viwanja

  1. TUMBOO

    JamiiForums Tanzania Viwanja vi2 (sqm2400,2100)vinauzwa vikonje dodoma

    Habari zenu wakuu!! Viwanja vipo 2 vimefatana vinauzwa…. 1.sqm2400..2.sqm2100 jumla sqm4500.. Bei ni 19m kwakila kimoja Vipo dodoma (vikonje) kutoka makao makuu ya tbc ni km 3 na kutoka dar es salaam road ni km 6…. Document zote zipo (prosess ya hati iko ardhi tayari )inasubiliwa control no tu...
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mnaonunua viwanja Tausi, Uwa mnafanya utaratibu gani kwenda kuona kiwanja?

    Habari Wadau Naomba kujua uwa mnachukua hatua gani za kwenda kuona kiwanja kabla ya kununua au baada ya kununua katika site ya Tausi. Je unaenda na Afisa ardhi au inakuwaje, maana ramani ya Tausi haiwezi kukupa direction nzuri mpaka kwenda kukiona kiwanja hususani kwenye maeneo ambayo bado ni...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Mbunge wa Songwe, Philipo Mulugo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 1, 2026

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Mbunge wa Songwe, Philipo Mulugo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 1, 2026.
  4. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania NDEGE KAMA HIZI BOEING HURUKA FUTI 34,000 JUU YA USAWA WA BAHARI,b NI SAWA NA VIWANJAVYA SOKA KARIBU 100!

    Kuna kitu cha kushangaza sana kuhusu safari za ndege ambacho wengi wetu hatukifikirii. Ndege kubwa za abiria kama Boeing 737 zinaweza kusafiri katika mwinuko wa karibu futi 34,000 (34,000 ft) kutoka usawa wa bahari. Lakini futi 34,000 ni kiasi gani kwa lugha tunayoielewa vizuri? 34,000 ft =...
  5. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Je haiwezekani katika bwawa la rufiji wakapandikizwa sato?

    Ili watanzania baada ya miaka miwili wafaidi kitoweo hiki adhimu sana na kinono?... Bila kufanya biashara ya kuwalisha na kupata gharama za ziada, yaani waishi katika misingi ya asili, je linawezekana? #Wajuzi mtujuze! -SATO -SANGARA
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mwigulu aagiza kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vya AFCON iongezeke, ataka Wakandarasi kukamilisha mikataba ya Wafanyakazi

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ili vikamilike kwa wakati na kukidhi viwango vinavyotakiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Amesema kazi hiyo...
  7. germanium

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa kibada na kisarawe ii-kigamboni

    Kibada(1.4km kutokea kibada centre) Maji na umeme tayari,Barabara inapitika mda wote Ukubwa wa Eneo: Sqm 580 Nyaraka: Hatimiliki Bei: Tzs Milioni 20.3 Vumilia ukooni-Kisarawe II(2km kutokea DSM zoo) Maji na umeme tayari,Barabara inapitika mda wote Ukubwa wa Eneo: Sqm 785 Nyaraka: Hatimiliki...
  8. My mee

    JamiiForums Tanzania VIWANJA NI BEI GANI ?

    kuna mtu ZAMANI alikuwa na hela akafilisika.,sasa akanitafuta na kuuliza kama nataka kiwanja. Akaniambia niulize bei ni mwambie. Sasa kabla sijashika pesa siwezi kwenda kuangalia viwanja.. Kwa maeneo ya mbezi mpaka kibaha.naweza pata kiwanja kwa bei Gani.kisiwe bei sana. Huyu mtu namuona...
  9. M

    JamiiForums Tanzania wewe ni mtu wa kuchill nyumbani au wa kutoka kwenda viwanja, vijiweni, n.k ?

    Wewe ni mtu wa kuchill nyumbani 🏡 au wa kutoka kwenda viwanja
  10. Sonship

    JamiiForums Tanzania Viwanja 2 mbezi -Luguruni vinauzwa

    VIWANJA 2 – MBEZI LUGURUNI VINAUZWA Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ni fursa yako! 📍 Eneo: Mbezi Luguruni 🔹 Kiwanja cha 1 📐 Ukubwa: 700 m² (SQM 700) 💰 Bei: TSh Milioni 15 🔹 Kiwanja cha 2 📐 Ukubwa: 1,300 m² (SQM 1300) 💰 Bei: TSh Milioni 35 ✅ Vyote vimepimwa na vina...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tumelipia viwanja Vikonje 'BM' – Dodoma, kampuni iliyotuuzia imeingia mitini, tunaomba msaada Serikalini hatusaidiwi

    Kero yangu ni kuna kampuni inauza viwanja inaitwa Landmatrix Ltd walikuja ofisini kwetu na kutueleza kuwa wanauza viwanja vilivyopimwa maeneo mbalimbali mnamo mwaka 2024 kwa wakati huo walikuwa na mradi eneo la Vikonje 'BM', Dodoma. Malipo yalikuwa ni kwa awamu ndani ya miezi 24 na makubaliano...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Huko kwenye viwanja vya Saba Saba hali ikoje?

