goli

Goli Otok (pronounced [ɡôliː ǒtok]; lit. 'Barren Island'; Italian: Isola Calva) is a barren, uninhabited island that was the site of a political prison which was in use when Croatia was part of Yugoslavia. The prison was in operation between 1949 and 1989.The island is located in the northern Adriatic Sea just off the coast of Primorje-Gorski Kotar County, Croatia with an area of approximately 4.5 square kilometers (1.7 sq mi). Exposed to strong bora winds, particularly in the winter, the island's surface is almost completely devoid of vegetation, giving Goli Otok ("barren island" in Croatian) its name. It is also known as the "Croatian Alcatraz" because of its island location and high security.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jurgen Klopp: Kama VAR imekataa goli lile la Ujerumani basi Arsenal haikustahili kuwa bingwa wa Premier League

    "Kama goli hilo la Ujerumani limekataliwa na VAR, basi Arsenal isingetakiwa kutwaa ubingwa wa England (Premier League). Asilimia 60 ya magoli waliyofunga yalikuwa ya aina hiyo.” Juni 30, 2026 Jurgen Klopp 'A joke' - how a 'terrible' VAR disallowed goal cost Germany Germany thought their...
  2. Tomaa Mireni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa hali hii siwezi kuiamini VAR inayoongozwa na binadamu. Goli la Iran ni halali kabisa

    cha kushangaa ili ionekane ni offside anaonyenyeshwa mwenye jezi no. 9 wakati kule mwisho kuna mchezaji mwingine wa Misri. Jamani hii offside kivipi au mimi ndio sioni au sijui? Wachambuzi karibuni mnieleweshe hapa mana tutakesha. Nashukuru sana naona media kubwa imeona kama nilivyoona mimi...
  3. uran

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum. 2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano. 🌍 Waandaaji Mashindano yataandaliwa kwa pamoja na: United States Canada Mexico Hii ni mara ya kwanza World Cup kuandaliwa na...
  4. Mad Max

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ndio Mechi za Mwisho za EPL 2025/26: Hakuna Mechi isio na Goli!

    Tunafunga msimu kibabe sana. Kila mechi goli limefungwa, hamna droo ya 0-0 leo. COYG
  5. goodhearted

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azam vs Pamba dakika ya 90, 0-0 nyongeza dk 7. Lakini baada tu ya Azam kufunga goli zikapunguzwa mpaka dak 3

    Nani mwingine aliona hio kitu
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Goli la Chama linaizidi kwa mbali Goli la Puskat 2025

    https://youtu.be/dytqapjk4Qw?si=8FYtt5wPiJNBozBu Kwa mujibu wa mitandao hilo ndio goal la Puskat kwa mwaka jaza. Ukilinganisha goal la Chama ni hatari kuliko hili https://youtu.be/YeFifs15d8I?si=oelqqxCQEKTT4cA0
  7. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FT: Pamba SC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | CCM Kirumba

    Mechi kali ya Ligi jioni ya leo inapigwa Mwanza katika dimba la CCM Kirumba Kikosi cha Simba Sports Club kitawakosa washambuliaji wake wawili dhidi ya Pamba JIJI FC, Baraka Mwangosi na Seleman Mwalimu. Mwangosi aliumia kwenye mechi dhidi ya Singida BS na hajasafiri kwenda Mwanza wakati...
  8. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Na bado wanangangania goli aisee Simba nyie, Refa apewe maua yake kabisa

    😴 🥱
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kiko wapi? Milioni tano za goli la mama, simsikii Msigwa wala Mchengerwa,

    Nauliza tu Msigwa uko wapi, mbona hatusikii tena goli la mama labda Simba ingeshinda Chezea Watanganyika na sio wazungu Kwisha habari zenu
  10. marcoveratti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Waziri wa Uingereza ampa Rais wa China mpira wa goli la CUNHA na DORGU kama zawadi

