wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Nusratt

    Wanawake Mlio Ndoani, Msibweteke, Single Ladies Tunawapa Salamu

    Dear Ladies mlio kwenye ndoa zenu, nawasalimu Sio kila mwanamke utakayemuona single huko mtaani kwenu basi unamchukulia poa kwa kumuona kama kakosa bahati kwa kuwa hajaolewa kama wewe. Wapo wanawake wengi wamekimbia miji yao na kuacha majumba na magari ya kifahari ili tu waweze kunusuru roho...
  2. Gusa Achia Inachosha

    Wanawake wenye ndevu changamoto kwenye mahusiano

    Wanawake wengi wenye ndevu wana ndani yao wengi wao viburi, jeuri na dharau. Hawa viumbe hawana unyenyekevi, utii wala heshima, jihadhari ukipata demu wa aina hii hawe fundi vipi umakini
  3. cutelove

    Hapa ndipo wanawake wengi tunapofeli

    Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata...
  4. Manfried

    Hivi kwanini baadhi ya wanawake wanaamini mambo ya kishirikina?

    Hivi kwanini wanawake wanaamini mambo ya kishirikina?. Na hapa manabii na wachungaji , mashekh na waganga wa kienyeji wamekuwa wakipiga sana hela. Mfano Carina alikuwa anaumwa ugonjwa wa kawaida Ila wakasema amerogwa this bullshit . Ni ujinga sana
  5. co fm

    Wanawake wa mjini, sijui nifanye nini! Ushauri

    Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio. Yeye akija kwangu hata kufanya usafi hakuna, kupika hakuna ila chakula mnakuwa mnanunua tu tena kwa bei kubwa sana ila pia vizinga...
  6. Eli Cohen

    Mademu wa kizungu bwana, vitu simple tu kama chocolate na maua anakuappreciate ila demu uliekutana nae mikorochini kila baada ya siku 2 anakuomba 20k

    Sijui ni tammaa, sijui ulimbukeni, sijui ni tabu, sijui ni mindset Anyway hivyo hivyo tutaenda.
  7. S

    Wanawake acheni kuwa na mionekano zaidi ya mmoja mnatuchanganya

    Unakuta mtu ni mmoja ila Facebook, Insta, E.T.C ana mionekano tofauti. Mtu ni mmoja asubuhi ni mweusi, usiku ni mweupe, asubuhi ni mwembamba😅😅😅. Kweli wanawake mna tabu sana.
  8. Mr Why

    Inawezekana Wanawake wana nidhamu ya pesa kuliko sisi Wanaume

    Inawezekana Wanawake wana nidhamu ya pesa kuliko sisi Wanaume, nilishuhudia kwa macho yangu Kikoba cha Wanawake Mpesa chenye zaidi ya milioni 100 katika makundi 10 Wanawake wananitisha sana kwenye maswala ya management ya pesa kwasababu nikama wana uwezo mkubwa sana wa kutunza fedha kwa muda...
  9. Megalodon

    Vijana wa Kiume Tujifunze namna ya kutofautisha Wanawake, Hasara ni kubwa

    Kama kijana wa kiume, jifunze kutambua kuna wanawake ni MAALUM kwa NDOA tu na kuna wanawake ni MAALUM kwa shahawati za mwili na starehe tu , Hata wao wanajijua hivyo. Ndio ipo hivyo duniani kote. Kushindwa kwako kutofautisha hilo kama mtoto wa kiume litakuletea shida kubwa kwenye future yako...
  10. Mr Why

    Huyu kijana Juma Lokole anapokuwa kwenye matukio ya kijamii hakai na Wanaume badala yake anaakaa na Wanawake

    Huyu kijana Juma Lokole anapokuwa kwenye matukio ya kijamii anakaa upande wa Wanawake badala ya kukaa na Wanaume Hii ni tabia mbaya sana hasa katika utamaduni wetu sisi Watanzania na kwa baadhi ya Mikoa mingine mfano Arusha, Kagera, Mwanza, Kilimanjaro, Mara inaweza kupelekea kupewa adhabu na...
  11. Faana

