message nzuri ila ina a lot engineering error , iko shallow marketing but in engineering sense it is chaos hakuna good logic flow
https://www.jamiiforums.com/threads/wanachuo-vijana-msio-na-kazi-unaweza-pata-5000-20-00-kwa-siku-kutumia-ai.2367566/
hii ni kelele , weka hata bei, location
https://www.jamiiforums.com/threads/fast-food-kwa-wafanyakazi-wa-maofisini-dar-es-salaam-karibuni-sana.2453387/
jamii forum inapoteza pesa kijinga title ya Expert Member inabidi watu walipie pie watu wanaweza rated by star baada hata jamii forum waanza...
ujumbe umejificha kwa kelele nyingi hakuna flow nzuri , mtu rahisi sahau kwa ajili ya kelele
Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka
post ni ndefu balaaaaa
Ndugu zangu Watanzania,
Huko Marekani Kuna Mwana Mama Kaapishwa kuwa Seneta Kumalizia Muhula Wa Kaka Yake Aliyefariki Dunia.
Sasa Jambo Hilo lingefanyika Hapa Tanzania Ungeona CHADEMA Na wafuasi wake Wanaanza kupiga Kelele Na kusema ni Upendeleo Na Mambo kama Hayo Huwezi kuyakuta Marekani na...
ni kweli inatokea sababu bank haina engineering people wanaweza detect wizi ukitokea. CRDB iko overloaded sana , staff wako na massive client ku handle na wako na burn out kubwa sana . miundo mbinu hakuwa design handle huge traffic katika categories tofauti. ni fursa kwa skilled people deal na...
Ndiyo kelele ni za maskini, Ila wenye pesa hawapigi kelele endeleeni kunichokoza
Kelele zinapigwa na wanavyofanya
Mi si tajiri na si tajiri sana ila ka bilion 2 sikosi kwenye majumuisho yangu
Siko vibaya sana
Nasema haya makusudi,
Ninyi ndugu zangu, kwanza dunian hakuna mtu maskini ni...
Salaam Wakuu,
1. Ni aibu sana.. Msanii unaingia kuimba unapiga kelele. Kwa kelele hizo, pumzi zinakata hata hajamaliza Beti ya kwanza.
2. Wanalazimisha watu kuweka mikono juu, kupiga vigeregere, kuoiga miluzi nk.
3. Tumelipa kiingilio tuimbiwe, lakini msanii akipanda anamwambia DJ azime...
Wakati ukandamizaji ukizidi kushika kasi Burkina Faso na sifa kedwkede Kwa Traore ximeyeyuka baada ya Nchi kugeuka omba omba wa Kila kitu.
Bwana yule alijizolea umaarufu miongoni Kwa wajinga na yeye kujaa kwenye mfumo lakini baada ya kuona uhalisia wa kuwa Kiongozi wa Nchi amerudi kule kule...
Kuna jambo ambalo Watanzania tunapaswa kulitafakari kwa kina. Katika kipindi hiki, mjadala mkubwa umeibuka kuhusu tuhuma zinazomhusisha kiongozi wa CHADEMA, John Heche, kuhusu fedha za michango ya wananchi. Tuhuma hizo zinapaswa kuchunguzwa kwa haki na kwa kufuata taratibu za chama na sheria...
Wakazi wa Mbezi Juu, Mtaa wa Jogoo, Jijini Dar es Salaam tunaathiriwa na kelele zinazotokana na kiwanda cha zege cha Kerai Construction Ltd, ambacho kinajihusisha na uzalishaji wa bidhaa za ujenzi.
Kiwanda hicho, ambacho kipo karibu na maeneo ya makazi, kimekuwa kero kubwa kwa wakazi wa maeneo...
Anonymous
Thread
construction
dar
jogoo
karibu
kelele
kiwanda
mbezi
mitambo
wakazi
Habari ,naomba kufichua uovu kuhusu Bar inayoitwa G Seven iliyopo mkoani Mwanza sehemu inaitwa Darajani Kata ya mkolani ,
Bar hiyo imekuwa ikipiga muziki usiku kucha Kwa sauti ya juu Jambo ambalo limekuwa ni kero Kwa wakazi wanaoishi maeneo Jirani, Jambo ambalo limekuwa likileta makelele na...
Tumechoka, tumenyanyasika, na tunapuuzwa kabisa!
Kwa miezi kadhaa sasa, wakazi wa Ilemela Nyagunguro tumekuwa tukiteseka kwa kukosa usingizi usiku kucha kutokana na uchafuzi uliokithiri wa kelele. Muziki unaopigwa kwa sauti ya juu ya juu sana kutoka Kwa Tunza na Mamboleo umekuwa kero...
Baadhi ya watu wanadhani fursa za huu utalii tena wa mikoa mingine unatakiwa kunufaisha kwao tu
Ni vita kubwa sana hii, kwa sasa tunasikia milio kila muda panaposikika habari za ujenzi wa uwanja na imeonyesha haijaanza leo bali ni ya muda mrefu sana kupiga sabotage uwanja huu, ila kwa sasa...
arusha
biashara
habari
hawapendi
hawataki
kelele
kiwanja
kufanya
kujengwa
kuona
kusikia
maeneo
maslahi
miaka
namna
ndugu
sababu
sababu za
sabotage
sana
serengeti
ubinafsi
ujenzi
ujenzi wa uwanja
uwanja
wabinafsi
wabunge
wanaopinga
wao
zao
Huu ndo ukweli mchungu watanzania 90% tuna toka kwenye familia zilizo jaa umaskini wa kupindukia. Ndugu zetu vijijini wanaogelea kwenye umaskini wa kutisha ndo maana zikitokea chance watu wanazitumia vizuri hakuna tuzo ya Utesekaji bora ...
Nahisi nitakua nina tatizo la phonophobia.
Ninachukia sana sauti sana sana wakati wa asubuhi na nyakati za usiku yaan sipendi kabisa makelele mida hio.
Napenda sana sehemu yenye ukimya.
Napenda sana utulivu na kukaa sehemu iliyotulia muda mwingi nikiwa mwenyewe.
Sauti pekee inayonipa furaha...
Moja ya tabia wanaume wengi huijenga ni kuchukia kelele na purukushani nyingi as umri unaenda.
Ni kawaida kukuta mwanaume ulikuwa unaishi kwenye mazingira yenye kelele, nyumbani kelele ,(mke) ulikuwa mtu wa kwenda club nk , nyumba za ibada zenye kelele lakini as time goes unajikuta hupendi...
Ukifanikiwa punguza kelele kula kimya kimya. Watu wasijue chimbuko la pesa zako. Dogo mmoja wa twitter huko (x) alikuwa na maneno ya shombo sana kwa watu sahv wamemfelisha ananyea debe .
Hushpupi pesa zote alizopata asingekuwa na kelele yasingemkuta maswahibu yaliyompata
“Logic is a practical science of correct thinking.”
Hii si sentensi ya darasani tu. Ni msingi wa ustaarabu wa mwanadamu. Ni tofauti kati ya jamii inayotafuta ukweli na jamii inayotafuta washangiliaji. Ni mpaka unaotenganisha dola yenye busara na dola inayotegemea jazba, propaganda na uaminifu...
Napenda kutoa dukuduku langu, yaani hawa wasimamizi wa written interviews za utumishi baadhi yao wanasababisha watu wanafeli yaani mshaanza wao ni kelele.
Anonymous
Thread
dukuduku
interview
interviews
kelele
kutoa
utumishi
wao
wasimamizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.