umati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Freeman Mbowe arejea Jimboni Hai, Umati wajitokeza Bomang'ombe kumsikiliza

    Leo 25/03/2024 Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ameonekana kwao Hai, Mkoani Kilimanjaro, ambako amehutubia mkutano kabambe wa Hadhara kwenye eneo la SHOW VIEW kata ya Bomang'ombe . Hali ndio kama mnavyoiona
  2. MK254

    Umati wa watu takriban 300,000 waandamana mji wa Marekani kuunga Israel mikono

    Israel kamatia hapo tu... Hauwezi kuiondoa Israeli kwenye ramani ya dunia, amini usiamini itakupa tabu...Bahati Bukuku https://www.youtube.com/watch?v=vbRCT38Y-Gs Nearly 300,000 people rallied in Washington on Tuesday at the March for Israel, calling for the release of the hostages held by...
  3. M

    Hizbullah yaitwanga tena kwa makombora Israel, Wazayuni wakimbia kwa umati

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, wakazi wa miji na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko kwenye mpaka wa Lebanon wanakimbia kwa umati kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Israel sambamba na kuendelea Hizbullah ya Lebanon kuyapiga kwa...
  4. Dasizo

    Hivi mumeo au mkeo akikupiga kofi mbele ya umati wa watu Unafanya je wewe kama mke au mume bora?

    Hivi Mumeo au mkeo akikupiga kofi mbele ya umati wa watu Unafanya je wewe kama mke au mume bora?
  5. Etwege

    Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

    Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje? Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote...
  6. Jamii Opportunities

    Pharmaceutical Assistant/Technician at UMATI

    Position: Pharmaceutical Assistant/Technician Reporting to: Doctor in charge Location: Moshi Region Duties and Responsibilities: ~ To identify all medicines and medical equipment’s needed by the facility and identify the budget needed yearly. ~ Ordering, maintaining stock and distributing...
  7. chiembe

    Umaarufu wa Lissu unaporomoka? Angalia umati aliohutubia jana Dar es salaam

    Jana wakili msomi Tundi Antipas Mughwai Lissu alikuwa na ziara Dar es salaam katika maeneo ya Mbopo ambayo yana mgogoro kati ya wananchi na Shirika la Maendeleo Dar es salaam (DDC). Mh. Lissu mwanzo wa hotuba yake aliwauliza wananchi waliofika kwamba, nyie ndio wakazi wa eneo hili pekee...
  8. Babuwatanga

    Umati uchaguzi wa CCM ni salamu za Tsunami 2024-2025

    UMATI UCHAGUZI WA CCM NI SALAMU ZA SUNAMI 2024-2025. Shaka asema idadi hiyo kubwa inatokana na uongozi bora wa Rais Samia Asisitiza uchaguzi wa mwaka huu umevunja rekodi kwa kuwa haijawahi kutokea Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema mwitikio mkubwa wa wanachama...
  9. Roving Journalist

    Rais Samia: Tumeleta umeme Kigoma ili kuvutia Uwekezaji

    Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan Mkoani Kigoma, leo Jumatatu Oktoba 17, 2022 Akizindua Umeme wa Gridi ya Taifa na Uzimaji wa Jenereta katika Mkoa wa Kigoma - Kasulu Mjini. Rais Samia amesema lengo la kuleta umeme kigoma ni kuanza kuvutia wawekezaji kwenye mkoa huo ulio pembenzoni mwa nchi...
  10. Jamii Opportunities

    Data Officer at UMATI

    Job Purpose The incumbent is responsible for data collection, organizing, analyzing and reporting. S/he is also responsible for tracking all project service delivery data and undertaking data verification exercises on a routine basis to ensure accuracy and consistency of the data submitted and...
  11. GENTAMYCINE

    Hii tabia ya kila mara Rais akitoka Safari anapokelewa na Umati wa Watu na Viongozi ni takwa la Kikatiba?

    Kwa mnaoijua vyema Katiba ya nchi naombeni mnionyeshe Kipengele kisemacho Rais akitoka Safari tu basi akitua Dar es Salaam ni lazima apokelewe na Umati mkubwa wa Watu wakiongozwa na Viongozi Waandamizi. Na wale mnaoijua vyema Katiba ya Tanzania niwekeeni Kipengele kuwa Rais akiwa anarejea...
  12. Jamii Opportunities

    Executive Director at UMATI

    Our client Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) which is an autonomous, not for profit, non-political national NGO providing Sexual and Reproductive Health (SRH) information, education, and services in Tanzania. UMATI was established in 1959 and is a Full Member Association (MA) of...
  13. Jamii Opportunities

    Head of Programmes Development, Coordination and Management at UMATI

    CAREER OPPORTUNITY – HEAD OF PROGRAMMES DEVELOPMENT, COORDINATION AND MANAGEMENT Our client Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) is an autonomous, not for profit, non-political national NGO providing Sexual and Reproductive Health (SRH) information, education, and services in...
  14. Jamii Opportunities

    Head of Operations & Institutional Systems Development (HOISD) at UMATI

    CAREER OPPORTUNITY HEAD OF OPERATIONS AND INSTITUTIONAL SYSTEMS DEVELOPMENT Our client Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) is an autonomous, not for profit, non-political national NGO providing Sexual and Reproductive Health (SRH) information, education, and services in Tanzania...
  15. K

    Umati wa usaili UDOM: Tunahitaji mjadala wa Kitaifa kuhusu tatizo la ajira nchini

    Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi...
Back
Top Bottom