dp world

DP World is an Emirati multinational logistics company based in Dubai, United Arab Emirates. It specialises in cargo logistics, port terminal operations, maritime services and free trade zones. Formed in 2005 by the merger of Dubai Ports Authority and Dubai Ports International, DP World handles 70 million containers that are brought in by around 70,000 vessels annually. This equates to roughly 10% of global container traffic accounted for by their 82 marine and inland terminals present in over 40 countries. Until 2016, DP World was primarily a global port operator, and since then, it has acquired other companies up and down the value chain.

View More On Wikipedia.org
  1. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Bandari ya Dar Yapanda kwa Nafasi 105 Kwa Ufanisi huku Bandari Duniani huku Bandari ya Mombasa Ikiporomoka.Kongole Nyingi Kwa DP World

    My Take Wale wa Bandari imeuzwa wanaitwa huku waone aibu 😆 😂 👇 👇 https://www.instagram.com/p/DaLFTfECNDK/?igsh=MXR1anR4a3ZpbHF0Zw== Mabadiliko ya ushindani wa bandari katika Afrika Mashariki yameendelea kuonekana baada ya Bandari ya Dar es Salaam kupanda kwa nafasi 105 katika Ripoti ya Ufanisi...
  2. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Prof.Mbarawa: Bandari ya Dar yavunja rekodi Kwa Kuhudumia mzigo wa Tani Milioni 30.Atoa kongole nyingi Kwa DP World.

    Bila uwekezaji wa DP World hii volume ingekuwa ndoto maana target ilikuwa kuhudumia Tani mil.30 by 2030 lakini target imefikiwa miaka 4 kabla . Kwa sasa Bandari ya Dar ni Kimbilio sio njia mbadala Mombasa ikifeli. Haya Sasa ndio maamuzi ya Tija Kwa Nchi, Serikali ingesikiliza zile kelele za...
  3. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania DP World yaleta Mapinduzi ya Huduma za Bandari.Makontena Yaongezeka kutoka 27,000 Hadi 44,000 na Magari kutoka 16,000 Hadi 30,000 ndani ya Mwaka mmoja

    My Take Wale wa Bandari imeuzwa sijui kukodoshwa waje hapa kumwaga povu tena. Je ukodoshaji umeleta liability au profitability na assets? Namba zinaongea,emotions zinadanganya. ================== Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amesema mfumo...
  4. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa na Mahakama huru kama ya Kenya hata mikataba isiyofaa kama Dp World isingefanyika

    Mahakama ikiwa huru hata taifa linakuwa huru. Leo mahakama kuu ya Kenya imezuia kujengwa kituo cha kutunzia wagonjwa wa ebola huko Nanyuki Kenya. Mikataba ambayo inafungwa kwa ufiche kama ule wa Dp World ilipaswa kupingwa mahakamani na kisha kuzuiwa kabisa. Tunahitaji katiba mpya na mahakama...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Interview DP World: Wameshaita Waliochaguliwa?

    Habari wakuu. Naomba mwenye taarifa, madogo walifanya usaili karibuni mwezi April. Naomba kujua kama walishaitwa kwa mwenye taarifa.
  6. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Kodi za TPA 2026 chini ya DP World

    1. Infrastructure Improvement Levy 2. Environmental Management Charge 3. Cargo Handling Charges 4. Container Handling Fees 5. Vehicle Handling & Clearance Charges 6. Storage Charges 7. Berth / Vessel Service Charges 8. Terminal Service Fees 9. Administrative & Port Service Fees
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ada mpya za Bandari zimeanza kutumika tangu Machi 8, 2026. Ni mwendo wa kukamuliwa mpaka tujute!

    Kwenye gharama za Wharfage ndio kuna maumivu makubwa. Wharfage (tozo ya kutumia gati/bandari) imeongezeka karibia mara 5–7 zaidi ya ilivyokuwa mwanzo. Kwa mfano, kama gharama ilikuwa 1,000 kwa kontena, now ni mara 5–7 yake. Kama mwanzo ulikuwa unapaswa kulipia 250,000 TZS, now jiandae kutoa...
  8. O

    JamiiForums Tanzania Inawezekana DP World wa kweli yupo hapa hapa nchini

    Ameandika BAK Mwabukusi "DO NOT STOP ...FORGET ABOUT IT. TPA tuliambiwa haina uwezo wakaletwa wenye mtaji DP World je umewahi tangaziwa wamewekeza kiasi gani hapo Bandarini? Kwa hiyo ikifika kugharimia fedha za kuendeleza Miundombinu wanarudi kutubebesha mzigo watanganyika na hapo ndipo ndugu...
  9. Mtemi mpambalioto

    JamiiForums Tanzania Boss wa DP WORLD katika kashfa za kuua baada ya kupishana na washirika kibiashara

    https://x.com/AboDantee/status/2022431434254987763 Boss wa DP world Sultan Ahmed bin Sulayem amejiuzulu nafas yake baada ya kuhusika na mauaji ya washirika wake kibiashara! Boss huyu ametajwa katika mafaili ya EPSTEN baada ya kuonekana akipika chakula kinachosemekana ni cha binadamu mtoto je...
  10. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Bosi(CEO) wa DP World aondolewa kwa kuhusika na danguro la Epstein.

