Narudia tena, Kwa Tanzania organization structure Iko hivi
Mungu - Rais wa JMT/Rais - wengine
Kiufupi kiutawala Tanzania , ukiacha Mungu alie Mbinguni, katiba yetu imetupa Mungu Binadamu ambaye ni Rais wa Tanzania.
Ambaye kila mtu, raia, majengo, bahari, mahakama, bunge, jeshi, raia, ardhi...