Idugunde: Serikali ya mama Samia imekataliwa na wananchi. Inaharufu za kipigaji na unyonyaji wananchi.

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.

Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu

Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.

Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
 
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.

Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu

Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.

Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Wananchi wa wapi hao? Bila video ww utakuwa utopolo tu..
 
Hapo Ikulu huwenda kuna mdudu wa kuwaziba masikio viongozi wetu wasisikie wala kuona machozi na mateso ya wananchi Kwa wanayokuwa wanayapotia

Ni vigumu sana kutimiza mahitaji kwa sasa kutokana na ukweli kuwa, takwimu za vipato vyetu Bado viko palepale kwe chini ya dollar moja Kwa siku,

Lakini mwananchi amebebeshwa mitozo na.k kwenye ka senti hako!

Bidhaa nazo zikiwa zimepandaa kufikia kilele cha mlima Kilimanjaro!

Na ndiyo maana maisha ya wanaume yanakuwa mafupi sana, Kwa sabb ya mambo kama hizi

Halafu wanaume mlichague tena hilo dudumla watu Cccm
 
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.

Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu

Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.

Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Dtama zimeanza mdogo mdogo.

Wanaoinjinia hii issue wanakula na kunywa pamoja naye mezani
 
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.

Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu

Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.

Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Mtoa mada ni mfuasi wa hayati Magufuli aliyekuwa anafurahia ukatili wa marehemu Rais.
 
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.

Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu

Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.

Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Si mlishabikia yule dhalimu kuiba uchaguzi wote 2020 na kuwaweka watu wake? Sasa tulieni dawa iwaingie vizuri mbwa nyie
 
Nchini vituko Sana Waziri unaenda kukagua upigaji wa chumba cha milioni 11 wakati upo kwenye v8 la Milioni 450 plus mafuta ya msafara wa magari yote si chini ya milioni 6.
SAsa na mbadilifu hapo.
Mwizi kumakata kibaka
Watanzania bwana mtu akikemea jambo kubwa mnalalamika akikemea jambo dogo mnalalamika na kibao mnamgeuzia, em sahauni magu keshakufa na awezi kuridi tena tujenge taifa.

Hayo ni matumulizi ya kawaida ya serikali kutembelea miradi kwa gharama hizo unazozitaja unajua katembelea miradi mingapi ya mabilioni ya fedha?
Acheni utoto basi
 
Nafurahia sana tozo kwa kweli inakula wa hali ya chini adi juu,
Kabla matajiri na sisi wenye kipato cha kawaida ndio tulikua tunakamuliwa mikodi lukuki ili nyie mpate maisha mazuri sasa hivi mnaambiwa na nyie mchangie kodi mpate maendeleo mnatokwa povu
 
Nchini vituko Sana Waziri unaenda kukagua upigaji wa chumba cha milioni 11 wakati upo kwenye v8 la Milioni 450 plus mafuta ya msafara wa magari yote si chini ya milioni 6.
SAsa na mbadilifu hapo.
Mwizi kumakata kibaka
Hahahahaaaa
 
Wananchi wanalalamika juu ya hali ngumu ya maisha. Maisha yamekuwa ghali huku nafaka na vyakula vikiwa ghali na maisha kuwa magumu kwa wananchi.

Bado wanakamuliwa tozo za kila namna na hapa ndipo ugumu wa maisha unazidi maradufu

Rais Samia amebariki haya yote kwa ajili ya manufaa ya kisiasa kwa yeye na kundi lake.

Mioyoni mwa Watanzania wengi hawamkubali wala kumuelewa rais Samia na serikali yake. Wamemkataa kabisa. Wamemkataaa japokuwa bado anawatawala.
Nikweli hatasisi wavuvi tulip tekwa vitu vyetu na vinaendelea kushikiliwa naserekali hata kamanayeye anajuwa nidhuma kubwa tuliofanyiwa tumekata tamaa kabisa bado anaendeleza ya mtangulizi wake haliinazidi kuwambaya sasa katiba mpya na time huru nimuhimu kwasasa ndio iliobaki huenda ikawa ukombozi
 
Back
Top Bottom