Shirika la umeme Tanzania(TANESCO) ni shirika la umma nchini Tanzania lililoanzishwa November 26, 1931 na liliitwa 'Tanganyika Electric Supply Company Limited' kazi yake kubwa ikiwa ni kuzalisha na kusambaza umeme nchini Tanzania.
Tangu jana nimeshindwa kununua umeme kupitia Airtel na Halotel. Airtel nimekatwa hela na sijapata token. TANESCO shughulikieni tatizo hili tunalala gizani hela ya kununua umeme tunayo.
Habari wakuu.
Hili jambo la kununua umeme halafu wanakata pesa bila kukwambia ni deni gani na ni kiasi gani, kwenu limekaaje?
Nimenunua umeme wa shilingi 2,000, lakini nimepewa umeme wa shilingi 409 tu, halafu shilingi 1,500 imeandikwa debit collection.
Tuseme ni ile kodi ya majengo. Sasa kwa...
Siku ya kutoa gawio kwa serikali ni siku ambayo rais alipaswa kuichukulia kama accountability day kwa mashirika yote ya Umma. Ni siku ambayo mbivu na mbichi zinapaswa kuanikwa na pengine watu kuchukuliwa hatua kwa kutotoa gawio lolote.
Lakini katika siku hiyo mwaka huu TANESCO, TTCL, ATCL, TRC...
Wananchi wa Kijiji cha Nabweko, kilichopo Kisiwa cha Irugwa, Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, tunaendelea kukabiliwa na changamoto kubwa za huduma za msingi.
Kwanza, tangu Tanzania ipate uhuru, kijiji chetu hakijawahi kufikiwa na huduma ya umeme wa TANESCO. Hadi leo, wananchi wanalazimika...
Napenda kuwashirikisha changamoto niliyokumbana nayo wakati wa kuomba huduma ya kuunganishiwa umeme katika ofisi za TANESCO Mikwambe, Kigamboni.
Kwa kifupi, ofisi hiyo ni mpya na ina mazingira mazuri, lakini huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wateja inaonekana kucheleweshwa kwa muda mrefu...
Ninaomba kuwasilisha kero yangu kwa Tanesco kuhusu hali ya umeme katika maeneo la Majohe, Dar es Salaam.
Kwa muda sasa tumekuwa tukikumbana na tatizo la kukatika umeme mara kwa mara bila taarifa yoyote. Karibu kila baada ya siku mbili au tatu tunakaa siku nzima bila umeme, huku wananchi...
Tanesco imetolea ufafanuzi wa Kero zilizowasilishwa na wadau hapa JamiiForums, baadhi ya sehemu maboresho yameanza.
Pia soma
~ KERO - Mwaka wa 3 sasa TANESCO hawajaweka Transfoma hapa Msambiazi-Korogwe, tunateseka umeme kukatika
~ KERO - TANESCO Iringa Mjini wanakata umeme laini ya viwandani...
Ninakero yangu, mkoa wa Pwani Bagamoyo Tanesco ni Kero, nimelipia kuhusu kuunganishiwa umeme tangu mwezi wa nne mwanzoni 2026 hadi sasa hawajaniunganishia, kila nikiwapigia mwanzo walisema siku 30 za kazi baada ya siku 30 za kazi kupita wanasema ni siku 60 za kazi ni kerooo.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekanusha madai yaliyotolewa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kwamba changamoto ya upatikanaji wa maji katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Mwanza imesababishwa na kukosekana au kuyumba kwa huduma ya umeme kwenye mitambo ya...
Kuna member alileta uzi humu kwamba maji yanasumbua Mwanza, na MWAUWASA wakaja na kiteteo kwamba umeme unasumbua na wako wanashirikiana na TANESCO kusolve.
MWAUWASA: Kukosekana kwa huduma Uzalishaji na Usambazaji wa Maji Mwanza imetokana na hitilafu ya umeme
Hafu leo TANESCO nao wanakataa...
Kwa masikitiko makubwa, hali ya umeme katika maeneo ya Wilaya ya Chunya — Matundasi, Makongorosi, Lupa, Saza na Itumbi — imekuwa ya kudhalilisha wananchi na kuonyesha wazi kushindwa kwa mamlaka husika kutekeleza wajibu wake kwa wananchi.
Wananchi wamevumilia kwa muda mrefu sana. Kwa zaidi ya...
Ni ukweli ulio wazi sasa hivi wakuu wa taasisi za serikali ikiwemo TANESCO wanamdharau huyu Rais ndiyo maana wanamhujumu, wanamchonganisha kwa wananchi aonekane ameshindwa kuongoza.
TANESCO mlitukatia umeme tangia asubuhi saa 3, mmerudisha sa 12 jioni, ajabu mmeukata tena, ni nini mmeshindwa...
Wilaya ya Mbarali Mbeya kuna changamoto ya umeme yapata Miezi 6 sasa, changamoto inayosumbua ni low voltage (umeme kukosa nguvu) hii inaathiri baadhi ya nyumba lakini kwa wamiliki wa viwanda yaani mashine za kusaga nafaka na kukoboa mpunga imefika mahali tumekata tamaa.
Tumejaribu mara kadhaa...
Kwa takribani wiki 2 mfululizo na zaidi, TANESCO Iringa Mjini wanakata umeme laini ya Viwandani na husema ni DHARURA na HITILAFU, kila ifikapo Saa 12 Jioni na kurudisha umeme Saa 3 au 4 Usiku, imekuwa kama mgao wa kimyakimya.
Bei ya diesel imepanda, matumizi ya Generator inakuwa ni gharama...
Habari Naomba kutuma kero ya kata ya 14 Temeke Dar-es -Salaam yadi ya malori mtaani ni kubwa, yanapaki magari mbele ya nyumba za watu na magari hayo Hayo yanakata wire za umeme.. Maafisa wa TANESCO wakija hawawasilishi kesi ofisini wanapewa hela na watu hawalipwi, vitu vyao vilivyoungua.
Barua...
Anonymous
Thread
kero
maafisa
magari
malori
njia
tanesco
temeke
umeme
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Lazaro Twange ameeleza kutoridhishwa na kasi ya mkandarasi anayetekeleza mradi wa maboresho ya Kituo cha Kufua Umeme cha Hale kutokana na kuchelewa kukamilika kwa Mradi huo ulioanza kutekelezwa tangu mwaka 2022.
Bw. Twange ameyasema hayo leo Mei 22, 2026 wakati...
NAOMBA UFICHUE UOVU DHIDI YA BI. NISILE MWAKALINGA - AFISA RASILIMALI WATU, TANESCO MKOA WA MANYARA
Mimi ni mtoa taarifa mwenye nia njema, naomba uchunguzi wa kina ufanyike dhidi ya Afisa Rasilimali Watu wa Mkoa wa Manyara, kwa madai yafuatayo:
1. Matumizi mabaya ya madaraka na kulipiza kisasi...
Anonymous
Thread
afisa
cheo
mamlaka
manyara
rasilimali
rasilimali watu
tanesco
vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.