wake

In fluid dynamics, a wake may either be:

the region of recirculating flow immediately behind a moving or stationary blunt body, caused by viscosity, which may be accompanied by flow separation and turbulence, or
the wave pattern on the water surface downstream of an object in a flow, or produced by a moving object (e.g. a ship), caused by density differences of the fluids above and below the free surface and gravity (or surface tension).

View More On Wikipedia.org
  1. O

    JamiiForums Tanzania Taifa linaloutukuza ujinga na kuudharau maarifa hujichimbia kaburi lake lenyewe; mara nyingi uhai wake hauzidi karne moja.

    Mnakaribishwa!
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke akibiwa hospitalini na mwanaume wake baada ya kutembelewa na mzazi mwenzie.

    Daaa sijui kwa Nini inakuwa hivi.
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Urusi haijasahau ukarimu wake wa nyakati zote kwa Tanzania 🇹🇿 🇷🇺

    The Diplomat Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anaelezea mapokezi ya heshima aliyopata akiwa katika ziara rasmi ya kitaifa nchini Urusi. Mapokezi aliyopewa Rais Dkt. Samia yanaakisi udugu wa miaka mingi na Taifa la Urusi. "Urusi ni mshirika wetu mkubwa...
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka vituko vya utawala wa Idd Amin Dada kwenye utawala wake

    Inawezekana kizazi chake kilikuwepo Zanzibar na ndio kinaendelea kufanya haya kwa taswira ya znz inaonyesha kulikuwa na waganda wengi mpaka kuwepo mapinduzi. Tuje kwenye mada sasa. Ukifatilia matendo ya idd amin ni yale yale kama hapa. Kuna kipindi alitaka kuwa rafiki mzuri wa urusi. ukuangalia...
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Kremlin ina kawaida ya kuwasaidia na kuwapa hifadhi marais fedhuli waliokataliwa na wananchi wake

    Viktor Yanukovych aliyekuwa rais wa Ukraine mwaka 2014 alikimbilia Urusi kufuatia maandamano makubwa ya wananchi yaliyopinga sera zake za upande wa Russia. Bashar al-Assad aliyekuwa rais wa Syria mwaka 2024 alikimbilia na kupewa hifadhi ya kisiasa Moscow baada ya utawala wake kuanguka. Nicolas...
  6. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Status WhatsApp yazua balaa kwa mume mwenye wake wawili

    Ukiwa mume mwenye mke zaidi ya mmoja basi kila hatua unayochukua inakubidi uitafakari mara mbili. Hayo yametokea jana baada ya baba mwenye mji wake kumpost mke mdogo kwenye Status WhatsApp Baada ya mara kwa mara mume kumpost bimkubwa status akaona leo ngoja nimrushe bimdogo nae hewani auze...
  7. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu huyo mdada uliyenae hajamrudia ex wake sio kwa sababu eti anakupenda wewe kumzidi, no, ni kwa sababu ex wake hajaonesha effort ya kumtaka tena

    Niliwahi kuwa na girlfriend back in 2018, Alienielezea namna jamaa alivyokuwa anamchapa makofi na muda mwingine kumuingilia kinguvu kingono. Na akasema hataka amrudie tena huyo mbwa Red flag ilikuja pale yule demu akawa anamzungumzia jamaa kila mara, nikagundua huyu fala bado bado ana miss...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashari ya Wilaya Kishapu haiwatendei haki watumishi wake katika malipo

    Mimi ni mtumishi wa umma kutoka Halmashari ya Wilaya Kishapu iliyopo mkoa wa Shinyanga, halmashauri yetu imekuwa haiwatendei haki watumishi wake kama ifuatavyo: 1. Malipo ya fedha za likizo. Watumishi hulipwa kwa kuchelewa mno na mara nyingi hulipwa kiasi kidogo ukilinganisha na kiasi...
  9. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Chief Godlove akimbia na akaunti za msanii wake

    Msanii wa rap Bongo, Scorpion (Tgun Tozzy) ameeleza malalamiko yake akidai kuwa Chief Godlove amekimbia na chaneli yake ya YouTube huku akikataa kumpa mkataba wa lebo kama walivyokubaliana!. "Barua ya wazi kwa tajiri Chief Godlove. Nimeamua kutumia njia hii kukufikishia ujumbe huu kwani...
  10. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Wake zetu wanafundishwa namna ya kuja kutushambulia ndani ya familia

    "Wake zetu wanafundishwa namna ya kuja kutushambulia ndani ya familia. Ukisikia vipindi vyote, mwanamke ambaye amekubali kwamba, 'Mimi mume wangu acha atafute, mimi acha nikae na watoto, nilee watoto,' anaonekana ni mjinga kwenye taifa hili. Wanamtangaza kama mjinga: 'Unakubaliaje kukaa...
  11. Mbabani

    JamiiForums Tanzania Mbele ya Waziri Mkuu, Mzazi afikisha malalamiko ya mwanae kutekwa na Waliojitambulisha kuwa ni Polisi

    Ni huzuni kwa kweli, mwanamke mmoja huko Itigi - Singida ameeleza kwa uchungu mtoto wake alivyokamatwa na polisi wakamfunga pingu kisha kutokomea nae, mzazi wa mtoto huyo alifatilia kituo cha polisi bila mafanikio ya kumuona mwanae, ni siku 40 zimepita hajui mtoto wake alipo. Ameyaeleza hayo...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nimeona mama mmoja analia kwa uchungu mbele ya Mwigulu Nchemba kuwa mtoto wake alitekwa na polisi. Je haya ni maigizo yanayofanywa na Chadema?

