"Família" is the seventh single by Brazilian rock band Titãs, released in 1987. The song is about the everyday issues of a family.It was once covered by Molejo on their 1998 album Família. The song was featured on the Rede Manchete telenovela Corpo Santo.
In 2013, bass player and vocalist Nando Reis (now an ex-member) recorded a new version of the song with his sons Théo and Sebastião. The new version is being used as the opening theme of the 2013 season of Rede Globo's Malhação. While Sebastião played acoustic guitar, Nando Reis and Théo sang, sharing the same microphone, like The Beatles used to do, "in order to create a more familiar atmosphere", according to Reis.
Mawakili wa familia ya marehemu Askofu Dr. Gertrude Pangalile Rwakatare na Kampuni ya St. Mary’s International Academy Limited, wakiongozwa na Wakili Derick Paschal, wamejitokeza na kukanusha vikali tuhuma zilizotolewa na Tibe Kenneth Rwakatare pamoja na mawakili wake,.
Wameeleza kuwa madai...
Ukweli usemwe Tu, Mimi sio muumini wa kuzaa watoto wengi wanaozidi Uwezo wa kuwatunza na kuwalea. Nimekuwa Wakili( Advocate) wa kuzaa kwa mpangilio na kuhimizia familia kuhakikisha wanafanya kazi ili kulea watoto wao kwa uzuri na kujenga Taifa Bora.
Nimezunguka Nchi kadhaa duniani kama 10 tu...
Familia za Wakenya 32 waliopoteza wapendwa wao katika ajali ya Ethiopian Airlines Flight 302 mwaka 2019 zinatarajiwa kupokea jumla ya dola milioni 87.3 (takriban Sh11.3 bilioni) kama fidia.
Ajali hiyo ilitokea Machi 10, 2019, muda mfupi baada ya ndege hiyo kuondoka Addis Ababa nchini Ethiopia...
Haijalishi ni baba yako hata yeye hukusoea sana kwa bahati mbaya afrika baba hakosei, mama ndio anJulikana anaharibu watoto, ndugu ndio watoa miongozo na nongwa, etc
Utaishia kuwa na stuck mindset
Unaweka uvumilivu kwa kuogopa laana za kufikirika, lawama za kutamkiwa
Haujatukana mtu ...
Naomba kuuliza jamani
Hivi hizi familia za kitajiri amawanaojiweza kiuchumi hua wanapitia shida MFANO za magonjwa ? Au shida tu zozote za kiafya, mwanaume hadindishi, MWANAMKE hapati watoto, mapepo, mara majini, ila unakuta Pesa ipo ya kutosha kabisa tena nyingi, ila magonjwa kama yote...
Wapo wanaosema, kazi ndio kila kitu; wapo tayari kuipambania kazi zao kuliko familia, wakiamini familia ikiharibika kazi itamsitiri kwa kumpatia fedha na kuanzisha familia nyingine.
Je, wewe kwa mtazamo wako, kwako ni kazi kwanza au familia kwanza?
Familia ya Frank Stanley, mkazi wa Rwamishenye Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, imelalamikia tukio la mwanao kudaiwa kupigwa akiwa mikononi mwa Polisi na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando jijini Mwanza.
Familia hiyo inasema ilipata wakati mgumu kumpata kijana wao tangu...
Kuwa na familia ni jambo la maana na la muhimu sana.
Kuona watoto wako /wewe katika version nyingine wakikua na kufurahia maisha aise inaleta faraja sana...huku ukiwahudimia vyema kwanzia chakula,malazi,mavazi,matibabu,elimu pamoja mama yao akipata mahitaji yake.
#kataa ndoa wana point ila...
Mwaka 2002 ni mwaka ambao kwa familia hakuwa mwaka mzuri, familia ilipata uzuni ya ghafla kila mmoja aliumia kwa wakati wake
Baba yangu aliumia sana kwa sababu katika watoto wa familia dada yangu alikuwa ni mtoto pekee wa baba yangu na kwa kweli kwa darasani akili zake ziliwashinda kaka zetu...
Yaani ukitaka kuishi kwenye stress kwenye ndoa oa mwanamke ambaye kwao mambo safi wamekuzidi kila kitu sio elimu, sio mali sio imani utajuta tu ni suala la muda joto la ndoa likishaanza kupanda utatamani ufe upotee tu maana sio kwa dharau na kejeli utakazozipata.
Leo nimeitwa kwenye kikao...
Natumai mpo poa wadau leo ningependa kuwapa codes wanaume wenzangu waliooa na ambao hamjaoa someni hizi sheria
1.Hutakiwi kueleweka sana kwa mkeo(fanya kama upo upo tu) muache atumie nguvu kujua wewe ni mtu wa namna gani.
2.Mkeo hatakiwi kujua kipato chako na hata akijua usimwambie unaingiza...
Sakata la P-Square limechukua sura mpya baada ya Peter Okoye, maarufu kama Mr P, kuamua kufunguka hadharani kuhusu kile anachodai kuwa ndicho kilichosababisha kuvunjika kwa moja ya duo kubwa zaidi za muziki Afrika.
Peter ametoa simulizi yake kupitia mfululizo wa video unaofikia Part 8/8b...
Niliwahi kuishi Mbeya, maeneo ya Mama John.
Karibu na nilipokuwa nikiishi kulikuwa na gesti yenye baa ambayo ilisimuliwa kuwa sehemu ya kukutana kwa watu waliokuwa wakipanga shughuli zao za utapeli. Hapa Mama John palikuwa ni sehemu ya makutano ila shughuli zao wanazifanyia maeneo mengine...
Kifo cha mwigizaji maarufu Chadwick Boseman mwaka 2020 kiliwashtua mamilioni ya mashabiki duniani kote. Boseman, aliyefahamika zaidi kwa nafasi yake ya T'Challa katika filamu ya Black Panther, alikuwa akipambana kwa siri na saratani ya utumbo mpana (colon cancer) huku akiendelea kufanya kazi...
Siku hizi kwenye magroup ya wanawake, Wanalalamika sana wanaume kuwa achia watoto,
Na wao kutokomea kusikojilikana na kwenda kuanzisha family Nyingine huko. Je ni ugumu wa maisha,au gubu la mke,? Au ndo kuchokana?
Ni vigumu sana mtu yeyote kunishawishi kwamba Riz One aliteuliwa kuwa waziri katika ofisi ya raisi mwenye kusimamia Usalama wa Taifa kwa ajili ya usalama wa taifa. Ninaamini kwa dhati kabisa kwamba Riz One kawekwa katika nafasi hii kwa kazi maalum, na kazi hiyo kwa kiasi kikubwa si ya maslahi ya...
Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T-CAMS, unaendeshwa na Capital Pay, unahusishwa na kashfa kubwa ya familia ya rais. Kampuni hii inamilikiwa na Garang Malek kutoka South Sudan, ambaye anahusishwa na ufisadi.
Mkataba wa kutumia T-CAMS umesainiwa na TAFFA na TASAC bila ushirikiano wa wadau...
Hajaisha mpaka iishe.
Nimepata very classified information kuwa pamoja na Mafwele kutenda makosa makubwa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu( Crime against humanity), alijua kabisa ipo siku atawindwa. Sasa Ili Aishi Kwa amani alihamisha familia yake Uko South Africa.
Sasa kama mjuavyo ubaya haudumu...
Man to Man , sio kila wknd lazma utoke na Masela sometimes tuliza mbupu kwa mke wako mpange mipango ya maisha na ku have fun kuna watu hawana muda kabisa na familia zao au hata kukaa na watoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.