Jicholamwewe
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 307
- 348
Wazima nyote?
Nikienda moja kwa moja katika mada. Jamani kwanini watanzania tuna nyonyana sana? Hasa viongozi, tajiri anamnyonya mtu wa hali ya chini.
Juzi kati nilienda kufanya mishe Fulani katika kiwanda cha konyagi yani nikawa napewa habari na vijana wa pale ambao kwa pale nikama vibarua yani hawajaajiriwa lakni wengi wao wanamiaka zaidi ya mmoja lakini bado ni vibarua hawajapewa mkataba lkn wanafanya kazi sawa na wajiriwa pale na ukiangalia pesa wanayopokea ni ndogo sana ukilinganisha na kazi wanazofanya yani mfanyakazi anapewa kipaumbele sana katika haki kuliko kibarua.
Yani niliumia sana nilipopata taalifa hizo .kingine wanapewa pesa kwa wiki na pesa yao inakatwa NSSF lakini pesa yao haiingizwi katika account yao ya NSSF. Kuja kuchunguza niligundua viongozi wa pale wanakula chajuu ndo maana hawalifatilii sana jambo hill na ukizingatia ile ni international company.
Ningeomba serikali iingilie kati kuhusu unyonyaji huu maana rushwa imeenea sana .serikali fanyeni kazi yenu siyo kuchukua mapato tu na huko watu wanaumizwa na wanafaidika watu wachache tena kutegemea nguvu za wanyonge.
Nikienda moja kwa moja katika mada. Jamani kwanini watanzania tuna nyonyana sana? Hasa viongozi, tajiri anamnyonya mtu wa hali ya chini.
Juzi kati nilienda kufanya mishe Fulani katika kiwanda cha konyagi yani nikawa napewa habari na vijana wa pale ambao kwa pale nikama vibarua yani hawajaajiriwa lakni wengi wao wanamiaka zaidi ya mmoja lakini bado ni vibarua hawajapewa mkataba lkn wanafanya kazi sawa na wajiriwa pale na ukiangalia pesa wanayopokea ni ndogo sana ukilinganisha na kazi wanazofanya yani mfanyakazi anapewa kipaumbele sana katika haki kuliko kibarua.
Yani niliumia sana nilipopata taalifa hizo .kingine wanapewa pesa kwa wiki na pesa yao inakatwa NSSF lakini pesa yao haiingizwi katika account yao ya NSSF. Kuja kuchunguza niligundua viongozi wa pale wanakula chajuu ndo maana hawalifatilii sana jambo hill na ukizingatia ile ni international company.
Ningeomba serikali iingilie kati kuhusu unyonyaji huu maana rushwa imeenea sana .serikali fanyeni kazi yenu siyo kuchukua mapato tu na huko watu wanaumizwa na wanafaidika watu wachache tena kutegemea nguvu za wanyonge.