simba na yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Hizi mechi ndizo zitaamua nani anakuwa bingwa 2025/2026

    Bila ya kujali msimamo wa ligi ulivyo hivi sasa, mechi sita za mwisho za ligi kuu Tanganyika, ndizo zitakazoamua nani atakuwa bingwa Kwa msimu wa mwaka 2025/2026. Wakati Simba itaanza na Dodoma Jiji (24/05/2026) Yanga wao siku inayofuata itakutana na Namungo. Mechi ngumu kwa Simba, Yanga mechi...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Dabi ya Simba na Yanga kesho mashakani

    Hizi ni za ndani kabisa kesho mechi ya Simba na Yanga iliyopangwa kufanyika katika uwanja wa Meja Isamuhyo ipo kwenye hati hati ya kutochezwa. 'Updates' zitakuja hivi punde au kesho asubuhi.
  3. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Simba na Yanga kutoa sadaka kila wanapokutana ni sababu hasa?

    Huu utaratibu umeanza miaka ya hivi karibuni, majayanti wawili, Simba na yanga kuwa na utaratibu wa kutoa sadaka pindi tu wanapokutana. Sadaka ni jambo jema, kwa nini isiwe kwa michezo yote? Wajuzi 👇
  4. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni rahisi kusema Simba na Yanga kuliko kusema Yanga na Simba?

    Ukitaka kuzitaja hizi timu mbili kwa pamoja utakuta automatically ina sound kuanza na Simba kisha Yanga. "Simba na Yanga"
  5. Life2

    JamiiForums Tanzania Simba na Yanga wakitaka waamuzi toka hata Brazil wataletewa ila sio kwa uchunguzi wa 29 oct, Lissu, Father Kitima..etc

    Watanganyika wenzangu mnataka kusema hapa tuna nchi kweli? taifa ambalo kuanzia asubuhi mpaka kesho yake vyombo vya habari ni kuchambua mpira, umbeya, Visingeli na uchawa humo humo. Taifa ambalo tumeacha kudili na mambo ya msingi, kulinda #Uhai wa binadamu wenzetu na kuishia kujisifu kuua...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ripoti imepangwa kutolewa kimkakati sana, Tupo muda ambao Simba na Yanga zinaweza kukutana Mara mbili ndani ya wiki, Muungano cup na Kariakoo Derby

    Simba na Yanga zinapotajwa kukutana, focuss yote huwa inahama Kuna uwezekano mkubwa wa Simba na Yanga kukutana fainali za Muungano cup April 29 na siku chache baada ya hapo kukutana tena Mei 3 Kariakoo Derby
  7. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Huwezi amini sasa hivi JF hakuna mada nyingi wala Vibe la Simba na Yanga kama zamani

    Mzuka wana jamvi ? Unakumbuka hali ya jukwaa la sports na influence ya Simba na Yanga Jf kwa ujumla kabla ya October 29 na kufungiwa ? Ilikuwa mechi za ligi kuu tu watu wanashindana kuanzisha nyuzi na nyuzi la live mechi views na engagement ilikuwa kubwa sana mabishano na vibe la kutosha sasa...
  8. kavulata

    JamiiForums Tanzania Simba na Yanga ni ng'ombe wa maziwa wa mpira wa Tanzania, wapewe heshima yao.

    Hakuna timu ambayo inataka mechi yake ya nyumbani ya Simba na Yanga ichezwe saa 8 mchana. Hakuna mdhamini wa timu ambae anapenda mechi ya timu inayoidhamini icheze mechi zake na simba na yanga saa 8 mchana. Mwenye haki ya matangazo asilani hawezi kukubali mechi za simba na yanga zichezwe mchana...
  9. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Derby ya Simba na Yanga yakosa ufuatiliwaji mitandaoni kisa Vita ya IRAN

    Ukitizama uchambuzi wa mitandaoni sasa ni habari za Iran na Marekani na Israel. Hakuna uchambuzi au kelele au shamlashamla kuelekea mechi ya derby itakayopigwa jioni. Hakuna habari yoyote ya Bongo inayotrend kwa sasa
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba huwenda ikasusia mechi ya Dabi, waiandikia barua Bodi ya Ligi kisa mechi kupelekwa Zanzibar

    Wakuu Hawa Simba tuwenao karibu, wasije wakagoma bure kuvuka maji. Mr. Reporter amedai tayari wameandika barua ya kutafutia sababu zao baadaye. = Uongozi wa Simba SC umeiandikia barua Bodi ya Ligi (TPLB) kutaka kujua kwanini taarifa ya kuhamisha uwanja kutoka Benjamin Mkapa kwenda Amaan...
  11. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa kila kitu ni Zanzibar tu, hata mechi kubwa za Simba na Yanga zinapelekwa Zanzibar

    Kila chenye manufaa kwa sasa ni Zanzibar tu. Big matches za Simba, Yanga na Azam zinapelekwa Zanzibar, hii inawanufaisha zaidi wazanzibar, kwanza wanajitangaza pia wanaingiza pesa kwa wale watu wanaokuja kuangalia mpira, maana watakula, watakodi vyumba vya kulala, viingilio na matumizi...
  12. funaku

    JamiiForums Tanzania Je, mahakama ya Tanzania inaweza kuendeshwa kama mechi ya Simba na Yanga?

