kuliko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania WANAKOELEKEA WADANGANYIKA NI KUBAYA ZAIDI KULIKO WANAKOTOKA

    Sasa hivi hali ni shwari kwa sababu wanaonufaika na mfumo wa sasa nchi ya wadanganyika ni wachache na wao wanafanya hivyo wakijua kwamba hawawezi kuondoka leo au kesho: Wamezunguukwa na wakwepa kodi ambao wanahakikisha wanafanya kila linalo wezekana aliyepo kwa kiti haondoki ili waendelee...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wajua mchawi anaweza kumuuwa mtu ampendaye huku analia kuliko ambao hawajui marehemu kafa na nini?

    Huu ni ukweli kabisa,kwanza siku zote kwenye chama cha kichawi hawatakagi kula nyama za mataira,yaani watu wenye matatizo ya akili,au mtu mwenye roho mbaya,wao humtaka mtu mwenye adabu heshima anayekubalika na jamii inayomzungu na mwenye uwezo wa kimaisha, Sasa pindi anapoambiwa mchawi amtoe...
  3. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Waislamu wao katika mbingu yao watakuwa wanapewa chochote wanachotaka, raha zote watapewa. Hadithi zinaenda mbali zaidi kusema wanaume watapewa wanawake mabikira 72 wanaojirudia ubikira wakifanya ngono. Kutakuwa na mito ya pombe, asali na maziwa na raha nyingine zote za kila aina unazotaka...
  4. Smartkahn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana uchungu sana na Nchi kuliko wananchi wenyewe!

    Kwa mujibu wa maoni, hisia na saikolojia ya wananchi inaonesha hawakubaliani na Rais wao na serikali yake kwa namna inavyowaongoza. Sasa je kama anajua hakubaliki na asilimia kubwa ya watu wake kwanini? Hajitafakari na kuwajibika kwa dosari hiyo.!? Je yeye ndie pekee anayeweza kuongoza nchi na...
  5. bless on

    JamiiForums Tanzania Saa Sita Mchana: Muda Hatari Zaidi Kuliko Usiku wa Manane!

    Acha kuogopa usiku wa manane! Muda wa hatari zaidi wa kupoteza akili, kufanya maamuzi ya hovyo, au kupishana na majini si saa saba usiku... Ni SAA SITA KAMILI ZA MCHANA! Unadhani wazee walikukataza kuzurura njia panda au chini ya misonobari muda wa mchana kwa bahati mbaya? Hii hapa siri ya...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Daima Rais Dr.Samia Suluhu Hassan huchukua hatua na kufanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya Taifa.

    Sidhani kama kuna ubishi kwenye jambo hili la kipekee sana kwa rais wetu. Na sote ni mashahidi kwamba, hatua za makusudi na maamuzi magumu ambayo daima Rais Dr.Samia Suluhu Hassan amekua akiyachukua ndani ya chama na katika serikali sikivu ya CCM, hulenga katika kulinda maslahi mapana ya taifa...
  7. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kila ninapoiona sura ya Mama Abduli au kusikia sauti yake huwa nachukia ghafla. Ni heri nimuombee shetani asamehewe na Mungu kuliko mama Abduli

    Hakuna madhara ya moja kwa moja nimeyapata kupitia yeye. Ila niseme tu ukweli kwenye maisha yangu sikuwahi kumchukia mtu kuliko ninavyomchukia huyu mama abduli na genge lake. Ni heri nimuombee shetani asamehewe na Mungu kuliko mama abduli.
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tunangoja Zaidi Kuliko Kuishi?

    Tunatumia sehemu kubwa ya maisha yetu kungoja kuliko kuishi. Tunangoja tumalize shule. Tunangoja tupate ajira. Tunangoja tupate mchumba. Tunangoja mchumba abadilike. Tunangoja ndoa. Tunangoja tujenge. Tunangoja tupate watoto. Tunangoja tuongeze elimu. Tunangoja tupande cheo. Tunangoja...
  9. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Hivi mna habari Samia ni dikteta kuliko Museveni?

    Nipo jikoni na nimeamua kulipuka ukweli. Anacho amua yeye ndo afla na omega. Ukimpinga kidogo tu uwe tayari kwa lolote. Sura sio Roho amini nawaambia!
  10. R

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini watu wanaipenda ccm kuliko nchi ( msukuma cjakuelewa / kupigana short umemanisha nini

    Kwa Nini watu wanaipenda ccm kuliko MASRAHI ya nchi tatizo lipo wapi Ni pesa au Nini kilichojificha .. Msukuma unasema kupigana short Kwa hyo kudai KATIBA ni kupigana short ,mauji ya October ni kupigana short,kutekwa ni kupigana short ,polepole yupo wapi ni kupigana short Kwa hyo...
  11. Barakha John

