mwenge

Mwenge is a county of the Kyenjojo district in Uganda. It makes up the western half of the district. It contains twelve sub-counties and four town councils, namely:

Butunduzi
Katooke
Kyarusozi
Kyenjojo

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Watumishi wa Halmashauri kulazimishwa kuchangia pesa za Mwenge ni kero kubwa

    Wafanyakazi wa Halmashauri tunalazimishwa kuchangia fedha ya mwenge. Hii kisheria haiko sawa, Serikali inapesa ya kujiendesha na kufanya sherehe zake kama hizi bila Kuminya watumishi ambao vipato vyao ni vya chini sana. Usipolipia unahamishwa/unaitwa ofisi ya mkurugenzi ukajieleze.
  2. M

    JamiiForums Tanzania IGP barabara ya Morocco Mwenge kila siku kuanzia saa 11 Jioni mpaka saa 1 Ni majanga

    Ndugu IGP, siku hizi kila ikifika jioni saa kumi na moja mpaka saa moja jioni kuna foleni ya kutisha njia hii. Watu wanakaa hata masaa mawili.kutoka Morocco kufika Mwenge. Watu wanakushutumu wewe kuwa Msafara wako wa kutoka kazini, ni sababu mojawapo ya njia kufungwa, ili wewe upite. Hii ni...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Waziri katambi ina maana mpaka waziri wako mkuu kutumia chama na swala la mwenge umesitisha si umejumuisha CCM nayo.

    Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM. Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa. kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANROADS: Ni kweli Mkandarasi wa Mradi wa Mwendokasi Mwenge - Tegeta anasuasua, Serikali imechukua hatua za Kimkataba

    Uongozi wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) umetoa ufafanuzi kuhusu hoja ya Mdau wa JamiiForums.com aliyeandika Ujenzi wa Mwendokasi Mwenge -Tegeta utakamilika lini? Ni kweli Mkandarasi ana vifaa vichache, wafanyakazi hawatoshi? UFAFANUZI WA TANROADS: Serikali kupitia TANROADS inatambua...
  5. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Sielewi kinachojengwa pale Mwenge, kwanini hawamalizi?

    Hiki kipande cha Barabara ya Sam Nujoma kutokea Mwenge hadi Mlimani hadi kule karibia na simu2000 why hakikamiliki? Kipande cha Mwenge Tegeta jamaa sijui wanajenga vipi yaani nashindwa kuelewa watamaliza lini maana ni kero Ule mradi ukikamilika utasababisha foleni kubwa sana Sam Nujoma hakua...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Wilaya ya Chato inachangisha pesa kwa wafanyabiashara kwa ajili ya Mwenge. Wakusanyaji wanaongozwa na mtendaji wa kijiji

    Halmashauri ya wilaya ya Chato inachangisha pesa kwa wafanya biashara kwa ajili ya mwenge. Wakusanyaji wanaongozwa na mtendaji wa kijiji Soma Pia: Viongozi wa Kijiji cha Mlimba B, Halmashauri ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero mkoani MOROGORO wananyanyasa wananchi Manyara: Mtendaji wa Kijiji...
  7. kimsboy

    JamiiForums Tanzania KERO Lugalo hadi Mwenge kuna foleni balaa

    Kama una mpango wa kuja Mwenge ukitokea Tegeta au mbezi au Kawe tafuta njia nyingine tu Kuna foleni ya kutisha na haisogei nimekaa hapa ni lisaa limekata hakuna matumaini ya kusogea hata, natamani hata nilitelekeze gari nichukue boda maana kuna mahali natakiwa kuwahi... Hii ya leo ni...
  8. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Mwenge

    Plot For Sale at Mwenge. Location: TRA rd/Mazwile st, opposite Kenton High School. Size: 1154.5061 SQM (12,427 SQFT). Land use: Commercial/Residential. Price: TZS 2.4B, Negotiable. Document: Title Deed. For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu Tumechoka na michango ya Mwenge

    Ndugu wana jukwaa, Leo naomba nilete hii hoja kwenu. Sisi waganga wa Tiba asili au waganga wa Kinyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima Kwa ajili ya Mwenge. Kila Mwaka tumekuwa tunachangishwa tena Kwa lazima, usipochanga unawekewa vikwazo na vitisho kibao. Kila Mwaka...
  10. K

    JamiiForums Tanzania KERO Waganga wa Kienyeji Simiyu tumechoka na michango ya Mwenge

    Ndugu wana jukwaa, leo naomba nilete hii hoja kwenu. Sisi Waganga wa Tiba Asili au Waganga wa Kienyeji Mkoa wa Simiyu, tumechoka na michango ya lazima kwa ajili ya Mwenge. Kila Mwaka tumekuwa tunachangishwa tena kwa lazima, usipochanga unawekewa vikwazo na vitisho kibao. Kila Mwaka...
  11. EricMan

    JamiiForums Tanzania KERO Nimekuja kutembea kijijini, nimeambiwa nichangie Tsh. 1,000 ya Mwenge, ni sawa?

