Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa...
Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo;
1.Ni kozi ngapi zinafundishwa
2.Utaratibu wa malipo ya...
Mkataba wa ajira, kama ilivyo desturi kwa mikataba mingine kwa mujibu wa sheria, huzaliwa, huishi na kufa; kama ilivyo kwa binadamu na viumbe hai vingine.
Unazaliwa mara baada ya mwajiriwa na...
SURA YA KWANZA
HISTORIA YA MFUMO WA MILKI YA ARDHI
Chimbuko na misingi ya mfumo wa umiliki na matumizi ya ardhi yaliyopo sasa umepitia katika vipindi vifuatavyo:-
A. MFUMO WA MILKI YA ARDHI...
"Why do we Kill People who Kill People to Show that Killing People is Wrong ?"
Je ni sawa kuwa na Hukumu ya Kifo?
Baada ya yule Chizi wa Norway kuua kadamnasi ya watu (ukizingatia Norway life...
Asha Mkwizu Hauli akipelekwa Mahakamani
R. v. Asha Mkwizu Hauli, Crim Sessions Case No 3 of 1984 (DSM) (unreported).[/COLOR]
Mnamo tarehe 19 Novemba , 1983 mwanamke mmoja aliyejulikana kwa...
Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako.
Mwulize jina lake
Mwulize namba yake ya uaskari
Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa.
Raia ana haki ya...
When I was in secondary school, the girl used to sit next to me died after performing illegal abortion. It was very sad because it happened a week before we started our final exams.
Women who...
Wana-JF,
Karibuni hapa kwa maswali mbalimbali yahusuyo Sheria ya Ndoa,1971.Wale wote waliopo kwenye ndoa na wanaotarajia kuwa kwenye ndoa wanakaribishwa hapa kuuliza na kujibiwa. Nitashirikiana...
Ninaomba mnifahamishe utaratibu wa unyonyeshaji mtoto kwa mfanyakaz
Inafahamika mfanya kaz amepewa masaa mawili ya kunyonyesha. Je masaa hayo huanza baada ya muda gan wa kaz?? Au unajipangia wew...
Naomba kufahamu kuhusu hii adhabu na mahali inapotekelezwa mtu anapohukumiwa?
Pia ni makosa yapi ambayo mtu akiyafanya hupelekea kupewa hii adhabu?
Nani anatumika kuchapa viboko hivyo na hutumia...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza
Nahitaji kuishtaki kampuni ya Tigo kwani walichonifanyia jana wenyewe wanajua
Wamenisababishia hasara ya zaid ya tsh milion 20
Kwahiyo mwenye...
I kindly request for the interpretation on application of Rule 90(5)CAT Rules of 2019 that read as;
..."Subject to the provisions of subrule (1), the Registrar shall ensure a copy of...
habari wadau.
wataalamu wa sheria naomba majibu yenu.
JUMA anamiliki kiwanja chenye sqm 1200.
amepatwa na shida ameamua kumuuzia AMINA sehemu ya kiwanja chake. kamuuzia sqm 400 na yeye JUMA...
Kuna mtu ali mortgage shamba lake some 50 yrs back from today. ameshakufa sasa watoto wake wanaingia kwenye shamba na kuchua mazao wakidai ni shamba la baba yao. Nifanyeje?
1. Je kuna limitation...
Nina miaka Tisa kazini toka nimeajiriwa serikalini,mwezi huu nimepata barua ya uhamisho kutoka Dodoma kuja Mwanza lakini barua yangu inasema uhamisho wangu hautagharamiwa na ofisi.
Naomba kama...
Habari Waheshimiwa,
Naomba kuuliza kama ni lazima kwa sheria za kazi Tanzania kwa employer kukupa a written employment contract unapoanza kazi. Na kama ni lazima, na employer...
Ni ipi course nzuri na yenye ajira kati ya BED in psychology na BCS.in chemistry and physics na zote zinahusiana na nini na field zake zipo wap msaada jaman kwa mwenye uelewa na haya mambo[/QUOTE]
Shemeji yangu alichukua mkataba wa pikipiki dada yake akamdhamini baada ya muda miezi sita ikatokea ajari ikapelekea kifo cha abiria pikipiki ikakamatwa kituoni shemeji yangu, ambae ndiye aliepewa...
Kuna jamaa aliniuzia ardhi miaka kama 14 iliyopita, Mimi nikaendelea kutumia, mwaka huu wameibuka ndugu zake wanasema ardhi ile ni ya urithi(familia) ambayo baba yao alirithi toka babu yao hivyo...
Habari wanajamii, kuna rafiki yangu (raia wa Tanzania anataka kufunga ndoa na mpenzi wake ni raia wa Marekani anayeishi nchini kwa kufuata taratibu zote . Hivyo nahitaji kufahamu ni taratibu zipi...
Wakuu kuna mwanamke nilizaa nae mwaka 2007, wakati nikiwa na mke wangu, na sikuwai kuishi nae zaidi ya kuwa nilikuwa naenda alikopanga mara moja moja, na mara nyingine akishindwa kodi ya nyumba...
Hakutembelea Makumbusho ya Vita ya Majamaji bali alitembelea makumbusho ya Uhalifu wa Kikoloni.
Hivi ndivyo inavyoitwa duniani, ni uhalifu wa Kikoloni "Colonial Crimes'. Na hivihivi tumwambie...
Tunapoongelea Wanandoa kugawana mali tunaongelea Talaka. Hakuna Mgawanyo wa Mali zilizotokana na Ndoa bila ya kuwepo talaka.
Kisheria Talaka inapotoka, hatua inayofuata ni mgawanyo wa Mali na...
Habari zenu wakuu.
Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana watu wakilalamika wanawake wao kuchepuka nje ndoa na kupelekea ndoa kuvunjika.
Mimi ni kijana ambae nina mpango wa kuoa huko mbeleni (Sio leo...
Hello, leo nakuletea summary ya kesi maarufu ya mauaji, ambayo iliwahi kuitikisa Tanzania enzi hizo (2006). Ni kesi ya ‘Abdallah Zombe na wenzake 12.’
Hii ni summary (muhtasari au dondoo) kwa...
Sasa ni miaka 62 tangu MORTGAGOR a- mortgage eneo lake la ardhi kwa mtu (mortgagee) kwa kiasi pesa ambaye ana miaka 44 amekufa . Mortgagor amekufa some 27 years back . Watoto wa Mortgagor leo...
Hii ni kwa mujibu wa uamuzi wa Mahakama Kuu kwenye kesi kati ya Juma Sylvester Mfumia dhidi ya Antony Adabu Mmasy, Rufaa ya Ardhi Namba 68 ya mwaka 2022, kesi ilisikikizwa Mahakama ya Hakimu Mkazi...