burundi

Burundi ( (listen), ), officially the Republic of Burundi (Kirundi: Republika y'Uburundi, [u.βu.ɾǔː.ndi]; French: République du Burundi, [buʁundi] or [byʁyndi]), is a landlocked country in the Great Rift Valley where the African Great Lakes region and East Africa converge. It is bordered by Rwanda to the north, Tanzania to the east and southeast, and the Democratic Republic of the Congo to the west; Lake Tanganyika lies along its southwestern border. The capital is Bujumbura.The Twa, Hutu and Tutsi peoples have lived in Burundi for at least 500 years. For more than 200 of those years, Burundi was an independent kingdom, until the beginning of the 20th century, when Germany colonised the region. After the First World War and Germany's defeat, it ceded the territory to Belgium. Both Germans and Belgians ruled Burundi and Rwanda as a European colony known as Ruanda-Urundi. Despite common misconceptions, Burundi and Rwanda had never been under common rule until the time of European colonisation.
Burundi gained independence in 1962 and initially had a monarchy, but a series of assassinations, coups and a general climate of regional instability culminated in the establishment of a republic and one-party state in 1966. Bouts of ethnic cleansing and ultimately two civil wars and genocides during the 1970s and again in the 1990s left the economy undeveloped and the population as one of the world's poorest.
The presidents of Rwanda and Burundi, both Hutus, died together when their aeroplane was shot down in April 1994. 2015 witnessed large-scale political strife as President Pierre Nkurunziza opted to run for a third term in office, a coup attempt failed and the country's parliamentary and presidential elections were broadly criticised by members of the international community.
The sovereign state of Burundi's political system is that of a presidential representative democratic republic based upon a multi-party state. The President of Burundi is the head of state and head of government. There are currently 21 registered parties in Burundi. On 13 March 1992, Tutsi coup leader Pierre Buyoya established a constitution, which provided for a multi-party political process and reflected multi-party competition. Six years later, on 6 June 1998, the constitution was changed, broadening National Assembly's seats and making provisions for two vice-presidents. Because of the Arusha Accord, Burundi enacted a transitional government in 2000. In October 2016, Burundi informed the UN of its intention to withdraw from the International Criminal Court.Burundi remains primarily a rural society, with just 13.4% of the population living in urban areas in 2019. The population density of around 315 people per square kilometre (753 per sq mi) is the second highest in Sub-Saharan Africa. Roughly 85% of the population are of Hutu ethnic origin, 15% are Tutsi, and fewer than 1% are indigenous Twa. The official languages of Burundi are Kirundi, French and English, Kirundi being recognised officially as the sole national language.One of the smallest countries in Africa, Burundi has an equatorial climate. Burundi is a part of the Albertine Rift, the western extension of the East African Rift. The country lies on a rolling plateau in the centre of Africa. The highest peak, Mount Heha at 2,685 m (8,810 ft), lies to the southeast of the largest city, Bujumbura. The most distant source of the River Nile is the Ruvyironza River in the Bururi Province of Burundi, the Nile is linked from Lake Victoria to its headwaters via the Kagera River to the Ruvyironza River. Another major lake is Lake Tanganyika, located in much of Burundi's southwestern corner. There are two national parks, Kibira National Park to the northwest (a small region of rain forest, adjacent to Nyungwe Forest National Park in Rwanda), and Ruvubu National Park to the northeast (along the Rurubu River, also known as Ruvubu or Ruvuvu). Both were established in 1982 to conserve wildlife populations. Burundi's lands are mostly agricultural or pasture.
Settlement by rural populations has led to deforestation, soil erosion and habitat loss. Deforestation of the entire country is almost completely due to overpopulation, with a mere 600 km2 (230 sq mi) remaining and an ongoing loss of about 9% per annum. In addition to poverty, Burundians often have to deal with corruption, weak infrastructure, poor access to health and education services, and hunger. Burundi is densely populated and has had substantial emigration as young people seek opportunities elsewhere. The World Happiness Report 2018 ranked Burundi as the world's least happy nation with a rank of 156.

