majibu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Club Imeuzwa, Lakini Madeni Yameachwa? Nairobi City Stars Players Wataka Majibu

    Wachezaji wa zamani wa Nairobi City Stars wameibua madai kwamba bado wanadai mishahara na allowances walizopata katika msimu uliopita—takribani miezi mitatu baada ya kuahidiwa kuwa arrears zao zingelipwa. Mmoja wa wachezaji, ambaye ameomba kutotajwa, anasema club iliwalipa mshahara wa mwezi...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kitengo cha Leseni za Biashara/Viwanda Vidogo, Wilaya ya Ilala kinachukua muda kushughulikia leseni

    Kero yangu ni Kitengo cha Leseni za Biashara/Viwanda Vidogo (SME), Wilaya ya Ilala. Kimekuwa kikichukua muda mrefu sana kushughulikia maombi ya leseni. Unaweza kukuta umeomba leseni kupitia mfumo wa TAUSI, halafu inapita hata miezi minne bila kupata leseni. Ukienda kufuatilia, watumishi wao...
  3. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Haya ndio majibu ya Research yangu

    Nimefanya research yangu ndogo wakitoka Wasukuma, watu Arusha (Chuga) ndio wanafata kwa ushamba.
  4. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Suala la Mabasi bado linahitaji mjadala tusipelekeshane kama misukule, kuna hoja zinahitaji majibu.

    Kwakuwa ni mambo ambayo yako wazi sina sababu ya kutumia energy nyingi kuelezea vitu ambavyo havihitaji rocket science kuvielewa. Kwanza nitaanza na kero mbili za mabasi wamiliki wa mabasi wafanyiekazi. 1. Huduma zinazotangazwa za mabasi ya luxury coach hazipatikani kwa ukamilifu hasa Wi-Fi...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi? Serikali na CCM tunataka majibu

    Wiki chache zilizopita tulitangaziwa kuwa aliyekuwa makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amejiuzulu nafasi hiyo. Siku chache baadaye CCM wakatutangazia kuwa wamemfukuza Nchimbi uanachama wa chama chao! Ajabu ni kuwa CCM katika taarifa yao kwa wanahabari hawakutoa fursa ya maswali...
  6. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Video ,Dada Anae trend Mitandaoni Kwa Kuichapa Lugha ya Malkia Vyema na Kuipaisha Tanzania Kwa Majibu Yale maskini.

    My Take Ameeleza Kwa kujiamini na Yuko smart 🔥🔥
  7. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Majibu kwa wanaohoji kuhusu actor Jason Statham kucheza uhusika mmoja mara kwa mara kwenye movies zake.

    Maoni ya mashabiki yamezuka tena yakimuhusisha muigizaji maarufu JASON STATHAM kuhusu kucheza nafasi ileile mara kwa mara kwenye muvi mbalimbali,miaka hadi miaka. Hii si mara ya kwanza maoni kama haya kusambaa kwa kasi mtandaoni. Mwezi Aprili 2017, Jason alionekana kwenye kipindi cha The Jim...
  8. Equation x

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa diplomasia, na siasa za kiulimwengu tusaidieni majibu

    Ikitokea Rais mwenyeji kutofautiana kimazungumzo na Rais mgeni katika nchi yake, na Rais mwenyeji akaamua kutoa agizo kwa majeshi yake, yamkamate Rais mgeni kwa kuwa wametofautiana kimaongezi; je hiyo inawezekana kutokea? Mfano Rais wa Marekani awe nchini China, halafu Rais wa China atoe agizo...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wabunge wa Uganda Waja Kenya Kutafuta Majibu ya Changamoto za Elimu

    Wakati mataifa mengi ya Afrika Mashariki yakihangaika kuboresha mifumo yao ya elimu, wabunge kutoka Uganda wamegeukia Kenya kutafuta mafunzo kuhusu mageuzi yanayoweza kuboresha sekta hiyo nchini mwao. Ujumbe wa Kamati ya Elimu na Michezo ya Bunge la Uganda ulifanya ziara katika Bunge la Kenya...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Haya hapa majibu ya MWAUWASA kuhusu kukosa maji kwa Wakazi wa Nyamhongolo

