kisiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Siri ya Kuanguka kwa Sayansi ya Misri ya Kale: Je, Ni Sababu za Kidini, Kisiasa, au Wazungu Walituibia Historia Yetu?

    Wakuu salamu, Kuna ukweli mchungu sana kuhusu Ustaarabu wa Misri ya Kale (Ancient Egypt) ambao mara nyingi haufundishwi mashuleni. Misri haikupotea kwa sababu majengo au mahruba (pyramids) yalibomolewa. Kilichopotea ni kitu chepesi lakini cha thamani zaidi: Mnyororo ulio hai wa watu waliokuwa...
  2. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwanini awamu ya sita imekuwa na migogoro mingi ya kiuongozi nafasi za juu kuanzia Ndugai, Majaliwa na sasa Nchimbi?

    Mlifanya jambo kama hilo kwa Spika wa bunge kwa sasa naomba msijaribu kwa makamu wa rais mtaleta maafa. Kwanini awe Samia pekee anayegombana na wandani wake. Kuanzia kwa Kasimu Majaliwa, VP aliyeamua kupumzika Mpango na sasa huyu Emmanueli Nchimbi? Tafute namna ya kuondoa tofauti zenu bila...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Upi msimamo wa Mtume Muhammad katika kesi kubwa KAMA YA LISSU?

    Leo ni siku ya kuzaliwa mtume Muhammad S. A.W,kiongozi wa kiislamu. Tutaangazia kidogo kuhusu msimamo wa Mtume Muhammad ktk swala la kutoa haki ktk vyombo vya mahakama. Upi ulikuwa msimamo wake na vipi jamii ameiasa. Hapa siingilii mahakama maamuzi tunachambua jinsi ya mtume Muhammad...
  4. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Utamaduni Wetu Unavyotufunga Kisiasa

    Katika kuangalia hali ya kisiasa inavyo kwenda sasa, kuna kitu kimoja ambacho wabongo wengi kama hatukioni ila ndo msingi mama wa haya yote na ndo maana hii nchi tumeshikwa kama mburula. Ni kuwa, watanzania(wamatumbi) culture na tabia zetu ambazo ziko ndani yetu zinatufunga. We've no common...
  5. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    JamiiForums Tanzania Hii barter trade ya kisiasa inafaa sana na izingatiwe!

  6. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu Imetufundisha Nini.? | Kwa Nini Haki, Demokrasia na Uchaguzi Havipaswi Kuwa Kapu Moja na Mwenye Maslahi ya Kisiasa

    Leo nimefuatilia kesi ya Lissu kuanzia Alfajiri mbaka Wasalamu, na nimepata picha kwamba Taifa letu linapaswa kupata Katiba mpya yenye Mamlaka ya Usimamizi wa Misingi yake. Kitu kikubwa hapa ni kwamba misingi ya haki, demokrasia za kisiasa, utawala bora na utawala wa sheria vimeifadhiwa kwenye...
  7. britanicca

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    Kwa heshima bora ajiamulie mapema aisee Litatikisa hakuna week kadhaa mbele miamba inatikisika Ni credit kwa Taifa Britanicca
  8. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Lissu na Mbowe ni washirika ama ni mahasimu wa kisiasa?

    Mpaka sasa nikiyaangalia mahusiano ya Lissu na Mbowe napata utata kama ni washirika wa kisiasa ama ni mahasimu. Lissu mara kadhaa alikuwa anasema cheo chochote atakachogombea Mbowe yeye hatogombea... Ilikuwaje mwaka 2025 akachuana na Mbowe kwenye nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa? Mbowe...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuandamwa na mikosi ya kisiasa na kiuchumi isiyokoma ni ishara ya wazi kua huenda kuna laana ndani ya chama hicho cha siasa nchini

    Kwa mfano we cheki, mwenyekiti wake taifa kukutwa ana kesi ya kujibu tofauti na walivyotarajia kwa kujiiga kifua sana tu kwamba hakuna lolote n.k, na kwahivyo wameumbuka hadharani na hiyo maana yake mwenyekiti huyo ataendelea kusota korokoroni. Huenda mkosi huu unatokana na utamaduni wa kiburi...
  10. funaku

    JamiiForums Tanzania Ukomavu wa Kisiasa wa Freeman Mbowe ni wa kupongezwa

    Ukirejea falsafa ya 4 R na nia ya dhati ya Mhe. Samia Suluhu Hassan ya maridhiano leo tena tunamuona Freeman Mbowe akiwakilisha ukomavu mkubwa wa kisiasa na kuwapa funzo vijana wake wote aliowaibua kutoka vyuo vikuu kuwa siasa za upinzani sio ushindani usio na tija bali ni hoja mbadala...
  11. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kama Lengo ni Kumfunga Kisha Msamaha, eti apoteze Haki zake za Kisiasa, futeni kabisa huo ujinga nyie Vilaza wa CCM !! Dunia haitokubali Kamwe