    Mama huyu amelia kwa uchungu sana. Tena Waziri mkuu ameona kwa kauli yake kwa kusema kuwa wanaChadema wanajiteka akimaanisha hakuna utekaji. Mama amelia kwa uchungu sana maana anadai polisi walifika nyumbani wakijifanya wamachinga na kumteka mtoto wake tangia mwezi wa nne. My take; hata kama...
  13. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Hakika mwanaadam ni mtovu wa shukrani kwa Mola wake

    Miongoni mwa sifa ambazo Mwenyezi Mungu amezitaja kuhusu mwanadamu katika Qur'an ni tabia ya kusahau neema na kupunguza shukrani kwa Muumba wake. Allah amesema: ﴿إِنَّ الْإِنسَانَ لِرَبِّهِ لَكَنُودٌ ۝ وَإِنَّهُ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ ۝ وَإِنَّهُ لِحُبِّ الْخَيْرِ لَشَدِيدٌ﴾ "Hakika mwanadamu...
  14. C-C Daily Stories

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Charlie Puth afanya remix na Civilian-Coin ya wimbo wake "see you again". Je, Wiz Khalfa ataangushwa na Civilian-Coin?

    https://youtu.be/LSuas9jeGm4?si=4w12ADOqNKnbJLXp
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "America inalinda wananchi wake, lakini Kenya ndiyo ibebe risk?"

    Wakenya wengi wamekasirishwa na taarifa za mpango wa kuweka Ebola quarantine na treatment facilities nchini Kenya. Kwa mujibu wa mjadala unaoendelea online, Marekani inasema priority yao ni kulinda raia wao dhidi ya Ebola kwa kuzuia ugonjwa huo kufika nchini humo. Lakini wananchi wengi...
  16. wilcoxon

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Kuna barua rasmi kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) – kupitia Ofisi ya Mashirika ya Kipapa ya Kimisionari Taifa (PMS) inayoonesha kuahirishwa kwa Kongamano la Sita la Kitaifa la Utoto Mtakatifu. Kongamano hili kubwa lilitarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 18 hadi 22 Juni, 2026 huko...
  17. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Juni 6, 2022 Injinia Hersi Said aliahidi atajenga Uwanja wa Yanga ndani ya miaka minne ya Uongozi wake

    Miaka minne iliyopita, Siku ya Jumatano, Juni 6, 2022 akiwa anahojiwa katika Kipindi cha Sports Arena cha Wasafi FM, Injinia Hersi Said baada ya kupitishwa kuwa mgombea pekee wa nafasi ya Urais katika Klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said alitoa ahadi ya kujenga uwanja wa klabu wenye siti 20,000...
  18. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Kwa Hali hii, nchi itafakari kuhusu Maisha ya Raia Wake

    Juzi nilienda hospital moja ya serikali. Baada ya mlolongo mrefu wa huduma za hapa na pale, hatimae nikaelekezwa ilipo duka la dawa la hospital nkaenda kununua hapo. Nikiwa hapo katika foleni ya kununua dawa Kuna wagonjwa waliokuwa mbele yangu na wengine pembeni yangu ambao walishindwa kumudu...
  19. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Jaymond kununua nyumba Sweden, anaweza kudhulumiwa

    Msanii wa Kitanzania ambaye alikuwa comedian na sasa ni kama content creator wa video fupi za kucheza mitandaoni ambaye ni Jaymond akiwa na Mpenzi wake Isabella kutoka huko Sweden wamefanikiwa kununua nyumba yao ya kuishi pamoja. https://youtu.be/f4z3j5N8b8g Lakini mimi binafsi naona kama...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Nanyamba: Mwanamke ajitosa kisimani baada ya kupewa talaka na mume wake

    Mtu mmoja aitwae Mwajuma Mohamed Mkule Mkazi wa Mtaa wa Mibobo Kata ya Nanyamba Halmashauri ya Mji Nanyamba Mkoani Mtwara, amejitosa kwenye kisima Cha maji Tukio hilo limetokea May 23,2026 Mibobo Nanyamba huku chanzo cha tukio hilo kikitajwa kuwa ni baada ya kupewa talaka na mume wake
Back
Top Bottom