Kikawaida na imezoeleka hivyo Mandela kuonwa kama shujaa wakiafrika ila ukweli makabulu wanacheka sana, katika hili shirika la kijasusi la kikaburu boss limeonekana shirika bora kwakuweza kulinda Mali na hali kwawatu wazungu wakikabulu, wameweza kuihadaa afrika kwakuwa wao walijua kuwa...
Nchi zinaongoza kwa Uhuru wa vyombo vya habari barani Africa.
Source: world press freedom index. Year. 2020.
1. Namibia
2. Cape varde
3. Ghana
4. South Africa
5. Burkina Faso
6. Botswana
7. Senegal
8. Madagascar
9. Mauritius
10. Niger
11. Seychelles
12. Cote D' ivore
13. Malawi
14. Tunisia...
BURIANI BI. ZAINAB SYKES
MUHIFADHI WA HAZINA YA NYARAKA ZA HISTORIA YA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Baada ya kupata taarifa ya msiba wa mama yangu Bi. Zainab Sykes baada ya mshtuko kupita niliinamisha kichwa nikarejea utotoni na nikajaribu kukumbuka mama zangu ambao kwa hakika nilikuwa na...
Kodi ni uti wa mgongo wa uchumi wa taifa lolote, lakini kodi nyingi zisizolipika ni chanzo cha kuanguka dola lolote duniani. Ukisoma historia madola mengi yalianguka baada ya watawala kuwatoza watawaliwa kodi kubwa zisizolipika ili kugharamia mipango ya serikali au matumizi binafsi ya watawala...
Vyombo vya habari huru humaanisha kuwa hakuna mtu anayepaswa kudhibiti na kushawishi utangazaji wake wa habari.
Hakuna mtu anayepaswa kuviambia vyombo vya habari ni nini kinachoweza kuingizwa na nini hakipaswi kuingizwa katika habari wanazozitoa. Inamaanisha kuwa vyombo vya habari havifai kuwa...
Siasa za Kenya ni kama unaangalia series ya Game of Thrones in real life, zinasisimua na zipo very unpredictable
Huyu jamaa Uhuru Kenyatta nilikuwa naumuona kama yupo civil, level headed, japo sikutegemea atakuwa perfect, kumbe huyu jamaa nae hana tofauti na wnasiasa wanafiki, madikteta na...
Hii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo).
Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku...
Baraza la mitihani nchini NECTA limekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya mwisho matokeo ya kidato cha nne.
Necta imewataka wananchi kupuuza taarifa hiyo kuwa shule 9 kati ya 10 zilizoshika nafasi za mwisho (umbwigi) zinatoka mkoani Mtwara.
Source: ITV...
Hivi inawezekana vipi Rais na Makamu hamuelewani lakini mpo wote tu madarakani?
Mimi sio Mtaalamu wa siasa lakini sioni kama kuna mwisho mwema hapa kwenye hili vuguvugu la Uhuru vs Ruto. Vijembe vinazidi kushika kasi kuelekea uchaguzi 2020. Uhuru anaulizwa ni nini kinamshinda kumtimua Ruto...
Mwendo ni ule ule
=====
Engineers work on MV Uhuru after it had stalled for approximately 13 years.
THE STANDARD
The Kenya Defence Forces (KDF) has unveiled a refurbished ship that it revived at a cost of Ksh250 million in the lakeside city of Kisumu.
A video shared by KDF on Sunday...
Mnamo 2013, Wa-Ukraine walikusanyika katika mitaa ya Kyiv kuelezea wasiwasi wao juu ya njia mpya ya nchi yao. Harakati za “Euro-maidan” kama zilivyojulikana, zilipinga msimamo mpya wa Ukraine unaounga mkono Urusi.
Rais wa Ukraine, Yanukovych, alisitisha ghafla kutia saini kwa makubaliano ambayo...
Kwa wenzetu majiji huwa yanaongozwa na mameya, mameya hawa huwa wanachaguliwa na wananchi.
Hawa ndiyo huwa wanasimamia mambo yote ndani ya jiji, elimu, afya, usafi, uchumi, miundombinu nk.
Ili kufanya hivyo sheria huwa zinayapa majiji uhuru mkubwa sana wa kuamua mambo yake na pia majiji haya...
Najua historia ina mambo mengi na mtu mmoja hawezi elezea yote. Tuelezee sehemu unayoifahamu. Mkusanyiko ukiwa mkubwa tutapata mwanga.
Tujuzane kuhusu historia ya elimu, siasa, uchumi, ulinzi, biashara, kilimo, dini, bunge, mahakama, habari, teknolojia, haki, ufugaji, uvuvi, uhalifu, madini...
Mwalimu Nyerere na wenzake walipambana na mkoloni siyo kwasababu walitaka nchi yetu ipate ama ijenge vitu la hasha.
Mwalimu Nyerere na wenzake walipambana na mkoloni siyo kwasabb walitaka kuunda serikali itakayo watisha watu na kuwafanya wawe na "heshima" kwa watawala.
Mwalimu Nyerere na...
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.
Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake...
President Uhuru Kenyatta granted Kenyan Citizenship to 1,670 members of the Shona community who relocated to Kenya from Zimbabwe between the 1930s and 1950s.
1,300 members of various Rwandese communities living in Kenya were also recognised.
The groups alongside the United Nations High...
Uhuru wa Mahakama unamaanisha kuwa kila jaji au hakimu yuko huru kuamua kesi iliyopo mbele yake kwa mujibu wa sheria na ushahidi ulioletwa mbele yake, na katika kutekeleza
majukumu hayo, hapaswi kuingiliwa, kushawishiwa, au kushinikizwa na mtu au chombo chochote, ikiwemo Bunge na Serikali kama...
Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu.
Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo...