Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini, uliondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), amesema:
"Kwa sababu dialogue katika ujenzi wa nchi haiwezi kuwa jambo... it's...
Akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa uluiondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud, amesema Katiba ya sasa ndiyo inahatarisha Muungano wa Tanganyika Zanzibar.
Nukuu ya Maandishi...
Katiba hii inatoa nafasi kubwa sana za nafasi za utendaji muhimu sana kwa maisha ya wananchi na maendeleo ya nchi kwa kuteua teua tu.
Ukweli ni kwamba hii inawafanya watu wazembe wawekeza sana kwenye kujipendekeza kusifia na kupiga majungu kwa sababu wana uhakika mteuaji ana nafasi kubwa ya...
Ndugu Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Napenda Kuwasilisha Kwenu Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Inayopendekezwa, Ikiwa ni Rasimu ya Katiba Yenye Sura (14) na Ibara (321).
Rasimu hiyo ya katiba imeanzisha muundo mpya wa utawala, Mgawanyo wa madaraka, Usimamizi wa...
KIBANO CHA "SOFT-BALL" NA UPWAYAJI WA HABARI: Uchambuzi wa Mahojiano ya Kihongosi na Odemba, na Somo la Katiba Mpya kwa Wana-CCM
Habari za jioni Wana-JamiiForums (JF),
Matumaini yangu mko salama na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa letu. Leo nimeona nilete mada hii mezani kwenu kwa...
Kuna watu wanataka kupandia juu kwa kutumia ngazi ya vurugu za Oct29 kupata Katiba mpya.
Chanzo halisi cha vurugu za Oct29 ni kifo cha Rais Magufuli na ujio wa Rais SAMIA madarakani. Nyingine hizi zoote ni mbwembwe za kutumia fursa za vurugu na vifo vilivyotokea.
Kama JMP angekuwahai...
Kwanza nampa pole sana mheshimwa Rais wetu pamoja na familia na watanzania kwa msiba mzito uliotukumba leo.
Swali langu kwa mujib wa dini ya kiislam mke hukaa eda pindi anapofiwa na mumewe. Je katiba yetu itaruhusu Rais wetu akae eda ama itambidi afanyie majukumu yake nyumbani kipindi chote cha...
Utawala wa hayati Magufuli uliona tatizo la gharama za matengenezo ya barabara zinazoelekea bandarini, hivyo rais Magufuli akaamua kujenga bandari kavu mkoa wa pwani eneo la Kwala, na ili itumike ikaamuliwa iunganishwe na reli ya sgr. Uwepo wa reli hiyo ungeiingizia mapato serikali ambayo...
Mimi nashauri CCM wenye madaraka watupe katiba alafu kuwe na kifungu cha kuwalinda waliokuwa wameuwa raia, walio tufisadi yani tuanze upya tujdai kama hakukuwa na kitu yan tuanze upya kama taifa jipya yan tunaashumu tulikuwa utumwani sasa tuko huru kama vile ambavo tulipewa uhuru na wakoloni ...
Chemsha bongo.
Naona tatizo kwenye katiba mbovu ya Sasa tuliyonayo.
Inasema kwamba,RAIS aliepo madarakani aliechaguliwa na wananchi kama akifa Leo,basi makamu wa RAIS ataongoza nchi Hadi uchaguzi Mkuu unaofuata.
Huyu Makamu wa RAIS anakua amechaguliwa na wananchi Gani?
Mfano mwaka mmoja...
Bunge la Nicaragua limepitisha marekebisho ya Katiba yanayopiga marufuku vyama vya upinzani kushiriki katika uchaguzi, na kuongeza muda wa urais kutoka miaka sita hadi saba. Marekebisho hayo, yanayoongozwa na marais wenza Daniel Ortega na mkewe Rosario Murillo, yalipitishwa katika kura ya kwanza...
Nchi Ina vichekesho vingi sana hivi inawezekanaje chama kimeweka ajenda ya mabadiliko ya katiba kwenye ilani yake ya uchaguzi alafu wakati huohuo makada wake wako bize kuipigia debe katiba iliyopo!?
Kwa nini wasifute tu kwenye ilani ili lijulikane Moja? Ni nani aliwalazimisha kuweka hicho...
Ni asiyejitambua tu ndio atalilia tuwe na katiba itakayodogosha ukubwa wa mamlaka .......Eti Rais awe na nguvu sawa na Mwenyekiti wa kijiji cha mpitimbi au rais wa NGO s za kutetea haki ya mbu kuishi.!!
Ukiruhusu katiba ya namna hiyo utakuwa na Taifa la kambale au uduvi kila mmoja ana ndevu...
Ndio maana sishangai rais kuipigia debe hii katiba maana inamfanya awe kiumbe wa daraja la juu kuliko viumbe vyote Tanzania.
Yaani hawezi kushtakiwa akiwa rais au hata baada ya kustaafu haitajalisha amefanya maovu kiasi gani.
Kwa maneno mengine rais wa Tanzania anaruhusiwa kuvunja katiba...
Hivi leo ACT wanaojiita Wajamaa na Wazalendo leo wanapigania Uzanzibar! kule Zanzibar,kwa nini wasipiganie na Utanganyika huku Tanganyika,ila wamekaa kimya kwa upande wa Tanganyika nao wanaiita Tanzania,sasa Tanzania kwa sasa ni muungano wa Tanganyika na nchi gani ?
Montevideo Convention ya...
1961 : Wakoloni na Viongozi wachache wa Tanzania
1962: TANU
1964-1965 - Karume + Nyerere
1977 : Watu 20 kwa masaa 3 bungeni
20.... Katiba mpya ????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.