    Picha: Wanawake hawajaumbwa kutawaliwa na wanaume

    Je hii ni kwa wote au ni mtazamo wake? Anamaanisha kutawaliwa au kuongozwa Karibuni tujadili
  12. Father Mkananayo

    Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Kwa uzoefu wangu Hawa mabinti kuanzia umri wa balehe Hadi miaka25 au zaidi kidogo Huwa huwaambi kitu wakakusikia. Haijarishi wewe ni mzazi wake au kaka yake vyovyote vile hata kama wewe ni kiongozi wa Dini au Dr huwezi kumpa ushauri akakusikiliza na then akaelewa. Unapomshauri muda huo...
  13. Mshangazi dot com

    SPECIAL THREAD kuhusu Wanawake: Njoo uulize chochote kuhusu wanawake na sisi wadada na wamama wa JF tutakujibu

    Niulize mimi na wanawake wa jamvini chochote kuhusu masuala ya wanawake, afya zao, mienendo n.k na tutakujibu kwa uwazi bila kupindisha pindisha maneno. Feel free kuaddress swali lako directly kwa mwanamke wa JF kwa kumtag.
  14. GENTAMYCINE

    Ujue Mkoa ambao Wanaume wake wanaongozwa kutuma Nauli kwa Wanawake na hawaendi na Mkoa unaongoza kwa Wanawake kula Nauli walizotumiwa na Wanaume

    Wanaume wa Mkoa wa Mwanza wanaongoza kwa kuliwa Pesa za Nauli wanazowatumia Wanawake pale wanapowatongoza au kuwahitaji Kimapenzi na Wanawake wa Mkoa wa Kilimanjaro ndoyo Wanaongoza kwa kula Nauli wanazotumiwa na Wanaume ambao Wamewatongoza au wanawahiotajio Kimapenzi. Hii ni kwa mujibu wa...
  15. Bueno

    Wanawake Mjitafakari na Wanaume Usimpende Mwanamke kwa Kumuonea Huruma Utajiponza

    Km kichwa cha mada kinavyojieleza ningependa nieleze kwa ufupi sana sababu mimi sio mwandishi mzuri. Lakini ningeanza na wanawake mjitafakari sana mnapoingia kwenye mahusiano. Ipo hivi unakuta mwanamke ana umri 28+ jioni ile pale jua lishazama kashatembea kilometres nyingi kashaishi sana...
  16. M

    Wanawake wenye makalio makubwa ni kero kwenye vyombo vya usafiri vya umma

    Habari wakuu na hongereni kwa majukumu. Mimi ni kijana mpambanaji hapa mjini D'salaam. Kufupisha story hii siku ya jana nilipanda bajaji kutoka Mwanagati mwisho kuelekea Buza kwa mama kiponge baada ya kutembea hatua chache akapanda dada wa makamo hivi ana mzigo kama kichuguu ghafla kituo...
  17. Mshangazi dot com

    Wanaume ongeeni na wanawake zenu labda nyie watawasikiliza

    Huko kazini, nimekutana na case ya dada ametolewa cervix (mlango wa kizazi) kwa sababu ya kujifukiza na kujiingiza mavitu ukeni. Jamani, waambieni wanawake wasiweke vitu huko chini, athari zake ni kubwa na hakuna faida wala matokeo yoyote atayapata kwa kufanya hivyo zaidi ya kuwa na harufu...
  18. Mungu niguse

    Haji Manara yupo sahihi, Wanawake wana tabia ya kuwanyima chakula watoto au kuwalisha makombo

    Wakuu wanawake wana njaa Sana . Na hawana akili za kuwaza mbali Hajji Manara yupo sahihi , Wanawake wana tabia ya kuwanyima chakula watoto au kuwalisha makombo .
  19. Melki Wamatukio

    Sio siri wanawake wanaongea sana

    Kutokana na msongo wa mawazo nilionao, nikaona wacha nikajichanganye na watu ili kuepusha kujitundika kitanzi Nimejikuta naweka kituo kwenye kijigenge kimoja kidogo dogo. Kulikuwa na bodaboda watatu ila mmoja wao alikuwa na tabia zisizo za kuigwa na mwanaume wa aina yoyote ile duniani. Maake...
Back
Top Bottom