business

  1. U

    JamiiForums Tanzania Dodoma inajengwa na Gov+ Businesmen + mafisadi but Mwanza inajengwa na Business Man tu, ni muda tu

    Nawashangaa sana watu wanaoibeza Dodoma , na kujaribu Kuidogosha Kwa mbali Dhidi ya Mwanza. Kwa mlio na ufahamu na Dodoma ,na Mwanza Mtakubaliana na Mimi kuwa Dodoma inakuwa Kwa Kasi na Inaenda kuipiku Mwanza Kwa kuwa Jiji namba Mbili, baada ya Dodoma kuipiku Arusha Tayari. Ndani ya Miaka 5...
  2. BumbleBeeBot

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua kuhusu Bachelor of Arts in diplomatic and defence studies.

    Kuna mdogo wangu amechaguliwa kwa programme ya Arts in diplomatic and defence studies, ameona aende hiyo (kwakuwa kapata UDSM), kozi zoote alizoomba Ud kapata hiyo tuu na ye humwambii kitu kuhusu UDSM. Kaacha sehemu nyingine alizopata procurement and logistics, BBA, insurance and risk...
  3. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Violence Becomes a Business Model, No One Is Safe

    A group of young men claiming responsibility for assaulting random individuals is demanding that dentists and orthodontists who treat the resulting injuries pay them a "cut" for the business referred to their clinics. The group has apparently turned street violence into a revenue scheme...
  4. Secret Star

    JamiiForums Tanzania Natafuta Business Partner Kwa Mtaji wa TSh 100M Tunaweza Pata faida ya TSh 300M hadi Tsh 350M kwa Mwezi.

    Natafuta partner nitashirikiana nae kwa ajili ya mradi wa kidigitali ambao tayari upande wa technology umekamilika 90%. Sitaki kuweka details za biashara yenyewe public kwa sababu za kulinda concept na strategy yake. Ninachotafuta ni partner mwenye uwezo wa kufadhili na kusimamia upande wa...
  5. M

    JamiiForums Tanzania life inataka uwe as cooperate business.

    life inataka uishi as cooperate , ukijifanya as individual lazima ufeli vibaya sana . mafanikio lazima ujue how cooperate life ikoje . hata ukija katika mahusiano napo rules ni hiyo hiyo. ukienda alipo legend mwenyewe lucifer nako ni hivyo . ukienda kwa mwenye mamlaka ya mwisho nako ni...
  6. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Je Unatumia Bolt Business katika Biashara yako?

    Moja kati ya huduma ya kipekee ambayo nimekuwa nikitumia ni huduma ya BOLT Business Kwa wajasiriaali wengi ambao biashara zao huwahitaji kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine uhitaji wa huduma bora ni moja kati ya jambo la muhimu sana,Mara nyingi baadhi yao hulazimika ama kusafiri na...
  7. Eva_Eva19900000

    JamiiForums Tanzania Looking for angel investors for bar business in Zanzibar

    We have an idea in which we open a bar with imported beer in Zanzibar. The bar will have a classy central European style, designed to deliver an unforgettable social experience in one of East Africa's most iconic tourist destinations. The bar will attract both international visitors and local...
  8. A

    JamiiForums Tanzania This is the story of how Stanley from Katoro transformed his business in just five days.

    For four years, Stanley ran his motorcycle spare parts business in Katoro the way most people do cash in hand, no official name just a stall and a reputation built one customer at a time. Business was good. But every time suppliers asked for his company registration documents, Stanley went...
  9. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tunaposema wengi wa wana harakati ni mbwa mwitu tuwe tunaeleweka,they are in business!

    Wamepunguza main pressure sasa wanataka wa SA watulie kwanza kwa kanuni nyingine mpya zenye wingi wa upole huku wakiwa tayari wamefanikisha yao!
  10. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda Launches Mandatory Monthly National Cleaning Days: No Vehicles, No Business Operations for Three Hours

    For three hours every month, Uganda will pause—not for a holiday or celebration—but to unite in a nationwide effort to clean the country. The Government of Uganda has officially unveiled the National Cleaning Days (NCDs) Initiative, a nationwide campaign aimed at encouraging every Ugandan to...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Bachelor in Business and Project management TIPM VS Project planning and Management IRDP

    Hey Guys, naomba ushauri kwa mwenye experience anaejuwa kuhusu kati ya hizi kozi mbili which one is much better to study? Job availability NGOs, private sectors and Government.
  12. A

    JamiiForums Tanzania CEO, why are you struggling with high-interest loans when the capital to finance your business is here?...

