Katika familia inatarajiwa Baba akiyumba, basi Mama amuimarishe Baba, Mama akishindwa na yeye akayumba vile vile, basi Watoto wawaimarishe wazawa wao, lakini kama imeshindikana kabisa watoto kufanya hivyo na wao wakayumba vile vile, angalau basi Wajukuu wawaimarishe hawa ndugu zao.
Je, ikitokea...