Nyie vijana mtambue kuwa hakuna umri wa mafanikio, mimi ni kati ya vijana nilianza kufanikiwa nikiwa na miaka 33 , yani hapo kwa umri huo buku sina , nilichokua nacho ni mind setting na akili ya pesa tu .
Leo hii nikifilisika kabisa nikawa na 50 elfu tu , nitampita ambae anajiona yupo...