mshahara

  1. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Je, mshahara wako unaendana na gharama za maisha za sasa? Simenti nayo yapaa bei

    Watanzania wanapaswa kujiandaa kwa bei ya juu ya saruji baada ya wazalishaji wakuu kutangaza nyongeza mpya ya bei, hatua inayotarajiwa kusukuma gharama ya rejareja ya mfuko wa kilo 50 zaidi ya Sh18,000 katika baadhi ya masoko. Marekebisho hayo, yanayoanzia Sh500 hadi Sh650 kwa kila mfuko kabla...
  2. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Mkeo akikuomba ruhusa ya kufanya kazi ya “Adult livestreaming” kwa mshahara wa milioni 2 kwa mwezi, utakubali?

    Mfano mke wako au mchumba anakwambia anataka afanye kazi ya online live streaming kwenye majukwaa ya watu wazima.hakuna kukutana na mteja yeyote ana kwa ana anafanya kila kitu akiwa chumbani nyumbani kupitia kamera. Wateja wote ni wa nje ya nchi na atakuwa analipwa takribani 70k kwa siku masaa 4...
  3. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Mshahara ukitoka tu nakuwa na wenge na akili haitulii inawaza kwenda tu bar kunywa pombe

    Mambo vipi wakuu? Leo nimekuja na shida yangu kubwa ni ulevi uliopindukia wa pombe kali kuna muda hadi narudishwa nyumbani na watu maana nikianza kunywa tu naweza fululiza ata siku mbili na kula unakuta nashindwa,yaani nimejaribu kuacha nimeshindwa kuna kipindi nimewahi pia kuomba ushauri na...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Profesa Musa Assad: Mshahara Wangu Ulikuwa Million 7 Na baada ya Makato Ulibakia Million 5 , Gari Zuri V8 na Marupurupu Mazuri.

    Ndugu zangu Watanzania, Aliyekuwa CAG wakati wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli Profesa Mussa Assad Amesema ya kuwa Mshahara wake kabla ya Makato ulikuwa ni Milioni 7 . Ambapo Baada ya Makato alibakiwa na Million 5. Amesifia Nafasi hiyo kwa kusema ni nafasi yenye marupurupu manono,Gari...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Ostaz Juma Namusoma amesema aliacha kazi ya U Imamu wa msikiti uliopo Ilala Masjid Shafii kwa sababu mshahara wa uimamu ni 30,000. Waislamu hii aibu

    Haya ni maneno kutoka kwa USTAZ JUMA MANUSOMA kutoka kwenye page yake ya mtandao wa kijamii Tik tok anasema "Huu msikiti unaitwa Masjid Shafii. Nimewahi kuwa imamu na sheikh katika msikiti huu kwa kipindi fulani huko nyuma. Nililazimika kuacha baada ya kuona mshahara niliokuwa nalipwa ulikuwa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli posho ya kikao kwa mmbunge ni shilingi laki nane? Yaani sawa na mshahara wakati wa mtumishi wa serikali?

    Nimemsikia mwanasiasa mmoja wa chama cha upinzani CHADEMA kwenye Moja ya mikutano yake akisema posho ya mmbunge mmoja Kwa kikao ni shilingi laki nane. Mimi kulagha siamini kama hilo linaweza kuwa kweli Kwa jinsi viongozi wetu walivyo wazalendo, hawawezi ruhusu jambo hilo lifanyike katika nchi...
  7. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Heche: Mbunge analipwa per diem na allowance Tsh. 800,000 kwa siku, mshahara wa Tsh. 18 milioni kwa mwezi

    Duh, kama ni ukweli basi tumekwisha, kuna vitu hapa Tanzania ni bora usivijue tu, maana ukivijua utapata pressure ya bure, imagine nchi maskini, Raia wanashindwa kuafford vitu vya msingi, lakini kuna mtu mmoja pale bungeni anakunja zaidi ya mamilion, bunge la budget ni siku 90, laki nane kwa...
  8. Smart Eagles

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi Morogoro Mjini Mshahara 180,000/= + Internet ya bure

    Anahitajika binti mwenye uwezo mkubwa wa kutumia simu na computer. Ofisi yetu inafanya kazi 2 ambazo ni kutoa huduma ya internet Morogoro mjini na kukata tiketi za treni ya SGR. Anahitajika mdada smart anayefahamu kutumia computer na simu vizuri, awe sharp na asiye na hasira za hapa na pale...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Housegirl alipwe Mshahara wa elfu 80 hadi laki 3

    Shirika la kutetea haki za Wafanyakazi wa majumbani la Wote Sawa chini ya Mkurugenzi Mtendaji wake Angela Benedicto, limesema Serikali imetoa tangazo ambalo utekelezaji wake umeshaanza ambalo linamtaka mwajiri aliyeajiri mfanyanyakazi wa nyumbani (house girl) na haishi kwako, umlipe mshahara wa...
  10. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe. Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Elimu ya MsingiNGAZI YA MSHAHARA: TGTS CKITUO NILIOPO: Tabora Municipal Council (Tabora MC) – Makao makuu ya mkoa, huduma na miundombinu iko vi