    Katika Ziara ya Kikazi ya Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer chini China alipokutana na Mwenyeji wake Rais wa China Xi Jinping amempa Mpira Uliotumika kwenye Mechi ya Ligi kuu kati ya Arsenal na Man United Lakini Kipekee akamzawadia Mipira ambayo ilitumika kupatikana kwa bao la Cunha na...
  11. The Burning Spear

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Million 5 za goli la mama zimezika mpira wa Tanzania

    GT Habari ndiyo hiyo kwisha kabisa. Vibanda umiza kwa sasa wanapitia wakti mgumu sana mapato ya uwanjani hakuna TFF mtakula nyasi hadi mkome. Hata kwa mechiza ulaya.watu hawana interest hata kidogo. FIFA wanaposema siasa zijitenge na mpira huwa wana maana kubwa sasa. Sasa uchawa wa kwenye...
  12. Hance Mtanashati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naiombea Taifa stars ifungwe goli 3 na kuendelea .Asante

    Ninafahamu fika Taifa stars lazima ifungwe hilo lipo wazi kipigo kipo palepale. Ila maombi yangu afungwe goli nyingi zaidi , hamna hamna afungwe kuanzia goli 3 na kuendelea. Asante.
  13. Damaso

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Goli la Mama, lakini Kombe halionekani: Taifa Stars Kati ya Ahadi na Kampeni

    Kauli ya Serikali kwamba “goli la mama lipo… safari hii tutavunja rekodi” imeamsha mjadala mzito miongoni mwa wadau wa soka nchini. Wakati fainali za AFCON zikikaribia Desemba 21, 2025, matumaini yanapandishwa juu kupitia kauli tamu, zawadi nono na misafara ya wajumbe. Lakini swali la msingi...
  14. William Mshumbusi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Matola Aliwaambia wachezaji ukiona goli we piga tu. Au chenga wote kafunge. Hakuwa na plan yoyote ya attacking

    Mpanzu na Joshua mutale walifundishwa wakishika mpira wapenye safu ya azam na chenga kama madenge kwenye gazeti la sani na wanashot gool. Wale morisoni, Mukwala na wengine waliambiwa wakiona goli tu walenge shoot gool. Ukiona timu ilivyocheza unaona kabisa uwezo wa matola. Viongozi...
  15. stakehigh

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hongera Clement Mzize kushinda Goli bora (CAF)

    Mshambuliaji wa Yanga Clement Mzize amefanikiwa kushinda goli bora la mwaka Afrika
  16. Busu la Kenge

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Konate naye ashangilia goli kwa "kuslide" na magoti

    Sijui namwonaje huyu beki hatari wa Liverpool Ibrahim Konate. Yuko kishambashamba tu. Sura yake haileweki sijui ana huzunika ama analia. Jana kwenye UEFA aliifungia Liverpool goli kali la kichwa kwenye mpira wa Kona na kushangilia kwa kuseleleka na magoti. Inaonekana aliipania sana kushangilia...
  17. Powell Gonzalez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Barcelona 1 - 2 PSG kuna watu wanasema goli la pili ni offside

    Barcelona 1 - 2 PSG, kuna watu wanaamini goli la pili ni Offside kwamba hadi VAR imefanya makosa! Ushabiki wa hovyo kabisa!
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msigwa awakabidhi Azam Fc Milion 10 za Goli la Mama

    Msemaji mkuu wa serikali ambaye pia ni katibu mkuu wa wizara ya Habari sanaa, utamaduni na michezo Greyson Msigwa amekabidhi kiasi cha Tsh. Milioni 10 kwa klabu ya Azam kama sehemu ya hamasa katika mashindano ya Kimataifa, Azam Fc walipata ushindi wa Goli 2 dhidi ya El Merriekh ya sudan...
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiwa huna Akili na hufuatilii Mpira duniani lazima tu utasema Goli la Pacome jana lilikuwa Offside

  20. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kapigwa goli 3-1 na Gambia, English haijawasaidia

    English iwasaidie basi waweze ku qualify world cup
Back
Top Bottom