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imemjibu Mdau aliyeandika ~ Wakazi wa Nyamhongolo, tunapitia shida kubwa ya maji, ni wiki ya 3 maji hayatoki na MWAUWASA hatuambiwi tatizo ni nini? UFAFANUZI WA MWAUWASA... Habari Mdau wetu, pole kwa changamoto iliyojitokeza katika...
  11. Course Coordinator1

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama Samia ana nia ya kuunda tume ya kijaji alete Wakenya, alete Wa-South, alete Wafaransa alete wamerekani na waingereza

    Namshangaa Samia na matume yake. Tume ya CHANDE ilimwambia vijana walilipwa ili waandamane, walilipwa ili wachome nchi , hao vijana zaidi ya elfu 2 ameshawaua na yeye ndo alitoa amri watu wauwawe akidhani anakomoa CHADEMA. Leo anaagiza tume tena ikachunguze wale vijana aliyo waua kuwa...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Nimechoka na huduma ya Parimatch Tanzania, mwezi mzima bila majibu ya kweli

    Naandika hili ili kuonya na kushirikisha uzoefu wangu kuhusu huduma niliyoipata kutoka Parimatch Tanzania. Nimekaa zaidi ya mwezi mmoja nikifuatilia marejesho ya fedha zangu. Kila siku ninapowasiliana na huduma kwa wateja, napokea majibu yale yale yanayojirudia kama yamenakiliwa. Hakuna...
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akina Mama Mathare na Huruma Wadai Majibu Kuhusu Vijana Waliotoweka

    Familia za vijana kutoka Mathare na Huruma zimefika hadi Bungeni kudai majibu kuhusu wapendwa wao waliotoweka katika mazingira yasiyoeleweka. Juni 18, 2026: Joel Kariuki Mwai, mfanyabiashara na aliyewahi kuwania udiwani, aliripotiwa kutekwa na watu waliokuwa wamevalia kiraia katika eneo la...
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Majibu yangu kwa Dkt. Emmanuel Nchimbi baada ya kunitaja katika hotuba yake akiongea na Asasi za Kiraia za Haki za Binadamu

    Kwako Dr Emmanuel Nchimbi; Nimechukua muda kutafakari uliyoyasema nchimbie lakini sasa acha nikujibu: Leo umeonyesha uungwana kwa maneno maana umesema kuwa uanaharakati si uhasama - na ulinitaja kabisa pamoja na kwamba ninajua kuwa jina langu akilisikia kimama chenu hukasirika ile mbaya - so...
  15. Mtemi mpambalioto

    JamiiForums Tanzania Walikuwa wanafurahia mauaji ya Mo29 wameanza kupata majibu Yao! Mungu hadhihakiwi

    Kuna watu kwanza walisemaga hawataki kuongozwa na MWANAMKE Baadae wakalambishwa asali wakaanza kutisha wengine kuwa ole wao wamsemao kiongozi huyo mwanamke tunawakata mapanga Baadae wakashabikia waliopotezwa 29 kuwa sio wa kwao! Sasa Mungu hapendi dhihaka
  16. adriz de mbusii

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo majibu ya Diaspora wengi wa kibongo ukawaambia unataka kuja nje 👇👇

    Moja kwa moja.... #UziTayari
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania NECTA mnaposema mumegundua majibu wametumia AI si bora mseme waliingia simu

    Majibu mepesi mepesi ni kama haya haya yanayoendelea kwenye serikali hii mbovu. Unapotangaza mumegundua kuwa majibu ni Ai. Mungesema wameingia na simu maana AI hakuna ya kichwa cha mwanadamu kikajibu kama ilivyo AI.
  18. Fene

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ronaldo wa 20's anahesabika bora kuzidi Mbappe wa 20's licha kitakwimu Mbappe yupo juu? Majibu haya hapa

    Je kwanini Ronaldo wa 20's still anaonekana bora licha ya kuwa kitakwimu zinambeba Mbappe Jibu fupi ni: Ronaldo wa 20’s zake alipimwa kwa zaidi ya “namba”, Mbappé anapimwa zaidi kwa “takwimu”. Na hayo mawili si kitu kilekile. Hebu tuchambue 👇 1. Muktadha wa zama (era tofauti) Ronaldo (CR7)...
  19. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maktaba Katika Maswali na Majibu

    https://youtu.be/YVI4Qfm93-k?si=fbpAmltWqZJXhUbH
Back
Top Bottom