    Inajulikana ndani ya mahakama kunakuwa na mchuano mkali wa hoja za ,utaratibu na ushahidi bila mihemuko. Je ni sahihi kuwa na mashabiki wa pande mbili kila mmoja akivutia upande wake? Wakati Yesu anahukumiwa pasipo haki pilato alisimama mbele ya wayahudi akawa anahoji baadhi ya maswali muhimu...
  13. Pdidy

    JamiiForums Tanzania SIMBA NA YANGA TURUDI TUMALIZIE RATIBA WAPENDWA ALL D BEST

    AHSANTEN KWA KUTUNYOOSHA MMEJUA KUTUNYONGOROSHAAA AZAAAWAISIII. TURUDN TUJE KUKAMILISHA RATIBAAAAA ALWAYS NXTYM NEVER GV UP
  14. Q

    JamiiForums Tanzania Hongera GenZ, Simba na Yanga kwisha Wasanii kwisha, tuendelee hivi hivi hadi wote tuongee lugha moja.

    Hatuna budi kuwapongeza GenZ kwa kufanikisha zoezi hili, ilikuwa huwezi kuongea chochote vijiweni zaidi ya simba na yanga au diamond na kondeboy leo ni tofati kabisa. Kiuhalisia huwezi kuishi bila siasa, huwezi kuukuza mpira ukaiacha siasa inayoendesha huo mpira, kuwa mimi ni Simba damu damu...
  15. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Mechi ya mashabiki wa Simba na Yanga lengo kuu kuwarudisha wasanii kwa wananchi

    Nasikitika sana na nazidi kusikitika. Nawasikitikia zaidi mashujaa wetu waliojitoa kulitetea taifa mwisho wa siku wameishia kupoteza maisha lakini asilimia kubwa ya watu waliokuwa wanawapambania ni wapumbavu kwa kiasi kikubwa sana. Niliingia kwenye instatrack kuchungulia engagement rates...
  16. Trayvess Daniel

    JamiiForums Tanzania Siku nzuri za ukombozi ni sikukuu zote za kidini (Eid na za kikiristo) na most importantly siku za mechi kubwa Simba na Yanga

    Kushindwa ni pale tu tumekubali damu za ndugu zetu ziende bure...... UTANGULIZI Sisi sio watu wa kuingia msituni (sio jambo jema) tunahitaji 1. mapambano ya ground, maandamano makubwa yenye idadi kubwa ya watu na sio jokes (mfano ubungo mpaka magomeni ikajaa watu hamna wa kuzuia) 2...
  17. BIG BROTHER ALEX

    JamiiForums Tanzania Zanzibar natokaje nawauliza mi natokaje, walimwengu natokaje

    SEHEMU YA KWANZA 1 Habari zenu wakuu, mi ni kijana wa kawaida niko end of twenty something najianda kuingia thirty. Katika pulukushani za maisha Dodoma na Arusha nilipata wazo la kujichanganya Zanzibar.Niliingia Zanzibar lengo ni utafutaji, sikuwa na pakufikia nilikuwa nanyoosha TU barabara...
  18. Alex khalifa

    JamiiForums Tanzania Watanganyika maelfu wamekufa Simba na Yanga hawajatoa pole, eeh Mungu tukumbushe sisi niwapitaji tu hakuna mfalme wa milele isipo kua wewe baba

    Baba Kibu Denis kafariki wakatoa pole, kuchangusha watoto wao wakiwa wagonjwa wanaanda mechi za hisani ila watanganyika walio kufa kimya kimetawala, eti tujaze viwanja shut up wanao jaza viwanja wamo makaburini wamerundikwa ka mizoga, Kuna watu wanaamini dunia ni yao time will tell. Here we go...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Asante sana watanzania kwa kususia mechi za Simba na Yanga

    Jana kwenye mechi ya Yanga na ASFAR nimeona uwanja wa Aman Complex ukiwa umejaa nusu tu, na kwa sehemu kubwa watazamaji walikuwa ni ndugu wa Abdul. Ndiyo kusema watanganyika waliokwenda kuangalia mechi ni wachache sana. Leo hii kwa Mkapa hata nusu haijafika japo Kuna mechi kubwa kati ya...
  20. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Mpira Tugomee Kuhudhuria Mechi za Simba na Yanga kwa Kushindwa Kutoa Pole kwa Wafiwa Kutokana na Maandamano ya Oktoba 2025 ya Kudai Haki

    Katika tukio ambalo limegusa mioyo ya wengi, mashabiki wa soka nchini Tanzania tujipamge kuonyesha mshikamano na majonzi kwa wale waliopoteza maisha katika maandamano ya kudai haki yaliyofanyika kuanzia tarehe 29 Oktoba 2025 ambapo familia nyingi zimepoteza wapendwa wao katika mfululizo wa...
Back
Top Bottom