haji manara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Haji Manara: Unaumia uwanjani kuimbwa Wanasiasa, ulitaka aimbwe Shangazi yako?

    Diwani wa Kata ya Kariakoo na Mtangazaji wa Wasafi Media ambaye pia ni Msemaji wa Timu za Taifa zote, Haji Sunday Manara amesema; "Alafu kuimba wanasiasa kwa Afrika, huu ni utamaduni wetu!" "Kama mtu analalamikia mpaka nyimbo... yaani hapo ndio utaona kwamba nchi ina matatizo makubwa. Yaani...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Diwani wa CCM, Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za taifa; Je, kama taifa tumekubaliana na hili?

    Aisee nafungua redio nasikia Haji Manara ambaye ni diwani wa Kariakoo kupitia CCM eti msemaji wa timu za taifa Sina shida na Manara lakini serikal iwe makini hii nchi kwa sasa si ya kuiendesha namna hii kuna migawanyiko mingi ya kisiasa na bado mengi hayajatatuliwa hadi tume zimeundwa Kwa sisi...
  3. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sometimes Haji Manara anakuwa na akili

    Kupitia ukurasa wa Instagram wa Mannara ameandika ujumbe huu baada ya kuona wimbo wa Dulla Makabila, "Ukijiendekeza utajipiga kitanzi kweli ww shauri yako Ok nna jirani yangu anatafuta Mume njoo nikulipie mahari usonge mbele. Najua utaacha kubweka bweka mitandaoni bro Ahadi zetu Wanaume ni...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Haji Manara kaacha ndara (ndala) mbele ya John Heche

    Aiseeh! Haji Manara ni muongeaji mzuri Sana. Na mwenye uwezo mkubwa hasa akikutana na watu wajingawajinga, wenye uelewa Mdogo. Umaarufu na nguvu yake kuu ya kuongea ipo kwenye udhaifu wa wanaomsikiliza na anaokutana nao head by head. Wengi amewatoa nishai kwa sababu zifuatazo; 1. Haji Manara...
  5. secretarybird

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haji Manara, ajiunga rasmi na WASAFI FM

    Haji Manara amejiunga na WASAFI FM na kuuangana na Oscar Oscar, Edo Kumwembe, na Adela Tilya kwenye kipindi Cha Leo na Jana. Mara baada ya kukaribishwa, ameshaanza kuwa domokaya kiasi cha kutotaka kuwaachia wenzake nafasi ya kuongea huku akijaribu kufanya uchambuzi wa hapa na pale kuhusu...
  6. Etwege

    JamiiForums Tanzania Diwani wa Kariakoo Haji Manara hiyo ndiyo kazi uliyotumwa?

    Kuna ufisadi wa kutisha kwenye ujenzi wa barabara za mitaa Kariakoo lakini diwani wa kata hiyo Haji Manara yuko bize kutetea matajiri na kuhamasisha wamachinga wafukuzwe kila kona! Wanachokifanya kwenye ujenzi wa barabara za mitaa ni kumwaga oili na cement kwenye barabara kila wanaposikia kuna...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Haji Manara: Sipendi kuitwa Mheshimwa, nisije nikaanza kuinua Mabega

    Diwani wa Kariakoo, Haji Manara amewaomba wananchi wasimuite 'Mheshimwa'.! 😂
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Manara afanya kampeni za mtaa kwa mtaa Kariakoo kuelekea Oktoba 29

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Haji Manara leo Oktoba 28, 2025, amefanya kampeni za kutembea mtaa kwa mtaa (walking campaign ) ndani ya Kata ya Kariakoo, Jijini Dar es Salaam, akiwaombea kura wagombea wa chama hicho katika nafasi mbalimbali.Katika kampeni...
  9. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Manara: Serikali ya CCM inajali elimu, awapatia wanafunzi elfu kumi

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Sunday Manara, amesema kuwa Serikali ya CCM imeendelea kuthibitisha kujali elimu kwa vitendo, kwa kuwekeza kwenye misingi imara iliyopelekea kuzalisha wasomi wengi nchini. Manara alitoa kauli hiyo leo aliposhiriki...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Manara: Wamiliki wa Malori fuateni Sheria, bora mtunyime Kura lakini Malori yatoke Kariakoo

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo Haji Manara, amewataka wamiliki wa malori ya mizigo yanayoingia katikati ya jiji kuhakikisha wanazingatia sheria na kanuni za usafirishaji, hususan uzito unaoruhusiwa katika barabara hizo. ‎ ‎Akizungumza usiku wa kuamkia leo, Septemba 26, 2025, katika shughuli...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Haji Manara: Tuombee Mvua isinyeshe Oktoba 29, 2025 wasipate sababu, tukamchague Rais Samia

