A VAT refund is a request filed by the taxpayer to the commissioner general with the intention of receiving reimbursement for excess VAT paid within a specific time period when input VAT exceeds output VAT. For that case, whatever the VAT you have paid in excess you are entitled to apply for VAT...
Business Development Executive (Sales)
Location: Dar es Salaam
Promo Pro Africa Limited is looking for a highly motivated, ambitious and results-driven Business Development Executive to help grow our corporate client base.
About Us
Promo Pro Africa Limited is a branding and marketing...
Kuna kauli za Museveni na mwanae kama inavyoonekana Tanzania imeshakuwa mali yao bado kenya kwa mfumo wake wa utawala.
Kitu kinacho nipa kufikiria zaidi embu mfatilie museveni na mfatilie samia kauli zake na matendo ya serikali .
Katika Hali ya kushangaza,Jarida Maarufu la Biashara kutoka kubwa la Mabeberu USA limeripoti taarifa ya kushangaza kwamba Licha ya Tanzania Kunyimwa misaada ila Serikali ya Tanzania imeongeza Bajeti Kwa asilimia 10% huku ikipeleka pesa nyingi kwenye miradi ya miundombinu na Huduma za jamii...
Wakuu kwema, naombeni msaada kupata wazo la biashara maana nimeshaumiza kichwa sana sipati majibu. Nnao mtaji katika bonds ambao unamachua ndani ya miaka 5 ijayo utakaonipatia takriban Tsh 2B. Nikiweka na cash kwenye account zangu nyingine inakaribia tsh 2.5 B. Kiufupi nahitaji biashara...
Je, una wazo la biashara au tayari una biashara inayofanya kazi lakini huna nyaraka rasmi za kuwasilisha benki kwa ajili ya mkopo au kwa wawekezaji?
Tumezindua Templates za Kitaalamu zitakazokuokoa muda na kukupa muonekano wa kisasa mbele ya wakopeshaji au watoa fedha.
1. Business Plan...
Sisi kuungana kuanzisha biashara pamoja kisha kuikuza na kufanya idumu ni ngumu sana. Partnership nyingi huishia kwenye uadui wa kudumu. Nilishawahi kuungana na jamaa zangu in my early 20s lakini haikudumu ila kwa bahati nzuri tuliachana kwa amani kabisa kupitia mwanasheria wetu.
Mimi naona...
Biashara ya vipodozi ni moja ya biashara zinazokua kwa kasi sana Tanzania kwa ujumla. Kuongezeka kwa matumizi ya mitandao ya kijamii, ushawishi wa influencers, na uelewa wa self-care kumeongeza mahitaji ya bidhaa za urembo kwa wanawake na wanaume.
Ukuaji wa kipato cha watu umeongeza matumizi...
Kumekuwa na tabia ya wafanyakazi kutotendewa haki katika hiki chuo, mara nyingi wafanyakazi wa hapa hudhulumiwa mishahara yao na wakati mwengine kutolipwa kabisa baadhi ya miezi.
Mwaka jana baada ya likizo kulikuwa na malalamiko mengi kwa wafanyakazi wakidai kutolipwa mwezi wa saba, wanane na...
Anonymous
Thread
business
cheka
chuo
college
health
kigamboni
science
uovu
wafanyakazi
This bill is a game-changer for our creative industry. It will provide stronger protection for creators, streamline the sector and introduce tougher penalties for piracy and copyright infringement
Former Aruu County Member of Parliament, Odonga Otto has argued that patriotism is not about...
Section 7 (1) of Tax Administration (Transfer Pricing) Regulation Cap. 439 requires every person participating in a controlled transactions shall prepare contemporaneous Transfer Pricing documentation
The penalty for not having the transfer pricing documentation in place is imprisonment for a...
The Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) recently released a report that details how local commercial operations marginalize the indigenous community. The "The Voice from the Land" report details the experiences of indigenous populations in 13 counties and emphasizes how government...
Mimi ni moja ya Walimu wenye professional ya biashara tulioajiriwa kufundisha somo jipya la Business Studies ngazi ya Shule za Sekondari.
Kutokana na kwamba hatuna professional ya Ualimu tulishindwa kupata TSC no, hivyo tukashindwa kupata mikataba full ya ajira baadhi tukiambiwa tukasome...
Anonymous (c723)
Thread
business
sekondari
shule
shule za sekondari
somo
studies
tume
tume ya utumishi
utumishi
walimu
Serikali ilizindua mtaala mpya na ulioboreshwa wa mwaka 2023 ulioanza kutumika mwaka 2024 kwa baadhi ya shule na mwaka 2025 ulianza kutumika kwa shule zote za sekondari.
Katika mtaala huu mpya somo la BUSINESS STUDIES limekuwa ni somo la lazima kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne...
Habari mjasiriamali,
Last week nimepata watu watatu walioniuliza swali Moja, "nawezaje kubadili TIN yangu iwe TIN ya biashara?"
For collective good nimeona nikuandikie hapa na wewe.
Kuna hatua kadhaa za kufuata wakati wa kubadili non business TIN kuwa Business TIN.
Hatua hizo ni hizi;
1/10...
NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services.
Job Summary
•A credit professional acting as credit expert to the relationship team and the conduit...
Empowering Africa’s tomorrow, together…one story at a time.
With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be part of this exciting growth journey, to reset our future and...
Seeking Investment for High-Impact Holding Company – A Long-Term Opportunity to Build a Multibillion-Dollar Business
We are founders of a private holding company in its early stages. We are currently in the process of raising initial capital to help fund the foundation and the strategic...
Moja ya jambo la kushangaza ni Msanii wa Hip-hop, Izzo Business kuachia kibao akishusha mistari kuwachana wasanii wenzake waliokuwa hawapiganii haki za wananchi badala yao walirundikana kwenye semina na kampeni za chama kimoja kama mchwa.
Badala ya kupinga vikali matukio yaliyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.