viwanja

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hati za umiliki za Viwanja Inyala Zimekwama

    Mimi ni mkazi wa kata ya Inyala Mbeya vijijini. Ni mwaka sasa umeisha tulipimishwa viwanja kwa bei ya laki 1 na elfu 30 kwa kiwanja ili tupewe hati. Lakini mpaka sasa wahusuka wamepotea tukipiga simu wanasema tuwaulize watendaji wa vijiji maana wao ndo walikusanya pesa zetu na walikuwa...
  2. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ushindi NSSF: Viwanja Vyafunguliwa kwa Wamiliki

    TUPUUZE UPOTOSHAJI WA WANAHARAKATI Eneo tajwa lina viwanja vilivyopimwa na kuuzwa tangu mwaka 2022 ila wamiliki hawakuweza kwenda kuviona na kuviendeleza kutokana na kesi iliyokuwepo Mahakamani dhidi ya NSSF, Kesi ambayo ilifunguliwa na wavamizi wa eneo hilo. Kutokana na kesi kukamilika Mwaka...
  3. P

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ardhi Tabora wanapeana viwanja wao kwa wao na matajiri wanaojuana nao

    Huwezi amini wametangaza viwanja kwenye mfumo wa tausi kama kutimiza majukumu tu. Wametoa siku tano za preview. Viwanja vilitakiwa kuanza kununuliwa tarehe 5/06/2026 saa nne kamili asubuhi. Nimekaa kwenye mfumo saa tatu na dakika 50 ili kuwahi kununua. Lakini saa 10:00 inafika papo hapo eti...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi tulionunua Viwanja eneo la Pembamnazi-Tungwi Songani tunahitaji hati zetu

    Kuna viwanja vilivyouzwa takribani miaka minne iliyopita na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni katika eneo la Pembamnazi–Tugwi Songani. Hata hivyo, hadi sasa wananchi bado hawajapatiwa hati zao za umiliki. Kila wanapofuatilia ofisini, hawapati majibu ya kueleweka kuhusu ucheleweshaji huo...
  5. Sonship

    JamiiForums Tanzania VIWANJA KIBAMBA TORINO

    🏡 VIWANJA VINAUZWA – KIBAMBA TORINO 🏡 📍 Kibamba Torino, Ubungo – Dar es Salaam 📐 Ukubwa: Mita 20×20 💰 Bei: Kuanzia Milioni 15 ✅ Vimeigusa barabara ya lami ya Kibamba Shule–Kibwegere ✅ Umeme na maji ya DAWASCO vinapatikana ✅ Viwanja vingi, unachagua mwenyewe 🚖 Kutoka Kibamba Shule: Bajaji TSh...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Upimaji wa Viwanja na Mashamba Waendelea Nchini

    Katika mwaka wa fedha 2025/26, Wizara ilipanga kuratibu upimaji na uidhinishaji wa viwanja 500,000 na mashamba 500. Hadi Mei 15, 2026, jumla ya viwanja 193,317 vimepimwa na kuidhinishwa, sawa na asilimia 38.66 ya lengo, huku mashamba 515 yakiwa yamepimwa na kuidhinishwa, sawa na asilimia 103 ya...
  7. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja kibamba shule-Kibwegere

    🏡 VIWANJA VINAUZWA – KIBAMBA KIBWEGERE 🏡 📍 Njoo Kibamba Shule – Kibwegere ujikatie kiwanja chako sasa! ✅ Ukubwa wa kiwanja: Mita 20x20 ✅ Vipo mita chache kutoka barabara kuu ya Kibwegere ✅ Sehemu tambarare nzuri kwa makazi au uwekezaji ✅ Barabara inafika mpaka site 💰 Bei: Milioni 15.5 tu...
  8. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Mbezi mpigi magoe-machimbo

    📢 VIWANJA VINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (MACHIMBO) 📢 🔥 Fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja eneo zuri na lenye maendeleo! 🏡 Viwanja vimebaki 7 tu 💰 Bei: Milioni 10 kwa kila kiwanja 📍 Eneo: Mbezi Mpigi Magoe – Machimbo ✨ Sehemu tambarare (flat land) 🚗 Barabara inafika hadi site 📞 Piga simu: 0675...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Millennials tukaze buti, hawa Gen Z wanaijua pesa vizuri, bado wadogo lakini wako very sharp kwenye kutega pesa.

