mbaya

The Mbayá or Mbyá are an ethnic group, commonly called "Indians", which formerly ranged on both sides of the Paraguay River, on the north and northwestern Paraguay frontier, eastern Bolivia, and in the adjacent province of Mato Grosso do Sul, Brazil. They have also been called Caduveo. In the 16th century the Mbayá were called Guaycuru, a name later used generically for all the nomadic and semi-nomadic Indians of the Gran Chaco. The Kadiwéu people of Brazil are the surviving branch of the Mbayá.The Mbayá called themselves the Eyiguayegis 'people of the palm', a reference to the abundant palm trees in their home country. (The name Eyiguayegis is similar to that of Agaces or aigeis, a name more often applied to the related Payaguá. Possibly the two peoples were nearly the same in the 16th century.) The Mbayá spoke a Guaycuruan language. They were "formidable" fighters and "kept the Europeans – settlers and priests alike – at bay" for more than 300 years.The Mbayá were nomads. With horses captured from the Spanish, the Mbayá developed an equestrian culture by about 1600 and were a serious threat to Spanish and Portuguese settlers, missionaries, and governments in Paraguay, Bolivia, and Brazil until near the late 19th century. They also raided and subjugated other Indian groups, notably the Guana. They were generally friendly with the Payaguá, who lived along the Paraguay River and had a riverine culture.

View More On Wikipedia.org
  1. MSAGA SUMU

    Tukiacha roho mbaya Marangu Kilimanjaro ni kama ulaya

    Mamangi hapa mmejua kutunyoosha, yaani mtu anaweza kutokea Bukoba mjini au Singida akaja kushangaa Marangu. Mikoa mingine uchawi tuwachie mababu zetu sisi tukomae kupendezesha nyumbani. Picha kwa hisani ya Bertin Video nimeattach https://www.facebook.com/share/v/1CQMtL86pJ/
  2. Mwezeshaji1

    Umasikini mbaya jama...mweh!

    Mhh..ukiweza, usiache watoto mikono mitupu dunia iwachachafye. (Hivi sisi tunazaa halafu watajijua mbele kwa mbele kwenye sehemu ambayo hata huduma za elimu na afya KUBWA unalipia😂?) Kama hauna riziki unalala njaa KWELI, hakuna 'food stamps' wanazosemaga kwa wenzetu. Wape elimu sawa, halafu...
  3. Jack Daniel

    Tanzania inaelekea sehemu mbaya kama tunaruhusu vitu hivi

    Inashangaza!! Kuna video inamuonesha jamaa mmoja ambaye mwanzo nilimpuuza lakini katika pita pita zangu mtandaoni,nakutana na clip moja ikimuonesha huyu jamaa anayejiita Shehe Mwaipopo akijigamba kuwa ana kikundi ambacho kitapambana na watakao andamana. Kwanza nieleweke kwamba siungi mkono...
  4. Baba mtakatifu91

    Nimenunua vocha ya 50,000 kwa bahati mbaya

    DFPEB1IXRZ Imethibitishwa. Tsh50000.00 imetumwa kwa J4U M-PESA tarehe 25/6/26 saa 4:38 PM. Salio lako la M-Pesa ni Tsh27,824.24. Nilikuwa naunga bundle la wiki 2 la 5000 ila cha ajabu nimezidisha 0 moja. Wakuu imeniuma sana.
  5. Moto wa volcano

    Hakuna mtu anaongea neno kwa bahati mbaya

    Maneno huwa hayamtoki mtu bure ujue ni sehemu ya mawazo yake na moyo wake ulivyo. Ndioomaana ukisikia lugha za hatari kutoka kwa mtu chukua tahadhari naye mapema , mtu anapimwa kwa matendo na maneno yake. "KINYWA CHA MTU KINANENA YALE YA UJAZAYO MOYO WAKE " YESU
  6. Yoda

    Utawala wa Sultan Zanzibar ulikuwa mbaya sana au kuna namna tumelishwa matangopori?

    Kwa wale mliofanikiwa kuongea na wazee wa Ki-zanzibar walioishi chini ya Utawala wa Sultan wanauzungumziaje huo utawala? Nikiitazama Oman nahisi inawezekana tumelishwa matangopori sana kuhusu utawala wa Waarabu wa Oman wa Kisultani huko Zanzibar kwa sababu hata maendeleo chini ya Sultan...
  7. K

    Nilivunja urafiki wetu baada ya kauli iliyonidhalilisha na kunikejeli nina sura mbaya

    Wanasema urafiki wa kweli hujengwa kwenye misingi ya kuaminiana, kusaidiana kwenye shida na kulindana dhidi ya jambo lolote linaloumiza. Lakini maisha yangu kama mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni yalikuja kunivuruga kabisa, na kunifanya nianze kujihoji: Hivi kweli nahitaji watu maishani...
  8. RRONDO

    Tarehe Mbaya Hizi...