View More On Wikipedia.org
  1. Rio Shabazz

    Wakimbizi wa Burundi na Rwanda wanawekwa kwene makambi. Waarabu wa Sudani wanazurula nchi nzima

    Kuna idadi kubwa sana ya wakimbizi waliokimbia wakiarabu kutoka Sudan wakiwa mitaani wengine wamepanga.Lakini upande wa pili kuna wakimbizi majirani wamejazwa kwene makambi kigoma huko ka kagera. Je, hii ni kudhibitisha kua waafrica tunajichukia na tunawapenda maadui zetu!! Nawasilisha...
  2. N

    Serikali ya Tanzania inapaswa kuilinda sana nch ya Burundi

    MPANGO WA RWANDA KUITAWALA BURUNDI ILI KUINGIA KONGO KUPITIA ZIWA TANGANYIKA NA NAFASI YA SERIKALI YA TANZANIA KATIKA MEDALI ZA UJASUSI NA INTELIJENSIA UKANDA WA ZIWA TANGANYIKA BY LUGETE MUSSA LUGETE. "Ndugu Mheshimiwa Rais tunapaswa kuilinda Burundi kwa hali na mali ili isiangukie mikononi...
  3. Wadiz

    Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi

    Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level. Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko. Endeleeni na vilaza...
  4. dubu

    Paul Makonda apewe Ubalozi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati au Burundi?

    Salaam Wakuu, Kwa kuwa ameonekana kutokukubaliana na Sera za Rais Samia, alitakiwa ajiuzulu bila Shuruti. Paul Makonda ni Mwenezi wa CCM na Samia Suluhu ni Mwenyekiti. Mwenezi hakubaliani na Mwenyekiti, anatakiwa aachie ngazi kuliko kutengeneza mtatandao wa matajiri kwa nia Ovu. Siku zote...
  5. K

    Wapeni Uraia wakimbizi wa Burundi na Congo

    Ushauri kwa serikali kama kuna wakimbizi wamekaa zaidi ya miaka 5 wapewe Uraia tena bila masharti ili waanze kuchangia kwenye maendeleo badala ya kuwekwa kwenye makambi. Ni kitu cha kawaida kuwa na Watanzania waliozaliwa nchi nyingine na tayari kuna watoto wamezaliwa Tanzania na wamekuwa...
  6. Nyendo

    Burundi yafunga mpaka wake na Rwanda

    Burundi imetangaza kuufunga mpaka wake na Rwanda ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kuituhumu Nchi hiyo jirani yake kuunga mkono Waasi waliofanya mashambulizi kwenye ardhi yake.Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Burundi Matin Nitereste, ametangaza jana jioni...
  7. Akilihuru

    Vita ya maneno kati ya Rwanda na Burundi: Ina maana Ndayishimiye hajui tu kama amekalia kuti kavu?

    Vipi wakuu. Ki ukweli inashangaza sana raisi wa nchi ambayo ina jeshi, polisi na serikali, lakini anakosa kupata habari za kiintelejensia kuhusu kile kinachoweza kumtokea mbeleni endapo atataka kutumia mamlaka yake kama raisi kupambana na mtu au nchi inayomshinda kila kitu. Najua fika kuwa...
  8. F

    Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

    Kumekucha. Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024. Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi...
  9. K

    Rais wa Burundi asema wapenzi wa jinsia moja wanapaswa kupigwa mawe na hilo halitakuwa uhalifu

    Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amesema wapenzi wa jinsi moja nchini Burundi "wanapaswa kupigwa mawe" na kwamba hiyo haitakuwa uhalifu. Rais alisema hayo katika mkutano wa moja kwa moja na waandishi wa habari siku ya Ijumaa, akijibu swali la mwandishi wa habari. Alisema kuwa nchi zenye...
  10. ChoiceVariable

    Burundi: Rais Evariste Ndamishiye asema mashoga wapigwe mawe hadharani

    Rais wa Burundi Jenerali Evariste Ndamishiye amesema anadhani inafaa mashoga wakusanywe kwenye viwanja harafu wapigwe Mawe Hadi Kufa hadharani. -- Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amesema wapenzi wa jinsia moja nchini Burundi wanapaswa kupelekwa kwenye viwanja vya michezo na kupigwa mawe...
  11. tpaul

    Rais Samia amerejea kuomboleza msiba wa Hanang au amekuja kutuhamishia Burundi?

    Naingia kwenye mada moja kwa moja sitaki kuwachosha. Mnakumbuka vizuri madhila yaliyotupata watanzania mwaka jana wakati serikali ilipoongezeka tozo za miamala maradufu hivyo kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu maradufu. Kana kwamba hiyo haitoshi waziri wa fedha msomi, Mwigulu Nchemba...
  12. figganigga

    Burundi waanzisha Mwenge wao, Waomba mafuta ya Mwenge wa Tanzania. Je, Watapata amani?

