watoto

Watoto Church, formerly Kampala Pentecostal Church (KPC) is an English-speaking cell-based community church located around East Africa and headquartered in Kampala, Uganda. The vision of the church is "an English speaking cell-based community church, celebrating Christ, growing and multiplying as each one reaches one, touching those around us with the love of Jesus, bringing healing to the cities and the nations." Watoto means "the children" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Terrible Teen

    JamiiForums Tanzania Samahani Rais, Unajisikiaje unapokula nyama, ama unapokaa na Watoto na Wajukuu zako?

    Mheshimiwa Rais, naomba kuandika kwa ufupi sana. Kutekwa kwa Polepole , Mdude na hata kuuwawa kwa Mzee Kibao kuliacha damu nyingi sana ikimwagika, naomba kukuliza Mheshimiwa mwenye jukumu la kwanza la kulinda uhai wa watu wako, huwa unajisikiaje kula nyama kama chakula huku ukikumbuka wetu wako...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujumbe wangu wa Kuwatia Moyo Wazazi Wanaolea Watoto Peke Yao(single parents)

    "Wewe ni shujaa unayepambana kila siku bila ngao. Upendo, nguvu, na ustahimilivu wako unajenga mustakabali wa watoto wako, hata pale unapohisi umechoka au haitoshi. Kumbuka kuwa kila tone la jasho lako na kila tabasamu unalolazimisha kwa ajili ya watoto wako ni ushahidi wa ukubwa wa moyo wako...
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single maza bwana, yaani baada ya kukurudisha kwenye chati ndo umeamua kumrudia baba watoto wako

    Nilikukuta umechoka mbwa wewe unalala sebuleni kwa rafiki yako eti umetoka huko ulikotoka kuja kutafuta kazi baada ya kuzalishwa watoto wawili uliowaacha kwa mama yako. Nikakupenda kutokana na ucheshi na heshima ulikuwa ukinionesha kwenye nyumba tuliopanga mimi na rafiki yako. Bwana...
  4. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Kwanini watoto wa siku hizi hamlewi?

    Kizazi hiki asa hivi hakitumii pombe kabisa labda mtuambie sie baba zenu mnatumia nini nyinyi mibangi au mnapemesa nyie,sio kawaida mtaani watu hawayumbi tena kama zamani na mikao ya pombe imekuwa michache kwanini? Kwa takwimu za miaka minne iliyopita inaonesha kuwa makampuni ya pombe yamepata...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Mbunge Anne Kilango: Wazazi hatuwapi watoto nafasi, tunabaki kulalamika nchi ina majambazi

    Mbunge wa Jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akizungumza Bungeni leo Juni 22, 2026, amewataka Wazazi kuchukua Jukumu la kuwale watoto hasa katika kipindi cha umri wa 0 hadi miaka 18 ikiwa ni kipindi cha kumjenga Mtoto Kiakili. "Nina wasiwasi na malezi na makuzi ambayo tunawapa...
  6. Surya

    JamiiForums Tanzania Tukiwa watoto tulifundishwa Uvimilivu mmoja wa pekee

    Siku mgeni akija home kuna ile siku mzazi akijipata mfukoni na pesa ya kinywaji kimoja tu cha mgeni, na kwasababu ana tamani sana kumpokea vizuri mgeni wake, na kumpa chochote kitu, basi soda ilikua ni kitu kizuri kwa macho na kitamu mdomoni... Tunaita Kinywaji laini. Sasa hapo Mtoto ilikua ni...
  7. Stability

    JamiiForums Tanzania Twende na ukweli haujawahi ku-date na mdada mwenye makalio makubwa zaidi ya miezi 7

    average ya muda mdada mwenye makebo makubwa kukuvumilia ni miezi mitatu hadi sita, kuongeza na mwezi mmoja wa wewe kulia lia ili mrudiane ni miezi 7. Ukiona mdada mwenye makebo makubwa yupo na wewe mwaka mmoja hadi miwili ujue ana pata uhuru wa wewe kutomfatilia na yeye kuridhika na mfuko wako...
  8. dogman360

    JamiiForums Tanzania Kuzaa watoto ukijua huna hela za kuwalea ni ubinafsi wa hali ya juu sana, hata Mungu hawezi kukubariki

    "Kuzaa watoto ilhali unajua huna uwezo wa kuwalea ni aina ya ubinafsi wa hali ya juu. Watoto wengi wanateseka huko nje kwa sababu ya maamuzi yasiyoandaliwa vizuri. Kabla ya kuleta mtoto duniani, ni muhimu kuwa na uwezo wa kumlea, kumtunza na kumpa maisha yenye staha. Tuwe na utu, uwajibikaji na...
  9. AXIOM APEX VERBOSE

    JamiiForums Tanzania Mama ajifungua Watoto Mapacha Watano Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Wakuu, Nimeisikia hii taarifa kwamba kuna mama kajifungua watoto mapacha watano hospitali ya Taifa Muhimbili.
  10. min -me

    JamiiForums Tanzania Je wajua , kwanini diaspora wengi toka Africa , wapo nnje ila wanafanya michongo ya pesa kutokea Africa !

