amani

Amani High School, also known in German as Amani-Oberrealschule Kabul, (Dari: لیسه عالی امانی‎) is a school in Kabul (District 10), Afghanistan. From the time of its foundation in 1924 until 1985, Amani High School was recognized as one of the elite schools in Kabul and received direct support from Germany, which helped to provide qualified staff. German was not only taught as a foreign language, but also was the teaching language in the higher classes in most subjects, being taught by qualified German teachers. The school is under the control of the Afghan Ministry of Education.
After the US invasion in late 2001, the buildings had been looted and partially destroyed. Reconstruction began with German help in spring 2002. The German support has resumed, which was suspended during the reign of the Taliban from 1996 to 2001. German teachers once again came to Afghanistan to teach. However, German is now only taught as a foreign language. Classes in all other subjects are held in Dari. The school teaches children from class 1 to 12. Up to 4th grade the classes are coeducational. From 5th to 12th only boys are allowed.
Amani High School has two big courtyards, a mosque, a sports field with a football court, two basketball courts and stands. There are modern laboratories for the science departments: Biology, Chemistry and Physics. The classrooms are furnished with tables and chairs, which is not taken for granted in Afghan schools, even in the capital Kabul.
A ceremony to celebrate Afghanistan's return to education was held at the school, attended by interim Afghan leader Hamid Karzai. In 2007 Angela Merkel visited during her trip to Afghanistan.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    Tanzania yenye amani, hitaji la kila mmoja wetu

    Kuna maumivu ambayo hayaponi kwa dawa yanabaki kuishi kwenye kumbukumbu za wale waliopitia mateso yake. Oktoba 29 iliacha simulizi ambayo wengi hawataisahau, Ilikuwa siku ambazo vilio vilizidi tabasamu, hofu ikazidi matumaini, na ukimya ukazidi sauti za biashara zilizokuwa zimezoeleka kila...
  2. figganigga

    Afande Sele: Tarehe 7/7/2026 kulikuwa na Utulivu sio Amani. Tusitamani hii hali ijirudie tena

    Msanii wa Bongo Fleva Selemani Msindi(Afande Sele), amesema Tarehe 7/7/2026 kulikuwa na Utulivu sio amani. Amesisitiza watu wapewe kilichofanya watake kuandamana. Kasema wanaingiziwa Posho na Mishahara ndo Wanasema kulikuwa na amani. Lakini wanaotegemea miguu ili kula wanasema kulikuwa na...
  3. Fbn

    Kwa mtindo huu wanasema wanarinda Amani ya nchi alafu mseme nchi ni salama mnaelewekaje kwa mtazamo.

    Ni aibu sana sana kusema nchi ina haki na domo crazy maana sio democracy mnayo sema ina tawala kwa haki. Leo tarehe 7/7 mnaweza kusema mumeweka amani hapa mfano kariakoo kuwa watu waendelee na shuguli zao
  4. M

    Ananilea Nkya: Nchi itakuwa na amani ya kweli kama Wananchi na Viongozi tutazingatia kusema UKWELI

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa na AMANI ya kweli kama viongozi na wananchi tutazingatia kusema UKWELI. Utamaduni wa kusema UONGO umeharibu nchi yetu Kuteka, kuuwa au kuwabambikia kesi wanaosema ukweli kumevuruga amani ya nchi yetu. Pia soma: Amani Iliyofichwa na Ukimya wa hofu si...
  5. Manyanza

    Amani haijengwi na kutunzwa kwa njia ya kututumia SMS, amani hujengwa pale haki inapopatikana

    Wasaalam Makampuni ya simu yamekuwa yakituma ujumbe wa kuhimiza wananchi "kudumisha amani." Kwa mtazamo wangu, ujumbe huo unaweza kuwa na nia njema. Hata hivyo, unaibua swali muhimu: je, amani inaweza kujengwa kwa kutuma ujumbe mfupi pekee, wakati wananchi wengi wanaendelea kuzungumzia masuala...
  6. Stuxnet

    Watanzania wamechagua amani badala ya vurugu: Wanaharakati wa maandamano wameshindwa

    Leo, tarehe 7 Julai 2026, Jiji la Dar es Salaam limeshuhudia mtihani mzito wa kisaikolojia baada ya barabara kuu kuwa tupu na maduka mengi kufungwa, kufuatia hofu ya maandamano yaliyohamasishwa na wanaharakati lakini yakapigwa marufuku na serikali. Hatua hii ya serikali ililenga kuzuia ghasia na...
  7. Yoyo Zhou

    Nguvu ya kimkakati ya nyuklia ya China ni dhamana thabiti ya amani ya kikanda na dunia

    Jeshi la Majini la China hivi karibuni lilipata mafaniko katika jaribio la kombora jipya la kimkakati lililorushwa chini ya maji katika Bahari ya Pasifiki. Hii ni hatua nyingine muhimu katika maendeleo ya nguvu ya nyuklia ya kimkakati ya China, kufuatia jaribio la kombora la kuvuka bara...
  8. N

    Tunza amani

    Hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania. Tuilinde amani ni mtaji wetu, Tuitunze, Tusikilizane, Tuheshimiane, Tushikamane.
  9. M