    Millennials tukaze buti 😅. Hawa Gen Z wanaingia kwenye game wakiwa na uelewa mkubwa wa kutengeneza pesa kuliko vizazi vilivyopita. Vijana wa 2000 wao bado wadogo lakini honestly wako very sharp kwenye kutega pesa na kuona opportunities . Wamekua kwenye era ya internet, apps na fast information...
  10. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Viwili Vinauzwa Kigamboni Tundwi Songani

    Viwanja Viwili Vinauzwa. Mahali: Kigamboni Tundwi Songani. -Vipo km 20 kutoka Kibada, Mita 200 kutoka barabara kuu. -Kiwanja namba 509,510 vyote kwa pamoja vinauzwa. Ukubwa wa Eneo: SQM 1378 na SQM 1449. Bei: Tzs Milioni 35 (Vyote Viwili). Mazungumzo yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada:Ununuzi wa viwanja TAUSI

    Nimeona wanatoa masharti na vigezo vinavyokinzana. Baada ya kulipia gharama ya maombi TAMISEMI wakatuma ujumbe kwamba lipa malipo ya awali 25% ya gharama yote halafu ndio umalizie malipo yaliyobaki ndani ya muda uliowekwa. Lakini kipindi natuma maombi ya ununuzi kuna masharti tena yameandikwa...
  12. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Kibaha-Nida

    📍 KIBAHA – NIDA Viwanja 20×20 vinauzwa 💰 Milioni 7 tu Eneo zuri kwa makazi na uwekezaji. Bei nafuu, wahi mapema kuchagua eneo lako. 📞 0675 065906
  13. radhiya

    JamiiForums Tanzania Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali ipige marufuku hawa madalali holela wa viwanja mitaa

    Kuna hawa jamaa unakuta mtu ana eneo kubwa anataka kuliuza wao wanaamua kuwa madalali, yaani viwanja vinakatwa vidogo halafu barabara wanakwambia hatua tatu. Hivi hatua tatu za miguu nd barabara ije kujengwa njia za watembea kwa miguu, taa za barabarani, two lane road au ndo mwanzo wa bomoa...
  15. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kutoka Kampuni ya VIWANJA TANZANIA posta Dsm natoa mrejesho hapa

    Leo nilikuwa Ofisi ya wauzaji wa viwanja kampuni ya " VIWANJA TANZANIA " posta mpya Mtaa wa Ohio, Nyumba ya Maarifa, ground floor. Jirani na IT Plaza, inatazamana na ATCL. unaweza kuwachek wanaviwanja sehemu mbali mbali ndani na nje ya Dsm viwanja vya biashara viwanja vya makazi sea view...
  16. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa DSM/Pwani

    🏡 VIWANJA LINKUP TZ 🏡 KIWANJA SAHIHI ● MAHALI SAHIHI Unatafuta kiwanja Dar es Salaam au Pwani? Sisi tunakuunganisha na kiwanja sahihi kwa urahisi! ✔ Viwanja vilivyopimwa ✔ Hati na nyaraka halali ✔ Bei nafuu sana ✔ Maeneo mazuri na yanayokua kwa kasi 📍 Maeneo: Kimara, Mbezi, Kibamba, Kiluvya na...
  17. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbezi Mpigi Magoe na Machimbo

    VIWANJA VINAUZWA MBEZI MPIGI MAGOE MACHIMBO Viwanja vipo 5 Ukubwa sqm 400 kila kimoja Bei mln 10 Kila Kimoja Vipo mbezi Mpigi kituo cha Machimbo Barabara nzuri,sio kwenye korongo 0675 065906
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania CAG: Viwanja vya Tsh. Bilioni 4.09 Manispaa ya Kibaha viliuzwa nje ya Mfumo, Tsh. Milioni 481 ililipwa kwa Watu binafsi wasio watumishi

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), CPA Charles Kichere ameeleza hayo Machi 30, 2026 wakati akisoma Ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025 kuhusu uuzwaji wa viwanja katika eneo la Pangani lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha. CPA Charles Kichere amesema Viwanja 168...
  19. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm 2021. Nyaraka: Vina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 750. Maongezi yanaruhusiwa. Gharama za kwenda kuona...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) imetutelekeza Vijana wa JKT 2024 baada ya awali kutuahidi ajira

    Kero yangu ni walichotufanyia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (Tanzania Airports Authority – TAA) vijana 40 kutoka JKT 2024 OP Mabeyo, walituchukua tukiwa vikosini wakatupeleka kama Maafisa Usalama wa Viwanja vya Ndege, Airport Security Officer (AVSEC) bila kuomba nafasi hiyo, wakatushawishi kuwa...
Back
Top Bottom