMI KWENYE MAHUSIANO YENU. HII NI MBINU YA UHAKIKA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Unajua Pesa inauma kuliko mapenzi? Hili wengi hawalijui. Hasa wale watoto wadogo au wenye upeo mdogo. Sehemu yoyote ambayo hukuweka pesa...
  18. AI tata

    JamiiForums Tanzania Watanganyika mnasahau sana. Miki bado nipo kwenye utabiri wa Sheikh Yahaya. Ile hatua ya baada ya Rais Mwanamke.......

    Hapa tupo shingoni, bado kichwa tu. Kama ni ng'ombe imebaki mkia tu kiwiliwili kwisha. Kwa kuwa serikali haziamini utabiri. Basi waamini hata political winds it blows. Tayari sio mpasuko tena ni pamde mbili tofauti, asilimia mia hakuna anayesapoti pande. Hata raia wamechoka. Ikifanyika...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mwanamke hata kujinunulia Vocha hawezi alafu analazimisha akushauri. Ujinga mtupu!

    MWANAMKE HATA KUJINUNULIA VOCHA HAWEZI ALAFU ANALAZIMISHA AKUSHAURI. UJINGA MTUPU! Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Nyie dada zangu. Nilishawaambia mfanye kazi. Baadhi yenu bado vichwa ngumu. Hamtaki kujishughulisha. Alafu ninyi ninyi ndio wakwanza kulalamika waume zenu hawawasikilizi...
  20. Sodoku Myebusi

    JamiiForums Tanzania Huyu hapa Mwanamke wa Kiyebusi!

    Baada ya jamaa yangu mmoja kusisitiza anataka mke wa Kiyebusi nikamuunganisha na huyu dada anaitwa Vasavadatta anatokea huko Udayana Kingdom. Jamaa amenipigia simu akilia nimwombee msamaha kwa huyu dada. Moja ya kosa alilofanya ni alipomwalika Hotel wapate lunch wakati wa kuondoka akampa Tsh...
Back
Top Bottom