    ELIMU: Elimu ya Msingi NGAZI YA MSHAHARA: TGTS C KITUO NILIOPO: Tabora Municipal Council (Tabora MC) – Makao makuu ya mkoa, huduma na miundombinu iko vizuri sana. KITUO UNACHOHITAJI: Dar es Salaam (Halmashauri yoyote: Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo, au Kigamboni) MAWASILIANO: 📞 0620282169...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kilio cha Wafanyakazi wa TAZARA baada ya mwaka kupita bila marurupu na baadhi yao mishahara

    Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, tunaomba utusikilize sisi wafanyakazi wa Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) upande wa Tanzania. Takribani mwaka sasa hatujalipwa baadhi ya stahiki zetu muhimu, ikiwemo mshahara wa mwezi wa nne mwaka 2025, allowance za miezi ya 8, 9 na 10 ya mwaka...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Dereva Arusha: Unafanya kazi ya Kanisa mshahara ni Haleluya

    Wakazi wa Jiji la Arusha wamejikuta wakipata adha kubwa ya usafiri baada ya baadhi ya madereva wa daladala kugoma kuingiza magari yao barabarani wakipinga kile walichodai kuwa ni manyanyaso kutoka Land Transport Regulatory Authority (LATRA). Mgomo huo ulioshuhudiwa leo Jumatatu Mei 25, 2026...
  14. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Kwenye mshahara wako ukisave kila mwezi 700k unabakiwa na tsh ngapi?

    Wakuu katika hali ya kujikwamua kimaisha kwa sisi waajiriwa saving ni muhimu sana. Kwa sisi ambao hatuna posho yeyote ni mshahara tu ni changamoto kwa kweli, sasa mimi katika dodoso zangu nimeonelea ili niweze japo kufikia malengo japo kwa 40% ninahitaji kusave 700k kila mwezi kwa muda wa miezi...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kutohama kwa Mshahara wa Mtumishi baada ya kuhama kutoka halmashauri moja kwenda nyingine

    OW-TAMISEMI wanatumia vigezo gani kuhamisha mishahara na taarifa za utumishi? Kama wanataka rushwa waseme ili niwatumie wanihamishie taarifa zangu, haiwezekani mwaka wa pili huu tangu nihamie halmashauri nyingine lakini taarifa na mshahara zinasoma halmashauri nilikotoka hii siyo sawa...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa Kampuni ya Lake Lubes ya Kigamboni, Vijibweni tunalipwa chini ya kiwango

    Ni kuhusiana na agizo la serikali kuhusu kima cha chini cha mshahara kuwa shilingi 308,000. Pamoja na maelekezo hayo kutolewa na kurudiwa mara kadhaa, kuna baadhi ya makampuni bado hayatekelezi kabisa. Mfano, kampuni ninayofanyia kazi—Lake Lubes iliyopo Kigamboni, Vijibweni—hadi leo hawajaongeza...
  17. Sakwe

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Wakuu na wasilimu sana ! Bila ya kupoteza muda mimi ni mwalimu wa shule moja ya private huku kijijini ndani ndani na muhitimu wa shahada ya ualimu masomo ya arts(Sanaa). Lengo la uzi huu kwa wanajamvi ni kuwa uliza hivi kweli kwa kipato hiki cha laki 250,000 ntaweza kutoboa kimaisha kweli...
  18. A

    JamiiForums Tanzania RESOLVED KERO Watumishi Wapya VETA: Miezi 2 Bila Kazi Wala Mshahara

    VETA Habari za wakati huu. Mimi ni mmoja wa watumishi wapya walioajiriwa na Veta tarehe 19/02. Baada ya kufika makao makuu Dodoma na kukamilisha zoezi la kusaini mikataba ya ajira, tuliombwa kusubiri maelekezo ya kupangiwa vituo vya kazi. Hata hivyo, hadi sasa zimepita takribani miezi miwili...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi wa TANESCO Kazi Maalumu – Katavi tunacheleweshewa sana mshahara

    Mimi ni mfanyakazi wa TANESCO wa kazi maalumu S.T.E (Specific Task Employee) kutoka Mkoa wa Katavi viongozi wetu wa juu wa Shirika wasikie ujumbe huu ili watusaidie maana tunapitia changamoto ya kucheleweshewa mishahara. Tunapaswa kulipwa kila baada ya siku 10 lakini inapita hata mwezi bila...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Kutopewa mshahara Kwa wakati

    Mimi ni mmoja wa wafanyakazi katika taasisis moja wapo inaratibiwa na HJFMRI hawa wamechelewesha mshahara , Mshahara wetu WA mwezi wa nne mpaka Leo hatujapata na tukijaribu kuuliza halmashauri ya mbeya inajibu payroll yetu ishawasilisha je hii ni haki , na kazi bado tunaendelea kufanya pasipo...
Back
Top Bottom