Kamati ya Bunge la Ulaya ya haki za binadamu imepokea ushahidi kuhusu madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Tanzania katika kikao maalum.
Soma: Mke wa Lissu abubujikwa machozi akitoa taarifa Kamati ya Haki za Binadamu EU
Ushahidi huo umetolewa na mke wa mwanasiasa wa upinzani Tundu...
Ukiachana na mambo ya siasa, Sugu ni genius kwenye mambo ya biashara ya burudani. Fast toward, mwaka 2004 Sugu aliandaa / aliratibu tamasha maalumu la kutoa elimu ya na malaria na UKIMWI kwa vijana kwa njia ya tamasha la muziki. Sugu alienda hadi Marekani zaidi ya mara moja katika harakati za...
Alicia Magabe Lissu, mke wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza katika Tume ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ulaya Juni 22, 2026.
https://youtu.be/ll2wwbGcOFI?si=W3TwYxnjA2tClQrR
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa kila mtu anahitaji kuona taifa lenye misingi imara ya maridhiano, amani na upendo, hata hivyo ili hayo yote yafikiwe amesema inahitajika kuwa na msingi wa haki.
"Mtu yeyote anayehubiri amani...
Rais wa marekani ameendelea kuishangaza dunia baada ya kuendelea kutoa kauli zinazowashangaza waisraeli na baadhi ya waungaji mkono wa vita ya marekani/Israel na Iran.
Leo amesema Iran Ina Haki ya kuwa na makombora ya ballistic lakini pia Frozen asset ni fedha zao inabidi wapewe.
Ameeleza kuwa...
Habari, leo nikiwa na kagua nijue nadaiwa kiasi gani cha maegesho ya gari gafla nakuta na daiwa sh 60000 ya makosa barabani , sijui niliandikiwa wapi na lini ! Huu utaratibu ukoje ? Naweza peleka malalamiko ? Moderator Maxence Melo
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakari Zubeir Ally, amemuomba Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, kumshawishi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ili siku ya mapumziko ya Mwaka Mpya wa Kiislamu (Hijriyya) itambuliwe Tanzania nzima.
Mufti Zubeir...
TAMU YA KESI ILIYO AMULIWA NA ( SUPREME COURT OF INDIA) ANNA SAURABY DUTT VS. LIEUTENANT COLONEL CIVIL APPEALNO.25076 0F 2024
MAJAJI WALIELEZA YAFUATAYO KATIKA MAHAKAMA HIYO...
Mwanamke aliyesoma na mwenye sifa za kitaaluma hawezi kutarajiwa kufungiwa ndani ya mipaka migumu ya majukumu ya ndoa...
Tunaomba Serikali iingilie kati kuhusu maslahi ya Wafanyakazi wa Shule ya sekondari Mchungaji Mwema iliyopo Wilaya ya Ngara, mkoani Kagera
Wafanyakazi wa shule hiyo tunakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazohitaji uangalizi na hatua za haraka kutoka kwa mamlaka husika, zikiwemo:
Kunyimwa...
Haki si hisani. Tunataka anayestahili haki apewe haki yake. Serikali haitavumilia vitendo vya kupora au kuchelewesha haki za wananchi kwa sababu yoyote ile-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
📍Isimani-Iringa
🗓️Juni 5, 2026
———————————
Amesema hayo wakati alipozungumza katika mkutano wa hadhara na...
Suala hili kiukweli linaumiza sana. Kulikuwa na amri ya kubomoa Kitalu namba 13, ambacho kiko upande wa nyuma na kilikuwa ni eneo la wazi lililovamiwa. Nyaraka zote za serikali, maamuzi ya mahakama, barua za notisi, na ramani zilikuwa zinaonyesha wazi kuwa zoezi lilikuwa ni kwa ajili ya Kitalu...
Mimi ni mtumishi wa umma kutoka Halmashari ya Wilaya Kishapu iliyopo mkoa wa Shinyanga, halmashauri yetu imekuwa haiwatendei haki watumishi wake kama ifuatavyo:
1. Malipo ya fedha za likizo. Watumishi hulipwa kwa kuchelewa mno na mara nyingi hulipwa kiasi kidogo ukilinganisha na kiasi...
Baadhi ya watumishi wanadai kuwa watumishi ajira ya Juni mwaka 2022 waliitwa kwenye kikao na Mkurugenzi wa halmashauri ya Mpimbwe na kuambiwa hawastahili kupanda madaraja yao na kwamba hata wakifuatilia suala hilo hawatafanikiwa.
Hata hivyo, baada ya kikao hicho, watumishi wachache ambao...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amewataka Maafisa Habari, Uhusiano na Mahusiano wa Serikali kuuza huduma zinazotolewa kwa jamii ili umma ujue utekelezaji wa kila siku wa shughuli kwa jamii.
Mtanda ameyasema hayo leo tarehe 28 Mei, 2026 wakati akizungumza na uongozi wa Chama cha Maafisa...
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anataka haki na uadilifu.
■Aapisha majaji wa rufaa, awakumbusha pia uzalendo
■Asisitiza kuepuka upendeleo, kuwa na hofu ya Mungu
■Asema duniani ukiacha Mungu, dhamana kubwa ni yao
MHESHIMIWA WAZIRI.
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Mji wa Serikali Mtumba Mtaa wa Utumishi.
S.L.P 670.
DODOMA, TANZANIA.
Yah: MAPUNJO YA DARAJA KWA WALIMU WALIOAJIRIWA MWAKA 2014.
Husika na somo tajwa hapo juu.
2. Kwa heshima kubwa, nakuandikia barua hii...
"Kwa kutambua umuhimu wa haki kama misingi ya amani, utulivu, lakini pia maendeleo ya taifa letu, na ustawi wa wananchi kwa ujumla. Haki ndiyo inayo-prevail katika hayo yote hayo. Nendeni mkae"
Hayo yamesemwa na Rais Samia Leo, Mei 26,2026 wakati akiwaapisha Majaji aliowateua hivi karibuni...
Watumishi walioajiriwa mwezi Juni 2022 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe tunaomba haki yetu ya msingi itendeke. Pamoja na kutimiza wajibu wetu wa kazi kwa uaminifu, hadi sasa wengi wetu hatujafanyiwa utaratibu wa kupandishwa madaraja kama sheria na taratibu za utumishi wa umma...
Anonymous
Thread
haki
juni
kupandishwa madaraja
madaraja
malalamiko
malimbikizo ya mishahara
mishahara
watumishi
Kero yetu sisi wafanyakazi wa Kampuni ya BCEG Construction. Tunaomba Waziri wa Ujenzi au Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam afike kwenye mradi wetu uliopo Mbezi Beach, karibu na Ramada au Whitesands—ni mradi wa waste water treatment. Kuna mambo mengi yanayoendelea hapa ambayo siyo sahihi, na hatuna...
Anonymous
Thread
beach
dar
haki
mbezi
mbezi beach
tusaidieni
ujenzi
wafanyakazi
walilia
waziri
waziri wa ujenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.