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Sunday Manara, ametoa wito kwa wanachama na wafuasi wa chama hicho kuombea mvua isinyeshe tarehe 29 Oktoba, 2025 siku ya Uchaguzi Mkuu nchini ili kuhakikisha kila Mtanzania anashiriki kikamilifu katika zoezi la kupiga...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Manara: Nitamfikia kila mpiga kura wa Kata ya Kariakoo

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Haji Sunday Manara, ameahidi kuwafikia wapiga kura wote wa kata hiyo ili kuwaomba kura, akisisitiza kuwa bado ana nguvu na ari ya kufanya kazi hiyo kikamilifu. Soma Pia: Mgombea Udiwani kata ya Kariakoo Haji Manara akiomba...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Haji Manara acha uongo na uzandiki: Si kweli watoto wote wa marais wanasemwa ni Abduli na Ridhiwani tu

    Ndugu Haji Manara naomba usidanganye umma kwa kutafuta huruma ya kuteuliwa kuwa Meya wa Ilala kwa kutumia uzandiki na uongo: Kwa historia sahihi: Enzi ya Nyerere hakuna mtoto wake alitajwa kuwa fisadi au kutumia madaraka vibaya, wala yeye kamwe. 2. Ali Hassan Mwinyi hakutajwa sana kwa ufisadi...
  14. Bila bila

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kama kuwa Mtoto wa Rais ni tiketi ya kutajirika tuoneshe Buggati ya mabilioni ya Madaraka Nyerere na Jesca Magufuli

    Kwenye press yake Jana Mgombea Udiwani Kariakoo, Haji Manara katetea kitendo cha Abdul kumiliki magari ya kifahari eti ni haki yako sababu ni mama yake ni Rais. Huu utetezi wa kihuni ungeupeleka Kwa Wahuni wenzio. Pia soma >>> GE2025 - Haji Manara: Hii nchi ina utawala Octoba 29 hatoki mtu...
  15. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Ni Tanzania pekee ambako hadi Mgombea Udiwani anaitisha press ya kupiga watu mkwara mzito na vitisho juu

    Ukifuatilia siasa na habari za nchi. yingi za Africa huku kwetu ni nadara kukuta hata mkuu wa nchi anapiga raia wake mkwara na vitisho chungu nzima, hata Kagame hafanyihi huo ujinga. Sasa Tanzania hii sio tena Raisi, raia wanapigwa mkwara hadi na Diwani, nimeshangaa yule Mzungu mwitu...
  16. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Haji Manara: Hii nchi ina utawala Octoba 29 hatoki mtu kuandamana

    Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv na Mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo Ndugu Haji Sunday Manara amewajibu wanaomsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan pamoja na Vijana wanaoshinikiza kufanya maandamano kufuatia uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu. Soma...
  17. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haji Manara kurejea Simba, na Ahmed Ally kupandishwa cheo

    Habari za uhakika ni kuwa Haji Manara amekubali kurejea Simba, Baada ya Rais wa Club hiyo Mo Dewji kumuomba msamaha sana ili arejee Haji Manara ilikuwa aonekane Leo kwenye uzinduzi wa jersey za Simba, lakini kutoka na malipo yake kutoka Kwa Mo Dewji kucheleweshwa, Sasa ni dhahiri tutamwona...
  18. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Mheshimiwa Haji Manara anasubiri kuapishwa tu kama MEYA wa Jiji la Dar es Salaam

    Mstahiki Meya Haji Sunday Manara (2025-2030) karibu City hall
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyie Gazeti la 'Habari Leo' mnadhani Haji Manara aliposema kuwa hiyo Klabu wenye Akili ni Wawili tu na waliobakia wote ni Majuha (Fools) alikosea?

    TANGA; YANGA ya Dar es Salaam ni miongoni mwa klabu tatu za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizokosa sifa ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaofanyika Tanga asubuhi hii. - Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Wakili Kiomoni Kibamba, aliwaeleza...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Haji Manara Aongoza Kwa kura za Maoni udiwani kata ya Kariakoo

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mkurugenzi Mtendaji wa Manara TV, Haji Manara , ameibuka kidedea katika kura za maoni za kuwania nafasi ya Udiwani katika Kata ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam. Kura hizo za maoni zilifanyika leo Jumatatu tarehe 4 Agosti 2025, chini ya usimamizi wa chama...
Back
Top Bottom