Majibu mepesi mepesi ni kama haya haya yanayoendelea kwenye serikali hii mbovu.
Unapotangaza mumegundua kuwa majibu ni Ai.
Mungesema wameingia na simu maana AI hakuna ya kichwa cha mwanadamu kikajibu kama ilivyo AI.
Je kwanini Ronaldo wa 20's still anaonekana bora licha ya kuwa kitakwimu zinambeba Mbappe
Jibu fupi ni: Ronaldo wa 20’s zake alipimwa kwa zaidi ya “namba”, Mbappé anapimwa zaidi kwa “takwimu”. Na hayo mawili si kitu kilekile.
Hebu tuchambue 👇
1. Muktadha wa zama (era tofauti)
Ronaldo (CR7)...
Habari ndugu wana jukwaa nahitaji majibu mazuri ya kisomi.
1. Waziri mkuu amesema kuna mtu analipwa milioni tano kila mwezi ili awaandikishe watanzania vijana wakaandamane na wameandaliwa watu wa kuwapiga waandamanaji ili kuchafua sura ya nchi yetu na mtu huyu amekamatwa na ametoa siri nyingi...
Pendekezo jipya la Serikali ya Tanzania kuruhusu kukopa moja kwa moja kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limezua mjadala mkali. Serikali inasema hatua hiyo itasaidia kukabiliana haraka na upungufu wa mapato unaotokana na matukio yasiyotegemewa.
Hata hivyo, wakosoaji wanaibua maswali muhimu...
Ninaomba kuwasilisha kero yangu kwa Tanesco kuhusu hali ya umeme katika maeneo la Majohe, Dar es Salaam.
Kwa muda sasa tumekuwa tukikumbana na tatizo la kukatika umeme mara kwa mara bila taarifa yoyote. Karibu kila baada ya siku mbili au tatu tunakaa siku nzima bila umeme, huku wananchi...
Wanafunzi wa MUST Mbeya Tunaomba Majibu Kuhusu Kuchelewa kwa Boom ya HESLB kwa Watumiaji wa CRDB
Tunapaza sauti yetu kama wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kuhusu changamoto kubwa inayotukabili kwa sasa.
Ni takribani wiki ya pili sasa baadhi ya wanafunzi wanaotumia...
Anonymous
Thread
boom
crdb
heslb
kuchelewa
kuhusu
majibu
mbeya
must
wanafunzi
wanafunzi wa must
watumiaji
Ninaomba kwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, hasa upande wa TEHAMA (ICT), wawe wanapokea na kushughulikia kwa wakati barua pepe (email) tunazotuma.
Inasikitisha kwamba unatuma email yenye tatizo muhimu kwenye akaunti yako, lakini inapita mwezi hadi miezi bila majibu wala...
Anonymous
Thread
ajira
barua
ict
majibu
pepe
sekretarieti
sekretarieti ya ajira
tatizo
Mdau anauliza
Mungu alimwambia mtu aliyevaa joho jeupe anywe divai lakini asioe, kisha akamgeukia mtu aliyevaa kanzu nyeusi akamwambia asinywe divai lakini aoe wake wanne?
Watu wamejitokeza kwa wingi lakini wananipa mashaka kama wameenda kwa hiyari yao au wamekusanywa kwa malipo.
Rio Ferdinand alishastaafu mpira miaka hiyo. Hakuwa na ushawishi mkubwa sana ukizingatia alikuwa anacheza nafasi ya beki.
Sasa kwa nyomi iliyojitokeza imenipa maswali maana hata wengi...
Mijadala ya Act wengi walikiri uchaguzi haikuwa huru na haki
Hadi Walifikia hatua ya kusema tume ilipodadilisha JINA ilipoteza uhalali kikatiba
Sasa wanapoteua mawaziri vivuli Ili wasimamie serikali ipi
Mpina amekuaje siku hizi
Watu wa karibu na Samia Suluhu Hassan wanapaswa kumshauri kwamba rais si tu kiongozi wa nchi, bali pia ni taswira ya hisia na matumaini ya wananchi. Kuna wakati wananchi hawahitaji hata suluhisho la haraka, wanahitaji kuona tu kwamba rais ameona tatizo lao na amelizungumzia kwa uwazi na kwa...
Napata picha Marais makini kama Mwl Nyerere ama Rais Mkapa, kwenye suala kama hili ambalo linawagusa wananchi moja kwa moja, lazima wangetoka mbele na kutupa ufafanuzi wa kina imekuwaje.
Wanaukumbi.
Tehran yakataa tarehe ya mwisho ya Rubio, yasema jibu la pendekezo la Marekani linakuja kwa 'wakati unaofaa'
——
Iran imekataa amri ya mwisho ya saa 24 iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, huku msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Esmail Baghaei akisema kwamba...
Unapokaribia mlango wa baraka kufunguliwa vikwazo utokea kwa nini
Danieli 10:13
Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga siku ishirini na moja; bali, tazama, huyo Mikaeli, mmoja wa hao wakuu wa mbele, akaja kunisaidia; nami nikamwacha huko pamoja na wafalme wa Uajemi.
Katika kifungo hiki...
Mimi ilikuwa smartphone kipindi hicho nipo sekondari
Nilipataga hela sehemu nikaenda kuinunua hiyo smartphone nikawa naificha kwenye viatu alafu hivyo viatu nikaweka juu ya kabati
Siku hiyo Bi Mkubwa hakwenda kazini kwenye harakati za kufanya usafi ndani kwangu akaikuta
Ile narudi shule...
Atheists wengi wanaposikia hoja ya Mungu kama Muumba wa ulimwengu wanajibu haraka kwamba "Ulimwengu ulikuwepo milele hauhitaji muumba."
Jibu hilo linaonekana rahisi. Linaonekana la akili. Linaonekana kama njia nzuri ya kukimbia swali zito.
Lakini ni sayansi sio mimi P h a r a o h sayansi...
Ajira Mpya Halmashauri Ya Kongwa Hatujalipwa Pesa Za Kujikimu, Ukihoji Hawana Majibu Ya Kueleweka Wanakua Na Kona Kona Nyingi Sana
Kongwa ipo mkoa wa Dodoma, Ajira ya January 2026 (ajira ya mwaka 2025 wamelipwa mwezi uliopita laki 4 tu, wamepunguziwa), Kada elimu.
Anonymous (373d)
Thread
ajira mpya
halmashauri
kongwa
majibu
pesa za kujikimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.