magufuli

  1. S

    JamiiForums Tanzania Simiyu: “Dr. Mwigulu ni Magufuli mtupu”

    Ziara ya Mhe. Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba Mkoani Simiyu imekonga mioyo ya wana-Simiyu. Katika mazungumzo na wananchi mbalimbali, wengi wameeleza kuvutiwa na namna Waziri Mkuu anavyokemea uzembe na wizi, pamoja na kusisitiza hatua za kubana matumizi ili fedha hizo zielekezwe katika shughuli...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Pompom za Magufuli hadi Vita na CHADEMA: Mange Kimambi Anapigania Mabadiliko au Anavuruga Upinzani?

    Mange Kimambi ni mmoja wa wanaharakati wa mtandaoni wenye ushawishi mkubwa zaidi nchini Tanzania, ambaye safari yake ya kisiasa imepitia mabadiliko makubwa—kutoka kuwa kada na mpambanaji wa dhati wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hadi kuwa mkosoaji mkubwa wa serikali. Ili kuuelewa uanaharakati wa...
  3. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo alikua wapi enzi za Magufuli?

    Huyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla sana? Kutwa anacheza kwenye viunga kama kwake. Hivi alikua wapi enzi za Mjomba Magu?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kituo Kikuu cha mabasi cha Magufuli?? Kituo Kikuu cha treni/SGR cha Magufuli??

    NB: Nina Akili Ndogo Sana Kulikuwa na umuhimu gani wa kuwa na Vituo vikuu viwili (mabasi na teni) vyote vyene jina mtu mmoja ndani ya Jiji moja kubwa la Dar?? Vyote vinaitwa vituo vya Magufuli. At least Kile cha bus Mbezi Luis kingeendelea kuitwa kituo cha Magufuli alafu hiki cha treni...
  5. R

    JamiiForums Tanzania TANROADS watu wanajenga kwenye road reserve are mnawaangalia. Wekà beacon za mwisho wa roas reserve from Tanga to Pangani kama za Magufuli.

    This is the second call. Kesho mtawabomolea watu maana hawa ui mwisho wa road reserve ni upi. Nilishaandikia humu as a wake up call kuepusha migogoro ya kesho. Watu wanajenga petrol station kwenye road reserves!
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mtazamo Wangu Juu ya Nadharia za Njama na Siasa za Tanzania: Kati ya Nyakati za Magufuli na Utawala wa Sasa

    Katika ulimwengu wa siasa, kumekuwa na tabia ya wepesi wa kupuuza mambo fulani kwa kuyaita "nadharia za njama" (conspiracy theories). Mimi binafsi si muumini wa nadharia hizi, na mara nyingi ninapendelea kutazama siasa kupitia ukweli thabiti na unaothibitika. Hata hivyo, mienendo na matukio ya...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu aje hapa akanushe kuwa Lissu alipopigwa risasi Magufuli hakumwambia atangaze serikali haihusiki akakataa kufanya hivyo na Magufuli akamchukia!

    Nimeshangaa sana kuona leo hii Mwigulu Nchemba anasema waliompiga risasi Lissu walifanya hivyo ili ionekane serikali ilihusika. Niwaambie ukweli wa siku ya tukio la Lissu kupigwa risasi. Wakati huo Mwigulu Nchemba alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Mara tu baada ya Lissu kujeruhiwa kwa risasi...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Magufuli Stand wajibu malalamiko kuhusu vyoo, mpangilio wa stendi

    Soma pia: Sheikh alia na hali mbaya ya vyoo Mbezi Magufuli stendi Kufuatia malalamiko ya watumiaji wa stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam kuhusu ufinyu wa vyoo kwa abiria, Meneja wa stendi hiyo, Isaac Kasebo amesema vyoo vilivyopo vinatosha, ila tatizo abiria wengi hawajajua...
  9. Common Folk

    JamiiForums Tanzania Kwako Chalamila: Kuna stand ya malori imeanzishwa pembezoni mwa Magufuli Bus Terminal. This is madness

    Kuna CID mpya imeanzishwa alongside Morogoro Road, pembezoni kabisa ya Mbezi Daladala Stand na Magufuli Bus Terminal. Ni nani huyu mwenye mamlaka kiasi hiki kuja kuanzisha CID pembezoni kabisa mwa vituo vikuu au vitovu vya usafirishaji wa abiria!
  10. Yoda

    JamiiForums Tanzania KERO Sheikh alia na hali mbaya ya vyoo Mbezi Magufuli stendi

    Ujumbe nitakaoutuma, naomba huu ujumbe ufike, niombi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Mimi nimeingia leo kutoka safari, tumefikishwa Mbezi... waitwaje ile stendi mpya? Mbezi Magufuli. Ningeomba Mkuu wa Mkoa au yule aliyeweka lile jambo, enda katembelee ile sehemu. Je, yastahili kuwapeleka watu...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mzee Mangula: Magufuli hakutoa Rushwa kwenye mchakato wa uchaguzi 2015. Wajumbe walimuunga mkono Lowassa

