viwanja

  1. S

    JamiiForums Tanzania Huko kwenye viwanja vya Saba Saba hali ikoje?

    Vipi huko kwenye viwanja vya Saba Saba nini kinaendelea? Maonyesho yanaendelea ? Majibu tafadhali
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Maandamano yaruhusiwe na yapewe ulinzi, yasije anzia kwenye viwanja vya maonyesho ya Sabasaba

    Hamjambo! Najua wahusika mpo humu na mnanisoma mara kwa Mara. Vitisho sio njia pekee ya kutuliza mambo. Njia nyingine ni kutoa mlango wa uani wa Faraja na matumaini. Faraja kwa maana yakuwa watu kwa mujibu wa Katiba na sheria wanayohaki ya kuandamana na kutoa maoni Yao, kutoa madai Yao, kwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Gen-Z wanaweza kufanikisha Maandamano ya 7/7. Kimsingi hayazuiliki kama yataanzia ndani ya viwanja vya Sabasaba

    Kabla ya kuendelea nianze kwa kusema, huu ni uchambuzi tu. Nitaanza kwa neno hili "herd behavior" hii ni tabia maalum ambayo kila binadamu anayo, kwa lugha ya kizungu hutafsiriwa hivi What herd behavior means: It's the tendency of individuals to copy what the crowd is doing rather than...
  4. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Halmashauri ya Mkuranga watendaji wa vijiji wanatoza ushuru wa 10% ya mauzo kwa wanunuzi wa viwanja

    Watendaji wa halmashauri ya wilaya ya mkuranga wanatoza ushuru wa manunuzi ya viwanja vya futi 50/40 kwa wananchii wanayonunua viwanja hiyo. Huku wakitambua kuwa ni kosa kisheria kuuza viwanja hivyo na kutoza tozo hizo ambazo ni kinyume na taratibu za mipango miji. Kwa mfano mwananchi...
  5. Marry Diana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji kampani Leo, nani yupo tutokee viwanja

    Niko bored, Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo. Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane...
  6. Sonship

    JamiiForums Tanzania VIWANJA VINAUZWA MBEZI ST. JOSEPH NA LUGURUNI

    VIWANJA VINAUZWA – MBEZI ST. JOSEPH NA Mbezi LUGURUNI 📌 Ukubwa 20×20 – Bei TSh Milioni 13 📌 Ukubwa 22×33 – Bei TSh Milioni 15 ✅ Viwanja vipo mtaa mzuri kwa makazi ✅ Gari zinafika mpaka kwenye viwanja ✅ Vinamiliki nyaraka halali na dokumenti zote muhimu Kwa maelezo zaidi na kupanga...
  7. Sonship

    JamiiForums Tanzania VIWANJA NA MAENEO YA UWEKEZAJI TUNAYOUZA KWA SASA

    🏡 MAENEO YA UWEKEZAJI NA MAKAZI YANAUZWA KWA SASA! 🏡 📍 Mbezi Luguruni🔹 Heka 3🔹 Lina nyumba kubwa ndani🔹 Mita 150 kutoka Morogoro Road💰 Bei: TSh Bilioni 1.5 📍 Mbezi Makabe🔹 Heka 1🔹 Mita 200 kutoka barabara kuu ya Makabe💰 Bei: Milioni 180 📍 Mbezi Msakuzi🔹 Heka 1💰 Bei: Milioni 80 📍 Mbezi...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hati za umiliki za Viwanja Inyala Zimekwama

    Mimi ni mkazi wa kata ya Inyala Mbeya vijijini. Ni mwaka sasa umeisha tulipimishwa viwanja kwa bei ya laki 1 na elfu 30 kwa kiwanja ili tupewe hati. Lakini mpaka sasa wahusuka wamepotea tukipiga simu wanasema tuwaulize watendaji wa vijiji maana wao ndo walikusanya pesa zetu na walikuwa...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ushindi NSSF: Viwanja Vyafunguliwa kwa Wamiliki

    TUPUUZE UPOTOSHAJI WA WANAHARAKATI Eneo tajwa lina viwanja vilivyopimwa na kuuzwa tangu mwaka 2022 ila wamiliki hawakuweza kwenda kuviona na kuviendeleza kutokana na kesi iliyokuwepo Mahakamani dhidi ya NSSF, Kesi ambayo ilifunguliwa na wavamizi wa eneo hilo. Kutokana na kesi kukamilika Mwaka...
  10. P

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ardhi Tabora wanapeana viwanja wao kwa wao na matajiri wanaojuana nao