    Dubai CEO named in Epstein files resigns from DP World Story by Omar Abdel-Baqui DUBAI—DP World Chairman and Chief Executive Sultan Ahmed Bin Sulayem resigned from the Dubai-based global ports operator Friday, after documents released by the Justice Department showed he had ties to convicted...
  11. O

    JamiiForums Tanzania DP World imemfukuza kazi Sultan Ahmed bin Sulayem kutokana na madai ya mfanyabiashara huyo kuwa na uhusiano na Epstein

    DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji na usimamizi wa mizigo inayomilikiwa na Falme za Kiarabu (UAE), imemwondoa Sultan Ahmed bin Sulayem katika nafasi ya mwenyekiti na mtendaji mkuu kufuatia uchunguzi mkali kuhusu urafiki wake na marehemu Jeffrey Epstein. Kampuni hiyo Ijumaa ilimteua...
  12. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Ingizo la DP World Lawa Kimbilio Kwa Wasafirishaji.Tani Milioni 28 Zaingiza Mapato Trilioni 14 kupitia Bandari ya Dar

    My Take Kama sio juhudi za mageuzi ya kiuchumi za Rais Samia Leo Bandari ya Dar ingekimbiwa na wateja Kwa sababu za kipuuzi za miaka yote huku wanaojiita Wazalendo walishindwa kutoa suluhisho. Hivi navyoandika hapa Kwa mwaka huu wa 2025/26 tayari Kuna ongezeko la Mizigo Kwa zaidi ya asilimia...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tunategemea Mkataba na DP World kudumu miaka 30

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30 Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na serikali ilikuwa kuwekeza dola Milioni 250 kwa kipindi cha miaka 5 ambapo ndani ya 2021 hadi 2022...
  14. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Msigwa: DP World imezalisha zaidi ya ajira 764 za moja kwa moja

    Katika press ya msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ameeleza namna ambavyo bandari ya DP World ilivyotatua changamoto ya ajira kwa viajana wasomi wa kitanzania ambapo amesema bandari hiyo imezalisha zaidi ya ajira 764 za moja kwa moja na ajira zisizo za moja kwa moja nyingi zimezalishwa...
  15. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Hizi propaganda mnazoeneza kuwa Hayati JPM alikumbatia mafisadi ni upuuzi. Jibuni tuhuma zenu. Why DP world? Why Nepotism.?

    Msiwawafanye watanzania ni wajinga na wapuuzi. Kwa nini Dp World ambao ni waarabu wapewe kandarasi ya kuendesha bandari wakati uwezo tunao. Kama ni kupanua na kujenga angepewa mkandasi akajenga na kuweka miundombinu ya kisasa. Watanzania wakapewa utaalamu na kuendesha bandari yao. Kuhusu...
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Twendeni tukawasimilie dp world tuwafungishe virago waondoke kwenye nchi yetu nguvu ya wananchi

    Twendeni tukawasimilie dp world tuwafungishe virago waondoke kwenye nchi yetu nguvu ya wananchi
  17. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Makonda: Leo hakuna tena mjadala kuhusu uwekezaji wa bandari, kwa sababu matokeo ya kiuchumi yanaonekana wazi

    Huyu Makonda anacheo gani hadi kwenda kukagua bandari? Mbona mwaka vituko ni vingi Wakati sasa hivi alitakiwa kuwa kwenye jimbo analogombea ili aendelee kupiga kampeni zake lakini yeye kiguu na njia. Au ndio anaona kashapita? ============== Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini amempongeza...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Tutenda pale bandarini kwa DP world wengine bungeni, wengine nendeni ikulu nendeni, wengine nendeni kwenye tume huru

    Tutaenda pale bandarini kwa DP world wengine bungeni, wengine nendeni ikulu nendeni, wengine nendeni kwenye tume huru kudai mabadiliko wanajifanya hawasikii. Sasa tuone watalinda wapi.
  19. R

    JamiiForums Tanzania COURT DISMISSES DP WORLD PETITION: What's next on the board to come

    COURT DISMISSES DP WORLD PETITION By FAUSTINE KAPAMA-Judiciary ........................................................... Judges Danstan Ndunguru, Mustafa Ismail and Abdi Kagomba ruled in favour of the Attorney General and three other Respondents after holding that the constitutional petition...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa DP world na wengine kwa Mama

    Yaani hiyo package wenyewe wanapata nini
Back
Top Bottom