kutolewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. matunduizi

    Yanga walitakiwa kutumia mbinu aliyotumia Hayati Magufuli kwenye Makinikia

    Kuna uhusiano mkubwa kati ya dhuruma na upole wa kimasikini. Masikini mtata huwa anapunguza uwezekano wa kuonewa na Matajiri. I Yanga kama hayati Magufuli ilitakiwa walete taharuki. Wagomee match wazue balaa ambalo litaleta attention ya FIFA na dunia nzima. Wamefanya kosa baya sana kukubali...
  2. Movic Evara

    Kanuni za CAF Kuelekea nusu fainali

    Kanuni za CAF Kuelekea nusu fainali ; ◉ Hakuna dakika za nyongeza (Extra time) ikitokea timu zimetoka suluhu ndani ya dakika 90', mikwaju ya penati itaamua timu ipi isonge nusu fainali. ◉ Goli la ugenini litatumika ikitokea timu zimetoka sare. Aliyefunga goli ugenini ataenda nusu fainali.
  3. GENTAMYCINE

    Tafadhali sitaki Kusikia Kisingizio hiki timu fulani ikifungwa nyingi Ijumaa na kutolewa rasmi CAFL

    "Tumetolewa kwa Kuonewa kwakuwa Mmiliki wa Timu ndiyo Boss Mkuu wa Kafu Afrika hivyo Waamuzi walimuogopa ili kulinda Vibarua vyao" amesema Boss Klabuni Mrembuaji Makengeza. Na muda si mrefu nimetoka Kumsikia EFM Radio (Kipindi cha E-Sport) Boss Mrembuaji Makengeza akisema na akikanusha kuwa...
  4. Roving Journalist

    Shauri dhidi ya Mbunge Gekul lasikilizwa Mahakamani, Wakili Madeleka asema DPP hakuwa na Mamlaka ya kufuta kesi

    Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Manyara imesikiliza shauri la Jinai namba 577/2024 mbele ya Jaji Devotha Kamuzora, linalomhusu Hashim Ally ambaye ni Mrufani dhidi ya Mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul ambaye ni Mrufaniwa. Katika rufaa hiyo, Ally anapinga maamuzi yaliyofanywa na Mahakama ya...
  5. E

    Ni sababu zipi hasa zilipelekea video ya huyu kijana kutolewa mitandaoni?

    Nimetafuta kwa muda mrefu sana video ya huyu kijana wa Ngowi sijaipata ,binafsi kuna vitu nlitaka nisikilize tena Ilikuwepo katika Uzi huu Hii video inayosambaa mtandaoni kuhusu ufisadi unaofanywa na viongozi wetu, Watanzania tuamke sasa Kuna anaejua kwanini ilitolewa? Je ilikuwa inapotosha...
  6. M

    Natabiri Yanga kutolewa na Mamelodi kwa jumla ya Magoli 7-1

    Jinsi wanavyojiona ni timu tishio kisa tu walimfunga simba kwa kubahatisha goli 5-1 , hawa watatolewa kirahisi sana na Mamelod. Kwa mkapa watapigwa 3-1 na kule south watapiwa kama walivyopigwa na CRB plus goli 1. Wao wanafikiri mfano wakikutana na simba nusu itakuwa ni rahisi kuitoa simba...
  7. Papaa Mobimba

    Kuelekea Uchaguzi 2024 na 2025: Umesikia kauli gani kutoka kwa viongozi ukaona zinahatarisha Ustawi wa Demokrasia?

    Wakati wa chaguzi mbalimbali duniani huwa viongozi na wanasiasa wanatoa kauli mbalimbali katika kunadi sera zao na vyama vyao kwa ujumla. Kauli zinazotolewa huweza kuwa nzuri za kujenga au zikawa kauli za chuki zenye lengo la kugawa na kubagua kundi fulani. Hayati Mwalimu Nyerere aliwahi kusema...
  8. Manyanza

    Matokeo bora zaidi Hatua ya Makundi ya CAF Champions League

    Kumbe hapo zamani Uto alishawahi pigwa 6-0 kwenye hatua ya makundi ?
  9. JanguKamaJangu

    Saini ya Rais wa zamani wa Nigeria yaghushiwa na kutolewa Tsh. Bilioni 15

    Nigeria inatafuta usaidizi wa Interpol ili kuwakamata washukiwa Watatu wanaodaiwa kuiba Dola 6.2m (Tsh. Bilioni 15.1) kutoka Benki Kuu ya Nigeria kwa kutumia sahihi ya kughushi ya aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Muhammadu Buhari. Mamlaka zinaamini washukiwa walikula njama na aliyekuwa Mkuu wa...
  10. Erythrocyte

    Baada ya Ratiba ya Maandamano ya awamu ya pili kutolewa Mbeya yalipuka kwa Shangwe