    If your Input VAT exceeds your Output VAT within preceding three year you may be entitled to claim a VAT refund under section 87 (2) and 88 of VAT Act, Cap. 148 (R.E. 2023) to finance your business. Under the Finance Act, 2026, the Commissioner General is required to make a decision on a VAT...
  13. O

    JamiiForums Kenya "‘Njaa Iko Kila Mahali’ – Atwoli Responds After Passenger Questions Him Over Flying Business Class Amid Kenya's Economic Hardships"

    A video circulating online has sparked debate after COTU Secretary-General Francis Atwoli was confronted by a fellow passenger while seated in the business class section of an airplane. Kwa video hiyo, mwanaume anamwambia Atwoli kuwa Wakenya wengi wanateseka na njaa, huku akionekana kuhoji jinsi...
  14. Zakaria Maseke

    JamiiForums Tanzania Aina za miundo ya umiliki wa biashara (forms of business ownership)

    Kabla ya kuanza biashara, ni muhimu kuchagua muundo unaofaa malengo yako. Muundo wa biashara unaathiri usimamizi, uwajibikaji, ulipaji kodi & ukuaji wa biashara. Zifuatazo ni aina kuu za miundo ya biashara; 1. BIASHARA YA MTU MMOJA (SOLE PROPRIETOR) - Ni biashara inayomilikiwa na kuendeshwa na...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Do you know that the cash flow to finance your business operations is hidden in your VAT returns?

    A VAT refund is a request filed by the taxpayer to the commissioner general with the intention of receiving reimbursement for excess VAT paid within a specific time period when input VAT exceeds output VAT. For that case, whatever the VAT you have paid in excess you are entitled to apply for VAT...
  16. sweetdada

    JamiiForums Tanzania WE ARE HIRING! Business Development Executive (Sales)

    Business Development Executive (Sales) Location: Dar es Salaam Promo Pro Africa Limited is looking for a highly motivated, ambitious and results-driven Business Development Executive to help grow our corporate client base. About Us Promo Pro Africa Limited is a branding and marketing...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ukiunganisha uongozi wa Uganda wanacho kifanya ndio Tanzania wanacho kifanya

    Kuna kauli za Museveni na mwanae kama inavyoonekana Tanzania imeshakuwa mali yao bado kenya kwa mfumo wake wa utawala. Kitu kinacho nipa kufikiria zaidi embu mfatilie museveni na mfatilie samia kauli zake na matendo ya serikali .
  18. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Wanaripoti Bloomberg Business : Tanzania Yaongeza Bajeti ya Miundombinu na Huduma za jamii Licha ya Kunyimwa Misaada

    Katika Hali ya kushangaza,Jarida Maarufu la Biashara kutoka kubwa la Mabeberu USA limeripoti taarifa ya kushangaza kwamba Licha ya Tanzania Kunyimwa misaada ila Serikali ya Tanzania imeongeza Bajeti Kwa asilimia 10% huku ikipeleka pesa nyingi kwenye miradi ya miundombinu na Huduma za jamii...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Wazol biashara ( billion dollar business)

    Wakuu kwema, naombeni msaada kupata wazo la biashara maana nimeshaumiza kichwa sana sipati majibu. Nnao mtaji katika bonds ambao unamachua ndani ya miaka 5 ijayo utakaonipatia takriban Tsh 2B. Nikiweka na cash kwenye account zangu nyingine inakaribia tsh 2.5 B. Kiufupi nahitaji biashara...
  20. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Acha kuandika Business Plan (Mpango wa Biashara) kwa kukisia! Jipatie Templates za Kitaalamu za Biashara Yoyote.

    Je, una wazo la biashara au tayari una biashara inayofanya kazi lakini huna nyaraka rasmi za kuwasilisha benki kwa ajili ya mkopo au kwa wawekezaji? Tumezindua Templates za Kitaalamu zitakazokuokoa muda na kukupa muonekano wa kisasa mbele ya wakopeshaji au watoa fedha. 1. Business Plan...
Back
Top Bottom