    Vipi huko kwenye viwanja vya Saba Saba nini kinaendelea? Maonyesho yanaendelea ? Majibu tafadhali
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Maandamano yaruhusiwe na yapewe ulinzi, yasije anzia kwenye viwanja vya maonyesho ya Sabasaba

    Hamjambo! Najua wahusika mpo humu na mnanisoma mara kwa Mara. Vitisho sio njia pekee ya kutuliza mambo. Njia nyingine ni kutoa mlango wa uani wa Faraja na matumaini. Faraja kwa maana yakuwa watu kwa mujibu wa Katiba na sheria wanayohaki ya kuandamana na kutoa maoni Yao, kutoa madai Yao, kwa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Gen-Z wanaweza kufanikisha Maandamano ya 7/7. Kimsingi hayazuiliki kama yataanzia ndani ya viwanja vya Sabasaba

    Kabla ya kuendelea nianze kwa kusema, huu ni uchambuzi tu. Nitaanza kwa neno hili "herd behavior" hii ni tabia maalum ambayo kila binadamu anayo, kwa lugha ya kizungu hutafsiriwa hivi What herd behavior means: It's the tendency of individuals to copy what the crowd is doing rather than...
  15. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Halmashauri ya Mkuranga watendaji wa vijiji wanatoza ushuru wa 10% ya mauzo kwa wanunuzi wa viwanja

    Watendaji wa halmashauri ya wilaya ya mkuranga wanatoza ushuru wa manunuzi ya viwanja vya futi 50/40 kwa wananchii wanayonunua viwanja hiyo. Huku wakitambua kuwa ni kosa kisheria kuuza viwanja hivyo na kutoza tozo hizo ambazo ni kinyume na taratibu za mipango miji. Kwa mfano mwananchi...
  16. Marry Diana

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kampani Leo, nani yupo tutokee viwanja

    Niko bored, Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo. Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane...
  17. Sonship

    JamiiForums Tanzania Viwanja vinauzwa Mbezi St. Joseph na Luguruni

    VIWANJA VINAUZWA – MBEZI ST. JOSEPH NA Mbezi LUGURUNI 📌 Ukubwa 20×20 – Bei TSh Milioni 13 📌 Ukubwa 22×33 – Bei TSh Milioni 15 ✅ Viwanja vipo mtaa mzuri kwa makazi ✅ Gari zinafika mpaka kwenye viwanja ✅ Vinamiliki nyaraka halali na dokumenti zote muhimu Kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea...
  18. Sonship

    JamiiForums Tanzania Viwanja na Maeneo ya Uwekezaji tunayouza kwa sasa

    MAENEO YA UWEKEZAJI NA MAKAZI YANAUZWA KWA SASA! Mbezi Luguruni Heka 3 Lina nyumba kubwa ndani Mita 150 kutoka Morogoro Road Bei: TSh Bilioni 1.5 Mbezi Makabe Heka 1 Mita 200 kutoka barabara kuu ya Makabe Bei: Milioni 180 Mbezi Msakuzi Heka 1 Bei: Milioni 80 Mbezi Msumi Heka 1 Bei...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hati za umiliki za Viwanja Inyala Zimekwama

    Mimi ni mkazi wa kata ya Inyala Mbeya vijijini. Ni mwaka sasa umeisha tulipimishwa viwanja kwa bei ya laki 1 na elfu 30 kwa kiwanja ili tupewe hati. Lakini mpaka sasa wahusuka wamepotea tukipiga simu wanasema tuwaulize watendaji wa vijiji maana wao ndo walikusanya pesa zetu na walikuwa...
  20. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ushindi NSSF: Viwanja Vyafunguliwa kwa Wamiliki

    TUPUUZE UPOTOSHAJI WA WANAHARAKATI Eneo tajwa lina viwanja vilivyopimwa na kuuzwa tangu mwaka 2022 ila wamiliki hawakuweza kwenda kuviona na kuviendeleza kutokana na kesi iliyokuwepo Mahakamani dhidi ya NSSF, Kesi ambayo ilifunguliwa na wavamizi wa eneo hilo. Kutokana na kesi kukamilika Mwaka...
Back
Top Bottom