Tusiwe serious na namba zinazotajwa. Tuchukue tahdhari,
Mvua zitasomba watu , kuanzia Kinyerezi, Tabata, Kigogo, Jangwani.
Mvua zitaangusha kuta dhaifu na kuua watu.
Radi zitapiga majengo marefu yasiyo na mfumo wa kuzuia radi, zitapiga magari yasiyo na kuzuizi na kulipuka.
Ligi kuu itabidi...