    Je wajua , kwanini diaspora wengi toka Africa , wapo nnje ila wanafanya michongo ya pesa kutokea Africa !!! Na hawataki kutoka nnje kuja Africa ? Ukweli ni kwamba ukiwa nnje ya Africa unaona fursa nyingi na michongo ya pesa iliyopo Africa 😑 Ukishakuja Africa tu akili inaanza liwa na...
  11. boufer

    JamiiForums Tanzania Kero ya utaratibu wa madrasa kurudisha watoto wadogo nyumbani usiku

    Juzi wakati narudi nyumbani mida ya saa 1 usiku nilikutana na vitoto viwili vya kike vimeshika juzuu nikauliza mnatoka wapi mda huu, wakanijibu wanatoka MADRASA, aisee kwa ule mda nilishindwa kuvumilia nikaenda nao hadi kwa WAZAZI wao, nikawauliza wazazi hawaoni hatari kwa watoto wao kutembea...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Masikitiko makubwa watoto wadogo kuchinjwa na kutupwa porini

    Huku ndiko CCM ilikotufikishwa. Sikiliza clip hii, inatia simanzi isiyo kifani
  13. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unajichelewesha mwenye mimi kuwa baba wa watoto wako

    Nakuvizia kwenye nyumba za ibada, hutokei Nakupigia simu, hupokei Nakutumia ujumbe wa simu, hunijibu Nakuandikia barua, hunijibu Nakutumia vocha, hunipigii Nakutumia hela ya matumizi, hushukuru Sasa mimi nifanyeje; endelea kujichelewesha mwenyewe, mimi kuwa baba wa watoto wako.
  14. Dumas the terrible

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya:Taarifa ya Watoto watatu kufariki baada ya kupata sindano ya chanjo Iringa!

    Habari wakuu kuna taarifa nimepata kutoka kituo cha afya Isimani ikisema kuna watoto watatu wamefariki Dunia baada ya kupata sindano ya chanjo, Tunaomba kama kuna taarifa za kina Wizara ya Afya na mamlaka toka huko waje waitolee ufafanuzi maana kuna taharuki kubwa imezuka na hatua zaidi...
  15. MamaSamia2025

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaolipa kodi za nyumba, chakula na ada za watoto huku mkiwa na waume nyumbani wenye afya njema, mmechanganyikiwa? Are you stupid?

    Mbaya zaidi wengine mnawalipia hadi madeni yao binafsi. Acheni upuuzi. Kuna baadhi hadi mnapokea vipigo. Usiingilie majukumu ya mwanaume. He has to provide for his family.
  16. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Watoto wanaozaliwa baada ya 2025 wataishi Maisha yao bila Degree, Ofisi, au Pensheni: Imeandikwa na Elia Wilinasi Sikanyika

    Anaandika Elia Wilinasi Sikanyika Watoto watakaozaliwa baada ya mwaka 2025 watakua katika dunia ambayo AI imejengeka ndani ya karibu kila mfumo wa maisha, ikibadilisha namna elimu, ajira, kazi, biashara, na hata mfumo wa kustaafu unavyofanya kazi. Njia tulizozoea kwa miongo mingi kusoma kwa...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wakati wa maandamano ya ukombozi simu nyingi za wazazi zililia kuwaambia watoto wao wasitoke na wabaki ndani wasije wakauawa

    Hamjambo Wote! Wazazi wengi waliwatia uoga vijana wao. Simu zilikuwa zikiita kwa vijana zikiwaonya wasitoke. Wabaki ndani. Makundi sogozu ya kindugu yalikuwa na hofu. Hakuna kujadili mambo ya kisiasa. Huku msisitizo mkuu ukiwa vijana wasitoke ndani siku hiyo. Vijana wabaki ndani. Nakumbuka...
  18. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Je, Ni Sahihi Watoto wa Darasa la Kwanza Kulazimishwa Kwenda Shule Kipindi cha Likizo?

    Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na tabia inayozidi kuonekana katika baadhi ya shule binafsi hapa Dar es Salaam ambapo wanafunzi, hata wale wa Darasa la Kwanza wenye umri wa miaka sita au saba, hulazimishwa kuhudhuria masomo ya ziada wakati wa likizo. Hali hii inazua swali muhimu: Je...
  19. Pendaelli

    JamiiForums Tanzania Swali kwa wazazi wenye watoto wakubwa

    Nimekaa hapa nikiwaza baada ya siku kwenda ndivyo sivyo! Soon naelekea kwenye utu uzima mkamilifu, nika waza siku mtoto wangu akiwa mtu mzima wa kujitegemea akisha kuwa na maisha na familia yake , hivi kwenye contact nita m save kwa jina gani . Jina lake la kuzaliwa , ama title yake kwangu...
  20. Mbabani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenu wazazi wenye watoto wa kike

    Wazazi kuna jambo ambalo inabidi leo mlielewe ama mlizingatie wakati wa kuozesha binti zenu. Kuna kasumba ya kutajiana mahari kubwa halafu mnaanza kuvutana kama vile mnauziana bidhaa. Sasa ni hivi mnapotaja mahari za watoto wenu muwe mna uhakika zinaendana na thamani ya binti yako, usitaje...
Back
Top Bottom