    Burundi waanzisha Mwenge wao, Waomba mafuta ya Mwenge wa Tanzania. Je, Watapata amani? Nimeshuhudia Mwenge wa Burundi ukikagua shule ya Buraza Gitega ilojengwa 1974 hadi leo bati hazijabadilishwa. Mwenge wa Burundi 🇧🇮 unamulika wazembe, wala rushwa na wanaotaka kupindua nchi🤣 Je, Tanzania...
  13. R

    Tetesi; Naibu Gavana wa BOT avunja mkataba wa ajira na kwenda Burundi

    Bujumbura wanasema moja wa manaibu Gavana wa Tanzania yupo mbioni kujiunga na benki kuu ya Burundi kwa donge nono. Je, nini sababu iliyompelekea kufanya maamuzi haya?
  14. JanguKamaJangu

    Burundi: Mvua kubwa yaporomosha kanisa na kuua watoto 4

    Mvua kubwa iliyonyesha kusini mwa Burundi imesababisha vifo vya watoto wanne baada ya kanisa walimokuwa kuporomoka huku watu wengine 15 wakijeruhiwa siku ya Jumapili, kulingana na afisa wa eneo hilo na vyombo vya habari vya serikali. Mvua kubwa ikiandamana na upepo mkali ilianza kunyesha...
  15. BARD AI

    Gavana wa Benki Kuu ya Burundi akamatwa kwa tuhuma za Ufisadi na Utakatishaji Fedha

    Wizara ya Sheria imethibitisha kukamatwa kwa Dieudonne Murengerantwari ikiwa ni siku chache tangu afukuzwe kazi Oktoba 8, 2023 akidaiwa Kudhoofisha Uchumi wa Taifa hilo, Kujihusisha na Rushwa, Utakatishaji Fedha na Ubadhirifu wa Mali za Umma. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jenerali Leonard...
  16. Kabende Msakila

    Tabora, Kigoma na Burundi - tupaze sauti kwa Mama Samia - tupate Barabara ya Mambali (Tabora) kuja Kakonko (Kigoma)

    Salaam! Tukipata barabara mpya ya Kakonko hadi Mambali (Uyui) tutaokoa muda wa kusafiri, fedha na uhovu. Kwa kuwa tunapozungukia Kahama - Nzega - Tabora tunasafiri zaidi ya 400kms. Lkn pia tunapozungukia uvinza to Tabora tunasafiri takribani 413kms. Endapo Mama Samia atakubali na kusikia...
  17. JanguKamaJangu

    Rais wa Burundi alaani uvumi wa Mapinduzi

    Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye ametoa kauli hiyo mara baada ya kurejea nyumbani akitokea katika ziara Nchini Cuba na kwenye Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) Jijini New York, Marekani. Tangu alipoondika Burundi, Septemba 10, 2023 kuliibuka tetesi hizo kwenye mitandao ya kijamii huku...
  18. LAZIMA NISEME

    Kenya kuondoa Visa kwa wageni inaweza kuwa na athari gani kwa usalama wa majirani zake?

    Je, Kenya imeweza kutambua kwamba suala hili linaweza kuwa na matokeo tofauti kulingana na walafi wa rasilimali za Afrika na jinsi sera hiyo inavyotekelezwa na serikali inavyoshughulikia masuala ya usalama wa mipaka? Je, Kenya imejiridhisha juu ya Kuingia kwa watu wanaotaka kufanya...
  19. sky soldier

    Kwanini Wazanzibari wengi wanachukia asili yao ya asili ya Congo na Burundi wanaprefer kuonekana waarabu ilhali waarabu wanawakataa?

    Hivi kwanini wazanzibari wanaprefer kuwa part of waarabu….hivi kweli wakijiangalia kwenye kioo wanajiona ni waarabu? Wanzibar hukataa asili zao za Congo Mashariki, Burundi, Kigoma, n.k. wanaukataa Uafrika na kujiita waarabu wakati hata waarabu wenyewe huwabagua huko uarabuni na hata hapa kwetu...
  20. BARD AI

    Serikali ya Burundi yakifungia Chama Kikuu cha Upinzani

    Wizara ya Mambo ya Ndani imesema uamuzi huo dhidi ya National Freedom Council (CNL)umetokana na malalamiko yaliyowasilishwa na viongozi 8 wa chama hicho, waliodai kufukuzwa ndani ya chama baada ya kumpinga Rais wa chama . Katibu Mkuu wa chama, Simon Bizimungu, amepinga uamuzi huo na kuuelezea...
Back
Top Bottom