maana

Maana Patel (born 18 March 2000) is an Indian backstroke swimmer from Ahmedabad, Gujarat.

View More On Wikipedia.org
  1. Y

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Serikali zote duniani zinadeni la USD TRL 300 huku zikimiliki uchumi wa USD TRL 115 sawa na robo tu ya deni ndio maana dunia imegeukia PPP

    soma hii kwa makini sana, Mikopo yote (serikali, sekta binafsi, kaya) imefikia zaidi ya USD trilioni 300, wakati uchumi wa dunia ni takribani USD trilioni 115 — karibu mara tatu ya uchumi wa dunia. === Morogoro – Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), David Kafulila, akizungumza...
  2. F

    JamiiForums Tanzania Sheikh anayetaka kutahiri watu bila ganzi kumbe ni mhuni, mwizi, tapeli. Ina maana CCM inawasapoti majambazi?

    Huyu anayejiita sheikh Mwaipopo alikamatwa akitapeli Kenya, akapelekwa mahakamani kwa kutapeli KES 1.3 Mil, hii ni sawa na TZS 26 Mil. Huyo Sheikh Ubwabwa alivyokamatwa akatuma salaam kwa waumini wa kiislaam waliopo Tanzania na Oman kuwa ameshtakiwa Kenya, na anashikiliwa kituo cha polisi cha...
  3. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya mstari huu Isaya 4 mstari 1

    Kitabu cha Isaya Sura ya 4 - Biblia Takatifu [Suahili Union Version] *Isaya 4:1 Na katika siku ile wanawake saba watamshika mtu mmoja, wakisema, Tutakula chakula chetu wenyewe, na kuvaa mavazi yetu wenyewe; tuitwe tu kwa jina lako tu; utuondolee aibu yetu. Twende kazi
  4. Red black

    JamiiForums Tanzania Nani wako nyuma ya hizi ID mpya hapa JF maana zinapost non-sense za kiwango cha juu sana.

    Kila siku kuna ingizo jipya Nani yuko nyuma ya hizi ID au ni mpango maalum wa kupoteza maboya decoy NB : Jf is threat to the throne
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania kuna wabunge wanashangaza sana ana kwambia tumalize Gen z ndio kina sababisha uvunjifu wa amani.Hivi ana elewa ilo neno maana mtoto raisi yupo

    Bungeni kuna vituko sana yani ni vilaza wa kambare matopeni. Unaposema Gen Z ni kuingamiza hata uwelewi kuna mtoto wa raisi wako na mwanao. Ulijua ni chama kipya.
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Waziri katambi ina maana mpaka waziri wako mkuu kutumia chama na swala la mwenge umesitisha si umejumuisha CCM nayo.

    Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM. Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa. kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mikataba batili ambayo akiondoka tu inafutwa sekunde hiyo hiyo maana haina baraka za "bunge" ( ingawa bunge haramu)

    Mpina: Serikali haiwezi kuaminika tena, imesaini mikataba ya siri ya Bandari, NHC, Ngorongoro, TFS, Makaa ya Mawe bila kibali cha Bunge
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kumbe kufa kunauma, kunaumiza roho, kunaleta majonzi! TUSIUE WENZETU MAANA KUFA KUNAUMIZA WALIOBAKI

    Pole IGP kwa msiba huu mzito. Tarehe 7.7.2026 waache watu waandamane. USIWAUE, KUFA KUNAUMIZA WALIOBAKI. RIP KAMANDA AMBWAO
  9. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu wengi tunaopigia kelele ufisadi, wizi , rushwa. Ni kwamba hatuko kwenye hizo position ndo maana kelele ni Nyingi.

    Huu ndo ukweli mchungu watanzania 90% tuna toka kwenye familia zilizo jaa umaskini wa kupindukia. Ndugu zetu vijijini wanaogelea kwenye umaskini wa kutisha ndo maana zikitokea chance watu wanazitumia vizuri hakuna tuzo ya Utesekaji bora ...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna jirani yangu muda wa kustaafu ulitakiwa 2025 ila kaombwa mpaka 2030.Ina maana gani Kwa Tanpol

    Jirani yangu hapa alistaafu mpaka na sherehee tukafanya ila bado anaendelea na bonus za kutosha. Ina maana cha kuwalipa pesa kubwa mkaona sasa wabaki waendelee kuwatetea CCM mfike mpaka 2030.
  11. 2019

