sitaki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. secretarybird

    Nimempa wife talaka kwa sababu kila akiongea anasema, "ushanifahamu ehh", sitaki mambo ya Jose Mara effect!

    Yaani Kila akiongea chochote utasikia anasema, "ushanifahamu ehh". Aende kwa huyo Jose Mara aliyemuiga. Nyambafu! 😎 Al-mukheef, adriz de mbusii.
  2. Fbn

    Ukiunganisha uongozi wa Uganda wanacho kifanya ndio Tanzania wanacho kifanya

    Kuna kauli za Museveni na mwanae kama inavyoonekana Tanzania imeshakuwa mali yao bado kenya kwa mfumo wake wa utawala. Kitu kinacho nipa kufikiria zaidi embu mfatilie museveni na mfatilie samia kauli zake na matendo ya serikali .
  3. S

    Huyu Binti naoa wiki hii hii sitaki nimeshindwa vumilia

    IPO hivi Kuna Binti nkutana nae kwenye gari muda natoka job sasa the way alivo alinivutia sana mwamba sikusita nikaomba namba nikampanga freshi. Kilicho nishangaza hakuonesha dalili za kutaka kukataa labda kama nilivozoea Yani tayari tumeshazoeana mpaka sasa anakuja mpaka getto kupika. Mimi...
  4. bless on

    Irene Uwoya: Sitaki Mwanangu Alale kwa Ndugu!

    Irene Uwoya anasema hatamani kabisa mtoto wake Krish kulala hata kwa ndugu yake kwasababu Dunia imearibika kwasasa. "Nikweli Kwenye Malezi ya watoto kuna muda tunakosea ila mimi siwezi kupenda mwanangu aaribike hapana, Hakuna mama yeyote alieingia leba akafungua anaeweza kutaka mtoto wake...
  5. Intelligent businessman

    Naomba ulinzi wa moderators, sitaki kuhusishwa na mada za mpira

    Heshima kwenu moderators wa jamii forum, bila kuzunguka sana mimi raisi wa ma jobless pro max naomba ulinzi wenu siku ya leo humu jukwaani. Ni kweli naipenda timu ya aArsenal ila inanitesa sana, sasa timu initese na hawa madogo wa JF wanizingue ah wapi. Hakikisheni mna piga ban, yeyote atakaye...
  6. Street brain

    “Trauma ya Maisha: Nilimkuta Dada Yangu Akiinamishwa na Msela, Mpaka leo sitaki kwenda kwake

    “Kuna siku nishamkuta dada angu kainamishwa na msela akiwekewa mpini ile kitu sijawahi kuheal mpaka leo bahati nzuri ndo kamuoa kubabeki siendagi kwao kabisa 😂👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦👨‍👩‍👧‍👦” Oyaaah acha kabisa, wenye dada....
  7. ANT DRUGS

    Sitaki kumsaliti mke wangu ila ananilazimisha

    Nikimalza la Kwanza anadai amechoka na anaogopa la pili anasema nachelewa Sana kumwaga. Nishamfatilia Sana hana michepuko wala nini na ni church girl. Nawaza kuwa na plan b Ila ana wivu balaa muda wote anakagua simu yangu. Haya nayapitia mwenyewe nyie watu mliooa?
  8. comrade_kipepe

    Kuanzia kesho natulia, sitaki mchepuka nitaisoma biblia kwa moyo wangu wote

    Eee Mwenyezi Mungunisaidie No pombe No ngozi
  9. ankol

    Sitaki kuamini kua mkeka huu unachanika!

    Vipi tuendelee kusikilizia? Au ni cash out? Yaani timu moja tu ya mwishooni inachana mkeka!!
  10. Avith almachius

    Wanawake wanataka nini kwa mwanaume wasicheat?