    Kama ambavyo alikataa Mabilioni ya kuachana na Siasa. Kama ambavyo alikataa kwenda Ulaya . Kama ambavyo amekataa MARIDHIANO ya Kiiinga . Ndivo ambavyo Dunia itasimama kwa ajili yake kukataa UHUNI wa Kumpora Lissu Hali yake ya Kisiasa !!. Hili liwakae kichwani !!.
  12. Nicolas J Clinton Gabone

    JamiiForums Tanzania CHADEMA isijisalimishe kisiasa

    CHADEMA ISIJISALIMISHE KISIASA, HISTORIA HAIANDIKWI KWA KUNYAMAZA RAI YA, Nicolas Jovin Clinton Gabone Kwanza kabisa, historia ya mijadala ya maridhiano ya kisiasa hapa Nchini inahitaji kutazamwa upya. Je, maridhiano hayo yamewahi kuleta mabadiliko, au yamekuwa yakitumika kupunguza presha ya...
  13. O

    JamiiForums Tanzania Asasi za kiraia -SADC zaomba SADC pannel of elders kufanya ziara na kukutana na wadau nchini Tanzania katika juhudi za kukwamua mkwamo wa kisiasa

    Asasi za Kiraia (CSOs) zipatazo Hamsini (50) zimesaini tamko la kuomba SADC Pannel of Elders kuja nchini Tanzania kukutana na kufanya mazungumzo na wadau mbalimbali waKIwemo Serikali ,Vyama vya Siasa,viongozi wakuu wastaafu,viongozi wa dini,Asasi za Kiraia kama sehemu ya juhudi za kutatua...
  14. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania ICC Yarudi Tena Kwenye Siasa za Kenya? Upinzani Wataka Rais William Ruto Achunguzwe Kuhusu Ghasia za Kisiasa

    Miaka 15 baada ya kesi za ICC kutawala siasa za Kenya, jina la Rais William Ruto limetajwa tena katika wito unaoelekezwa The Hague - wakati huu Kenya ikielekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Muungano wa upinzani umetaka Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuchunguza...
  15. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kususia uchaguzi ni kujipa stress na kujidhuru mwenyewe hasa kisaikolojia na kujidhulumu kisiasa.

    Hii ni miongoni mwa blunders za hovyo mno za kisiasa, miongoni mwa wanasiasa waliokosa agenda za kuwashawishi na kuvutia kundi kubwa la wapiga kura kuwa upande wao. Mara nyingi wanasiasa hao husense kushindwa uchaguzi mapema sana. Na daima, hatua hii ya kususia uchaguzi, huwa ni sawa na ile ya...
  16. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina akata pumzi kisiasa

    Mwamba anaomba poo anatamani hata uteuzi wa ukuu wa Wilaya akapunguze njaa. pumzi imekata
  17. K

    JamiiForums Tanzania Chadema wenatengeneza bomu la nuklia la kisiasa hawataweza kuzuilika tena

    Tatizo la watu wengi hawaelewi tofauti ya Chadema ya Mbowe na Chadema ya Lissu. Chadema ya Mbowe alikuwa anapigana na CCM Kwa bunduki na mikuki. Chadema ya Lissu inatumia mbinu mpya imepeleka agenda yake moja kwa moja na watanzania na wameanza kuelewa agenda za kitaifa za muhimu. Kwa sasa...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: Mechi ya Simba na Yanga, watu wamevaa jezi zimeandikwa 'Mama, Mitano Tena' Tukisema wanatumiwa kisiasa tumekosea nini?

  19. Msanii

    JamiiForums Tanzania UPOPO WA TIKITI: Masimulizi ya kisiasa kutoka nchi ya Tongotongo na hatima ya haki katikati meno ya mamba na majqmbia ya wauaji

    UPOPO WA TIKITI: Masimulizi Kutoka Nchi ya Tongotongo Kuna nchi moja inaitwa Tongotongo. Katika nchi hii, kila kitu kinaonekana kwenda taratibu lakini kwa hesabu kali sana. Mitaani, wananchi wanapishana wakiwa wamebeba machungu na matumaini yao. Lakini katikati ya vumbi la barabara na mayowe ya...
  20. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tunapigana Kisiasa, Lakini Tumepoteza Ubinadamu?

    Picha za afisa wa polisi aliyeshambuliwa na kundi la vijana huko Homa Bay zimeibua swali ambalo tunapaswa kujiuliza kama taifa: Je, tofauti zetu za kisiasa zimetufanya tusahau thamani ya maisha ya binadamu? Unaweza kuunga mkono ODM, Kenya Kwanza, Linda Mwananchi, upinzani au serikali - lakini...
Back
Top Bottom