    TAARIFA RASMI: Maandamano ya Amani kwa Wasafirishaji wote Nchini, Sambaza ujumbe huu Kila Jukwaa na kila mtandao

    Ndugu Madereva wa Bodaboda, Bajaji, Daladala, Mabasi ya Mikoani, Wamiliki wa Magari, na Vijana wote wa Tanzania, Salamu za amani na mshikamano. 1. UTANGULIZI Hii ni taarifa rasmi kutoka kwa waandaaji UWADAR na vyama vyote vya wasafirishaji nchini kuhusu maandamano ya amani yatakayofanyika...
  10. Leonce jr

    Bila amani, fursa hupotea na ndoto husimama. Kila mmoja wetu ana wajibu wa kulinda amani. Tanzania ni yetu sote, tuilinde

    Ndio napanda kwenye jukwaa title kama ilivyotumwa kwenye laini yangu ya halotel. Vip huko nyie mmetumiwa nini?? Tuambatanishe na kapicha kama kapo. JOTO LA MAANDAMANO NI KALI
  11. TheForgotten Genious

    Hivi na ninyi wamewatumia sms ya "TUNZA AMANI"?

    Wamenitumia sms ya kutunza amani na maneno kibao,sijui biashara nini na nini,makende ya fisi ninyi,ipo hivi mimi kutunza amani kwa serikali inayo dhurumu haki,uhai na usawa msahau,tarehe 7 ,ratiba zipo pale pale,nimeshakuwa mzoefu na shunting za maandamano,ni tifutifu,kama amani ni kutuletea...
  12. Chachu Ombara

    Mchungaji Kimondo: Amani ipo iwapo haki itatendeka

    Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amesema haiwezekani taifa likapata amani ya kudumu ikiwa haki za kikatiba za wananchi na vyama vya upinzani zinaendelea kukandamizwa. Amesema viongozi wa serikali na vyombo vya dola wanapaswa kutambua kuwa amani ya...
  13. Tlaatlaah

    Well done JWTZ kwa kuwaondolea wananchi mashaka ya kiusalama na kuwahakikishia Amani na Utulivu wa kudumu waTanzania wote.

    Ama kwa hakika mmesimama vema na imara kwenye nafasi yenu, na mnatekeleza wajibu wenu wa kikatiba kwa weledi wa kiwango cha juu sana na kisasa zaidi. waTanzania wana imani kubwa na utendaji kazi wenu wa viwango, na baada ya taarifa yenu maalumu juu ya hali ya kiusalama nchini, imani ya wananchi...
  14. Mkalukungone Mwamba

    Katambi: Tarehe 7 itakuwa siku ya furaha na amani sana

    Kama kutakuwa na amani mbona mmeanza vitisho sasa! Siwaoni watu wakija huko sabasaba hiyo siku hofu imetawalaa sana =========== WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amewasihi wananchi wajitokeze kwa wingi kwenye kilele cha Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) ili...
  15. figganigga

    Nchi 10 zenye amani Afrika, Tanzania haimo. Salaam kwa Samia na Mwigulu

    Nafasi ya amani Afrika Chanzo cha picha,ABI Kwa mujibu wa Global Peace Index 2026, Tanzania ipo katika nafasi ya 17 barani Afrika kwa kiwango cha amani, huku ikiwa ya 98 duniani. Inazidiwa hadi na Zambia MY TAKE Kila siku wanadai eti wanalinda amani. Wanalindaje amani ambayo haipo? Wanalinda...
  16. Best home tutor

    Tanzania iko katika matishio ya amani na usalama chanzo wivu wa rasilimali zetu

    Katambi ajitetea na agizo lake la kuzuia mikutano :'Sijakiuka Katiba', awashukia vikali CHADEMA Akizungumza leo Juni 27, 2026,wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani huko mkoani Shinyanga, Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobasi Katambi amekanusha juu ya kuvunja Katiba na kueleza matishio ya...
  17. N

    Amani yetu ndiyo maendeleo yetu,tutailinda daima.

    Angalizo...! Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018. Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na...
  18. N

    Amani yetu ndiyo maendeleo yetu, tutailinda daima

    Angalizo...! Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018. Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na...
  19. T

    Mbona hao viongozi fake hawatupi uthibitisho wa watu kulipwa fedha, kuvunja amani, kukutwa na silaha

    Yaani CCM hadi leo hawataki kuamini kuwa watu sio wajinga tena kama walivyozoea kutufanya kuwa sisi ni wajinga tu. Inawezekanaje watu wamekamatwa na siraha, wanapewa fedha kila mwezi ili kuandamana, wana taarifa za waandamanaji kuzua vurugu na kuchoma vitu. Lakini hawaweki huo udhibitisho...
  20. S

    Hivi anaevunja amani ya nchi ni nani hasa; yule anaetaka haki yake ya kikatiba ya kuandamana kwa amani au yule anaekataa katakata kumruhusu aandamane?

    Yaani imefikia kwamba katika uongozi wa Raisi Samia na CCM yake, wao wakisikia tu maandamano wanatafsiri kuwa ni uvunjifu wa amani. Hata siku moja sijasikia wakisema tutalinda amani ili kuhakikisha watu wanaandamana bila vurugu. Raisi Samia na viongozi wote wa serikali na CCM, maandamano yeyote...
Back
Top Bottom