Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
  • Sticky
Kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita...
55 Reactions
1K Replies
432K Views
  • Sticky
Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official...
62 Reactions
4K Replies
685K Views
  • Sticky
Freemasonry is a fraternal organisation. Arising from obscure origins (theorised to be anywhere from the time of the building of King Solomon's Temple to the mid-1600s), it now exists in various...
39 Reactions
1K Replies
590K Views
  • Sticky
  • Poll
Hii ni habari nzito iliyokuwa inasubiriwa... Kwa kuwa tumekuwa na matatizo sana kwenye mikataba, sijui na mradi huu utasalimika! Ni kampuni ile ile walioshinda tenda zamani wakanyimwa ikawa...
3 Reactions
2K Replies
300K Views
  • Sticky
Nimesikia kuwa hivi karibuni, nchi zote za Afrika ya Mashariki zitatumia sarafu moja. Nimekuwa natafiti pole pole kutafuta picha za pesa tulizowahi kutumia hapa kwetu, nikaona nizitundike hapa...
34 Reactions
108 Replies
117K Views
  • Sticky
Wiki chache zilizopita niliwaletea historia ya fedha ya sarafu hapa nchini kwetu nikaahidi kumalizia na historia ya noti. Kwa bahati mbaya majukumu yamenizidi nikashindwa kupata nafasi ya...
36 Reactions
215 Replies
201K Views
Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike Baada ya Uchaguzi...
190 Reactions
9K Replies
2M Views
Kumekuwa na mkanganyiko kidogo juu ya tofauti ya Jasusi, Shushushu, Kachero, Mpelelezi nk. Kwenye kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi nimeeleza kwa kirefu zaidi juu ya utofauti wa mambo haya...
8 Reactions
18 Replies
943 Views
Get off X kwa tafsiri nyepesi unaweza kusema ni kuwa nje ya x, lakini katika ujasusi haina maana hiyo. Katika ujasusi ukisikia Get off the X, maana yake uwe nje ya tukio, shari au viashiria vya...
92 Reactions
73 Replies
16K Views
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani? Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko...
3 Reactions
92 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ambaye Kwa muda wa miaka 2 nimekuwa nikifatilia mijadala mbalimbali hapa Jf katika jukwaa hili la intelligence. Moja ya mijadala ambayo imekuwa ikinivutia sana ni hii ya dhana ya...
20 Reactions
632 Replies
11K Views
NDOTO (1) Ukiota unacheza karata= utapata bahati (2) Ukiota uakula kabeji= utapata maradhi ya kujitakia. (3) Ukiota unaona karanga= vulugu haziishi nyumbani. (4) Ukiota umevaa nguo mpya=...
1 Reactions
15 Replies
496 Views
Ukiangalia kwa unfdani utaona kuwa dini nyingi ni matokeo ya maisha magumu. Kisaikolojia mtu akiwa frustrated na ugumu wa maisha huanza kuota ndoto za mchana na kufantasize maisha yasiyo na taabu...
6 Reactions
122 Replies
1K Views
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu...
169 Reactions
2K Replies
543K Views
Na DaVinci XV SEHEMU YA I Masal kheyr wakuu, MWANZO 3:1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Binafsi tangu ningali mdogo nilikuwa na tatizo la...
5 Reactions
23 Replies
529 Views
Hello bosses....... Nimekaa na hii experience kwa muda mrefu ila leo nikakutana jamaa fln wanabishana khs dini nimeona ni bora niisimulie labda inaweza kusaidia. Ni story ndefu ila nitajitahidi...
23 Reactions
97 Replies
8K Views
ANGALIZO: Yote yaliyoandikwa humu yatabaki kuwa ni maoni binafsi ya mwandishi wa makala ambayo baada ya kukamilika hii habari references na citations zitawekwa. Kutokana na maada hii kuwa...
2 Reactions
18 Replies
630 Views
Kwa shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama directorate K. Hii idara ilikuwa na kazi maalumu ya kufanya bugging , kile kitendo Cha kupandikiza vinasa sauti na video camera...
96 Reactions
1K Replies
173K Views
Hili eneo lajulikana kama area 51 linapatikana katika jimbo la nevada uko Marekani, eneo hili ndiko kulipo na kituo kikuu cha ujasusi cha Marekani, na inaaminika kwamba Majajusi wa Marekani...
26 Reactions
655 Replies
175K Views
Wanabodi, Jee Kuna Uhusiano Kati ya IQ, Dini ya Mtu na Longevity?. Naomba Kuwatumia Marais wa Tanzania as Sampling factors. Haya ni maswali valid yanayo hitaji majibu ya utafiti wa kina...
47 Reactions
135 Replies
10K Views
๐–๐š๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ก๐š๐›๐š๐ซ๐ข๐ง๐ข ๐ณ๐š ๐ฐ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ญ๐ž๐ง๐š. ๐Š๐ฐ๐š๐ง๐ณ๐š ๐ค๐š๐›๐ข๐ฌ๐š ๐ง๐ข๐ฐ๐š๐ฌ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š ๐‰๐…, ๐ค๐ฐ๐š ๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ง๐ข๐ฆ๐ž๐ค๐ฎ๐ฃ๐š ๐ค๐ฎ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฎ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ก๐š๐ฉ๐š ๐ง๐ข ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š๐ฐ๐š๐ฉ๐จ ๐ฒ๐š ๐ฏ๐ฒ๐š๐ง๐ณ๐จ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ฆ๐š๐š๐ซ๐ข๐Ÿ๐š, ๐ž๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ, ๐ฉ๐š๐ฆ๐จ๐ฃ๐š ๐ง๐š ๐ฎ๐ฃ๐ข๐ง๐ ๐š ๐ฉ๐ข๐š...
13 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari za masiku wanajukwaa wote, leo ningependa tujadili watu mysterious kwenye vitabu vyetu vya dini kama ilivyo kawaida yetu. Hivyo twendeni pamoja ili tusolve mystery hii, kubwa ya yote...
35 Reactions
393 Replies
43K Views
Utata umeibuka kuhusiana na kifo cha Ofisa Usalama wa Taifa, Peter Tyenyi, ambaye mwili wake umekutwa ndani ya kisima cha maji kilichopo eneo la ofisi za idara zilizopo Kijitonyama, jijini Dar...
8 Reactions
310 Replies
83K Views
Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki...
111 Reactions
2K Replies
375K Views
Kumekuwa na mijadala mingi na mawazo mengi yenye kukinzana katika Tanzania kuhusiana na mafundisho ya Kanisa la Waadventista Wasabato. Hivyo niliamua kuchunguza misingi ya imani ya Kanisa hili ili...
4 Reactions
76 Replies
2K Views
Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho. Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia. Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa...
16 Reactions
445 Replies
31K Views
Back
Top Bottom