    Nakumbuka Hayati John Magufuli kipindi cha mchakato wa uchaguzi 2015 alikuja nyumbani kwangu Oysterbay aliniambia anataka kujiondoa kwenye mizunguko ya kutafuta wadhamini alisema hana pesa kabisa. "Alisema Wenzake wanatoa pesa sana. Alikwenda kwenye mikoa akizungumza nao akitaka kuondoka...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ujumbe mzito kwa CEO wa Stendi ya mabasi Magufuli; Kero za chenji, mageti ya vyoo

    Naandika uzi huu kufikisha kwa CEO na Uongozi wa Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli (Mbezi Luis) baadhi ya kero zinazowakabili wananchi na wasafiri wanapotumia huduma za stendi hiyo. Sisi kama wananchi hatupingi kulipa TSh 300 za kiingilio, kwa kuwa tunaelewa kuwa tozo hiyo inalenga kuchangia...
  13. Etwege

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaipiku Kenya kama mzalishaji mkubwa wa umeme. Aibu kwa Muhongo, Nape, Zitto

    Rais Magufuli alipotangaza ujenzi wa bwawa la umeme kuanza mara moja bila kujali sura ya mtu alipata upinzani mkali sana kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi. Nje ya nchi gazeti la economics lilikuwa linakuja na makala ndefu kuonyesha kuwa huo mradi ni white elephant na utasababisha madhara...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Eneo la Stand ya mabasi la Magufuli pakijaa, watahamishia wapi tena? Kibaha?

    NB: Nina Akili Ndogo Sana. Zamani stand ilikuwa kisutu. Palipokuwa mjini sana wakapeleka Ubungo kijijini. Ubungo palivyochangamka, wakapeleka Mbezi kwa Magufuli. Mbezi kwa Magufuli kukichangamka kama Kisutu na Ubungo, watahamishia wapi?? Mile Moja Kibaha?? Na hapo pakichangamka na kuwa mjini...
  15. cEHO

    JamiiForums Tanzania KERO Tozo ya Bajaj Stendi ya mabasi Magufuli: Nani anapaswa kulipa?

    Unapopanda bajaji kwenda Stendi ya Mabasi ya Magufuli, Mbezi, unaambiwa nauli yako inaongezwa Shilingi 500 kama tozo ya kuingia stendi. Kinachoshangaza ni kwamba tozo hiyo inayotozwa kwa waendesha bajaji inaonekana kulipwa na abiria, badala ya kubebwa na mwenye bajaji ambaye ndiye anayefanya...
  16. funaku

    JamiiForums Tanzania John Pombe Magufuli alimuibua Deo Ndenjembi hii ni heshima ya kipekee

    Kwa namna yoyote ile Hayati John Pombe Magufuli hakukubali kufanya kazi na watu wasio na uwezo. Alimuibua Deo Ndenjembi huko kongwa.. Kilichofuatia ni historia
  17. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Muasisi wa kuwafanya CCM na wabunge kukosa kauli na Kumuona Mwenyekiti kama Mungu ni Magufuli

    Kuna Uzi nimeusoma mahal humu humu mleta uzi anasema wabunge watumie nafas yao kupiga kura ya hapan kwa Makam ili asipite.. Ujue ni vitu ambavyo haviwezekan kwa sababu mtu kama Baba levo ambae anajua dhahiri kabisa kua hakushinda Jimbo kwa ushawishi wake bali kwa Nguvu ya mwenyekiti atahoji...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Kosa la Karne la Magufuli Mwaka 2015: Jinsi "Bomu la Muda" Alilotuachia Linavyoiteketeza Tanzania ya Leo!

    Wana-JamiiForums, Leo nataka tuguse jeraha ambalo wengi wetu tunaliona lakini ama tunaliogopa kulisemea, au tunajifanya hatuoni madhara yake makubwa. Tukirudi nyuma hadi mwaka 2015, wakati Hayati John Pombe Magufuli anateuliwa kuwa mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), alifanya...
  19. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Makosa makubwa sana yalifanyika 2015 pale Dodoma kumpa nafasi Magufuli na kumuacha lowassa

    Hili lilikuwa jaribio hatari la usalama na ndilo pigo kubwa zaidi tulilopata kama taifa.
  20. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Lala pema Peponi John Pombe Magufuli Leo wamefungua mradi ulioanzisha bila kukutaja kama Icon wa mradi huo.

    Ni maajabu mradi ulioanzishwa na marehemu JPM kwa utashi wake Leo miaka mitano baada ya yeye kufariki unafunguliwa bila kumtambua kama kinara wa mabadiliko haya tunayoyaona. R.I.P watanzania bado tunakukumbuka.
Back
Top Bottom