Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.
Hawa wanawake wa mjini wanaozungumza wakitamka maneno kwa madoido kama wanameza ulimi ni vituko haswa.
Mtu anakaribisha kwenye biashara anasema karrlibu "chakurrla" badala ya "karibu chakula'' !
Unaweza kudhani wana ulemavu wa kushindwa kukaza ulimi mdomoni.
KETE ZA MAPENZI: HAKIKISHA MKEO AU MWANAMKE WAKO ANAWEKEZA KIUCHUMI KWENYE MAHUSIANO YENU. HII NI MBINU YA UHAKIKA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Unajua Pesa inauma kuliko mapenzi? Hili wengi hawalijui. Hasa wale watoto wadogo au wenye upeo mdogo.
Sehemu yoyote ambayo hukuweka pesa...
Habari wakuu
Hatimaye nimechagua kwenda kwa mzazi mwenzangu baada ya kutuma nauli 😁😁(Nlitakiwa kwenda tangu tar 23/nimetafuta sababu hadi imeishiwa zaidi ya kwenda) niliwaza kuila ila nikaona acha nichomoke kwa msela wangu.
Maamuzi yangu yamechagizwa pia na penzi jipya japo ni la muda mrefu na...
Kwenye mapenzi, chupi naona ni mtego Mkubwa kuliko chochote, mara akae vibaya uone chupi 😋, mtu kuja uchi wa mnyama inakata kinouma🚮
Kwa uzoefu nimeona kama vijinguo kama hivyo , weka na vikanga vya kiuchokozi vina vibe kuliko, bidada akitokea kama alivyo zaliwa.
Na lisiwe lile...
VIJANA, THAMANI YAKO HAIPIMWI NA KIASI CHA PESA ULICHONACHO. USIKUBALI KUINGIZWA KINGI NA WANAWAKE.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Vijana wengi leo wanaishi chini ya shinikizo kubwa ili kuthibitisha thamani yao kupitia pesa. Unaambiwa bila pesa huwezi kupendwa, kuheshimiwa au kuwa mwanaume...
Hawa viumbe, mbali na changamoto zao mbalimbali, wana baadhi ya sifa ambazo kwa kweli zinaweza kuwasaidia sana kimaisha.
Sifa ya kwanza: Wanawake wanajipenda.
Kihisia, kiuchumi na hata kwenye mazingira yanayowazunguka. Mara nyingi wanajipa kipaumbele kwenye mambo yanayowahusu na wanajitahidi...
Wakuu Habari zenu!
Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela.
Jamani tabia hii kwa wanawake imekuwa kero kuliko hata wale wanaoomba msaada barabarani. Bora hela yangu nimpe yule mtoto mdogo...
Hii sio habari njema, inakadiriwa 2080 idadi ya wanawake itapita idadi ya wanaume duniani. Kila uchao death rate inazidi kukua kwa sisi wanaume.
Chanzo : NBS
Kumekuwepo na ujumbe unaosambazwa kwenye mitandao , hususan WhatsApp, ukidai kuwa Umoja wa Mataifa (UN) ulitoa ripoti katika robo ya kwanza ya mwaka 2025 ikisema kuwa dunia ina watu bilioni 7.8, wakiwemo wanawake bilioni 5.6 na wanaume bilioni 2.2.
Ujumbe huo pia unadai kuwa UN iliwashauri...
YAani wanawake ni aibu kwa taifa. Tunaenda kutoa vitu vya muhimu kisa hamu ya mapenzi.
MJue tu hili unaenda kwa mpenzi wako mkifanya mapenzi hapo ni rahisi kutumia nyota yako na riziki yako.
Mf. Unalala na mtu hadi asubuhi mmekutana tu ukampenda .
Hujui usiku huo anahamisha nini ikifika...
Hii nilichelewa kuigundua aisee, baadhi ya wanawake wengi wanapenda wanaume machachali ambao wanatamaa ya tendo mda wote, na wanapenda ile siku ya kwanza tu unayokutana naye ukamuomba tendo na ukamlilia kabisa akakupe siku hiyo hiyo
Na ukimkuta yupo kwenye mood anaenda kukupa chap tu ...
Hapa nahema kwa nguvu kama nilikua nakimbizwa, nipo kwenye kikao cha wanawake aloo wamejua kufunguka khe!!! kubwa ni huu ujumbe nilopewa niwajuze, sikutakiwa niwaletee sasa hivi maana bado wanafunguka, ila mie na kiherehere changu nimetoka nje kama naenda maliwatoni, nimejibanza kwenye kiukuta...
Huu ni utafiti wangu hasa nilifanya kupitia mnyama fisi na nilibase kwenye mambo ya homoni za testosterone na progesterone
Ambapo fisi jike ana testosterone nyingi kuliko dume na uume pia
Hii theory nataka niifanye kazi kwa hawa wanaume wanaotetea sana wanawake katika kila jambo bila kuangalia...
Hellow wana Jf.
Saizi ukiwa road zikipita gari 15 basi ujue gari 10 mpaka 12 zinaendeshwa na wanawake.
Wanaume vipi wazee au tunafanya mazoezi ya kutembea na kuendesha bodaboda, bajaji/daladala?
Hizi sketi zinatuzidi wapi wakuu?
Nyie dada zetu mmelogwa? Ina maana nyie hamna akili za kuweza kutumia au kutunza pesa zenu wenyewe hadi mumkabidhi mwenzenu Mariam awawekee? Inashangaza sana. Kwa msiofahamu ni kuwa kwa sasa mtandaoni kumeibuka wanawake wengi wakiwemo wafanyabiashara wakubwa kama Nipher Cosmetics wanaomlaumu...
Guys, wallah leo nimechafukwa sana ukija hapa uje na akili timamu, nina kirungu changu ukileta uzwazwa nakubwenga cha utosi akili ikukae sawa,
Matukio ya ubakaji wanawake na watoto wa kike ni mengi hadi natetemeka lakini haya yote yanaletwa na wanaume wapumbavu wanaoangalia mwili wa mwanamke...
“Kuna kitu nimekuwa nikijiuliza…
kwa nini kwenye harusi au sherehe, wanaume huwa tunafika tunatoa pesa kama tumekuja kulipa deni la taifa? 😂
Kwa nini kwenye harusi au sherehe, ukiona watu wanatoa pesa nyingi sana kumtunza mtu, mara nyingi wanaume ndio tunaonekana mstari wa mbele? 😂
Lakini...
Huu umekuwa kama ulemavu sasa.
Kwa kazi yangu ya kukutana na Jamii moja Kwa moja nimekuwa mtu wa kajichanganye kwa watu wa rika zote, jinsia zote, levels zote, maskini, Hali ya Kati na matajiri, pia nimeweza kukutana na socialites, influencers, famous na cerebrilities.
Mada zao ni kula bata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.