    Wazee wa magari tarehe mbaya hizi na Hormuz imepigwa pin basi inakuwa double trouble. Mshale wako umesimama wapi? Cc Mad Max
  9. Chizi Maarifa

    Sweden wanapiga risasi mbaya

    hawacheki na nyau. wakifika kwneye 18 ni mafataki tu hawa mbwa. nilikuwa namwonea huruma golie wa team yetu ya Tunisia. nikasema leo mbona kazi ipo. si kwa mawe yale waliyokuwa wkairusha langoni kwake. anyway tuendeleeni kumswalia mwafrika mwenzetu na wengine pia mambo yakae sawa.
  10. Saad30

    Kutofanya mapenzi kwa muda mrefu ni mbaya Sana Kwa Sisi wanaume

    Hii ni Kweli kabisa ukizingua wee ni boya kabisa. Kwa Sisi wanaume tusipokula mzigo Kwa Muda mrefu akili inakuwa kama imeganda hivi.Unaweza kuidanganya akili kwamba huwazi Tena kuhusu papuchi lakini pale unapoenda kuoga alafu Mzee wa kazi ukiupaka sabuni ndio utajua Kula mzigo ni Tiba Kwasisi...
  11. Dr Adam Francis

    Rais Samia na dhana ya "Baniani mbaya kiatu chake dawa"

    Tanzania tumeanza utamaduni mbaya sana siku hizi. Yeyote anayelisema zuri lolote la serikali anaitwa chawa, kibaraka na maneno mengine mengi ya hovyo hovyo. Siku hizi ukweli hautokani tena na hali halisi, bali ni chochote kile kinachoonekana kimesemwa na mwenzetu. Jambo hili ni hatari sana...
  12. ndege JOHN

    Salio lako ndio huamua kama Serikali ni nzuri au mbaya

    Ukiwa na hela, ukiona watu wamejazana kwenye mahoteli wanakula bata unasema Uchumi unapiga hatua, watu wana pesa. Ukiwa huna hela unasema Hawa raia wanatoa wapi hela wakati hali ni mbaya hivi? Ukiwa na hela, mafuta yakipanda bei unasema Hii ni hali ya soko la dunia Ukiwa huna hela unakuwa na...
  13. Sir MGAX

    Tabia 10 mbaya za watu tunaoishi peke yetu

    Habari wanaJF 1.Huacha Mapambo, au vitu vilivyotumiaka katika sherehe iliyokuwa miezi kadhaa iliyopita kama sikukuu ya kuzaliwa, mti wa chrismass mapambo ya ukutani ya mwaka mpya nk. 2. Kutumia Miguu kwenye shughuli zinazotakiuwa utumie mikono kama kubonyeza swichi, kusogeza vitu, kufunga...
  14. A

    KERO Nilipata huduma mbaya katika Hospitali ya Mkoa Kigoma (Maweni), wajirekebishe

    Mimi ni mkazi wa Kigoma Mjini, napenda kutoa malalamiko yangu kuhusu huduma niliyoipata katika Hospitali ya Mkoa Kigoma Maweni wakati nilipompeleka mke wangu kujifungua. Tulipofika hospitalini majira ya saa 3:00 asubuhi, hali ya mke wangu ilikuwa mbaya sana, hakuweza hata kusimama. Nilipowaomba...
  15. Stability

    Ongezeko na video za shughuli za wadada kushereheshwa na mashoga sio ishu ya bahati mbaya, ni mpango mzima wa kudhalilisha uanaume halisia.

    Kumbuka zile shughuli zinafanywa na masingo maza, michepuko ya watu, wadada wanaojiuza, wadada wasio na kazi, etc na watu wa aina hii adui namba moja wao ni mwanaume kutokana na kila mmoja aliathrika vp na mwanaume katika pita pita zake. Sasa ikitokea kuna mashoga wanawafahamu wanahakikisha...
  16. KENZY

    Mbaya sana unamtongoza mdada anakujibu ana mtu!!

    Hili jibu la nina mtu linakera sana!, kama umeshajua haiwezekani kunikubalia si useme tu haiwezekani. Unanitajia mimi li mtu lako la kazi gani...? Ipo siku nitakuja kushuka na mtoto wa mtu hivihivi kimasihara, wadada wenye tabia hii badilikeni inakera...😎
  17. Meja Jenerali Isamuhyo

    Huko maofisini wadada wengi ni single mama, hali ni mbaya

    Huko maofisini wadada wengi ni masingle mama. Nazungumzia hawa madada wanaojiita “corporate dadaz” Wengi wao wamezalishwa na kuachwa na wanaume wakilea watoti wao wenyewe. Hali inazidi kuwa mbaya, idadi hii inaongezeka siku hadi siku. Lazma wakubali kuna tatizo sehemu. Je tatizi hilo ni lipi?
  18. Pakome

    Hakuna laana mbaya kama kutesa watu au kuwanyanyasa kwa namna yeyote ile, huwa mwisho wake unakuwa mbaya sana

    Hakuna uamuzi mbaya kama kutesa watu au kuwanyanyasa kwa namna yeyote ile, huwa mwisho wake unakuwa mbaya sana Njia ya haraka sana ya kulaaniwa ni kutesa watu na kuwanyanyasa Laana haiji kwa njia moja inakuja kwa namna tofauti sio lazima njia iliyomlaani fulani ndiyo itakayomlaani na yule...
  19. A

    KERO Rombo: Kitengo cha Ustawi kina hali mbaya

    Maafisa Ustawi Kila siku wanatishiwa kuhamishwa na Katibu wa Idara ya Afya bila sababu za kueleweka. Sijui yeye ana hayo Mamlaka ya kumhamisha Mtumishi maana hata kwenye Mfumo wa PEPMIS amewapanga vituo vya afya (bila kupewa barua zozote) ambako wanalazimishwa kwenda kukusanya mapato utadhani...
Back
Top Bottom