    JamiiForums Tanzania Aina 7 Za Simu Kali Kuliko Iphones, Pixels na Samsung Ila HAzijulikani sana Tanzania

    Kwa sasa China ndio nchi pekee inaongoza kuwa na teknolojia kali ya simu . wana brands nyingi ambazo wanatoa simu kali hata kuliko hizi zilizo zoeleka Tanzania. Na leo nitakutajia Aina 7 ya Simu ambazo wabongo wengi hawazijui kabisa na nyingine huuzwa kwa bei ghali zaidi kuliko Iphones . Je...
  12. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania 2080 idadi ya wanawake itakuwa kubwa kuliko wanaume

    Hii sio habari njema, inakadiriwa 2080 idadi ya wanawake itapita idadi ya wanaume duniani. Kila uchao death rate inazidi kukua kwa sisi wanaume. Chanzo : NBS
  13. Jumanne Mwita

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TANESCO kwanini mnakuwa na huduma mbovu hivi? Mmetanguliza pesa kuliko huduma!

    TANESCO Niliomba huduma toka mwezi 1-2026 mpaka sasa huduma hamna, hivi ni kwanini mnakuwa na maneno matam ila kwenye vitendo ni 0? Kuhusu ombi langu la kuunganishiwa umeme. Mchakato wa ombi langu ulianza tarehe 27/01/2026, ambapo niliwasilisha maombi ya kuunganishiwa umeme mara baada ya kuona...
  14. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Kuna martial art bora kuliko Judo?

    Nimeona wanamartial arts wengi wanapigwa na wacheza judo. Je judo ndiyo martial art bora zaidi?
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Nilitaka kununua Drone kwa matumizi binafsi, ila mbona gharama ya kulipia ni kubwa kuliko za kununua?

    Ata nchi zilizoendelea wanao huu utaratibu wa kusajiri drones, ila zilizo chini ya 250g haziitaji usajili. Ila hapa lazima usajili ata kama ina gram 5. Gharama zake sasa kwa matumizi binafsi, tena Mtanzania 1. Kuisajiri $100 kwa drone (mara moja) 2. Kuitumia kwa siku $5 au kwa mwezi $100 au kwa...
  16. BICHWA KOMWE -

    JamiiForums Tanzania Kupata mtoto ni rahisi kuliko kupata ajira

    ANAANDIKA BICHWA KOMWE 👌 Katika hii jamhuri yetu, na hata kwingine kokote nje ya Tanganyika, ni ukweli ulio wazi kwamba, kupata mtoto ni rahisi sana kuliko kupata ajira ya Tamisemi. Watu wengi hudhani kwamba kupata mtoto inahitaji mikito mingi au kujitutumua na pampu nyingi, LA HASHA...
  17. Msanii

    JamiiForums Tanzania Msidanganywe na misimamo inayochezwa mahakamani na jopo la majaji chini ya Ndunguru. Lissu yupo hatarini kuliko mnavyodhani

    Mmeona namna majaji wanaosikiliza kesi ya kubambikia ya Uhaini dhidi ya Tundu Lisu? Wanaendana na script ya profesaional stunt waonekane wanasimamia HAKI. Mara kadhaa wanaonekana wakikaripia upande wa mashtaka hata mashahidi wao. Lakini hakuna la maana wanalofanya. Amri zote walizotoa hakuna...
  18. H

    JamiiForums Tanzania Bora LISSU anyongwe kuliko samia Kuitwa Mahakamani

    Hilo ndio tafsiri ya Mawakili wa serikali. Na kwasababu pia ni serikali ndio imeajili Majaji na kuwalipa mshahara hawataweza kumwita. Tunajiuliza mkapa alipanda Mahakamani kutoa ushaidi wake waziwazi kwenye kesi ya balozi wake. Ata hakusita. Unajua kwanini? Raisi anasubiri hukumu atie saini...
  19. H

    JamiiForums Tanzania Bora Lissu kunyongwa kuliko Samia kukanyaga Mahakamani.

    Hilo ndio tafsiri ya Mawakili wa serikali. Na kwasababu pia ni serikali ndio imeajili Majaji na kuwalipa mshahara hawataweza kumwita. Tunajiuliza mkapa alipanda Mahakamani kutoa ushaidi wake waziwazi kwenye kesi ya balozi wake. Ata hakusita. Unajua kwanini? Raisi anasubiri hukumu atie saini...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    Kama inavyoonekana hapa Gen Z uwezo wenu wa akili umethibitika kuwa ni mdogo na hiyo ipo wazi tunaiona hata kwenye maisha ya kila siku. Hata hivi juzi kuna mhadhiri wa chuo kikikuu cha Dar es Saalam alieleza pia. Hivyo mnatakiwa mtuheshimu sana sisi kaka na dada zenu Millennial. This major...
Back
Top Bottom