Nakuvizia kwenye nyumba za ibada, hutokei
Nakupigia simu, hupokei
Nakutumia ujumbe wa simu, hunijibu
Nakuandikia barua, hunijibu
Nakutumia vocha, hunipigii
Nakutumia hela ya matumizi, hushukuru
Sasa mimi nifanyeje; endelea kujichelewesha mwenyewe, mimi kuwa baba wa watoto wako.