world

The world is the planet Earth and all life on it, including human civilization. In a philosophical context, the "world" is the whole of the physical Universe, or an ontological world (the "world" of an individual). In a theological context, the world is the material or the profane sphere, as opposed to the celestial, spiritual, transcendent or sacred spheres. "End of the world" scenarios refer to the end of human history, often in religious contexts.
The history of the world is commonly understood as spanning the major geopolitical developments of about five millennia, from the first civilizations to the present. In terms such as world religion, world language, world government, and world war, the term world suggests an international or intercontinental scope without necessarily implying participation of every part of the world.
The world population is the sum of all human populations at any time; similarly, the world economy is the sum of the economies of all societies or countries, especially in the context of globalization. Terms such as "world championship", "gross world product", and "world flags" imply the sum or combination of all sovereign states.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    Junior Starlets Qualify for FIFA U17 World Cup Again After Stunning South Africa 3-1.

    Kenya imeandika historia tena! . The Junior Starlets have secured qualification to the FIFA U17 Women's World Cup for the second consecutive time after defeating South Africa 3-1 at a packed Nyayo National Stadium on Sunday. Licha ya South Africa kufunga mapema kupitia Katlebo Malehana, the...
  2. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Taifa stars angechukua nafasi ya Argentina, angeishia hatua gani world cup?

    Katika kundi linalojumuisha Tanzania, Algeria, Jordan na Austria nina uhakika pasipo na shaka Tanzania angepata nafasi moja kati ya tatu kumwezesha kufuzu. Tanzania vs Algeria. Hawa tunawajua na tushacheza nao mara kadhaa. Kwa sasa Algeria wameshuka kiwango sio wa kipindi kile ambacho...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanyonyi Shatters 27-Year-Old 1,000m World Record at Monaco Diamond League

    Kenya's Emmanuel Wanyonyi delivered a historic performance at the Monaco Diamond League, breaking the men's 1,000-metre world record that had stood for 27 years. Competing in the event for the first time, the Olympic 800m champion stormed to victory in a time of 2:11.83, eclipsing the previous...
  4. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Ronaldo: Kubeba Euro 2016 kwangu ni sawa na World Cup tu

    Baada ya Portugal kutolewa na Spain kwenye World Cup 2026, Cristiano Ronaldo alisema Euro 2016 kwake ina uzito sawa na World Cup. “Watu wanaweza kusema chochote wanachotaka… lakini kwangu, kuipa Portugal Euro ilikuwa na uzito sawa na World Cup kwa hiyo, nina furaha.” alisikika "MBUZI" huyo.
  5. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda World Bank Warns Uganda's Economy Is Failing to Create Enough Jobs

    According to two new reports by the World Bank, Uganda's economy is growing steadily, but job creation is failing to keep pace with the country's rapidly expanding youthful population. The Bank warns that unless urgent reforms are implemented, unemployment and underemployment could become...
  6. Malaika wa Misukosuko

    JamiiForums Tanzania 4 July 2026 Cape verde atamfunga Argentina na kumtoa, ila Fainali wataingia France na England na Bingwa wa Fifa World Cup 2026 atakuwa England

    Mods msiunganishe huu Uzi hili ni muhimu. Huu sio utabiri ndo kitakachotokea. Fainali wataingia France na England ila England atabeba ubingwa wa Fifa World Cup 2026.
  7. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Welcome to the clown world

    Love a woman she will use you, you put her first she puts you last. You text back in 2 minutes she leaves you on read for 2 days. You open your heart she opens her legs. Use a woman she will love you The man who stays busy, unavailable and focused on his mission always wins. The emotional guy...
  8. E

    JamiiForums Tanzania China; Mshirika Mkuu Ajaye katika Vita dhidi ya Ugaidi

    Kwa muda mrefu Marekani pamoja na Washirika wake wa Ulaya magharibi ndiyo walikua viranja wa dunia.Yapo mengi mazuri walifanya katika nyanja za demokrasia na utetezi wa haki za binadamu, na mengi ya hovyo pia kama uporaji wa rasilimali na kuchochea vita maneneo mbali mbali duniani kwa manufaa...
  9. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Je, ni Kweli Tayari Imeshapangwa Portugal achukue World Cup 2026?

    Wakuu! Siku hizi kila nikifungua mtandao nakutana na theory mpya kuhusu Portugal kupangwa kuwa mabingwa na kundi la siri. Kuna wanaotaja ile scene ya The Simpsons katika “The Cartridge Family” (Season 9, Episode 6) ya mwaka 1997 Mexico vs Portugal wakicheza fainali ya World Cup. Wengine...
  10. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Ronaldo Avunja Rekodi ya Eusébio World Cup

    Cristiano Ronaldo sasa ndiye mfungaji bora zaidi wa Portugal kwenye historia ya World Cup 🔥 Baada ya mabao yake mawili dhidi ya Uzbekistan: Ronaldo amefikisha mabao 10 ya World Cup 🔥 Akimvuka gwiji wa zamani wa nchi hiyo Eusébio da Silva Ferreira aliyekuwa na mabao 9 Jamaa anadai amerudi...
  11. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Ronaldo Amaliza Ukame na Kuweka Rekodi Mpya World Cup 🔥

    Cristiano Ronaldo aliisaidia Portugal kuifunga Uzbekistan 5-0 baada ya kufunga mabao 2 kwenye mchezo huo. Mabao hayo: Yamekatisha ukame wake wa mechi 10 bila kufunga kwenye mashindano makubwa. Na pia yakamfanya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga kwenye World Cup 6 tofauti. Ronaldo sasa...
  12. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Prof.Mbarawa: Bandari ya Dar yavunja rekodi Kwa Kuhudumia mzigo wa Tani Milioni 30.Atoa kongole nyingi Kwa DP World.

    Bila uwekezaji wa DP World hii volume ingekuwa ndoto maana target ilikuwa kuhudumia Tani mil.30 by 2030 lakini target imefikiwa miaka 4 kabla . Kwa sasa Bandari ya Dar ni Kimbilio sio njia mbadala Mombasa ikifeli. Haya Sasa ndio maamuzi ya Tija Kwa Nchi, Serikali ingesikiliza zile kelele za...
  13. Mjomba Malume

    JamiiForums Tanzania Uholanzi Yaweka Rekodi Kali World Cup 🔥

    Netherlands wameweka rekodi mpya kwenye World Cup baada ya kufikisha unbeaten run ya mechi 14 bila kupoteza ndani ya 90 minutes + extra time🔥 Rekodi hiyo imevunja ya: - Brazil waliokuwa na mechi 13 bila kupoteza (1958–1966) 📌 Muhimu:Rekodi hii haijumuishi penalty shootouts. Yaani:Mechi...
  14. PureView zeiss

    JamiiForums Tanzania Japan wanaenda kuishangaza dunia Kwa kubeba world cup 2026...Huu ni utabiri wangu

    Japan ndiyo timu ambayo itaenda kuishangaza dunia Kwa mara ya Kwanza usiku wa July 19 Kwa kubeba world cup. Nimeangalia mechi Yao moja Tu waliocheza na uholanzi nikapata jibu kuwa hawa jamaa wanaenda kubeba ndoo World cup ya mwaka huu haina mwenyewe zaidi ya Japan Tu....najua mada hii itapata...
  15. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Wafungaji Bora wa Muda wote katika World Cup mpaka kufikia leo Juni 17, 2026

  16. R

    JamiiForums Tanzania World Cup 2026: Cape Verde vs Spain..Cape Verde wana Goal Keeper mzuri

    Naangalia match sasa hivi. Huyu kipa wa Cape Verde ni hodari sana. Ameokoa the IMPOSSIBLES! Nadhani ball control ni over 90% for Spain, Lakini kipa wa Verde ameokoa magoli mengi!.... Mimi siyo mshabiki wa mpira na sina utaalamu wa mpira lkn by eyes unaona kuwa huyu anafanya vema
  17. technically

    JamiiForums Tanzania World cup 2026 timu kubwa zote mbovu?

    Nilianza kuangalia world cup toka game ya kwanza Timu Kama Brazil, German Spain zote mbovu Brazil hii na Ile ya 2014 hakuna tofauti German pamoja na kushinda 7 Jana lakini mpira mbovu. Muda huu nipo nawaangalia spain utadhani ni Tunisia iliyochangamka. France nayo baada ya kufunga na...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mechi zitakazo oneshwa mubashara TBC1 katika hatua ya makundi WORLD CUP. Kama hazipo hapa usiwasumbue

    Kumekuwa na malalamiko kuwa muda wa mechi kuna vipindi vinaendelea. Jambo la msingi ni kujua kuwa ni baadhi tu ya mechi za bure hupewa televisheni za taifa waonyeshe lakini mechi nyingi hupewa chanel za kibiashara. Wastani huwa ni mechi moja kwa siku, hizi ndo mechi za bure ambazo zitakuwa...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Fifa world cup 2026

    Wakuu natafuta channel ,app au site ya kuangalia world cup online kwenye simu 🙏🙏🙏🙏🙏
  20. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia mwaka huu halina mvuto ni vile tu napenda mpira, ila US sio bora kwenye uandaaji

    Tulizoea kuona mambo mengi sana kabla ya kombe la dunia. Nashangaa sijaona logo rasmi, sijaona font rasmi sijaona katuni(mascot) hakuna amsha amsha. Kilichoboa zaidi ni vigezo vya kuingia Marekani. Maafisa wa Iran na baadhi ya nchi nyingine kufukuzwa kwa refarii wa kisomali yani katika kitu...
Back
Top Bottom