soma hii kwa makini sana,
Mikopo yote (serikali, sekta binafsi, kaya) imefikia zaidi ya USD trilioni 300, wakati uchumi wa dunia ni takribani USD trilioni 115 — karibu mara tatu ya uchumi wa dunia.
===
Morogoro – Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania (PPPC), David Kafulila, akizungumza...
Huyu anayejiita sheikh Mwaipopo alikamatwa akitapeli Kenya, akapelekwa mahakamani kwa kutapeli KES 1.3 Mil, hii ni sawa na TZS 26 Mil. Huyo Sheikh Ubwabwa alivyokamatwa akatuma salaam kwa waumini wa kiislaam waliopo Tanzania na Oman kuwa ameshtakiwa Kenya, na anashikiliwa kituo cha polisi cha...
Kitabu cha Isaya Sura ya 4 - Biblia Takatifu [Suahili Union Version]
*Isaya 4:1
Na katika siku ile wanawake saba watamshika mtu mmoja, wakisema, Tutakula chakula chetu wenyewe, na kuvaa mavazi yetu wenyewe; tuitwe tu kwa jina lako tu; utuondolee aibu yetu.
Twende kazi
Bungeni kuna vituko sana yani ni vilaza wa kambare matopeni.
Unaposema Gen Z ni kuingamiza hata uwelewi kuna mtoto wa raisi wako na mwanao.
Ulijua ni chama kipya.
Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM.
Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa.
kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
aina
bei
ccm
chama
katambi
kati
kuku
kuongeza
kupanda
kupanda bei
kutumia
maana
mkuu
mpaka
mwenge
nayo
ng'ombe
nguruwe
nyama
nyama ya ng'ombe
swala
ufugaji
ufugaji wa kuku
wako
waziri
waziri katambi
Huu ndo ukweli mchungu watanzania 90% tuna toka kwenye familia zilizo jaa umaskini wa kupindukia. Ndugu zetu vijijini wanaogelea kwenye umaskini wa kutisha ndo maana zikitokea chance watu wanazitumia vizuri hakuna tuzo ya Utesekaji bora ...
Jirani yangu hapa alistaafu mpaka na sherehee tukafanya ila bado anaendelea na bonus za kutosha.
Ina maana cha kuwalipa pesa kubwa mkaona sasa wabaki waendelee kuwatetea CCM mfike mpaka 2030.
Kama kichwa kinavyoeleza dunia nzima inapaswa kushangilia ushindi wa vita kwa Iran.
Masharti yaliyowekwa na Iran US ameyakubali hii inaonesha mshindi ni Iran.
Mashati ya Marekani yote alikataliwa, machache haya
1. Kutotengeneza makombora
2. Kutorutubisha uranium
3. Kufungua mlango bahari...
Watuambie kuwa bunge ni kikundi cha watu wachache.
Leo uwezi kuuliza CV za mtu yoyote bila kupata kwenye tovuti ya bunge.
Uchafu wa nchi imefikia kila tovuti kuficha taarifa ya yoyote hata idara.
Mfano nilitaka kujua kama ndo mimi mfano nipo UN.
RC chalamila anafanya kazi ya 7/7 kua nyepesi sana kauli zake ni Kama chachu ya kuongezea watu hasira , hapo hapo zinaogeza vaibu chuki kwa serikali na kuongeza hamasa ya watu kuingia barabarani kipindi hiki kauli za vitisho hazina tija. Wote tuliona October 29...
Leo tuusikilize na kuujadili wimbo KIPEPEO
https://www.youtube.com/watch?v=lUyLae6jWLY&list=RDlUyLae6jWLY&start_radio=1
Sikumoja itafika, nitafanikiwa mafikara na mawazo siku hiyo yatakwisha
Sikumoja itafika, nitafanikiwa mafikara na mawazo siku hiyo yatakwisha
Kwani kila lenye mwanzo halikosi...
Mgeni njoo mwenyeji aponeeeee!
Tetesi za maandamano tarehe 07/07/2026, wasio vaa uniform wamejaa hapa ninapo gonga nyagi wanasikilizia nyuzi,kidume nipo jamii forum nabonga na Wana uku nachati na Malaya.
Hii nchi pesa zinachezewa green GUD wanakunywa fedha za UMMA maana hapa sioni mjanja...
Ahadi ni deni. Tena ahadi inayohusu masuala ya msingi ya kitaifa.
Taifa linahitaji katiba mpya. Alitambumbua kabisa moja ya sababu zilizosababisha vurugu ni wananchi kutaka katiba mpya.
Sasa hiyo ahadi imeyeyuka mithiri ya barafu. Siku 100 zimekuwa siku 4000.
Habari wanaJF
Hili ni moja ya neno mtambuka na lenye utata sana.
Mtu amepata vihela kidogo hata havizidi million 100 utasikia ni tajiri.
Je utajiri ni kuendesha gari,kujenga ,afya ama nini?
Mkutano wa hadhara wa CHADEMA uliofanyika Karatu Mjini umevutia umati mkubwa wa wananchi waliojitokeza kusikiliza viongozi wa chama hicho wakizungumza kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa na maendeleo ya nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.