Bahati mbaya binti mwingine ana watoto wawili baba tofauti anauliza una mpango gani na Mimi.
Mwingine chuchu zimeshaanguka anakuambia sitaki unichezee.
Wewe mwenyewe ndiyo umeyachezea maisha yako sisi tunafanya mwendelezo tu.
Ungekataa kufanya tendo la ndoa kwa sharti mpaka uolewe kuna kijana...
Wasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika...
Hi
Jana nliona video afrimax, kuna bibi anaeitwa Sofia wa hapa hapa Tanzania anadai ana miaka 86 halafu bado bikra, hajaolewa hana watoto wala wajukuu, kwasababu kipindi cha usichana wake alikataa kila mwanaume aliekuwa anamtongoza.
Aliwakataa hao wanaume sababu alikuwa akiwaangalia hawana...
Bilionea Ned Nwoko kutoka nchini Nigeria amesema huwa hafungi ndoa na Mwanamke ambaye sio bikra. Bilionea huyo hadi sasa ana wake 6 anaishi nao wote hadi sasa.
Maneno hayo alitamka kwenye interview Mpya na kuweka wazi kuwa yeye akitaka kuoa ni lazima mwanamke husika awe bikra bila hivyo Haoi...
Wasichana wa ki-islamu wamekamatwa wakiwa wamefungiwa kwenye nyumba Dodoma inayosadikika kuwapa elimu ya dini leo 19-02-2024.
Wapo zaidi ya mabikra 200, wanakula na kunywa bure kwa siri kubwa sana.Fedha za kuwalisha, kuwapa vinjwaji, kununua pedi[taulo] kila mwezi hazijulikani zitokapo na...
Kijana oa, ndoa ni mpango wa Mungu aliuasisi Edeni . Watu waongezeke, wakaijaze nchi. Ukioa unampendeza Mungu na Mungu kwakuwa umetimiza moja ya maagizo yake muhimu lazima akubariki afya njema, akubariki uzao mwema, akubariki ridhiki Ili usihangahike uwapo duniani.
Lakini kuoa bikra hilo pia ni...
Nipo zangu mlimani City kwenye manbo ya kushuti Content za youtube channel yangu
Tukiwa break mara wakaja wadada wawili buana mazungumzo yao yalikuwa hivi
Dada wa kwanza: my dia usipotoa kwa wanaume hata kidogo wakuonje onje hautaolewa,
Dada wa pili (bikra): kwahiyo mwenzetu wewe ulitoa kwa...
Habari wana jamvi kama kichwa cha habari kinavosema hapo juu. Dhumuni la kuandika hii thread nikutaka ushauri kwa ambao watakuwa tayari kunipa ushauri nitaupokea.
Huyu binti anaezitesa hisia zangu ni bikra na nimethibisha kwakuwa nilishakuwa nae faragha zaidi ya mara moja na nikalithibisha...
Habari!
Tulipopinga suala la mahari kwa kusema kuwa mahari ni biashara ya kitumwa watetezi mkasema mahari ni heshima, ni zawadi kwa wazazi kwa kumtunza binti yao. Kumtunza sawa, lakini ametunzwa vipi huku hana bikra huku wengine wamezaa kabisa?
Ile bikra ndio itolewe mahari, bikra ndio thamani...
Ni wazi kuwa Wazee wetu wa zamani walikuwa wakioa wanake wakiwa bado bikra, swali Hivi kwa miaka hii kuna wanawake wanaolewa wakiwa bado bikra kweli,
Mdau hebu funguka unazani ni kwanini hawaolewi wakiwa bado bikra?
Wale viherehere wa kuoa nawasanua zingatieni ushauri huu ukitaka kuoa bikra hakikisha unaoa anaekupenda haswaa ila ukitumia ushawishi wa kiwaki huko mbele utauona moto, mwanamke ana evolve kwenye nyanja zote
Wadiz
Sikuwahi kuamini ipo kama nitaweza kukutana na bikra wa mwanamke wa kichaga ila mimi nimejonea laivu na mimi ndiyo nimeitoa aisee yaani sio poa poa kabisa demu wa kichaga ana mapenzi balaa asikuambie mtuu
Baada ya kuvutiwa na huyu binti ambaye nimemkuta ana miaka 30 ila nimekuta hymen ipo...
Doh nimecheka mpaka nimeona nishee
Haya Mchungaji hapa ametupa kabisa maana ya mwanamke bikra na akiolewa akikutana na mwanaume anavyokuwa
Eti analia 😂😂😂😂
Akiona msitu kifuani, analia😂😂😂
Mughonile.
Niliapa sitaharibu ambacho hakijaharibika au kuharibiwa. Sitaondoa Bikra kama sitamuoa huyo Mwanamke. Kama una bikra basi nisingekuchezea lakini kama umejiharibu au kuharibiwa nilijipa uhalali wa kuendelea kufanya uharibifu.
Niliapa sitokuja kuoa Mwanamke asiye na Bikra hata...
Tupoze makali ya mahubiri kidogo!
Bila kupoteza muda hivi wanaume wenzangu mnawezaje kutoa mahari kwa mwanamke aliyeshindwa kuilinda bikra yake isipotee kabla ya ndoa? Hayo ni matumizi mabaya ya hela.
Ukio mke hana bikra jua umeoa mke wa mtu.
Jumapili njema
1. Jaribu kujiuliza, Je nani alimtoa mke wako bikra?
2. Kama ni wewe ,je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
3. Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa...
Samaleko
Dogo aliniletea dhalau. Nilimuambia awe kama mimi kakaake. Oa Mwanamke mwenye Bikra akaniona mshamba na maneno kibao ya kejeli na dharau kama wengine humu jf. Juzi kamfumania mkewe akiwa anazagamuliwa na mjini wake wa zamani.
Dogo ati anataka kujiua yaani kama mpuuzi hivi. Kuchapiwa...
Habari wana Jf
Leo naandika uzi huu moyo wangu ukiwa umejaa huzuni sana sielewi hata la kufanya!
Ipo hivi mwaka 2021 nikiwa chuo, nilikutana binti mmoja classmate, nikatokea kuvutiwa naye maana alikuwa na kila sifa nilizohitaji; Sura, Tako + Mguu wa bia. Basi mwanaume nikamtongoza binti...
Igweeh!
Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo haijafunguliwa kuliko kujiamini Kwa kuoa Mwanamke ambaye hukumkuta Bikra.
Ambacho ungetakiwa kuuliza Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.