    Nipo kijijini nimeenda kwa Mwenyekiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuwa natakiwa kutoa shilingi elfu moja ya mchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi? Mwenye ujuzi anijuze.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba na sebule maeneo ya Mwenge mpaka Mbezi Africana

    Wakuu, natafuta nyumba ya kupanga self-contained kiwe chumba kimoja na sebule. Maeneo ya Mbezi Africana kurudi mpaka Mwenge na Kawe. Isiwe mbali na barabara kuu. Meter ya maji na Luku ya umeme kujitegemea. Itapendeza ikiwa ndani ya geti na yenye sehemu ya kuegesha magari ndani. Budget...
  13. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Ni ndoto za alinacha kujenga Flyover Mwenge na Morocco

    Nimeona mtandsoni waziri Wa Ujenzi, Bw Ulega akijipigia sound at serikali itajenga Flyover Mwenge na Morocco. Kama mkazi wa Dar, nikikumbuka hizi sinkelele za kwanzankuzisikia. Zaidi ya miaka mitano iliyopita tulisikia kuwa kuna Flyover tano zitajengwa Dar. Flyover hizo ni Mwenge, Morocco...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mchango wa Lazima wa Mwenge ni kero

    sisi watumishi wa Hospital ya mji kondoa tuna lazimishwa kuchangia mchango wa mwenge shilingi 5,000/= kwa kila mtumishi kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Mji Kondoa. Mfano, Tarehe 07/05/2026 tumepewa posho za masaa ya ziada ila wametukata kwa lazima mchango wa mwenge tulipo uliza...
  15. SamuraiJack

    JamiiForums Tanzania HOJA Mwenge wa Uhuru: Fahari ya Taifa au Gharama kwa Taifa?

    Mwenge wa Uhuru uliwekwa juu ya Mlima Kilimanjaro tarehe 9 Desemba 1961, siku ya uhuru wa Tanganyika, ukiashiria uhuru, utaifa, amani na matumaini ya taifa jipya. Tangu hapo, mwenge huo umekuwa ukizunguka nchi nzima kila mwaka kwa ajili ya kuhamasisha maendeleo, kuimarisha umoja wa kitaifa...
  16. T

    JamiiForums Tanzania HOJA Katikati ya crisis ya mafuta ambayo hatujui tunatokaje tunateketeza mamilioni ya Lita za mafuta kukimbiza mwenge

    Ikiwa rais alisema anapunguza milolongo ya misafara yake ili kubana matumizi ya mafuta huu mwenge unakimbizwa kutumia nishati gani? Ni kwa nini katika kipindi cha crisis kama hiki tuendelee kufuja pesa za wananchi kulipia mwenge?
  17. D

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bilioni 1.82 watembelewa na Mwenge Ubungo, DAWASA yapewa kongole

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetakiwa kuhakikisha inakamilisha miradi ya maji kwa wakati ili wananchi waweze kunufaika na huduma hiyo muhimu bila ucheleweshaji. Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, ndugu Wazo Mwang’onda, wakati...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mkandarasi anayejenga Barabara ya Mwenge - Tegeta ajitahidi kumwaga maji. Atatuua kwa vumbi

    Hebu Tusaidie kupaza sauti Mkandarasi anayejenga Barabara kutoka Mwenge Mpaka Tegeta a jitahidi kumwaga maji atatuua kwa vumbi.
  19. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Plot For Sale at Mwenge TRA

    Plot For Sale at Mwenge. Location: TRA rd/Mazwile st, opposite Kenton High School. Size: 1154.5061 SQM (12.427 SQFT). Land use: Commercial/Residential. Price: TZS 2.4B, Negotiable. Document: Title Deed. For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will...
  20. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Plot For Sale at Mwenge

    Plot For Sale at Mwenge. Location: TRA rd/Mazwile st, opposite Kenton High School. Size: 1154.5061 SQM (12,427 SQFT). Land use: Commercial/Residential. Price: TZS 2.4B, Negotiable. Document: Title Deed. For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will...
Back
Top Bottom