    Wanawake wanataka nini kwa mwanaume wasicheat? Bas kimoja tu
  11. DuaZaMama

    Video: Sitaki kulala ndani kwa ajili ya watu wajinga, tukubaliane na aliye madarakani amani ndiyo kila kitu

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa ruhusa kwa magari ya abiria kuanza kutumia barabara ya Mabasi Yaendayo Haraka Awamu ya tatu inayoanzia katikati ya jiji la Dar es Salaam kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JNIA hadi Gongo la Mboto kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika...
  12. mcTobby

    Sitaki kuamini kama kuna Makaburi ya halaiki

    Wazee hili swala la Makaburi ya watu ya pamoja ni tuhuma nzito sana. Labda itokee tu serikali (inasingiziwa). Kwamba watu wauliwe ,then ili kupoteza ushahidi wa idadi ya watu mnawazika kwenye makaburi ya pamoja kwa siri itakuwa one of the big Mistake ever committed. Watu wangerudishiwa miili...
  13. kyagata

    Wife kasema "Ndani kwangu sitaki watu walevi" ina maana gani hii haswa?

    Ccm oyeee!!!!!!! Wakuu, last weekend nilikua na jamaa zangu tukapiga vyupa mpaka mida mibovu. Nikarudi home salama wife akanifungulia mlango fresh me nikaoga then nikachapa mbonji mpaka kesho yake saa 6 mchana hata church sikwenda siku hiyo. Sasa kesho yake nikiwa niko zangu chumbani nakula...
  14. Fbn

    Forex si ngumu ila unatakiwa utambue vitu viwili Market sessions na Moving Average 3 startegic.Utanishukuru wa sitaki pesa yako.

    Neno “Forex” linatoka kwa Foreign Exchange Market, ambayo ni soko la kubadilishana fedha za kigeni. Kwa maneno rahisi ni sehemu ambapo watu, benki, mashirika makubwa, na wawekezaji huuza na kununua sarafu za kigeni. Mfano Kubadilisha Dola za Marekani (USD) kuwa Euro (EUR) au Shilingi za Tanzania...
  15. Burn the bridge _Tz

    Sitaki kuajiriwa nakomaa na ubeach boy

    Njoo Zanzibar uone watu wanavyojua kumwaga Hela..... Mtaji ni mdomo wako na how smart you are. Yani wazungu bana....kutembea nae beach nusu saa anakupa 50 usd..... Hahaha sifungui hata ajira Portal.....
  16. Komeo Lachuma

    Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

    Yaani limeomba pesa jana kuwa lina shida nayo. Kwa uungwana hata sikuliuliza shida gani. Na lina fanya kazi. Nimetuma 300,000 halisemi hata asante ila linalalamika sijatuma ya kutolea. Hii ndi siku njema. Mi sijui kwa nini nina bahati mbaya ya kupata mijidada ina shape nzuri ila haina akili...
  17. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Sitaomba na sitaki huruma ya Mahakama, wanaoomba huruma ni wenye hatia

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, Tundu Lissu amesema "Mimi siombi Huruma ya Mahakama, Sitaomba na sitaki huruma ya Mahakama, nachotaka na ambacho nakisimamia utaratibu wa Mahakama usichezewe"
  18. Hyrax

    Vodacom mwaka huu nimeamua kublock message zenu zote za promotion na kuzireport kama spam

    Mnauza taarifa zangu kwenye makampuni yenu ya matangazo halafu niendelee kuwachekea natembeza block tu na kureport kama spam. Upumbavu sitakiii..
  19. P

    Sitaki ushauri, namuomba radhi mpenzi wangu

    Wakuu kwa sasa naona napoteza na sitaki ushauri. Mpenzi wangu ameniblock everywhere sijui nampataje. Nimemtumia email hajibu kitu kwa hiyo niko hovyo sana. Tayari nimespend some milion TZS ili kujiweka sawa ila bado namkumbuka mama yenu aisee. She was my manager, nikitumia hela hovyo...
  20. Komeo Lachuma

    Kwa hii hali ya Nchi yenu kwa sasa Sitaki nirudi maana hamchelewi kunihujumu

    Sijawahi jua taratibu mtu unapotaka kusafiri. Najua ukiwa na Documents inatosha. Sasa kwa nchi ilivyo nadhani ni mpaka uage kwa rahisi kwanza. Mi sirudi huko kwenu mnaendeshwa na kuongozwa na vilaza. Hakuna wenye uelewa hata wa kawaida tu. Common sense.
Back
Top Bottom