"Kuondolewa kwangu kama mnavyojua zilianza shida ndogo ndogo zile za Trilioni moja na nusu, halafu Spika Ndugai akaleta mazungumzo yale mpaka mwisho nikahisi tu mimi mwenyewe na unajua Tanzania hii ni Nchi ndogo sana, unapewa taarifa mapema kwahiyo kuna mtu akaniambia sasa hivi wameanza mchakato...
Professor Mussa J Assad. CAG Mstaafu amesimulia kilichotokea na hatua alizochukua wakati anaondolewa katika nafasi ya CAG kinyume na katiba ilivyokuwa inaeleza.
Kuna vitu mpaka unajiuliza hivi hawa wapinzani uchwara wanavuta bangi ya Msumbiji, Malawi au hii hii ya Arusha.
Katiba mpya sawa .
Mnazunguka kudai katiba mpya.
Kwenye madai kuna pande 3 .
1. Mdai
2.Mdaiwa
3.Msuluhishi, mpatanishi, mwamuzi.
Nambari tatu si lazima.
Huyu mdaiwa wa katiba mpya ni...
Hakuna ubishi. Masuala mawilli, kuhusu wabara kuondolewa au hata kutotibiwa visiwani na kutangaza siku ya mwaka wa kiislam kuwa mapumziko ni chembe chembe, chokochoko, na viashilia vya kuuvunja muungano.
Wengi wameandika juu ya upuuzi huu na kulaumu. Ajabu, rais wa muungano yuko kimya!
Je...
CCM kukubali katiba mpya ambayo italeta tume huru ya uchaguzi ni kujisogeza kaburini hii ni kutokana na hali halisi ilivyo na mwamko wa wananchi hasa vijana
Katiba mpya itaifanya CCM isikae madarakani zaidi ya miaka kumi na tano toka mwaka itakapoanza kutumika.
CCM ikipoteza hatamu hapo kila...
Nchi nyingi za Afrika zimekuja na katiba mpya ila imekua ni ngumu sana kwa hizo katiba kutamka waziwazi kuwashughulikia mafisadi ama kwa kuwafunga au kuwanyonga
Ni ngumu sana kwa nchi ya Afrika kusikia high profile politician ambaye ni fisadi kufungwa au kunyongwa kwanini inakua hivi
Sababu...
Kama ukiweza kuipata na kuisoma KATIBA YA KENYA utagundua kuwa ni moja ya KATIBA makini zinazojitosheleza kwenye kila nyanja za KITAIFA katika zama hizi.
Tatizo la Afrika Mashariki, hususan Kenya, mara nyingi limekuwa likihusishwa na ufisadi. Wazo la Katiba Mpya lilionekana kama suluhisho la...
Kumbukizi:
Kauli za Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu alizozitoa katika Bunge Maalum la Katiba mwaka 2014 kuhusu kasoro zilizopo kwenye Muungano.
Wakati huo alikuwa Mkuu wa Sheria wa chama hicho na Mbunge wa Singida Mashariki.
Serikali kupitia Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera amesema mchakato wa kushughulikia suala la Katiba Mpya utatekelezwa na Serikali baada ya kukamilika kwa kazi za Tume inayoshughulikia masuala ya jinai pamoja na mchakato wa maridhiano unaoendelea nchini.
Akizungumza June 17, 2026...
Sasa imezidi katika utawala wa JMT, Katiba haina hadhi. Tanzania ni nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar. Tamko la rais wa Zanzibar Kwamba 17th June ni Holiday ni kosa la kisheria na pia “stubbornness” kwa utawala wa rais Hassan wa JMT.
Sheikh mkuu wa Tanzania aliomba pia “Bara” wapumnzike”. Najua...
Ahadi ni deni. Tena ahadi inayohusu masuala ya msingi ya kitaifa.
Taifa linahitaji katiba mpya. Alitambumbua kabisa moja ya sababu zilizosababisha vurugu ni wananchi kutaka katiba mpya.
Sasa hiyo ahadi imeyeyuka mithiri ya barafu. Siku 100 zimekuwa siku 4000.
JMT!
Hivi karibuni kumetokea Sintofahamu baada ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo machachari sheikh Said issa mohamedi kufukuzwa uanachama na chama chake kwa madai mbali mbali..
hatahivyo baada ya kufukuzwa ameibuka na kudai kuwa ana uhalali wa kuendelea kuwa mwanachama kwa kuwa...
29 May 2026
Jaji Mstaafu Profesa Ruhangisa - Kwa Nini Katiba Mpya kwa Viongozi ...
https://m.youtube.com/watch?v=yeWcy3FJ6S0
Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu Prof. John Ruhangisa wakati wa mahojiano maalum ya kipindi cha Katiba Kitaa jijini Arusha.
John Eudes Ruhangisa ni msomi mashuhuri wa...
Ni Muda sasa wabunge toka baraza la wawakilishi huwa pia na fursa ya kuingia Bunge la Muungano.
Sio vibaya kama wabunge toka bara baadhi yao nao wakiwa wanahudhuria vikao vya baraza la wawakilishi.
Uwekwe utaratibu maalum ambao utawafanya wabunge hao kushiriki vikao bila kuathiri maamuzi ya...
Katiba ya sasa haifai maana ilitungwa na WanaCCM 22 na haiwapi wananchi madaraka juu ya taifa lao baada ya uchaguzi.
Taifa letu linatakiwq liwe na katiba ambayo itawapa mamlaka wananchi kumfuta kazi rais mara baada ya kushindwa kutekeleza majukumu yake.
Tuwe na katiba ambayo baada ya rais...
Nashangaa taifa lililosheheni taasisi nyingi za kuilinda katiba lakini wanaibuka watu ,kikundi cha watu wanaivunja hiyo katiba na taasisi zipo za kuitetea katiba .
Kama katiba imeshindwa kumlinda raia kuna haja kuwa na katiba .
Katiba yetu imechakaa kama shati lililopauka lenye virakaviraka...
Ambagile anasema kuwa anaona itakuwa ngumu sana kupata katiba mpya kwa sababu anaona vyama vya siasa vimeanza kugombea agenda kuwa hiyo agenda ya Katiba ni ya chama fulani, anasema Katiba mpya ni ya Watanzania na Si ya CCM, CHADEMA, Waislam, Wakristo, Simba au Yanga.
Anasema ni kama tunaanza...
#HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini.
Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
biashara
biashara na uwekezaji
changamoto
dangote
heche
john
john heche
katibakatiba mpya
kuboresha
kuboresha mazingira
kufungua
kutatua
maridhiano
mazingira
mpya
njia
pamoja
rais
rais samia
samia
serikali
sifa
uwekezaji
wawekezaji
Kwanza mpaka sasa hivi kama alivyosema Mzee Warioba alipigiwa kura na Tume ya uchaguzi ya Jaji Mwambegete sio wanannchi.
Mchakato wa katiba mpya upo tayari maana rasimu ya warioba tayayri ilishaweka kile ambacho watanzania wanakihitaji. Yaani katiba ambayo itakidhi mahitaji ya Watanzania. Ambao...
Kwa sheria ya mabadiliko ya katiba, bunge lina nafasi kubwa ya kurekebisha katiba.
Wananchi tulio wengi tumeona MAMA ANATOSHA AONGEZEWE MUDA. Bunge lifanya kitu kabla ya 2030 ili mama aendelee kuongoza kwa miaka mingine 7.
Wazalendo tunataka mama amalize kabisa malengo yake mema kwa nchi hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.