    JamiiForums Tanzania Shangilieni ushindi kwa Iran kwa maana maisha yanaenda kuwa rahisi sasa

    Kama kichwa kinavyoeleza dunia nzima inapaswa kushangilia ushindi wa vita kwa Iran. Masharti yaliyowekwa na Iran US ameyakubali hii inaonesha mshindi ni Iran. Mashati ya Marekani yote alikataliwa, machache haya 1. Kutotengeneza makombora 2. Kutorutubisha uranium 3. Kufungua mlango bahari...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa bunge kuuliza wabunge na CV zao.Je mna maana kwamba mnaficha aibu zenu

    Watuambie kuwa bunge ni kikundi cha watu wachache. Leo uwezi kuuliza CV za mtu yoyote bila kupata kwenye tovuti ya bunge. Uchafu wa nchi imefikia kila tovuti kuficha taarifa ya yoyote hata idara. Mfano nilitaka kujua kama ndo mimi mfano nipo UN.
  13. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania So sad RC chalamila kauli zake zinahamasisha maandamano na kuongeza hamasa maana zinachochea hasira na vaibu na chuki watu kuingia barabarani.

    RC chalamila anafanya kazi ya 7/7 kua nyepesi sana kauli zake ni Kama chachu ya kuongezea watu hasira , hapo hapo zinaogeza vaibu chuki kwa serikali na kuongeza hamasa ya watu kuingia barabarani kipindi hiki kauli za vitisho hazina tija. Wote tuliona October 29...
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shabani Dede Kamchape Muhaya aliyetunga tungo za maana na kutuburudisha.

    Leo tuusikilize na kuujadili wimbo KIPEPEO https://www.youtube.com/watch?v=lUyLae6jWLY&list=RDlUyLae6jWLY&start_radio=1 Sikumoja itafika, nitafanikiwa mafikara na mawazo siku hiyo yatakwisha Sikumoja itafika, nitafanikiwa mafikara na mawazo siku hiyo yatakwisha Kwani kila lenye mwanzo halikosi...
  15. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Tishio la Maandamano 😀 wasio vaa uniform no wengi ILA hakuna kitu wanapata maana hizo ni propaganda za Green Gud wa kihongosi.

    Mgeni njoo mwenyeji aponeeeee! Tetesi za maandamano tarehe 07/07/2026, wasio vaa uniform wamejaa hapa ninapo gonga nyagi wanasikilizia nyuzi,kidume nipo jamii forum nabonga na Wana uku nachati na Malaya. Hii nchi pesa zinachezewa green GUD wanakunywa fedha za UMMA maana hapa sioni mjanja...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Ina maana aliwadanganya Watanzania kuwa ndani ya siku 100 suala la katiba mpya litaanza kushughuliliwa? Alikuwa na wenge baada ya matukio ya Oktoba 29

    Ahadi ni deni. Tena ahadi inayohusu masuala ya msingi ya kitaifa. Taifa linahitaji katiba mpya. Alitambumbua kabisa moja ya sababu zilizosababisha vurugu ni wananchi kutaka katiba mpya. Sasa hiyo ahadi imeyeyuka mithiri ya barafu. Siku 100 zimekuwa siku 4000.
  17. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini maana sexual fantasy?

    Wenye kufahamu kwakina Nini maana sexual fantasy? Tupeane maarifa maujuzi sasa Uwanja ni wetu
  18. C

    JamiiForums Tanzania Hivi nini maana ya neno "Tajiri"

    Habari wanaJF Hili ni moja ya neno mtambuka na lenye utata sana. Mtu amepata vihela kidogo hata havizidi million 100 utasikia ni tajiri. Je utajiri ni kuendesha gari,kujenga ,afya ama nini?
  19. D

    JamiiForums Tanzania Kakistocracy: Ndiyo maana wananunua PhD za mchongo kila kukicha

    Tanganyika ndiyo tumekwishavuna mabua hivyo baada ya kucheka na nyani, tuendelee kuimba Mama, Mama…
  20. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Hii Chadema imeshindikana ndo maana akina Heche wana jeuri

    Mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliofanyika Karatu Mjini umevutia umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kusikiliza viongozi wa chama hicho wakizungumza kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa na maendeleo ya nchi.
Back
Top Bottom