    Huwezi amini wametangaza viwanja kwenye mfumo wa tausi kama kutimiza majukumu tu. Wametoa siku tano za preview. Viwanja vilitakiwa kuanza kununuliwa tarehe 5/06/2026 saa nne kamili asubuhi. Nimekaa kwenye mfumo saa tatu na dakika 50 ili kuwahi kununua. Lakini saa 10:00 inafika papo hapo eti...
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi tulionunua Viwanja eneo la Pembamnazi-Tungwi Songani tunahitaji hati zetu

    Kuna viwanja vilivyouzwa takribani miaka minne iliyopita na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni katika eneo la Pembamnazi–Tugwi Songani. Hata hivyo, hadi sasa wananchi bado hawajapatiwa hati zao za umiliki. Kila wanapofuatilia ofisini, hawapati majibu ya kueleweka kuhusu ucheleweshaji huo...
  12. Sonship

    JamiiForums Tanzania VIWANJA KIBAMBA TORINO

    🏡 VIWANJA VINAUZWA – KIBAMBA TORINO 🏡 📍 Kibamba Torino, Ubungo – Dar es Salaam 📐 Ukubwa: Mita 20×20 💰 Bei: Kuanzia Milioni 15 ✅ Vimeigusa barabara ya lami ya Kibamba Shule–Kibwegere ✅ Umeme na maji ya DAWASCO vinapatikana ✅ Viwanja vingi, unachagua mwenyewe 🚖 Kutoka Kibamba Shule: Bajaji TSh...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Upimaji wa Viwanja na Mashamba Waendelea Nchini

    Katika mwaka wa fedha 2025/26, Wizara ilipanga kuratibu upimaji na uidhinishaji wa viwanja 500,000 na mashamba 500. Hadi Mei 15, 2026, jumla ya viwanja 193,317 vimepimwa na kuidhinishwa, sawa na asilimia 38.66 ya lengo, huku mashamba 515 yakiwa yamepimwa na kuidhinishwa, sawa na asilimia 103 ya...
  14. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja kibamba shule-Kibwegere

    🏡 VIWANJA VINAUZWA – KIBAMBA KIBWEGERE 🏡 📍 Njoo Kibamba Shule – Kibwegere ujikatie kiwanja chako sasa! ✅ Ukubwa wa kiwanja: Mita 20x20 ✅ Vipo mita chache kutoka barabara kuu ya Kibwegere ✅ Sehemu tambarare nzuri kwa makazi au uwekezaji ✅ Barabara inafika mpaka site 💰 Bei: Milioni 15.5 tu...
  15. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Mbezi mpigi magoe-machimbo

    📢 VIWANJA VINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (MACHIMBO) 📢 🔥 Fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja eneo zuri na lenye maendeleo! 🏡 Viwanja vimebaki 7 tu 💰 Bei: Milioni 10 kwa kila kiwanja 📍 Eneo: Mbezi Mpigi Magoe – Machimbo ✨ Sehemu tambarare (flat land) 🚗 Barabara inafika hadi site 📞 Piga simu: 0675...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Millennials tukaze buti, hawa Gen Z wanaijua pesa vizuri, bado wadogo lakini wako very sharp kwenye kutega pesa.

    Millennials tukaze buti 😅. Hawa Gen Z wanaingia kwenye game wakiwa na uelewa mkubwa wa kutengeneza pesa kuliko vizazi vilivyopita. Vijana wa 2000 wao bado wadogo lakini honestly wako very sharp kwenye kutega pesa na kuona opportunities . Wamekua kwenye era ya internet, apps na fast information...
  17. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Viwili Vinauzwa Kigamboni Tundwi Songani

    Viwanja Viwili Vinauzwa. Mahali: Kigamboni Tundwi Songani. -Vipo km 20 kutoka Kibada, Mita 200 kutoka barabara kuu. -Kiwanja namba 509,510 vyote kwa pamoja vinauzwa. Ukubwa wa Eneo: SQM 1378 na SQM 1449. Bei: Tzs Milioni 35 (Vyote Viwili). Mazungumzo yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Msaada:Ununuzi wa viwanja TAUSI

    Nimeona wanatoa masharti na vigezo vinavyokinzana. Baada ya kulipia gharama ya maombi TAMISEMI wakatuma ujumbe kwamba lipa malipo ya awali 25% ya gharama yote halafu ndio umalizie malipo yaliyobaki ndani ya muda uliowekwa. Lakini kipindi natuma maombi ya ununuzi kuna masharti tena yameandikwa...
  19. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Kibaha-Nida

    📍 KIBAHA – NIDA Viwanja 20×20 vinauzwa 💰 Milioni 7 tu Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji. Bei nafuu, wahi mapema kuchagua eneo lako. 📞 0675 065906
  20. radhiya

    JamiiForums Tanzania Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
Back
Top Bottom