Shadrack Mwadime
Serikali imeanzisha zoezi la kusafisha sekta ya makampuni binafsi za uwakala wa ajira kwa lengo la kufanya iwe na ufanisi zaidi, uwazi, na kuhudumia vizuri Wakenya wanaotafuta fursa za ajira nje ya nchi, amesema Katibu wa Wizara ya Kazi Shadrack Mwadime.
Mwadime amesema...
Chama cha walimu kilianza miaka ya 2000 kikiongozwa na baadhi ya viongozi akiwemo Magreth Sitta aliyepokelewa kijiti hicho na ndugu Gratian Mkoba.
Ni katika kipindi cha miaka ya 2010's ndipo chama kilianza kuweka mipango na dira ya maendeleo ya chama kwa kutumia michango ya walimu kama ilivyo...
Hii ni benki chini ya JIJI LA DAR ES SALAAM, ni benki ya siku nyingi ila tabia zake haziendani na matakwa ya RAIS SAMIA kuwapunguzia mzigo wafanyakazi wanaokopa kujikwamua kiuchumi!
Benki hii ndio yenye riba KUBWA 19% wakati benki zingine zina 16% kushuka chin mpaka 11%
Ukiwaambia wakupunguzie...
Wakati wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa walipozungumza mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wiki iliyopita, baadhi ya Viongozi wa Afrika hawakuweza kuhudhuria, baada ya kuondolewa madarakani katika mapinduzi ya kijeshi.
Mataifa haya hayashiriki mambo mengi yanayofanana nje ya...
KUFIKIA HAKI, UHURU, NA AMANI YA KWELI: VITA DHIDI YA UKANDAMIZAJI NA UNYONYAJI
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Haki, uhuru, na amani ya kweli ni mambo muhimu katika maisha ya kila mtu. Haki inahusu haki za msingi za binadamu, kama vile haki ya kuishi, haki ya kujieleza, na haki ya usawa...
Wasalam wana ndugu TZ ni ngumu lakini yabid tupambane nayo maana ndiyo nchi yetu pendwa.
Leo nimekuja kwenu bila ihana pia sikatai kukosolewa maan sijui kila kitu ila nakuja kwa jambo na hoja ya msing ya mifuko ya jamii kama PSSF na NSSF.
Jamani serikali tunaomba mzingatie mambo kwenye kulipa...
Wazima nyote?
Nikienda moja kwa moja katika mada. Jamani kwanini watanzania tuna nyonyana sana? Hasa viongozi, tajiri anamnyonya mtu wa hali ya chini.
Juzi kati nilienda kufanya mishe Fulani katika kiwanda cha konyagi yani nikawa napewa habari na vijana wa pale ambao kwa pale nikama vibarua...
Shirikisho la mpira wa miguu hapa nchini limetoa taarifa ya mapato ya Mchezo wa watani wa Jadi Simba na Yanga ambao ulifanyika jumapili iliyopita tarehe 16/4/2023, wadau mbalimbali wametoa maoni yao kufuatia timu mwenyeji (Simba)kuambulia sh 188,987,181.10 tu katika mapato yote yaliyopatikana...
Watoto ni waathiriwa wakubwa wa kazi za kulazimishwa/utumikishwaji katika sehemu nyingi duniani. Utumikishwaji ni hali ambapo watu wanalazimishwa kufanya kazi kinyume na matakwa yao, kwa vitisho vya adhabu, vurugu n.k.
Watoto wako katika hatari ya kutumikishwa kwa sababu mara nyingi hawawezi...
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.
Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu
Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa...
Katika mishahara ya watumishi wa umma, kuna makato ya lazima ambayo ni PAYE, Bima ya Afya, Makato ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii na makato mengine ya kujiunga kwa hiari kama ya vyama vya wafanyakazi, nk.
Nachojiuliza, ni sahihi mshahara unapopanda na makato haya kupanda automatically?
kwa maneno...
Habari!
Unyonyaji unaanzia kwenye tangazo la kazi
Ukisoma tangazo lolote la kazi za serikali hasa ajira za kudumu utaona sehemu moja wameiandika kiwango cha mshahara kimafumbo, wenyewe wanaita kimuundo.
Mfano,: TGS D, TGOS A, TPAS D, TANAPA 4, TGTS C n.k, n.k.
Kama nia ni kuficha kiwango cha...
Utangulizi
Moja kati ya nyanja zinazo ongoza kwa kunyonyaji wateja wake (watumiaji) katika nchi yetu pendwa ya Tanzania. Basi huwezi acha zungumzia makampuni ya simu za mawasiliano ya hapa kwetu Tz Zifuatazo ni kelo tunazo kutana nazo watumiaji wa mitandao hii hapa tanzania.
1. Kukosa haki...
Hivi hii kampuni kuanza kukata makato ya shilingi 10000 badala ya 1000 ya makato ya kodi ya majengo ina maana gani , maani ni tofauti na agizo la Serikali kuwa kodi ya italipwa majengo kwa makato ya shilingi 1000 kila mwezi kwa miezi kumi, sasa huu utaratibu wa kukata 10000 , na kila mwezi 1000...
Nineajiriwa kwenye shirika moja la serikali ambalo tunahudumia wafanya biashara kadha na kadha, nipp lwenye kitengo cha accounts kwa hio wengi wao najua hali zao kwenye faida, madeni, sales, n.k.
Katika moja wapo ya wafanya biashara kuna mfanya biashara kiukweli yupo fresh, si haba, nje ya...
Kwenye mapenzi ubunifu hauishi, hata hatujamalizana vizuri na utundu wa kufinyiwa kwa ndani (utalia kama mtoto 😁), Lishaibuka jipya saizi kuna utundu mpya umebuniwa.
Pipi Hizi hutumika pale wapenzi wanaponyonyana mdomoni (denda) au mmoja wao anapomnyonya mwenzake sehemu zile (wanawake wanaimbia...
Burudi imezuia upelekaji nje aina ya madini adimu ( rare earth) mpaka suala la kupata faida yenye usawa kwa serikali na mwekezaji linafikiwa. Hayo yamesemwa na Waziri wa maji, nishati na madini nchini humo, Mheshimiwa Uwizeye kupitia barua aliyoliadikia kundi la makampuni ya uchumbaji madini...
Najaribu tu kuwaza,kwamba Klabu ya simba inalipa wachezaji, benchi la ufundi, n.k mamilioni ya pesa,ina mdhamini wake ni tajiri kabisa hapa Afrika lakini leo nimepigwa na bumbuwazi bada ya mambo kuwa wazi kwamba msemaji mkuu wa simba analipwa hela ndogo ambayo hailingani na hadhi na mchango wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.