Leo 25/03/2024 Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ameonekana kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, ambako amehutubia mkutano kabambe wa Hadhara kwenye eneo la SHOW VIEW kata ya Bomang'ombe .
Hali ndio kama mnavyoiona
Israel kamatia hapo tu...
Hauwezi kuiondoa Israeli kwenye ramani ya dunia, amini usiamini itakupa tabu...Bahati Bukuku
https://www.youtube.com/watch?v=vbRCT38Y-Gs
Nearly 300,000 people rallied in Washington on Tuesday at the March for Israel, calling for the release of the hostages held by...
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, wakazi wa miji na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko kwenye mpaka wa Lebanon wanakimbia kwa umati kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Israel sambamba na kuendelea Hizbullah ya Lebanon kuyapiga kwa...
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote...
Position: Pharmaceutical Assistant/Technician
Reporting to: Doctor in charge
Location: Moshi Region
Duties and Responsibilities:
~ To identify all medicines and medical equipment’s needed by the facility and identify the budget needed yearly.
~ Ordering, maintaining stock and distributing...
Jana wakili msomi Tundi Antipas Mughwai Lissu alikuwa na ziara Dar es salaam katika maeneo ya Mbopo ambayo yana mgogoro kati ya wananchi na Shirika la Maendeleo Dar es salaam (DDC).
Mh. Lissu mwanzo wa hotuba yake aliwauliza wananchi waliofika kwamba, nyie ndio wakazi wa eneo hili pekee...
UMATI UCHAGUZI WA CCM NI SALAMU ZA SUNAMI 2024-2025.
Shaka asema idadi hiyo kubwa inatokana na uongozi bora wa Rais Samia
Asisitiza uchaguzi wa mwaka huu umevunja rekodi kwa kuwa haijawahi kutokea
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema mwitikio mkubwa wa wanachama...
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan Mkoani Kigoma, leo Jumatatu Oktoba 17, 2022
Akizindua Umeme wa Gridi ya Taifa na Uzimaji wa Jenereta katika Mkoa wa Kigoma - Kasulu Mjini.
Rais Samia amesema lengo la kuleta umeme kigoma ni kuanza kuvutia wawekezaji kwenye mkoa huo ulio pembenzoni mwa nchi...
Job Purpose
The incumbent is responsible for data collection, organizing, analyzing and reporting. S/he is also responsible for tracking all project service delivery data and undertaking data verification exercises on a routine basis to ensure accuracy and consistency of the data submitted and...
Kwa mnaoijua vyema Katiba ya nchi naombeni mnionyeshe Kipengele kisemacho Rais akitoka Safari tu basi akitua Dar es Salaam ni lazima apokelewe na Umati mkubwa wa Watu wakiongozwa na Viongozi Waandamizi.
Na wale mnaoijua vyema Katiba ya Tanzania niwekeeni Kipengele kuwa Rais akiwa anarejea...
Our client Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) which is an autonomous, not for profit, non-political national NGO providing Sexual and Reproductive Health (SRH) information, education, and services in Tanzania. UMATI was established in 1959 and is a Full Member Association (MA) of...
CAREER OPPORTUNITY –
HEAD OF PROGRAMMES DEVELOPMENT, COORDINATION AND MANAGEMENT
Our client Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) is an autonomous, not for profit, non-political national NGO providing Sexual and Reproductive Health (SRH) information, education, and services in...
CAREER OPPORTUNITY
HEAD OF OPERATIONS AND INSTITUTIONAL SYSTEMS DEVELOPMENT
Our client Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) is an autonomous, not for profit, non-political national NGO providing Sexual and Reproductive Health (SRH) information, education, and services in Tanzania...
Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.