    Hii ndio Taarifa mpya ya sasa kutoka mkoani humo, kwamba baada ya Ratiba ya Maandamano ya awamu ya pili, ya kupinga Ugumu wa maisha na miswada mibovu ya sheria za uchaguzi kutangazwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA , huko mkoani Mbeya baraka hii muhimu wamepangiwa tarehe 20/2/2024 , ambayo...
  11. balibabambonahi

    Wenyeji wa AFCON, Ivory Coast wamekubali kupigwa na wamepigika, wachapika 4-0

    Tuwaombeetu lakini mwenyeji sijui anapigaje ======== WENYEJI WA AFCON, IVORY COAST WAMEKUBALI KUPIGWA NA WAMEPIGIKA Wenyeji wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Africa 2023 (AFCON), Timu ya #IvoryCoast imeishia Hatua ya Makundi baada ya kukubali kichapo cha magoli 4-0 kutoka kwa Equatorial...
  12. Jokajeusi

    Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

    Mughonile! Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa. Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra. Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe. MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra. Mwanamke...
  13. Cannabis

    Shabiki wa Liverpool alalamika kutolewa uwanjani huku mechi ikiendelea kwa sababu ya kuvaa koti lenye ujumbe wa "Free Palestine"

    Shabiki wa Liverpool amelalamika mtandaoni kwa kitendo cha kuondolewa uwanjani kwa sababu ya kuvaa koti Lenye ujumbe wa "Free Palestine". Shabiki huyo aliondolewa uwanjani na vyombo vya usalama vilishinikiza avue koti hilo na kutupa bendera ya Palestina kabla ya kuruhusiwa kurudi uwanjani...
  14. Unique Flower

    Kwanini wanaume mnawatoa wanawake wenu kafara?

    Wanaume hivi kwa wale wanatoa wanawake kafara wanaonaje wenzio nakwanini mnatoa watu kafara? Rafiki yangu alikuwa anatolewa na mchumba wake kafara isingekuwa maombi kweli leo hii angeenda na kichanga tumboni ila kichanga kilikufa. Mama akabaki kwa bahati nzuri. Wanaume muwe na roho basi kuua...
  15. S

    ONYO kwa akina dada wote kuhusu huduma ya kukuza makalio itakayoanza kutolewa Mloganzila

    Mloganzila wanajitangaza kwamba wanataka kuanza kukuza makalio. Lakini najiuliza, kwa utaalamu upi? Kwa umakini upi? Wa watu wapi? Hawa hawa wanaosahau mikasi tumboni mwa wagonjwa? Hawa hawa wanapasua kichwa badala ya mguu? Hawa hawa wanaomdunga ganzi nyingi kupitia kiasi (overdose) mama...
  16. Intelligent businessman

    Maisha ni yako, usikubali kutolewa mchezoni

    Uzi huu nime uandika ili uwe Kama kengele ya ukumbusho, kwa kila mmoja wetu. 👉 Maana kumezuka na Mambo ambayo yame kuwa Kama kikwazo, kwa baadhi ya watu katika safari ya maisha yao. WIVU, kila mmoja wetu ana wivu katika maisha yake. 👉Ila baadhi ya wengi wetu tumekuwa na wivu ambao si rafiki...
  17. BARD AI

    Ahadi zilizowahi kutolewa na Viongozi kuhusu kuuza Umeme nje ya Nchi

    Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake Kwa takriban miaka 6, Serikali imekuwa ikitaja mikakati ya kumaliza tatizo la Upungufu wa Umeme linalosababisha...
  18. T

    Tumeishi miaka yote, tumechagua viongozi wetu, tumeshtakiana na hukumu kutolewa Kwa mujibu wa Katiba

    Najiuliza hivi wasomi wetu hawajui kama Kila siku tunaongozwa na katiba? Hivi wasomi wetu hawajui kama tunaiishi katiba tuliyonayo? Hivi Rais wetu hajui kama Tanzania anayoiongoza iko hivyo anavyoiona kutokana na uwajibikaji Kwa katiba wa Kila raia wa Tanzania? Iweje useme eti hawaijui? Iweje...
  19. doup

    Ushahidi waanza Kutolewa kuhusu madai ya kuwepo Kwa Alliens na UFO

    Kwa muda Sasa kumekuwa na mijadara hisia mingi kuhusu kuwepo Kwa viumbe wa ajabu kutoka sayari za mbali "Aliens", pamoja na technolojia yao ya usafiri almaarufu kama UFO(unidentified flying object). Dhana hii imekuwepo sana uko Marekani Kwa muda na wakeleketwa wa hii hoja wamekwenda mbali...
  20. Dr Msaka Habari

    Elimu zaidi kutolewa na soko la bidhaa Tanzania (TMX)

    Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), litaendelea kutoa elimu na kuwafikia wadau wengi zaidi ili wafahamu mchango wake katika uchumi wa nchi. Hayo yamebainishwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Bidhaa Tanzania, Godfrey Malekano alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam...
Back
Top Bottom