Ahadi zilizowahi kutolewa na Viongozi kuhusu kuuza Umeme nje ya Nchi

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake

Kwa takriban miaka 6, Serikali imekuwa ikitaja mikakati ya kumaliza tatizo la Upungufu wa Umeme linalosababisha uwepo wa Mgawo wa Nishati hiyo lakini utekelezaji wake umekuwa na changamoto nyingi ikiwemo uzalishaji wake kwa kiasi kikubwa kutegemea zaidi Umeme wa Maji katika vyanzo vingi.

Kwa nyakati tofauti, waliowahi kuwa Viongozi Wakuu kutoka Wizara ya Nishati wakiwemo Mawaziri 3 (Prof. Sospeter Muhongo, Dkt. Medard Kalemani na Januari Makamba) na Mkurugenzi wa zamani wa TANESCO Mhandisi Felchesmi Mramba waliowahi kunukuliwa wakiahidi kuwa Tanzania itauza Umeme nje ya Nchi, ahadi ambayo imekuwa ikijirudia bila kuwa na matumaini ya kutimia

Viongozi waliowahi kuahidi kuwa Tanzania itaanza kuuza Umeme Nje ya Nchi ni wafuatao

Kumbukumbu za Ahadi za Kuuza Umeme Nje ya Nchi zilizowahi kutolewa na Viongozi Nchini

Julai 2013
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo aliahidi kuwa Nchi inajiandaa kuuza Umeme nje ya Nchi

Desemba 2014

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Felchesmi Mramba aliahidi kuwa



Julai 2016
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo

Februari 2020
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Medard Kalemani​

Julai 2022
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Mei 2023
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Septemba 2023
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliahidi kuwa Serikali imedhamiria kuuza Umeme nje ya Nchi

Vipi Mdau, unadhani nini kifanyike katika Sekta ya Nishati ili kuondokana na Upungufu wa Umeme Nchini?
 
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake

Kwa takriban miaka 6, Serikali imekuwa ikitaja mikakati ya kumaliza tatizo la Upungufu wa Umeme linalosababisha uwepo wa Mgawo wa Nishati hiyo lakini utekelezaji wake umekuwa na changamoto nyingi ikiwemo uzalishaji wake kwa kiasi kikubwa kutegemea zaidi Umeme wa Maji katika vyanzo vingi.

Kwa nyakati tofauti, waliowahi kuwa Viongozi Wakuu kutoka Wizara ya Nishati wakiwemo Mawaziri 3 (Prof. Sospeter Muhongo, Dkt. Medard Kalemani na Januari Makamba) na Mkurugenzi wa zamani wa TANESCO Mhandisi Felchesmi Mramba waliowahi kunukuliwa wakiahidi kuwa Tanzania itauza Umeme nje ya Nchi, ahadi ambayo imekuwa ikijirudia bila kuwa na matumaini ya kutimia

Viongozi waliowahi kuahidi kuwa Tanzania itaanza kuuza Umeme Nje ya Nchi ni wafuatao

Kumbukumbu za Ahadi za Kuuza Umeme Nje ya Nchi zilizowahi kutolewa na Viongozi Nchini

Julai 2013
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo aliahidi kuwa Nchi inajiandaa kuuza Umeme nje ya Nchi

Desemba 2014

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Felchesmi Mramba aliahidi kuwa

Julai 2016
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo

Februari 2020
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Medard Kalemani

Julai 2022
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Mei 2023
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Septemba 2023
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliahidi kuwa Serikali imedhamiria kuuza Umeme nje ya Nchi

Vipi Mdau, unadhani nini kifanyike katika Sekta ya Nishati ili kuondokana na Upungufu wa Umeme Nchini?
 
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake

Kwa takriban miaka 6, Serikali imekuwa ikitaja mikakati ya kumaliza tatizo la Upungufu wa Umeme linalosababisha uwepo wa Mgawo wa Nishati hiyo lakini utekelezaji wake umekuwa na changamoto nyingi ikiwemo uzalishaji wake kwa kiasi kikubwa kutegemea zaidi Umeme wa Maji katika vyanzo vingi.

Kwa nyakati tofauti, waliowahi kuwa Viongozi Wakuu kutoka Wizara ya Nishati wakiwemo Mawaziri 3 (Prof. Sospeter Muhongo, Dkt. Medard Kalemani na Januari Makamba) na Mkurugenzi wa zamani wa TANESCO Mhandisi Felchesmi Mramba waliowahi kunukuliwa wakiahidi kuwa Tanzania itauza Umeme nje ya Nchi, ahadi ambayo imekuwa ikijirudia bila kuwa na matumaini ya kutimia

Viongozi waliowahi kuahidi kuwa Tanzania itaanza kuuza Umeme Nje ya Nchi ni wafuatao

Kumbukumbu za Ahadi za Kuuza Umeme Nje ya Nchi zilizowahi kutolewa na Viongozi Nchini

Julai 2013
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo aliahidi kuwa Nchi inajiandaa kuuza Umeme nje ya Nchi

Desemba 2014

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Felchesmi Mramba aliahidi kuwa

Julai 2016
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo

Februari 2020
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Medard Kalemani

Julai 2022
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Mei 2023
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Septemba 2023
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliahidi kuwa Serikali imedhamiria kuuza Umeme nje ya Nchi

Vipi Mdau, unadhani nini kifanyike katika Sekta ya Nishati ili kuondokana na Upungufu wa Umeme Nchini?

Kauli za kihuni
 
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake

Kwa takriban miaka 6, Serikali imekuwa ikitaja mikakati ya kumaliza tatizo la Upungufu wa Umeme linalosababisha uwepo wa Mgawo wa Nishati hiyo lakini utekelezaji wake umekuwa na changamoto nyingi ikiwemo uzalishaji wake kwa kiasi kikubwa kutegemea zaidi Umeme wa Maji katika vyanzo vingi.

Kwa nyakati tofauti, waliowahi kuwa Viongozi Wakuu kutoka Wizara ya Nishati wakiwemo Mawaziri 3 (Prof. Sospeter Muhongo, Dkt. Medard Kalemani na Januari Makamba) na Mkurugenzi wa zamani wa TANESCO Mhandisi Felchesmi Mramba waliowahi kunukuliwa wakiahidi kuwa Tanzania itauza Umeme nje ya Nchi, ahadi ambayo imekuwa ikijirudia bila kuwa na matumaini ya kutimia

Viongozi waliowahi kuahidi kuwa Tanzania itaanza kuuza Umeme Nje ya Nchi ni wafuatao

Kumbukumbu za Ahadi za Kuuza Umeme Nje ya Nchi zilizowahi kutolewa na Viongozi Nchini

Julai 2013
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo aliahidi kuwa Nchi inajiandaa kuuza Umeme nje ya Nchi

Desemba 2014

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Felchesmi Mramba aliahidi kuwa

Julai 2016
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo

Februari 2020
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Medard Kalemani

Julai 2022
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Mei 2023
Aliyekuwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba

Septemba 2023
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliahidi kuwa Serikali imedhamiria kuuza Umeme nje ya Nchi

Vipi Mdau, unadhani nini kifanyike katika Sekta ya Nishati ili kuondokana na Upungufu wa Umeme Nchini?
Upungufu wa umeme kwa baadhi ya maeneo ambayo "si ya kipaumbele" haimaanishi hatuuzi umeme nje.

Kuna sehemu nyingi kuna njaa lakini jirani akipata mafuriko tunampa chakula toka NRFA.
Endeleeni kuiamini serikali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom